MAKONDA ATANGAZA MATIBABU ya BURE kwa WANANCHI WOTE wa ARUSHA, ni NOMAAAAA 🙌🙌

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 чер 2024

КОМЕНТАРІ • 19

  • @yugemasanza1008
    @yugemasanza1008 14 днів тому +1

    Hongera sana mdogo wangu Makonda.
    Ubarikiwe sana mtumishi wa wanyonge

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v 14 днів тому +1

    Hongera sana👏👏👏👏👏 mtetezi wawanyonge mwenyezi mungu Akurinde pia Akuepushe nabaraa🤲🤲🤲🤲

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 14 днів тому

    Hongera sana Mh Makonda Mungu akulinde kwa kujali afya za wananchi ningekuwelo ningekuja wallah

  • @malupex6299
    @malupex6299 14 днів тому

    Hongera kiongoz kwa kujali afya za watanzania. Mungu aendelee kukutia nguvu na kukubariki kwa wema wako.

  • @silasdominic5309
    @silasdominic5309 14 днів тому

    Hongera sana Kiongozi, mwenyezi Mungu akubariki sawasawa na mapenzi yake.

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v 14 днів тому

    Endlea kutenda wema na wewe utalipwa wema na Allah🤲🤲🤲🤲 wema unaotenda sio kwaajiri ya leo😢 ni kwaajili ya kecho utakapoulizwa ujibu

  • @josephsighis8185
    @josephsighis8185 14 днів тому

    Wewe ni mwamba kabisa na mungu atakulinda Daima

  • @gibsonsimburya5291
    @gibsonsimburya5291 14 днів тому

    Ila makonda ni mwamba

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63 14 днів тому

    Siasa hiyo ili watu tusahau sio kweli et .

  • @abaskhatoon9425
    @abaskhatoon9425 13 днів тому

    Piga vita vape imezidi Arusha kwa wtt wa shule fungieni isingie kwani inauzwa hata vibandani watoto wetu wajukuu wataishia mda mfupi ni kitu kibaya sana.tunawaomba mjitaidi isingie huku Tanzania.

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 14 днів тому

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 14 днів тому

    Huduma gani na kwa muda gani au wizi tu, baada ya wiki nani atatibu😂

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 14 днів тому

      Unaumia ukiwa wapi? Hata matibabu yangekuwa ya SAA 1 ni matibabu tu ,au unataka wakutibie huo ukimwi ! Huo hauponi kabisaaa labda ujiandae kufa tu

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 14 днів тому

      ​@@MohammedAwadh-gq9siUkimwi utibu wa mamako

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 14 днів тому

      ​@@MohammedAwadh-gq9siHalafu hayo matibabu ya siku mmoja,siku nyingine akutibu shetani?

    • @MohammedAwadh-gq9si
      @MohammedAwadh-gq9si 14 днів тому

      @@mataypanga5262 ikibidi ! Wewe hata utibiwe miaka ,ugonjwa wa akili unaendana na mwezi ,sasa utawezekanaje? Labda mwezi usiandame tena ndio utapona

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 13 днів тому

      Wewe usiye na shukurani so uwaache wenzako wakatibiwe ubaki na huo uzima wako maana wazima huwa wanajua kutamba sana kabla hayajawafika.