🔴BILA UOGA MBOWE AMCHANA RAIS SAMIA ACHA KUTUMIA USALAMA WA TAIFA KUTEKA WATU ,"HIZI SIO DRAMA MADAM
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- #CTM24tv #CTM24NEWSHUB #SIASA #news
#urronaldo
Endelea kusubscribe🔔
⚫▶️ Kwa Taarifa nyingi zaidi MICHEZO BURUDANI habari na madrama kibao
For any copyright issue contact us ✉️ SUPPORT (chiefmarcel1@gmail.com
▶️⚫ #CHIEFMARCELTV / @ctm.24updates
#CTM24Updates
• WATU 11 WALIVYOFARIKI ...
#rema
#Fireboy
#wizikid
#burnboy
#Ayrastarr
#jux
#caf
#TFF
#mpejatv
#Abbasitarimba
#Chama
#feitoto
#AzamTv
#millardayo
#millardayoupdates
#chiefmarceltv
#middlesimba
#Seeyouatthetop
#bbc #richsports
#mpenjatv #yangatv
#kenyagossip
#sns
#simulizinasauti
#bongo5
#bongotouch
#carrymastory
#betltv #M15TV
#pyramids
#Azizki
#salimkikeke #Bbc
#Alijazeeraupdets
#eastafrictrends
#westtrends
#southafrica
#kizdaniel
#calmdownchallenge
#Diamondplutnumz
#kondeboy
#harmonize
#wasafimedia
#clouds
#Datazone #pacome
#mamelodsundownVsYanga
#Fifa
#engheris
#Yangsc
#Azizki
#manara
#hajimara
#manara
#manaratv
#caf
#mamelodsundown
#feitoto
#mayele
#Yangasc
#Sportpesa
#Mbet
#Azamfc
#Alikamwe
#Hajimanara
#LingiyamabingwaAfrica
#Tff
#CafChampionship
#Yangatv
#Leshatv
#Africa
#Africa
#Alikamwe
#Yangatv
#Tff
#YangaSc
#Yanga
#bbcswahilileo
#middlesimba
#ligikuu
#SimbaSc
#SimbasportsClub
#tetesizausajiri
#kibudenice
#bm3
#shomalikapombe
#boko
#usajili
#kochagamondi
#yangatv
#YangaSc
#simulizinasauti
#Yanga
#Gharibumzinga
#Azamtv
#matukiolive
#michezoupdates
#goviralvideo
#popuralviedo
#simba
#simbatv
#Eastafricaradio
#Tanzaniagossips
#millardayo
#Ayotv
#shetaniwayanga
#juuakalileo
#feitoto
#Afizikonkoni
#kibudenice
#Asas
#sns
#simulizinasauti
#stevemweusi
#tiktokchallenge
#LeshaTv
#pacome
#hafzikonkon
#skudu
#Yangaday
#Azizk
#godyanga
#Azamfc
#mashujaa
#ligiyamabingwa
#ligikuu
#burudani
#crownfm
#Leshtv
#crownmedia
#cloudsmediagroup
#wasafitv
#Wcb
#Kingmusic
#bongo5
#richmedia
#kochagamondi
#Yanga
#Simba
#Simbsc
#AhmedyAlly
#Alikamwe
#gorgeambangile
#bongoplanet
#Eastafricaredio
#mwijaku
#babalevo
#liliomytv
#Crownmediasports
#crownmedia
#Cloudstv
#Globaltv
#Samisagotv
#bongotouch
#Zamaraditv
#Hajismanara
#manara
#manaratv
#Leshatv
#simonmsuva
#mavalatv
#richsports
#msuva
#feitoto
#kibu
#msonda
#usajili
#mzeewajambia
#Enghersi
#mzeewautopolo
#gsm
#mayele
#Mzinze
#michezo
#kipengaextra
#enghersi
#mayele
#yangatv
#mayele
#Enghers
#Djuma
#bangala
#aishmanula
#digjdiara
#Simbasports
#simbaTv
#AhmedyAlly
#Alikamwe
#sajiliSimbanaYanga
#maxnzegeli
#Alikamwe
#Yanga
#TetesiZaUsajili
⚫▶️ Endelea kusubscribe🔔☑️ Kwa Taarifa nyingi zaidi MICHEZO BURUDANI habari na madrama kibao
For any copyright issue contact us ✉️ SUPPORT (leshaonlinetv@gmail.com)
#CHIEFMARCELTV / @ctm.24updates
#CTM24Updates
• WATU 11 WALIVYOFARIKI ...
