I love this woman Isha,and understands her well,Ma dear sister if he regretted after what happened and asks for your forgiveness ,please forgive him am sure he will change whatever happened.No one is perfect but if he will do it again then there will never be forgiveness there.
Majina ya aisha ni balaa..mm namuelewa isha..anataka mtu mwenye kueleweka .anawivu.hataki mrukaji hovyo .ndivyo mm nilivyo..anaumia sana halafu ss kina aisha kitu kikikaa rohoni kutoka ni kazi
Dida ana sauti nzuri ya kutangaza yani utangazaji, na sauti ya mahaba iliyojaa mapenzi tele, halafu anajua kuomba msamaha kimahaba na kushawishi wapenzi wasameheane, Nakupenda Dida wangu long time. Naomba Isha umsamehe mpenzi wako. Akirudia tena ndiyo udimsamehe tena. Lakini kwa kosa hili moja Msamehe bwana.
Kiwqngp cha hasira ya Isha ndio mara 2 ya upendo alonao kwa huyo mwanaume, anampenda sana mpaka kufika hapo moyo kuchoka ni mlimbikizo wa makosa! Ila Isha bado samehe! Hakuna mkamilifu
Mi ni mkenya lakini nakwabia isha msamee waume awaombi msamaa msameeh nakwabia kwa sasa atakua wako pekeako atakuesjimu kuliko kutafuta meegine akutende tena😊
Nimeelewa point ya qwanini uluhusu mtu quongea zaidi na wewe y usiblock inamaana unampango wowote juu ya huyo mtu ,, vzr sana iqitoqea amesamehewa anataqiwa qujifunza
Wanawake waongo sana yani wanaume wote waliomtaka kawakataa. Lol wanafanya halafu wanajificha ila akikufumania atapigia simu ndugu wote mpaka dunia yote ijue. Mwanaume ukipata chance ya kucheat hata usiiachie. Utakuja kujuta
Sijaona tatizo.kubwa hapo kuachana kiivyo.,kwanza hakuna mwanume.mkamilifu pia hata wewe da aisha una mapubgufuy ako.utamaliza wanaume.,kungwi gan.sasa hauna subra😅
Dida bwana kajisemea Doto Magari mahusiano yako kila leo unayavunja lkn ya wenzio ww ndy msuluhishaji tena mnaikaribisha Zinaa kabisa kwakuiombea msamaha Astaghafilullah Mungu tuhurumie waja wako tunaangamia kwakukosa maarifa
Nimemuelewa Isha....she is straight and mature...too bad alidate na Gen Z🔥🔥.....I approve her decision.
So do I, approved 😂
Isha namuelewa sana ❤
I love this woman Isha,and understands her well,Ma dear sister if he regretted after what happened and asks for your forgiveness ,please forgive him am sure he will change whatever happened.No one is perfect but if he will do it again then there will never be forgiveness there.
Majina ya aisha ni balaa..mm namuelewa isha..anataka mtu mwenye kueleweka .anawivu.hataki mrukaji hovyo .ndivyo mm nilivyo..anaumia sana halafu ss kina aisha kitu kikikaa rohoni kutoka ni kazi
Dida ana sauti nzuri ya kutangaza yani utangazaji, na sauti ya mahaba iliyojaa mapenzi tele, halafu anajua kuomba msamaha kimahaba na kushawishi wapenzi wasameheane, Nakupenda Dida wangu long time. Naomba Isha umsamehe mpenzi wako. Akirudia tena ndiyo udimsamehe tena. Lakini kwa kosa hili moja Msamehe bwana.
Nimependa aziza
Aisha nakupenda sana mamii
Msamehee😢😢😢 dada isha msamehee nime lia jamani kusikia sauti ya huruma msamehe dada
Dada isha msamehee bn mlipendezana sanaaa
Kiwqngp cha hasira ya Isha ndio mara 2 ya upendo alonao kwa huyo mwanaume, anampenda sana mpaka kufika hapo moyo kuchoka ni mlimbikizo wa makosa! Ila Isha bado samehe! Hakuna mkamilifu
Kina aziza mashallah tumeumbika
Kijana mdogo mshangazi umemchanganya dida
Isha me nakuelewa sana tu ila mswamehe tu kipenzi kila mwanadamu hajatimia
Isha msamehe kaka
Aisha anaogea vizuri jamaa tapeli aishacwewe muimbaji maarufu na mzuri sanaaa achana na tapeli
😢😢😢😢😢
Mtihani Isha macho yameona wengi lakini hayakuamuwa mm kumpenda yy kipo kilo mvutia msamehe Isha mkaka wa faida huyo
Isha msamehe😢
Mi ni mkenya lakini nakwabia isha msamee waume awaombi msamaa msameeh nakwabia kwa sasa atakua wako pekeako atakuesjimu kuliko kutafuta meegine akutende tena😊
Hyo kaka mstaarabu kuomba msamaha wenzio wanafurahia mmeachana
Huyu Aziza, Diamond asimuone
Isha kagoma kuzeeka😂❤
Dada msamehee sasa 😢😢 tu akirudia tu tuta muacha 😢😢
Ila kijana ulikubali kula bure ungefuata tu mashart ya mshangazi
Isha,msamee.ila fuaten utaratbu mfnge ndoa.uyu kjana alkua anatest km atakbluza yaan utababaika nae .ilo nifundsho kw wanaume wote,heshmun wanawake.km pesa kla mtu anajuakutafuta.ishah msamee saaaana huyu kjana.
