RAIS SAMIA AMPA MAKONDA DAWA za MILIONI 100, ARUSHA WATU WOTE WANATIBIWA BURE, BILA KULIPA HATA MIA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 22

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 3 місяці тому +7

    Makonda ni kiongozi anaetakiwa kuigwa na viongozi wenzake, BIG UP MAKONDA.

  • @RamadhanMakunja-i5m
    @RamadhanMakunja-i5m 3 місяці тому +5

    Cjui niseme nini jamani ubarikiwe sanaa mkuu🙏🙏🙏🙏

  • @DanielChalya-zo6mp
    @DanielChalya-zo6mp 3 місяці тому +4

    Big up makonda

  • @EliaMarco
    @EliaMarco 3 місяці тому +3

    Safi sana kamanda

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 3 місяці тому +3

    Mungu Akubariki Mheshimiwa Makonda
    Najiuliza Wakuu wa Mikoa Wengine wanashindwa vipi? Kujipanga au Hawana Marafiki kama Makonda

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 3 місяці тому +2

    mama samia ukiondoka mwachie nchi huyu makonda nchi itakuwa salama mrudishie uenezi 2025 uzoe kula

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 3 місяці тому +4

    Hi huduma ingetolewa nchi nzima ingetusaidia sana duh!!

  • @ADIMUSALUMU-ko6zp
    @ADIMUSALUMU-ko6zp 3 місяці тому +2

    Makonda chukua nch unafaa mheshimiwa

  • @KaujuMwakajumba
    @KaujuMwakajumba 3 місяці тому +2

    Huyu makonda ni Nabii ...kikubwa zaidi mungu akutangulie mheshimiwa makonda ♥️♥️♥️♥️🙏

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma3337 3 місяці тому +3

    Kweli unasitahili kuchukiwa na wenye wivu na

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429 3 місяці тому +1

    MAKONDA, Makonda, sijui niseme nn Kwa ajili Yako lakini Mungu anakuona🙏🙏🙏

  • @IsmailMatola
    @IsmailMatola 3 місяці тому +2

    Mhe makonda usitegemee kama utapenda na wanaojifanya nnchi ii yao kuanzia mawazili manaibu wao makatibu wakuu wakuu wa idala awowote ni wezi tupu na awafai kuwa viongozi wetu ila wewe wewe makonda nibonge la kiongozi nasio wakuigwa tu bali ni wamfano na ukiona unamchukia makonda wewe ni mwizi aijalishi wewe ni mstaafu au nani nyinyi wezi atuwataki muwepo apa duniani

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 3 місяці тому +3

    mussa tufikishe kanani

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 3 місяці тому +3

    Una sitahili kuwa RAISI

  • @uziasinkamba7380
    @uziasinkamba7380 3 місяці тому +2

    Tunaomba na kwetu songwe tusaidiane

  • @vincentmhoro1952
    @vincentmhoro1952 3 місяці тому

    Ni mpango na ni
    ubunifu mzuri sana.
    Swali:
    NI ENDELEVU ??

  • @kingaziomari4211
    @kingaziomari4211 3 місяці тому

    Ndugu zangu kijana huyo sauti inakauka kwakutetea wanyonge mungu amlinde

  • @MbaruMax
    @MbaruMax 3 місяці тому +4

    Mungu akuzidishie zaidi UTEKELEZAJI wa kazi zako mdogo wangu

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 3 місяці тому

    Hii Ni Aibu Kwa Taifa Letu.Serikali Yetu Ikubali Tu Kwamba Haipo Kwa Masilahi Ya Wananchi Bali Kwa Ajili Ya Matumbo Yao.Ukweli Makonda Tunamshukuru Kwa Kuiumbua Serikali Ya CCM.

  • @barakajonas3209
    @barakajonas3209 3 місяці тому +2

    ❤❤

  • @kingaziomari4211
    @kingaziomari4211 3 місяці тому

    Hangera mama kwakumuunga mkono makonda nakurazangu zote kwako

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 3 місяці тому

    NCHI HII WAGONJWA WAPO ALIPO MAKONDA TU MIKOA MINGINE HAWAPO NDIYO MAANA FEDHA ZIMEPELEKWA HUKO TU