Makubwa hii n hello Mr Right au afu huyo mdada wa pili alovaa nyeusi kabana nywele c ndo alimvhukulia shoga ake mume na akasema mwenzie anamapungufu asa yy leo kawaje single hahahahhaaa
Unachokosea mr uk ni kwamba unatengeneza vitu vyako afu unawarudia wadd 😂😂😂😂😂 hutatoboa mdogo mdogo utapoteza mashabiki. Yani umeboa kinyama tafuta ata wadd wengine @mruky
Add some sound effects kamuziki iv....mtu akichambwa weka hii misemo ya kibongo..like bado hujasema😂😂 as background noise......show imepooza but ukiongeza creativity itakua poa wabongo tunapenda mashamsham...ila show kuanzia inaanza imepooza....
Hebu tuelezee vzr mbn hao wadada baadhi tushawaon kwenye video zako Zach nyuma walikuwa wanagombania mwanaume?sasa imekuaje upo nao ten au ndo unawatafutia mume😂
Kuiga content tu😂😂🙌🙌 iz boring ongeza creative sio kuchukua kitu kama kilivo....kaangalieni hunt game show ya wanaijeria hosted by nons miraji ndo utajua watu wanafanya.....ila hongera ndo umeanza ongeza creativity
Wadada tunapenda kujicholesha mweeeeeee😂😂😂😂😂 nendeni kansan kuna wakaka wazur sana..
Hivi kweli hao wapo serious kutafuta bwana au ni challenge tu 😂😂
Mr uky bora idea hiii iko poa kuliko ile ya kufumania watu ukapigwa bureeee big up bro❤
Music is therapy ❤😊
Kujimaliza kote wamekataliwa daaaa 😂😂😂😂😂
Huyo dada wa pili 😢😢 au macho yangu jamaniiii siyo aliechukua bwana wa rafiki yake😅😅
Ndoo yeye😅
Makubwa hii n hello Mr Right au afu huyo mdada wa pili alovaa nyeusi kabana nywele c ndo alimvhukulia shoga ake mume na akasema mwenzie anamapungufu asa yy leo kawaje single hahahahhaaa
Ndo uyo hapa huhongo mtupu
Ndio
Mbn huyo wa pili yupo Tena apo au ameachika na kuiba kote mume wa rafik yake😂😂😂
wanatuigizia 😅
Kumbe tunamjua wengi e
Wapo kikazi zaidi wahongo
😂😂😂watu mnakumbukumbu
Waliachwa wote😂😂
Mr right ya kujitegemea
Kipind nmekielewa 🎉🎉🎉🎉 lakn iwenikweli c cha act😂
Mbona kam wote nawajua had sania yp 😊😊
Hatuji tena😂😂😂😂😅
Wa bili leo . Congo 🇨🇩
Hum Congo 🇨🇩🇨🇩 awata tobowa Congo 😂😂😂
Sania sania sania ludi kwenye housegerl
Awa wa dada wanataka kudangaywa n'a muonekano mzuri 😂😂😂😂😂
Jmn mbn kama namuona rafiki Ake kendi wa house girl
Ni yeye Sania
😂😂😂😂yan nilidhan nimemfananisha
na wifi yake zuu namuona
😅😅😅me naona wamemuelewa vibaya wivu ni sawa lakin kuna ule wakukera 😂😂
Mr uk unadanganya sana mbona wao wa dada ndio wale walikuwa kwenye kugombania wanaume
Jamani humu nakuona Sania wa tamthiliya ya house girl 😊
Hawa wadada wawili wamecheza movie ya house girl
Uyo dada mwenye wigi ye mwenyew mfupi alafu kakataa mfupi😂😂
Wanawake wenyeww😂😂😂😂
Ww mr uky ndio umemuinfluence apasue yote 🤣🤣
Mmeona muige challenge za wenzenu sasa uko nje 😂😂😂😂😂
Mr Uky hao dadaz wanatafuta wenza au ni comedy tu
Munanawazalisha wanawake sana
Bora kiredio huyu ni muhongo
😂😂😂😂😂 Tanzania 🙌🙌🙌
Saf sana ❤
Unachokosea mr uk ni kwamba unatengeneza vitu vyako afu unawarudia wadd 😂😂😂😂😂 hutatoboa mdogo mdogo utapoteza mashabiki. Yani umeboa kinyama tafuta ata wadd wengine @mruky
Yaan ulivyoongea kwa hisia kama vile ww ndie best contect creator kumbe mshamba mmja tu wabongo kwann hatupendi maendeleo ya watu 😂😂😂😂😂
Kama hayupo nipo hapa me😅😅😅😅😅😅
Add some sound effects kamuziki iv....mtu akichambwa weka hii misemo ya kibongo..like bado hujasema😂😂 as background noise......show imepooza but ukiongeza creativity itakua poa wabongo tunapenda mashamsham...ila show kuanzia inaanza imepooza....
