#EXCLUSIVE
Вставка
- Опубліковано 20 лип 2023
- #EXCLUSIVE: KONDAKTA MREMBO ANAYETREND KWENYE MITANDAO AFUNGUKA - "NILISIMAMISHWA KAZI KWA MIEZI 6"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Розваги
Karembo hadi Sauti inavutia unakitu Mrembo utafika mbali ❤️❤️🌷🌷🌷🌷🙏🙏🙏🙏
Mashallah, anaonekana Ana confidence, Mashallah Allah amuongoze bint uyu pamoja na mabint zetu inshallah 🙏
She is beautiful ,humble and very smart upstairs mungu akutangulie
Hongera sana dada Mungu akubariki sana na kukutia nguvu sana katika kazi yako
Huyu Dada yuko vizuri sana kichwani, Safi sana.
Kazuriiii kanafaa kua hostes. Ka baby face hudhani kasha maliza hata chuo. Wachaga big up kwa ku pambana.
Bravo mentor other women to do any work around the globe
Masha Allah! Binti mrembo na mstaarabu kweli. Tia bidii dada
Masha Allah mungu akulinde na Shari dadangu❤
Mashaallah bint uko vzur mng akifanyiwa wpx❤❤
Kazi hizo Uku Ulaya za warembo kama wewe pambana dada yangu nimependa sana Uchangamfu wako 👏🙏🇹🇿🇬🇷
Nakupenda sana wewe dada, Nakutakia kazi njema .Mungu azidi kukupigania.kweli wqnawqke tunaweza
shida inaanzia hapa kwenye twaweza... iko kibinafsi sana
Binti yuko vizuri sana mwaka juzi mwezi 12 alitupambania siku ya safari ilipiga mvua ya atari alitfatilia mpaka akahakikisha tumepanda hila yeye alibaki apo Rombo saruti kwake
Huyu bint nilisafiri naye kutoka moshi kuja Dar she very humble wallah
❤
Yeah your a good girl I love the way you fight girl good may God bless your hard working
Maashaallah amepata umaaruf mdogo wangu angepata fulsa akafanya vitu vya maana
Vitu vya maana kama vipi hafsa !? Usikariri ajira za serikalini. Hii sasa ndo amepata kazi nzuri
Mungu akujalie sana mdadaa. Keep it up.
MashaAllah gd job❤ sweet
Wanafunzi wako wengi sana kama huyu hakuna kazi walizo somea,safii sana piga kazi dada mfano mzuri wa kuigwa 👍👍🥳🥳👏👏👏👏
Mahallah ♥️♥️♥️♥️🇰🇪
Mashallah 🥰 gari zenu nzuri sana
She is too beautiful aiseee God bless her
Safi sana unaakili mwanangu bora ukafanye biashara zingine nimekupenda ssna unamaakili kazi ya magari ningum sana makonda mmoja alitelezaga kwenye gari alikuwa aagongwe. Akajikuta kakanywagwa mguu wote mpaka ukawa chapati
MUNGU akutunze nice, utafika mbali
Jamani da nice find me basi mi johary I have like you so charming dear❤❤❤❤
mungu hawabarik
Mashaallah❤
❤❤❤❤❤❤❤❤ mdogo wangu go and God bless you bbysisy
Ni mtoto mdogo ila anajuwa kujielezeya ile mbaya
Ninafuraha sana kuona kina dada zetu siku hizi hawachagui kazi, wengi wameingia kwenye mabasi na wanafanya kazi nzuri sana
Hogera sana Mwanangu Jitahidi epuka vishawishi ili ufikie malengo yako my dear uko just kama pesa ya kigeni
Hongera Sana mwanangu
Wow she is so cute....i love her😘
Hongera dada angu❤❤
This is my name to location 🤝
Nakupenda sana mdogo wangu una muelekeo wa kufika mbali, pls naomba kazi hiyo isiwe ndio ya kudumu cha muhimu changa pesa zako kaendelee na chuo utafika mbali inshaalah
kweli kabisa.
Usikate tamaa usivunjike moyo endelea kupambana mungu yupo ipo siku utatoboa insha allah ❤u big kiss to you.
Good heart
Nakubali sana mrwmbo wetu wa Moshi🤙🥳 sema nini umetisha afu wa nyumbani🤗🤗
Hongera sana mtoto wangu, Mungu akusaidie Sana
😮😮 Hujui kumbe wewe umezaa na kuzaaa sasaivi
Kwanza kitoto kizur alafu muelewa pia mjanjamjanja Hong era kwa hilo bless Allah azidi kukuongoza
Mwanangu ❤❤❤ Sanaa. Pambana wewe jembe utafika mbsali Sanaa.
Very systematic....🎉🎉🎉🎉🎉
Nilikua na shwalii ni zipii sifa za kua condacta jamnn kazii nzurii naipenda binafs
Urembo na pia upambani wake utamfikisha mahala ❤
Masha allah
Mashaallah
Ooh Dada uko sawa.From Samburu.
mashaailah mungu akulinde dada
Wanawake tunaweza
Mungu akulinde dd ❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
Huyu Sasa, nadhani atanilazimu nisafiri Tanzania ,,,, ❤
Karibu utamkuta amejaaa tele😂😂😂😂
Tilisho service. Welcome usafiri na sisi
Nice ibebe Rombo mama
Nime tumia hizi basi mwaka huu kutoka Arusha Dar kwakweli wana huduma nzuri sana na ni gari nzuri sana.
