🔴

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 93

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 2 місяці тому +9

    Nimemuelewa Isha....she is straight and mature...too bad alidate na Gen Z🔥🔥.....I approve her decision.

  • @nurumasha
    @nurumasha 2 місяці тому +2

    Isha namuelewa sana ❤

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 2 місяці тому

    I love this woman Isha,and understands her well,Ma dear sister if he regretted after what happened and asks for your forgiveness ,please forgive him am sure he will change whatever happened.No one is perfect but if he will do it again then there will never be forgiveness there.

  • @hameezhami7795
    @hameezhami7795 2 місяці тому +1

    Majina ya aisha ni balaa..mm namuelewa isha..anataka mtu mwenye kueleweka .anawivu.hataki mrukaji hovyo .ndivyo mm nilivyo..anaumia sana halafu ss kina aisha kitu kikikaa rohoni kutoka ni kazi

  • @LadyMzana
    @LadyMzana 2 місяці тому

    Dida ana sauti nzuri ya kutangaza yani utangazaji, na sauti ya mahaba iliyojaa mapenzi tele, halafu anajua kuomba msamaha kimahaba na kushawishi wapenzi wasameheane, Nakupenda Dida wangu long time. Naomba Isha umsamehe mpenzi wako. Akirudia tena ndiyo udimsamehe tena. Lakini kwa kosa hili moja Msamehe bwana.

  • @keyla3641
    @keyla3641 2 місяці тому

    Nimependa aziza

  • @GraceUrassa-i8s
    @GraceUrassa-i8s 2 місяці тому

    Aisha nakupenda sana mamii

  • @QUEENBEEOG
    @QUEENBEEOG 2 місяці тому +1

    Msamehee😢😢😢 dada isha msamehee nime lia jamani kusikia sauti ya huruma msamehe dada

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 2 місяці тому +1

    Dada isha msamehee bn mlipendezana sanaaa

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be 2 місяці тому +2

    Kiwqngp cha hasira ya Isha ndio mara 2 ya upendo alonao kwa huyo mwanaume, anampenda sana mpaka kufika hapo moyo kuchoka ni mlimbikizo wa makosa! Ila Isha bado samehe! Hakuna mkamilifu

  • @azizaali687
    @azizaali687 2 місяці тому

    Kina aziza mashallah tumeumbika

  • @leonardkaduma
    @leonardkaduma 2 місяці тому +1

    Kijana mdogo mshangazi umemchanganya dida

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 2 місяці тому

    Isha me nakuelewa sana tu ila mswamehe tu kipenzi kila mwanadamu hajatimia

  • @fatumadicram5420
    @fatumadicram5420 2 місяці тому

    Isha msamehe kaka

  • @faresaass1560
    @faresaass1560 2 місяці тому +2

    Aisha anaogea vizuri jamaa tapeli aishacwewe muimbaji maarufu na mzuri sanaaa achana na tapeli

  • @AshaMwamba-i7g
    @AshaMwamba-i7g 18 днів тому

    😢😢😢😢😢

  • @SuleimanMachano-t3z
    @SuleimanMachano-t3z 2 місяці тому

    Mtihani Isha macho yameona wengi lakini hayakuamuwa mm kumpenda yy kipo kilo mvutia msamehe Isha mkaka wa faida huyo

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 2 місяці тому +1

    Isha msamehe😢

  • @MARIAMMWAMSEMA
    @MARIAMMWAMSEMA 2 місяці тому

    Mi ni mkenya lakini nakwabia isha msamee waume awaombi msamaa msameeh nakwabia kwa sasa atakua wako pekeako atakuesjimu kuliko kutafuta meegine akutende tena😊

  • @youthchanel8612
    @youthchanel8612 2 місяці тому

    Hyo kaka mstaarabu kuomba msamaha wenzio wanafurahia mmeachana

  • @oyay2821
    @oyay2821 2 місяці тому

    Huyu Aziza, Diamond asimuone

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 2 місяці тому

    Isha kagoma kuzeeka😂❤

  • @QUEENBEEOG
    @QUEENBEEOG 2 місяці тому

    Dada msamehee sasa 😢😢 tu akirudia tu tuta muacha 😢😢

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 місяці тому +1

    Ila kijana ulikubali kula bure ungefuata tu mashart ya mshangazi

  • @SADABEJA
    @SADABEJA Місяць тому

    Isha,msamee.ila fuaten utaratbu mfnge ndoa.uyu kjana alkua anatest km atakbluza yaan utababaika nae .ilo nifundsho kw wanaume wote,heshmun wanawake.km pesa kla mtu anajuakutafuta.ishah msamee saaaana huyu kjana.