#rema
#Fireboy
#wizikid
#burnboy
#Ayrastarr
#jux
#caf
#TFF
#mpejatv
#Abbasitarimba
#Chama
#feitoto
#AzamTv
#millardayo
#millardayoupdates
#chiefmarceltv
#middlesimba
#Seeyouatthetop
#bbc
#kenyagossip
#sns
#simulizinasauti
#bongo5
#bongotouch
#carrymastory
#betltv
#M15TV
#pyramids
#Azizki
#salimkikeke
#Bbc
#Alijazeeraupdets
#eastafrictrends
#westtrends
#southafrica
#kizdaniel
#calmdownchallenge
#Diamondplutnumz
#kondeboy
#harmonize
#wasafimedia
#clouds
#Datazone #pacome
#mamelodsundownVsYanga
#Fifa
#engheris
#Yangsc
#Azizki
#manara
#hajimara
#manara
#manaratv
#caf
#mamelodsundown
#feitoto
#mayele
#Yangasc
#Sportpesa
#Mbet
#Azamfc
#Alikamwe
#Hajimanara
#LingiyamabingwaAfrica
#Tff
#CafChampionship
#Yangatv
#Leshatv
#Africa
#Africa
#Alikamwe
#Yangatv
#Tff
#YangaSc
#Yanga
#bbcswahilileo
#ligikuu
#SimbaSc
#SimbasportsClub
#tetesizausajiri
#kibudenice
#bm3
#shomarikapombe
#boko
#usajili
#kochagamondi
#yangatv
#YangaSc
#makabililepo
#Leshatv
#Yanga
#Gharibumzinga
#Azamtv
#matukiolive
#michezoupdates
#goviralvideo
#popuralviedo
#simba
#simbatv
#Eastafricastories
#kenyagossips
#Tanzaniagossips
#millardayo
#Ayotv
#Feitoto
#mzeewautopolo
#feitoto
#Afizikonkoni
#kibudenice
#Asas
#sNs
#simulizinasauti
#stevemweusi
#cramvevo
#tiktokchallenge
#LeshaTv
#pacome
#hafzikonkon
#skudu
#Yanga
#Azizk
#godyanga
#Azamfc
#mashujaa
#ligiyamabingwa
#ligikui
#burudani
#crownfm
#Leshtv
#crownmedia
#cloudsmediagroup
#wasafitv
#Wcb
#Kingmusic
#bongo5
#richmedia
#kochagamondi
#Yanga
#Simba
#Simbsc
#AhmedyAlly
#Alikamwe
#gorgeambangile
#bongoplanet
#Eastafricaredio
#mwijaku
#babalevo
#liliomytv
#Efm
#Globaltv
#Samisagotv
#bongotouch
#Zamaraditv
#Hajismanara
#manara
#manaratv
#Leshatv
#simonmsuva
#mavalatv
#richsports
#msuva
#feitoto
#kibu
#msonda
#usajili
#mzeewajambia
#Enghersi
#mzeewautopolo
#gsm
#comedy
#mbowekesi
#mbowe
#chademamedia
#upinzaniccm
#ccm
Jamani wenzangu tuungane kwa pamoja hao tuwape hukumu yao kubwa 2025 tumlilie Mungu atusaidie Mpendwa Mbowe mungu akulinde kusema ukweli baba.
