Mhe makonda usitegemee kama utapenda na wanaojifanya nnchi ii yao kuanzia mawazili manaibu wao makatibu wakuu wakuu wa idala awowote ni wezi tupu na awafai kuwa viongozi wetu ila wewe wewe makonda nibonge la kiongozi nasio wakuigwa tu bali ni wamfano na ukiona unamchukia makonda wewe ni mwizi aijalishi wewe ni mstaafu au nani nyinyi wezi atuwataki muwepo apa duniani
Hii Ni Aibu Kwa Taifa Letu.Serikali Yetu Ikubali Tu Kwamba Haipo Kwa Masilahi Ya Wananchi Bali Kwa Ajili Ya Matumbo Yao.Ukweli Makonda Tunamshukuru Kwa Kuiumbua Serikali Ya CCM.
Makonda ni kiongozi anaetakiwa kuigwa na viongozi wenzake, BIG UP MAKONDA.
Cjui niseme nini jamani ubarikiwe sanaa mkuu🙏🙏🙏🙏
Big up makonda
Safi sana kamanda
Mungu Akubariki Mheshimiwa Makonda
Najiuliza Wakuu wa Mikoa Wengine wanashindwa vipi? Kujipanga au Hawana Marafiki kama Makonda
mama samia ukiondoka mwachie nchi huyu makonda nchi itakuwa salama mrudishie uenezi 2025 uzoe kula
Hi huduma ingetolewa nchi nzima ingetusaidia sana duh!!
Makonda chukua nch unafaa mheshimiwa
Huyu makonda ni Nabii ...kikubwa zaidi mungu akutangulie mheshimiwa makonda ♥️♥️♥️♥️🙏
Kweli unasitahili kuchukiwa na wenye wivu na
MAKONDA, Makonda, sijui niseme nn Kwa ajili Yako lakini Mungu anakuona🙏🙏🙏
Mhe makonda usitegemee kama utapenda na wanaojifanya nnchi ii yao kuanzia mawazili manaibu wao makatibu wakuu wakuu wa idala awowote ni wezi tupu na awafai kuwa viongozi wetu ila wewe wewe makonda nibonge la kiongozi nasio wakuigwa tu bali ni wamfano na ukiona unamchukia makonda wewe ni mwizi aijalishi wewe ni mstaafu au nani nyinyi wezi atuwataki muwepo apa duniani
mussa tufikishe kanani
Una sitahili kuwa RAISI
Tunaomba na kwetu songwe tusaidiane
Ni mpango na ni
ubunifu mzuri sana.
Swali:
NI ENDELEVU ??
Ndugu zangu kijana huyo sauti inakauka kwakutetea wanyonge mungu amlinde
Mungu akuzidishie zaidi UTEKELEZAJI wa kazi zako mdogo wangu
Hii Ni Aibu Kwa Taifa Letu.Serikali Yetu Ikubali Tu Kwamba Haipo Kwa Masilahi Ya Wananchi Bali Kwa Ajili Ya Matumbo Yao.Ukweli Makonda Tunamshukuru Kwa Kuiumbua Serikali Ya CCM.
❤❤
Hangera mama kwakumuunga mkono makonda nakurazangu zote kwako
NCHI HII WAGONJWA WAPO ALIPO MAKONDA TU MIKOA MINGINE HAWAPO NDIYO MAANA FEDHA ZIMEPELEKWA HUKO TU