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 2 місяці тому

    Isha wivuuu tu bn msamehee

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 місяці тому

    Do sorry me tz ndio nchi pekee wanajiona kuweza kuongea broken English 😢😂🤣🤣🤣

  • @pyraxme
    @pyraxme 2 місяці тому

    Isha msamehe hakuna mkamillifu

  • @susans4490
    @susans4490 2 місяці тому

    Somo gani unaanika mambo hadharani

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 2 місяці тому

    Nimeelewa point ya qwanini uluhusu mtu quongea zaidi na wewe y usiblock inamaana unampango wowote juu ya huyo mtu ,, vzr sana iqitoqea amesamehewa anataqiwa qujifunza

  • @FaniaHassani
    @FaniaHassani 2 місяці тому

    Dada isha msamehe shemeji please mimi namuombea msamaha

    • @RajabuHayyan
      @RajabuHayyan 2 місяці тому

      Mkurya yule 😅😅😅😅😅😅 tempa ipo juu

  • @AzizaSalim-n2q
    @AzizaSalim-n2q 2 місяці тому

    Jipeni muda tu, mambo yatakaa sw, kila mmoja wenu anampenda mwenzake...

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 2 місяці тому

    Isha anafunda maharusi lakini

  • @Patrick-c2g
    @Patrick-c2g 2 місяці тому

    Www mh hata hunogi

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 2 місяці тому +1

    Ishaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @dullah-f7p
    @dullah-f7p 2 місяці тому

    jike la simba ww akuwezi mwanaume yoyote

  • @InessKoku
    @InessKoku 2 місяці тому

    Msamehe jmn

  • @mwatummselem2411
    @mwatummselem2411 2 місяці тому

    Asha mwanangu nakuombauridiyane nae tena kashatiya adabu

  • @SHUKURUMahiki
    @SHUKURUMahiki 2 місяці тому

    Subiri malaika toka mbinguni

  • @AsmaAlly-m9i
    @AsmaAlly-m9i 2 місяці тому

    Adi natamaniii kuliaaaa ishaaa

  • @Patrick-c2g
    @Patrick-c2g 2 місяці тому

    😅😂😂😂😂😂Mbona roja anakondraaa??

  • @Patrick-c2g
    @Patrick-c2g 2 місяці тому

    Ww aisha unajikuta nani mkak wwatu asiche na

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 2 місяці тому

    Usimsamehe kwanza mnyooshe ashike adabu

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 2 місяці тому

    Yaleyale ya Shishi,Vijana tafuteni hela msipende mtelemko,Dar to Mbeya kuna mlima kitonga

  • @sakinabudi
    @sakinabudi 2 місяці тому

    Ira da dida heti Aisha unaitwa baby😂😂

  • @giztony2009
    @giztony2009 2 місяці тому

    Huwa nashangaa dida anavoshadadia mahusiano ya watu wakati yy kila cku anaachika

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 2 місяці тому

    Anavyojishaua huyo isha utasema ana tako😂

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂

    • @x7hia
      @x7hia 2 місяці тому

      Weye mwenye tako tukuone upendwe kama ndo umeona kigezo 😂

  • @SamattaanMwasangama
    @SamattaanMwasangama 2 місяці тому

    Msamehe bwanaa kutenda kosa sio kosa da isha 😂😂😂

  • @faresaass1560
    @faresaass1560 2 місяці тому +1

    Aisha anatakiwa kupendwa sio kupigwa wala kuguswa ni kupendwa baas

  • @ScolaNalle
    @ScolaNalle 2 місяці тому

    Don't sorry me😂😂😂😂😂😂

  • @Patrick-c2g
    @Patrick-c2g 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 2 місяці тому

    Do sorry me 😂😂😂nimecheka

  • @caesar7745
    @caesar7745 2 місяці тому

    Wanawake waongo sana yani wanaume wote waliomtaka kawakataa. Lol wanafanya halafu wanajificha ila akikufumania atapigia simu ndugu wote mpaka dunia yote ijue. Mwanaume ukipata chance ya kucheat hata usiiachie. Utakuja kujuta

    • @fedmiradaf3141
      @fedmiradaf3141 2 місяці тому +1

      Nyoko ww ungesema baadhi ya wanawake cyo wanawake waongo kwa hyo hata mama yako anaingia kwenye huo mkumbo

    • @rahiyayousaf3093
      @rahiyayousaf3093 2 місяці тому

      😅😅

  • @sumaiyayunus5288
    @sumaiyayunus5288 2 місяці тому

    😅😂😂😂Mbona rojakisi anakondraaa??