Wakaka wanaovaaa vitambaa vichwan wakina kev maraya atar😂
Hawa wadada mbona Kama NI walewale
Ni wareware kuna Sula nimemkumbuka nakwambia bongo wamekua na mbinu nyingi za utafutaji
Huyo mwenye nyeusi tapeli tu
Jmn jmn n jmn huy kaka nimuongo hiv vitu vyake ni maigozo anatuchosh
😂😂😂😂😂 mwmba yuko vzr
Mbona kams ni mr right ya kienyej hii😂😂😂😂😂
Ivi Mr Right imeishya wap
Shania na mwenzie
Mmeumbuka punguzen kujiuza kwenye camera
Nipenda ulivyojibu
Dah! Ndio tumefikia hapo sasahv tunakosa soko sasa tuna jinadisha namna hii😢😢😢😢😢 aibu naona mimi
Huyu dada wa pli namkumbuka ali chkuwa jamaa wa rafki yake
Mbn sasa kma umalya unakosea Mzee baba yamekua haya keeli
🔥🔥🙌🌟
Hii kali ss kuliko zile za kugombanisha😂😂😂
Kuabishana uko
Mmh
Hebu tuelezee vzr mbn hao wadada baadhi tushawaon kwenye video zako Zach nyuma walikuwa wanagombania mwanaume?sasa imekuaje upo nao ten au ndo unawatafutia mume😂
Zile video sio kweli ni za kutengeneza tu
Mwanangu tunakupenda tunaenjoy lakini umezinguaaa kinomaa aniiii
Mbona hao mademu wote hapo si ndo wale walikua wanafanyiwa interview za kugombania wapenzi🙄🙄 kumbe zile video zote za kutengeneza 😢😢 ok now I know
Uyu jamaa anazngua bn 😡 kumbe zile zote zlikua zakutengemeza😏🚮🚮
Umeonaaeeh hainogi tena,
Poleni km mlikuwa hamjui
@@bhokesaid3264 tumepoa ila hatuji kuangalia Tena😆na tunaanza kum unsubscribe sisi🤒
Kapoteza ubora uyo kumbe challenge zote ni maigizo
Umalaya style nyingne hii
Yaani J2 angechagua ningemchamba kwakweli ujanja mwingi achukue ao awaaapi wabaya wote jamni
Miaka 23 hyo jamaa 😂😂😂😂
inaweza ikawa nisawa 23 kwasasa huo nimwili2
Tumeshakuwa wanawake kama nyanya tunachakuliwa tuu
Ni wale wale jmn
Wa Kwanza Leo
Sania sania rudi busati
Sawaa wadauu😊🎉🎉
Bora ya kiredio huyu mfyuuu
Mbona miaka mindogo kuliko muhonekano wake jamani.
Hapo uongo kabisa labda angesrma 28
Kujishusha thamani m sitaki😢😂
Hawa wadada wote umefanya nao challenge na walikuwa na wapenzi wao so hapa wanatafuta nini?
Punguza basi
Huyu jamaa nimuongo bola kiredioa ase kuliko mr uk
Amezidi huyu
Ko mnatengenezaga video man hawa wote video zao tushaziona
😅😅😅😅😅
Ushanikosa
Uzee wote miaka 23 😂
nkajua nashangaa mwenyewe😂😂😂
Duuh
Saniaaa😂
Et Anamiaka 23
Nilijua tu kuwa unafanya michongo tu hizi video kuongea na wadada, kama kweli vile.
Sijapenda napenda iwe unafanya kiuhalisia kabisa.
Miaka 23 😂😂😂
😅😅😅miaka 23
😳😳🙆♀️
😂😂😂
😅😅😅😅😢😢😢😢🎉🎉🎉
Miaka 23?????
Au nimesikia vibaya😢
Miaka 23 ?? Au mi ndio sijasikia
Hahaha yan mm mwenyew sijamuelewa ..miaka 23?? Au 33? Hivi mpk wanaume waongo wamiaka??? Halion hata aibu zee zima
Daah miaka 23 mbona mzee
😂😂😂😂😂
😂😂😂@@esterpaul5856
Kuiga content tu😂😂🙌🙌 iz boring ongeza creative sio kuchukua kitu kama kilivo....kaangalieni hunt game show ya wanaijeria hosted by nons miraji ndo utajua watu wanafanya.....ila hongera ndo umeanza ongeza creativity
Mr uky bora idea hiii iko poa kuliko ile ya kufumania watu ukapigwa bureeee big up bro❤
Sania sania rudi busati