Amen
Wameanza nao wanapeana sumu lakin wanakmbilia south aflika kutafta tiba watanzania wanyonge wanauawa kama mbwa ee mungu tusaidie
Dah kama sipati picha ,wala kuamini kinachotokea ,ila nasimamisha Duaa Allah atende haki yakile kinachotokea ,Amiin
Mbowe asante kwakuongea ukweli
Huu niukweli asilimia 100%
Katiba mpaya ni sasa watanzania amkeni
🫴
Like the bit behind the camera it flows with the temper of the speaker,Ina neutralize ukalii kwa mbalii..fact mbowe big up sana nafkiri ujumbe umefika kikubwa utekelezaji
Da inauma sana 😢 😢😢 Tanzania 🇹🇿 nchi yangu mambo gani mnayo ya fanya viongozi da 😢😢😢
Da inauma unajuwa
Mungu wetu wa mbinguni wewe ndiye mtenda haki wa kweli tunaomba utulinde sisi wengine ni wanyonge hatuna namna ya kujitetea tunaomba ulinzi wako Mungu wetu. 😢😢😢😢😢😢
Ana loho mbaya huyu mama mungu jukum kati yake naloho anazopoteza
Hii nchi unaisemea sanaa baba yetu mungu akupe nguvu ilaa tumechokaa na ccm
Nimependa Leo umeongea fact sana ding
Inauma sana,nchi tunayojua ni nchi ya aman tunafanyiwa hivyo,kwenye nchi yetu,mungu yupo❤❤❤
Siyo jeshi la polis Rais tuliye kuwa naye siyo kiongozi bora analazimisha uchaguzi usiwe mgumu mwakani tuliangalie ilo.
Kuna maisha baada ya apa duniani, mim niko na mbowe sio na madudu hayo
Inaumiza vibaya mno sema tu lakufanya limefichika,ee mungu tunusuru sisi wanao dhidi ya hawa maharamia,hii ni zaidi ya dhuluma ya wazi kabisa!
Mbowe nakuunga mkono aise na mungu akulinde sana mbowe
Hivi kwanini wanatekwa jamani rais apungeze speed na chama chake ili watu wasalimike
Kweli baba sema
Amna kiongozi
Duhh hatari sana kinachosikitisha zaidi ni kwanini wanatekwa watu wa upinzani tu? Kuna nn Tz
Hata mmi jamani inaniuma sana kwanini ni waupinzani tuu...na wakati kuna watu wanafanya ualifu tena wakikatili lakini wako huru.
Wakati wa utawala Idi Amin, hawakuitwa usalama wa taifa,waliitwa kikosi cha mauwaji cha Ndulii
huu mfumo wa jeshi la polisi lifumuliwe lipangwe upya hii ni hatari alafu tunajidanganya eti inchi iko salama hawa wanaye potea ni kuku?
Drama nawatu wanauliwa hivi mungu atusaidie kwakweli yaan mauaji yamezidi mungu awahukumu .
Uyu pia Samia afai.kuongoza Tanzania yetu
Unafaa wewe
Magufuli pia ulisema hafai, au umesahau!!????.
Wewe mjinga ongoza wewe.chogo.
Woga sio mpango wa Mungu
Tena Mungu hapendezwi na waoga tuamke jamani kumlilia Mungu.
Uoga we2 naupumbavu wawatanzania hakinasisi tumebeba vichwa2 maskin waakir sis
Ta nzania rais wetu alikua jembe wetu magufuri, ila kwa sasa Bado hatujaona
Enough is enough......
Bunge tunawachagua kisha mnatugeuka mnakwenda kuinda sheria kandamizi namna hii looo!!!
Kusema ukweli hakuna bunge hapo ni bunge la mchongo
na mwaka hu bungeni siwafichi tuwajaze chademaaa
bungeni tukiwajaza chadema patachamgamka bunge litakuwa la moto sasa tuamasishache mbunge wa cc asikanyage bungeni mwaka unaokuja
Uko sahihi mzee wang tumechoka kupelekwa kupelekwa na huyu mama
Mtakumbuka sana magufuli sana ni Kwa sababu mlikataa corona na sasa munalipa fidia form Mozambique 🇲🇿
Huo utekeji kipindi cha Magufuli ndo ulishamiri zaidi kuliko sasahivi,nahili jambo la utekaji halihusiani kabisa na kukataa Corona
Jaman mbowe sio kichaa kuyasema haya inauma sana tunapoona watanzania wezetu atuwaoni
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Wambie ukweli na msema ukweli mpenzi wa mungu na kila nafusi itaonja mauti niwakati 2 😢😢😢
Amina
naomba nifahamu huo mziki ni wa wimbo gani...