Ipo moja wapo dar Arusha wakaka ao wananyodo mdada tu kidogo anakauri walinikera nawauliza vizuri mzigo nimeacha chini wenyewe wanaondo gar
Kwenye tilisho huyu nayce pekee ndo konda kwanza anakaulii nzuri
Nawapenda tilisho
Wachag salute
Hongera sasa sister nimejifunza kitu kizur kutoka kwako
👍
Hakika Ni mrembo natural. Nmempenda
❤❤❤❤❤
Ushauri aendelee na nizamu yake asivimbe kichwa
Kazur asee
Huyu bint nimesafiri nae sana tuu sipandag gar lingine hata no yke ninayo yupo vzr
Sema kweli
Good Mungu azidi kukupigania
Mzuri had raha
Karembo kanaxaut nzur xan
Mambo naomba Namba yako dada
MUNGU wa mbinguni akutangulie na kukulinda mwanangu
Amen 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amiina
Na mabint wengi wa kichaga hawachagui wanafanya sana kazi hizo za ukonda
So beautiful
Muowerh
❤❤❤❤❤❤❤❤ NAKUPENDA BURE KIPENZI
Ndiyo
MUNGU akuinue mpaka viwango vya juu umiliki mabasi pia
Mdogo angu una Potential kubwa Sanaaa Ya Kufanikiwa usiuchezee huu Muda Tafuta Hata Maduka Ya Nguo omba Ubalozi maduka Ya Vipodozii Katangaze maduka yao Una Lugha Nzuri ya Kibiashara Sana sana
Kwa kampuni ya Tilisho Raise Her salary Plz Anafanyia Promotion kubwa san kampuni Yenu❤
Fact
Mungu akutangulie zaid
Hii Kali sasa
Jmn kaongezeeni mshahara
hongera sana
Ndio anajiamin sana
Jaman jamani niungenamimi mdada uko
Mbona kasema ana miaka 21
Kweli kabisa
Kazuri
Mashallah❤
Pambana my dear kaz ni kaz
Mitandao inadanganganya sana,mi navo muonaga najua Ni malaya wa mjini,kumbe kitoto
Umejisikiaje kuongea ujinga km huo
@@samwelimoshi5614 Kama ujaelewa kilichoandikwa ,Ni bola uludie kusoma,usikurupuke
Hadi nmelia😢,kweli mdogo ila mpambanaji sana,,,jikaze mungu yuko🙏
Chiku ni mkongweeee huyo Dada....kitamboo
Kwel kabisa
Naomba no ya sm
Jamani uyu dada afaa kuwa my wife
Naomba sister unisaidie kupata kaz kwamajina naitwa neema namia 20
Binti ana uwezo Mkubwa na anapendwa sana.Sasa kila jambo lina wakati na Muda ,wanaompenda Zaidi basi Wamchangie akasomee Masomo ya Juu ili aje atimize Ndoto zake.Tambua Yeye ni Binti baadae atakuwa mama,Je kazi hiyo ataimuudu???Asome kabla muda wa Masomo haujamwacha.Asante
ivi umeiangalia video au umesikiliza maelezo ya nice? ulichokiandika na malengo aliyonayo sasa ni vitu viwili tofaut, ashakwambia akiacha kazi tirisho anaenda kufungua na kusmamia biashara zake, hilo la kusoma umelitolea wapi??
C umchangie kma hela unazo😂😂
@@QueenMishy 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🎉🎉🎉🎉🎉🌺🌻🌷🥀
Good 👍 sana dada ang, napenda sana 🙏 unavyomake hela. Naomba bas namba ya WhatsApp au group la mabas kampun yeyote
Nice fanya namba sasa usiniambie una boy friend
dada nenda kaombe kazi kwenye ndege utapata
Ndege weeeee unaona simple kama maguta aya
Yes wanawake wanaweza japo wengi Wao wanachagua Kazi japo Nayce hilo hana Hyo ndo tofauti na wanawake wengine, kikubwa tumtakie kila la heri kwenye majukum yake ya kila siku
Safi sanaa mabinti wengine Wasomi wanajidai Wana nata nata hawajitumi kazi kubandika kucha wamesubilia waolewe na Wasomi wenzao mtazeeka majumbani mwisho mtakuwa mzigo na sisi tukishaona lile Bango la tunauza barafu tunajua hapa Kuna mzigo unatafutiwa soko,,,Wake up girls fight
Nimekupenda Sana nataka namba yako nipo Moçambique na mke wangu amekupenda
Binti huyu anajiweza sana, elimu imemkomboa
Mmmh,ulivomtaja chiku kwakweli huyu chiku sikupenda ushauri wake,yaan yeye niwakuniambia eti usimfate mume wako maana unaeza kuta yupo na mwanamke, Adui wa mwanamke nimwanamke jaman uwiiiiii😂
Huyu angekuwa makabila fulani na uzuri huo sehemu njeti ndio zingeumia
🤣🤣🤣
😂😂😂😂tutajie ilo kabila
wahaya,wanyiramba,wanyamwezi,wazaramo ,wajita na wakerewe ni malaya kama mbwa!!!!!
@@emariusrush3285wahaya mutuache tu🤣🤣🤣
@@emariusrush3285 shenzi😆😆