Isha wivuuu tu bn msamehee
Do sorry me tz ndio nchi pekee wanajiona kuweza kuongea broken English 😢😂🤣🤣🤣
Isha msamehe hakuna mkamillifu
Somo gani unaanika mambo hadharani
Nimeelewa point ya qwanini uluhusu mtu quongea zaidi na wewe y usiblock inamaana unampango wowote juu ya huyo mtu ,, vzr sana iqitoqea amesamehewa anataqiwa qujifunza
Dada isha msamehe shemeji please mimi namuombea msamaha
Mkurya yule 😅😅😅😅😅😅 tempa ipo juu
Jipeni muda tu, mambo yatakaa sw, kila mmoja wenu anampenda mwenzake...
Isha anafunda maharusi lakini
Www mh hata hunogi
Ishaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
jike la simba ww akuwezi mwanaume yoyote
Msamehe jmn
Asha mwanangu nakuombauridiyane nae tena kashatiya adabu
Subiri malaika toka mbinguni
Adi natamaniii kuliaaaa ishaaa
😅😂😂😂😂😂Mbona roja anakondraaa??
Ww aisha unajikuta nani mkak wwatu asiche na
Usimsamehe kwanza mnyooshe ashike adabu
Yaleyale ya Shishi,Vijana tafuteni hela msipende mtelemko,Dar to Mbeya kuna mlima kitonga
Ira da dida heti Aisha unaitwa baby😂😂
Huwa nashangaa dida anavoshadadia mahusiano ya watu wakati yy kila cku anaachika
Anavyojishaua huyo isha utasema ana tako😂
😂😂😂😂😂😂
Weye mwenye tako tukuone upendwe kama ndo umeona kigezo 😂
Msamehe bwanaa kutenda kosa sio kosa da isha 😂😂😂
Aisha anatakiwa kupendwa sio kupigwa wala kuguswa ni kupendwa baas
Don't sorry me😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Do sorry me 😂😂😂nimecheka
Wanawake waongo sana yani wanaume wote waliomtaka kawakataa. Lol wanafanya halafu wanajificha ila akikufumania atapigia simu ndugu wote mpaka dunia yote ijue. Mwanaume ukipata chance ya kucheat hata usiiachie. Utakuja kujuta
Nyoko ww ungesema baadhi ya wanawake cyo wanawake waongo kwa hyo hata mama yako anaingia kwenye huo mkumbo
😅😅
😅😂😂😂Mbona rojakisi anakondraaa??
😅😅😅 ila dida
Sijaona tatizo.kubwa hapo kuachana kiivyo.,kwanza hakuna mwanume.mkamilifu pia hata wewe da aisha una mapubgufuy ako.utamaliza wanaume.,kungwi gan.sasa hauna subra😅
Lakin si amesema kua sababu sio hio tu? Aisha ana mengi ya moyoni😢
piga kazi acha umarioo kuma ww wanawake wengi
ww aisha unajikuta nani mkak wwatu asiche na mtu ww chupi limekubana khaaa km umemzaaa www mh hata hunogi
Kila mtu Ana mipaka yake
Jamn mapenz hay mmmh ila mabango anatia huruma sana msamehe bhan
Dida bwana kajisemea Doto Magari mahusiano yako kila leo unayavunja lkn ya wenzio ww ndy msuluhishaji tena mnaikaribisha Zinaa kabisa kwakuiombea msamaha Astaghafilullah Mungu tuhurumie waja wako tunaangamia kwakukosa maarifa
Mabango kama aisha amekusaidia kipesa mrudishie pesa zake
😂😂😂😂😂we kuwez
Mabango block hao wote wanaokutafuta wanataka kukuaribia tuu,kama unampebda isha kaa nae yeye tuuuuuuuuuu
😂😂😂ebu msamehe hakuna mkamilifu basi alikuwa anatafuta sababu tu
Lidada lizuri hili
Don't sorry me is ha
Yaani wewe mimi kabsa
mtu ww chupi limekubana khaaa km umemzaaa
Mabango anarudi uyo usipate presha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka bwana mabango alivyotua mjengoni🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂sema wakenya MUNGU tu
Mabango tulia anarudi uyo
Mwanaume akirudi kachelewa ikamue uone kama ina machozi
Zengine haziishi machozi hata zikamuliwe mara 100
Dida na isha ni the sem😂
Utapata mumewako wewe utapata inshaallah
Wapekee yako shoga mpaka unazeeka humpati labda baba ako wewe msamehe tu muyamalize
Yaani hilo ndilo la muhimu maana hawa ndugu zetu wamejawa na tamaa
Aiseee!!!!
Jamaa kapiga na magoti kabisa hadharani....
Umejidhalilìsha wewe binafsi, wanaume sote, na wazazi wako...
Ipo siku utatambua huu ufala ulioufanya leo....
Alafu kwnn unaforce mapenzi!!!!!!
We vp wewe...!!!!!???????
Stupid & weak....
Tafuta hela mabango
Kungwi yamemkuta
jamaa lazima apagawe unavyompa mkundu kiufundi na unamuhudumia
Ila jmn watu😂😂😂
Aise katika kitu sipendi kuingiza sehemu ya kutolea maviii aiseee
Isha msamehe😢