Kweli hatari
Sheria nyingine zinazopitishwa na bunge la ccm ni za hatari sana
EE MUNGU TUSAIDIE
Haya Maisha kama tupo Congo Vitani Usi Jione Upo Salama haujui kesho yako
Mda mwingine umakini unahitajika sana kwakweli 😢
❤ahsante baba ukweli kabisa
Sema sema mzeee
Nakukubari baba ongea baba nihaki yako
Tunaishi kwa hofu kubwa sana
Hata tukiwa majumbani kwetu hatuna Amani tunahofia usalama wetu.
Je vipi kuhusu usalama wa watoto wetu wakiwa mashuleni Mungu tunaomba ulinzi kwa ajili watoto wetu na wapendwa wetu.
Daah Mungu atusaidie😢😢
Nasema sitokaa nipoteze muda wangu kwenda kupiga kura
Kaka yangu katekwa Hapo dar es salaam na sehemu aliyetekwa Kuna CCTV camera LAKINI tulijaribu kutoa Tarifa KWENYE vyombo VYA usalama na gari ILIYO MTEKA tunayo namba ya usajili
Tulienda kumuona MKUU WA wilaya PIYA na vitengo VYA UPELELEZI LAKINI hawakuajibika hadi Léo ni mwezi WA Tatu hatujuwi wapi alipo ndugu yetu
JINA lake ni Faida John ISAYA
Wa kwanza kukamatwa ni huyo huyo mama samia.
Kwa yanayoendelea sasa nchini kwetu ccm itapita kwakua na nguvu ya kiutawala ila kiuchaguzi ni mtihan kwakwel wanyonge ndio wapiga kura na wanalia kila kukicha yarab lilinde taifa letu tuondoshee kila lililobaya tuepushe na shari zote zinazoendelea kuchafua serikal mungu wape hekma viongozi wetu amiin amiin
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI Yesu na UOKOKE na ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Mwenyezi mungu ipo siku atawazalilisha tu kwani yeye ndie mtendaji mkuu kwetu
Dhuu! tanzania sio tanzania tena ile misemo ya kusema mama hawez endesha nchi ndio inatimia
Mh, amkeni watanzania kwanini kipindi cha uchaguzi. Hawa wana siasa tuwapuuze na niwapuuzi mbowe hiyo kazi ifanye kwa umakini. Mara makufuli anateka watu na kuwaua leo nani tena acheni mchezo mchafu Mungu anawaona mnacho kifanya
Uko sawa kabisa akina mbowe ni mchezo wao huu kuelekea uchaguzi kumuharibia mama tu.
Anasema ni drama kweli si mnatekwa na kuuawa na watanganyika wenzenu yeye mzanzibara asemeje wakt Zanzibar iko salama
Rais wetu ni msikivu naamini atapambana kukomesha vitendo vya kigaidi ndani ya nchi Kwani yeye ndiye amiri jeshi mkuu was nchi
Naomba Samia jiuzuru hatukutaki jaman maana ukizidi kuwa madarak
Kiukweli inauma sana kama mtu anakwambia wewe usiue, harafu unamuona yeye anaua, duuuuu, inaumiza sana sana,
Viongozi wetu msitumie busala ktk hili mjawe na hekima ya Mungu kwani wanatenda wao kisha serikali ina fanya, kwani chama kitu gani mpaka msigwa na mbowe waingie bifu kueni makini wanajua atalopoka uchafu wote
MBOWE UNATAFUTA KIKI KWA WASIOTAMBUA CHOCHOOTE BORA UHAMIYE KWENYE JANI LA MUEMBE UWE PAMOJA NA WAUNGWANA ,
Rais wetu mama samia utuhulumie jaman taifa litakuwa palesina na Israel jaman Tanzania matukio yamezidi jamani mpaka malekani wanaingilia Kati
kwa yeyote ambaye ana utimamu wa akili ifikapo 2025 kwa pamoja tukawatoe madarakani hawa watu.watu wanapoteatu utafikiri vifaranga wanao achiwa kiholela hata wasio mama yao hatimae kubebwa na mwewe.hatari sana
Kiukweli kusema drama wakati watu wana tekwa na kuuawa alikosea xana japo ccm wana jiona hawaja wai kukosea
Kwa hili tu linasononesha sana mngewasomea mashitaka basi muwafunge lakini hivi italeta shida Haya machozi haya.....mmmh
Nakukubali mzee tufingue masikio ss wannunge
True
Samia hateki mtu yoyote ila vikosi vya ulinz ndo vinateka watu na kuwaumiza watu bila ya kutumwa na rais mbona Zanzibar hajatekwa mtu
Tutateseka sana hii nchi polis wamekuwa wanyanyasaji
Dunia imeoza😢😢😢😢
Mheshimumiwa mungu akutunze
Ee mungu 2saidie wote 2ishi kama mungu anavotaka
Tazama walivo kimya ata raisi samia ajibu chochote amealalisha unyama uendelee.