  • @TheodosiaTheobald
    @TheodosiaTheobald 2 місяці тому

    😅😅😅 ila dida

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 2 місяці тому

    Sijaona tatizo.kubwa hapo kuachana kiivyo.,kwanza hakuna mwanume.mkamilifu pia hata wewe da aisha una mapubgufuy ako.utamaliza wanaume.,kungwi gan.sasa hauna subra😅

    • @zuhuranasoro8923
      @zuhuranasoro8923 2 місяці тому

      Lakin si amesema kua sababu sio hio tu? Aisha ana mengi ya moyoni😢

  • @dullah-f7p
    @dullah-f7p 2 місяці тому

    piga kazi acha umarioo kuma ww wanawake wengi

  • @AshuraRabana
    @AshuraRabana 2 місяці тому +2

    ww aisha unajikuta nani mkak wwatu asiche na mtu ww chupi limekubana khaaa km umemzaaa www mh hata hunogi

  • @zaherashamte1058
    @zaherashamte1058 2 місяці тому

    Jamn mapenz hay mmmh ila mabango anatia huruma sana msamehe bhan

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 місяці тому

    Dida bwana kajisemea Doto Magari mahusiano yako kila leo unayavunja lkn ya wenzio ww ndy msuluhishaji tena mnaikaribisha Zinaa kabisa kwakuiombea msamaha Astaghafilullah Mungu tuhurumie waja wako tunaangamia kwakukosa maarifa

  • @faresaass1560
    @faresaass1560 2 місяці тому

    Mabango kama aisha amekusaidia kipesa mrudishie pesa zake

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂we kuwez

  • @FaniaHassani
    @FaniaHassani 2 місяці тому

    Mabango block hao wote wanaokutafuta wanataka kukuaribia tuu,kama unampebda isha kaa nae yeye tuuuuuuuuuu

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 2 місяці тому

    😂😂😂ebu msamehe hakuna mkamilifu basi alikuwa anatafuta sababu tu

  • @stellamiyombe6117
    @stellamiyombe6117 Місяць тому

    Lidada lizuri hili

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 2 місяці тому

    Don't sorry me is ha

  • @youthchanel8612
    @youthchanel8612 2 місяці тому

    Yaani wewe mimi kabsa

  • @Patrick-c2g
    @Patrick-c2g 2 місяці тому

    mtu ww chupi limekubana khaaa km umemzaaa

  • @MensaMdachi
    @MensaMdachi 2 місяці тому

    Mabango anarudi uyo usipate presha

  • @lynfredy
    @lynfredy 2 місяці тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka bwana mabango alivyotua mjengoni🤣

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂sema wakenya MUNGU tu

  • @MensaMdachi
    @MensaMdachi 2 місяці тому

    Mabango tulia anarudi uyo

  • @caesar7745
    @caesar7745 2 місяці тому

    Mwanaume akirudi kachelewa ikamue uone kama ina machozi

    • @lelaali8001
      @lelaali8001 2 місяці тому

      Zengine haziishi machozi hata zikamuliwe mara 100

  • @HalimaKapela
    @HalimaKapela 2 місяці тому

    Dida na isha ni the sem😂

  • @faresaass1560
    @faresaass1560 2 місяці тому

    Utapata mumewako wewe utapata inshaallah

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 2 місяці тому

    Wapekee yako shoga mpaka unazeeka humpati labda baba ako wewe msamehe tu muyamalize

    • @nusrathmanyawa4501
      @nusrathmanyawa4501 2 місяці тому

      Yaani hilo ndilo la muhimu maana hawa ndugu zetu wamejawa na tamaa

  • @jeremiamwankusye9260
    @jeremiamwankusye9260 2 місяці тому

    Aiseee!!!!
    Jamaa kapiga na magoti kabisa hadharani....
    Umejidhalilìsha wewe binafsi, wanaume sote, na wazazi wako...
    Ipo siku utatambua huu ufala ulioufanya leo....
    Alafu kwnn unaforce mapenzi!!!!!!
    We vp wewe...!!!!!???????
    Stupid & weak....

  • @hansmkumba3774
    @hansmkumba3774 2 місяці тому

    Tafuta hela mabango

  • @caesar7745
    @caesar7745 2 місяці тому

    Kungwi yamemkuta

  • @dullah-f7p
    @dullah-f7p 2 місяці тому

    jamaa lazima apagawe unavyompa mkundu kiufundi na unamuhudumia

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 2 місяці тому

      Ila jmn watu😂😂😂

    • @giztony2009
      @giztony2009 2 місяці тому

      Aise katika kitu sipendi kuingiza sehemu ya kutolea maviii aiseee

  • @mwanahkombo9496
    @mwanahkombo9496 2 місяці тому

    Isha msamehe😢