Singida Big Stars 1-2 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 08/10/2023
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Simba SC imeendeleza ushindi katika mchezo wa tano mfululizo, ikiitandika Singida Big Stars mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Liti, mkoani Singida.
Magoli ya Simba yametoka kwa Saidi ntibazonkiza dakika ya 26 na Moses Phiri dakika ya 83 huku goli la Singida likitokea kwa Deus Kaseke dakika ya 52.
Wa kwanza leo. Naomba like zangu
Iyo inaitwa bunduki ya Ntibazong 🔥🔥💪❤
Unyama ni mwingi mnyama 💪🔥
daah ii dunia leo beno kama hautujui ...ila amekubali🦁🦁🦁🦁
Ugali kaka😂😂😂.beno analinda ugali
😂😂😂
Beno kamuombe raaz kapom be
😂,😂😂
Umenichekesha kweli
Asante mungu Kwa ushind wa leo
Wapili leo ctaomba like kwa leo😂
Kam singid wamefungik vzr hv cdhan Kam Kuna mtu atatok xalammbele yetu
Wakwanza leooo unyamaa ni mwingi 🦁🦁
This is simba sio hao wabadilisha Jina kila mwaka Jina jipya😂😂
Na Bado hamjasema nyinyi Yanga mpira ulikuwa unashikwa nje ya box unawekwa penat Kwa sabb tumewafunga wadogo zenu ndio midomo juuuuuuu
Duuh Ila SAIDOO bwanaa jamaa linazeeka na talent matata kabisa
Marefa wa bongo sahauni kuchezesha game za caf
Swadakta
Alhmdhulillah
@ Azam tunaomba muwe mnaweka video za mpira ndefu kama zaman sasa saiv video dakka 8 Au 4 Hazinogi bora dakka 40 Au 38
Mbona sioni Onana? Wapi yupo?
Huyu kibu Denis huyu
Hii team ina waxhamba wengi jaman bondi ya ligi kuna siri ngani hapa kila mechi za hawa mabwana wamzi wanakuwa mademu tu why????
bondi gani tena
Mwamuz katudanganya mnooo doo
Ww umeona goli tu hata ile ya Kibu ilikuwa Red card Kwa sabb alikuwa mtu wa mwisho abebwae hujikaza
Fair Game
Jamani che maline mtu na nusu
Ipo siku hawa marefa uchwara watapigwa uwanjani na wachezaji
Jaman azam tuoneshen robat akishangiria❤❤😂😂😂
🦁🦁🦁
Goli la pili la Simba ni offside 😢😢 goli la singida lilokataliwa halikuwa offside 😢😢
mh nini maana ya offside jaman mbona watu hawajui mpira tena wana yanga wao ni ofside ofside hujui bana mjinga wew
Angalia vizur kabla mpila aujafik kwa gadier mfungaj alikuw wap
Hamna offside pale mabeki walishaiua simba wakubebwa tu
Check vizuri sheria mpya ya offside...Ile ni clear offside...
Mjinga wewe ndiyo maana hata hapo kwenye picture yako ume save hao wadudu na ndiyo maana akili yako ni mbovu.
Yanga wanaogopa sana
Mpenz mtazamaji sema Unaumia ukiwa wap
Ujinga ni kila ichezapo Simba wanao lalamika ni yanga DAAAH😂
Migisson Janna akawakela washabiki wasimba kukosa goli lawazi kbx
Dah mpira wa leo vichekesho lefa na washika vibendela wote ushabiki wa simba umewajaa
Bado hamjasema yani mpaka mseme
Mpaka mseme na mtasema tuu
uyu kibu anawalambisha nyasi tu😂😂😂😂😂😂
Papatu papatu Fc kwa mbinde
Mh,,malefa wa nchi yetu tuwazoee tu
Bado hujasema
mtangazaji kufananisha mpira ulopigwa na mchezaji sawa na kombora la hamas ni kukosea,huko hamas kuna watu wengi wanakufa ,inaweza kudhaniwa kwamba tunachukuliwa utani.Japo ni katika kufurahisha
Kawape mjinga mmoja weye
Duuu huyu miqson sio ofside
Mbili Moya
Hata mkimfungia refa ndio nn sasa na matokeo nayo mbona hamuyatengui🤣🤣 timu hizi mbili bana 😭😭
Ila mm ni Simba goli la big stars ni halali tufurah tu😢
Yani hapo bado mpk mseme
Uko sawa naungana naww ni gol kabisa sema tu mkubwa hakosi kupewa heshima hata kama anaelekea kudharilika
Mnaumia mkiwa wapiiii😅😂😂😂
Kachezesheni mpira nyinyi basi mnaojuaa 😂😂😂😂😂
@@AyubuNgubibado hamjasema na mtasema
Utopolo wewe acha zako tumeshinda usijiite simba na wewe ni Utopolo this is simba😊
Haya Yatakwisha Tuu.
Refa anaibeba timu mpaka anaonyesha live
TIMU GAN IMEBEBWA HAPO SIMBA KAONEWA TENA
Kipindi ukibebwa domo unalifunga
Ujinga mtupuuu.... offside ya mchongo 😡😡
Jirekebisheni
Jirekebishe wewe Kwa kurejea video vizuri... Wakati mpira unapigwa kichwa mfungaji alikua wapi...halafu pitia sheria inasemaje???
Hawa waamuzi itabidi madunduka wafanye kila linalowezena kuhakikisha kwamba wote wanachezesha mechi yao na El Ahaly -- wakifanywa hivyo ninahakika mambo yao yatawanyookea,vinginevyo ! Niko paleee ! ! !
