Viongozi ACT Wazalendo Waungana na Wananchi Kuzuia Hujuma, Polisi Waingilia Kati
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- #MitaaYaWote #VijijiVyaWote #taifalawote #maslahiyawote #miezi10 #wanachamamilioni10 #actmedia #habarizauhakika #miezi10 #wanachamamilioni10 #actmedia #habari #habarileo
Hapa ndio nimeamini chadema na Act wanakubalika sana
Inashangaza ssna ccm imeshikilia dola lakini hawajiamini hadi waibe hahaahahaha😂😂
NI AIBU KUBWA😢😢
Rwanda na Burundi mambo yalianza hivi hivi baadaye yakajakua mauaji ya kimbali
CCM MUST GO ......
Welldone act, wapigeni ngumi
Kabisa yani no upuuzi mtupuu
Hamuwezi ccm kwenye zuluma hawo watu wa motoni tu
From 🇧🇮😂😂 tanzanian imekuwa uwanja wa vita😂😂kila sku matukio 😂😂kila sku😂😂
Kwani CCM MNANINI ASAAA
Lisemwalo lipo kwann walalamikiwe CCM kila kona ??
Dah Tanzania ilipofikia Sasa SI sehem salama Bora kwenda kuishi congo
Ubaya ubwela
UBAYA Ubweraaaa,Intembo iyamaka .Nakuona mzeee!
Nimeamini wananchi hawataki ccm ,Sasa Ina force.
Ukishaweka imani ya kuliwa daima utahisi unaliwa tu
Ubaya Ubwela
Msikubali Wakiwapiga Wapigeni
Kabisaa ubaya ubwela tu CCM niwasenge
Lkn kama hawmjui ni lazima wawakatae, kawaida mtu kiaminia kwenye mtaa lazima Akajitmbutishe kwa serikaliby mtaa, so kama hawamjui lazimabwawakatae
Ccm hawajawahi kupata kura za haki ndo maana matendo yao ya kishetani
Kama kujiandikisha ni hivi kwenye kupiga kura itakuaje mbona vurugu acheni vurugu uchaguzi uweze kwenda vzri
Someni mwongozo wa uchaguzi wa serikali za mitaa kuhusu taratibu za zote za uchaguzi, mbona upon na unafafanua mambo yote yanayohusu uchaguzi huu. Tunalalamika na kuanzisha migogoro ambayo majawabu yote yamo kwenye Mwongozo. Kufanya kinyume na mwongozo aka kanuni ni kosa.
CCM wanakila hila ya wizi kama wanajiamini c waache wananchi wachague wnyw
Ukiona hivyo ujue muda ambao hauna siku ccm inasepa
Wameanza sasa ndio zao
Cc niwaizeee kabisa
Msitumike vibaya
Wanatumikaje, tupe mfano na hoja
tuko pamoja mtu akikupiga Kofi na wewe unamurudishia hiyo ya kusubili eti uende kushitaki ni ujinga
Duu
..