Poleni ndugu zang
Inauma sana,tz co nchi ya amani tena
Mungu atasimama
Inaskitisha sana 😢😢😢
Nikwl mh mbowee tumechoka na tumeshaogopaa sanaaa hatujui itakuaje huyu mama mzazibarii ni mchawii sanaa ana roho ya mbwaa tumechoka tanzania tumechokaa huuuwiii tumechoka huyu mama hafai hata bureeee
Dahh hatari Sana tutapona kwa namna hii ndugu zetu wakipotea tutawapata?
Hakuna kitu kinaogopesha kama kutojisikia salama ndani ya nchi yako!
Acha kupotosha watu wee Mbowe Acha kabisa.
ivi hao ni wabongo wenzetu wanao fanya hayo au none Tanzanian
Ushauri wangu naomba kuwekwe Kamara kila pande za vituo vya mabas
Dhambi ya UBAGUZI ishaanza kuwatafuna hao CCM hadi wameanza kutiliana sumu
Duh dunia hii madaka tutayaachatu😢
Ongeza hio nyimbo tusimskie zaidi
Weak parliament, weak judiciary, weak executive! Under such situations Citizens must become united and defend themselves!
Wala haiumi kwani inauma unajua?mimi nasema siyo kweli nyoosha ruler na siyo kupotosha Watanzania
Kwel bab 😢😢
😢Tanzania inaeenda wap ee mungu isijeikawa kama kenya tuna rais gani wa aina hii mbona anatutia mashakan
Sema kweli waaçhe utekaji
🙏🙏🙏
Usalama wa Taifa unapewa ruhusa ambayo hata kama mtu asipotumia weledi wa kazi anaweza kukunyaka na kisha ukaisha
Sasa hao ni usalama wa taifa au ni magaidi na wahuni na vibaka wa taifa?
Kwa nini wapinzani wanatekwa ccm nyie mbona hamtekwi kwanini muongopeni mungu uchuwamadalaka umewapeleka pabaya .jamani muwalegeze wenzenu wanaloho hatawenyewe wanaitaji kuishi
Kwahiyo wenyewe kula zikifika wanatekwa
Dah inauma sana dah
Makonda kuongea ukwel wamemtilia sumu ccm wanaakili gani pumbavu zao tulijua mchezo alikua nao magu kumbe wamebakia wengine kumanina zao
Mbona Zanzibar hawapotei watu hakutekwi Tanzania bara wanauwawa
Ee Mwokozi wetu Mwenyezi Mungu utuokoe na umbwa mwitu sisi tulio wanyonge tusio kua na haki katika nchi yetu. Wengine wanajuta kuzaliwa Tz na ni nchi yetu lakini kama wakimbizi wa kutoka Somalia
🇲🇿mzee umesema ukweli
Waambieee mbona ccm awatekwi semanaoo baba wasengee sana tatizo ukwel unawauma wamezoeya kuficha mambo mikundu yao ccm wote wasenge
Tapeli ww mbowe unawateka hafu unaisingizia serikali
hapo kwenye msaada yupo sahihi, afya kwanza mengine yafuate
Unaongea ukweli mtupu mtu nakamatwa kama kuku mauaji yamezidi Tanzania inatisha sifa mbaya zinafika duniani nchi inakuwa na dosari Tanzania iataogopwa kimataifa nchi isiyokuwa na usalama
Nashangaa ata watu wanaopenda ccm yan😢