Simba SC 2-1 Ihefu SC | Highlights | NBC Premier League 28/10/2023
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Simba SC imepata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu SC, mchezo wa ligi kuu ya NBC ulipigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Simba imetangulia kwa goli la Jean Baleke dakika ya 13 lakini Ihefu wakachomoa dakika ya 25 kupitia kwa Ismail Mgunda na 'super sub, Moses Phiri akatia kitu cha pili dakika ya 65.
Tazama highlights..... - Спорт
Simba timu yangu naomba mungu kama ilipangwa mtalichukua kombe namlichukue haijarishi kuwa eti hamko vizur ❤❤
#simbanguvumoja. Phiri na miquissone 🔥
Ali Salim ni kipa mzuri, sana ila safu ya ulinzi ya Simba inamuangusha kwakweli 😮
Tatizo ni kipa we subiri Manula arudi utanielewa
Mungu ibariki simba
safi sana chama langu simba❤
Saidoo anajituma lakini tatizo lake Hana control ya mpira 😭😭 amekosa nafasi za wazi kabisa Kwa tatizo ilo inabidi amfate shabalala amuelekezeee
Tunahitaji saluti zaidi, photo aanze kila mechi
Kocha wamakipa anakazi yakufanya anatema mipira mbele ya Adui🤔🤔
Chama Luis phiri wawe kwenye first eleven na chama kufanyiwa sab ni kuchemsha.
Huyu mchezaji wa Simba beki Patrick Mwenda ambae hivi karibu hadi alijumlishwa kikosi cha timu ya taifa, kwanini hapewi hapewi nafasi hata mara mmoja angalau kulinda uwezo wake ambao ni mkubwa
Kocha awe ana mpa nafasi phiri
Ndio hizo nafasi anazopewa Phiri na kocha au wewe ulitaka apewe nafasi gani??..ya kufundisha au.??😅
@@rockygappi1018 uyo striker ni level ya kua regular starter sio wa dakika 20 za mwisho… toa kibu au saido tia phiri
@@marlonstudios4408 ...kwa level ipi ya u-kocha uliyonayo??
Kama huna elimu yoyote ya mpira kaa kimya.. you've got no rights to decide who to play and who's not to play..
Kibu alisemwa saana.. lakini leo hii ndio anaongoza kwa kushambulia,speed,nguvu,kukaba na kuwa na high level of spirit
🔥🔥🔥
Moses Phiri sio wa kukaa bench!!!!!
Asikae benchi kwani yeye nani??baleke mwenyewe na hata Chama wanakaa benchi..labda we mwenzetu ni kocha zaidi ya Robertinho 🤔
Hii game SAIDOO kayeyushaaa
Beki ya simba mbovu
First touch za SAIDO ni terrible kabisa 😢
Mosesi siyo wakuanzia benchi
❤vipi
Wa ihefuu anajiamini anatojatoka golin bila hat mpnglio
Aweeee phiri nlimis kuona akifunga asa kocha ajifunze tarehe 5 aanze nzee wa salut
Beki line bado inatuangusha inaruhusu magoli ovyo
Wanachama wa Simba sport club wot tupange first 11 Ili wajue kama Nas tunawez PATA matokeo shid young kator kapombe husen chemarone inonga fabis mzamilu baleke chama kib Fili hapo cjui kama watatok
Kwampira huu.Simba ajiandae kipigo akienda kwao.
Kenya tutawahi fika uku kweli
haa why!?
SAIDO KUNA MECHI NYINGI TU ANAPOTEZA SANA MIPIRA PIA ANAKOSA CLEAR CHANCES....LAKIN MAKOCHA HAWALIONI HILO...HUYO SAIDO PIA KACHANGIA SIMBA KUPATA TABU DHIDI YA POWER DYNAMOS
kama ww ni mtu wa mpira tafuta kazi yake Saido ndio utajuwa kwann hatolewi
Simba bado tutasubiri sana kuupata ubigwa maana bado hutuna mshambuliaji wa maana
Hacha ushoga wewe kunguni wa njano!roho inawauma bwana wenu amepapaswa
Wee zombi hujui Simba la masimba
Una tombwa
Acha vichekesho,baleke na phiri sio washambuliaji
Huyu kicha uzee unamchanganya, kinachomfanya amnyime nafasi Philri na kumuamini bocco hasa nini? Bora aondoke yeye phiri abaki
Eti hata mim mwenyew nashangaa kaka!! nina wasiwasi na huyu kocha!
Kabisa mkuu yaani mimi naamini ktk zile gemu na Al ahly laiti Moses angecheza alau kipindi kimoja basi angeweza kufanya kitu.
unyama niwingi 2:58
p
Matoleo toeni sadaka😊😊 udambwiudambwi wa penja
Huyu kipa masihara hayo Holi la kwanza
Azam mnatukosea sana...mechi ioneshwe azam sports highlights zije utv.... sasa ndo mnataka tusubscribe kila channel??... basi fanyeni na mechi za ligi kuu zioneshwe utv AU ndo hasira za kupigwa na Yanga...na kwa taarifa Yenu ubingwa sahauni sio mwaka huu mwakani au mwaka keshokutwa..hamuupati😂
Hahahahaa hime yakununua kabisa
Bravalllllllllllll🤪🤪🤪🤪🤪🤪😶😶😶😶
Sisi Simba ndo zeu kutoboa chupi la chuma
Pira Maokoto😂😂😂
Utajua mwenyewe 😂😂
Utajiju
Na lazm cmb ichukue ubngea
Wamekosa meng simba
Alafu boko apumzike
ihefu lazima washuke daraja wanajifanya wajuaji Kwa yanga
Huyu Salim anafungwa kwa uzembe tu
Anafungwa kwa uzembe!??🙄Dada mpira hauuwezi bora ubaki kwenye marede!
@@adaboychibu1659 we kenge hebu fuata yako usinipangie ,we changia kivyako sio kuinipangia
@@adaboychibu1659 we toa maoni yako sio kunizuia mm kuongea umenichangia mb , Tena ukome
@@adaboychibu1659 eti marede fisi wewe, kazi kudandia ishu za watuu tu sijui unawashwa nini
Wee zombi
Maokoto fc😅
Unyama mwingi
Moses aanze kila mechi
Simba timu yangu naomba mungu kama ilipangwa mtalichukua kombe namlichukue haijarishi kuwa eti hamko vizur ❤❤
Kwampira huu.Simba ajiandae kipigo akienda kwao.
Hongera kwa unajimu wako..kwa nini usiweke tangazo kuwa wewe ni mtabiri na mnajimu??😆😆
Usiwe na mawazo mgando.. kumbuka benchi la ufundi lilijua kuwa wana mechi na Yanga na hawakutaka kumpa picha kamili kocha wa upinzani na alikuwepo jukwaani