Ukiangalia miguu ya straika wa singida fountain gate utagundua kitu maan mwili wake na beki wa mwisho vipo Sawa lakini kitendo cha kutanua miguu Tu mguu wake wa kulia umeingia offside kama unajua unajua tu
Hakuna offside anaweka offside wanawake bana
Hakuna refa humo, goli la halali la singida limekataliwa
GOLI LA PILI LA SINGIDA ALIYEZIDI NANI PALE😢😮🤦MADUNDUKA KILA MECHI YENU TUKIO TU...MPIRA PAPATU PAPATU MPAKA MAGOLI NAYO😂😂😂
HAWA MAREFA LABDA TUKIWA WENYEJI WA AFCON HIYO 2027 WAFANYWE BALL BOYS
Singida wamepokwa goli halali na kuwatoa mchezoni.
Bado hamjasema mpaka mseme
@@EzzyEddy-il3ce WEWE MUIMBA TAARABU NA MVAA VIJORA, SIO MSHABIKI WA MPIRA.
WEW NDO MUIMBA TAARABU ILI MUONE MPIRA NI HALALI MNATAKA SIMBA APOTEZE KISA YANGA YUPO NYUMA LAKINI MPIRA HAUPO HIVO SINGIDA WAMEFUNGWA MPIRA HALALI KABISAAA ACHA WENGE KAA UKISUBIRI DAWA IKUINGIE@@googleus4903
Ushabiki bila kujua mpira na sheria zake ni hatari sana offside ya wazi kabisa Utopolo mailalamikia... Kweli mpira Sayansi....
Refa pumbavu kbs mtu anakatwa unaona watu wanalalamika unawapa card hovyo kbs
Wazee wa papatu papatu Fc (simba) ushind kwa mbinde na mbeleko
Ndo tunaipenda hyo papatu halafu tunashinda 😊
Msipanik watani ni utani wa jadi tu mungu azisaidie timu zetu za Tanzania simba na Yanga zifanye vzr mashindano ya kimataifa Amiin
Mungu azijaalie Timu zetu zote za Tanzania simba na Yanga zifanye vzr mashindano ya kimataifa Amiin
YANGA HAKUNA VIZURI ATAKAO UFANYA NI KUFUNGWA IN AND OUT THEN BYEE@@tawakalimankasim82
Na bado😂
Huyu muamuzi anastahili kufungia hapa offside pale
Refa huyu mama sijawahi kumuamini
Kamfunge mkeo
Mpira burudani umerudi
Ingekuwa ni Yanga ndio kabebwa hivi ingekuwaje c Refa hata angefukuzwa kazi ila mh
NANI KABEBWA BOYA WEW HUJUI MPIRA
Hakuna timu ambayo hainufaiki na makosa ya marefa iwe tanzania au wapi ... Wakati wa timu yako kubebwa na marefa utafika na utakaa kimya
Simba wame nyimwa penat
Afu hata haizungumziwi
Hayo hawayasemi na yule mchezaji alitakiwa kadi nyekundu
@@kuholakalani2472mnapenda kadi nyekundu kwa wenzenu eh
Mshamba tu uyooo😅😅😅😅😅saidoo tena
Tumzifunga Tim mbili watani na madogo Yao Leo walisubiria Simba afungwe
😂😂😂😂
Ukiangalia hii highlight utajua wazi aliyeiandaa ni mpenzi wa simba amejitahidi kutoweka camera zinazoonesha matukio yenye utata kwa uwazi na ameyafanya yasijulikane anadhani hatukuona mechi😂
Mm sielewagi kwann Simba walimuuza beno
Endelea kujiuliza wenzio tunachanga mbuga
Tumewakosa za kutosha wallah
Sema makolo kwa mbeleko hamjambo
Kwani mpira kachezesha kachezesha nani
Njoo naww ubebw
Ihefu ndo kiboko yako kunguru wewe
Bado ujasema utopolo.jaman Simba rahaaaa
Kibu ni mashine
Ningefurahi sana kama ningepata mchambuzi anaefahau mpira vilivyo anieleweshe hiyo offside ya singida maana mpira una mambo mengi
Hakuna offside apo mdg wangu
Penalty walionyimwa Simba usisahau
Aina aja ya mchambuz angalia kabla mpila kumfikia gadier mfungaj alikuw wap utaerew
@@MarkSulle-yg5ltacha kudangany watu wew mpil kabla ujafik kwa gadiel mfungaj alisha zid acha kukalili
@@HuseinLamadhan ww tulia mpira unaojua labda niwa rede goli la wazi wamenyimwa singida refaree anapambania team yke ibaki kileleni only in bongo 😄 🤣
Huo uwanja duuh
😅😅😅
Kakolanya uwe unapunguza kimbele mbele wewe utailetea team matatizo one day ndiyo uonevu nimkubwa ila kuwa na subira
Kwa kweli ipo siku refa atapigwa sio kwa mpira huu unaochezeshwa kishamba hivi
@@Emmanuellobelo Simba washapoteza uelekeo badala warekebishe makosa wanayahalalisha subiri kimataifa tuone
Kumbe uto munaumia
Simba lost the match phiri goal was offside 😅 and the declined goal for Singida was a goal not offside 😮
Even though hujaona kuna maeneo tumeonewa?
BADO KICHINA SIO KINGEREZA TU
Sheria ya offside imeongezewa kipengele mtu aliyekua amezidi wakati mpira umepigwa Kwa mara ya kwnza halafu akavunja offside baada ya kuwa onside akanufaika na mpira ule hiyo ni clear offside
Bado hujasema,yaaaan mpk useme
Na bado utaongea hadi kimakonde
sf
Ll