🔴BILA UOGA MBOWE AMCHANA RAIS SAMIA ACHA KUTUMIA USALAMA WA TAIFA KUTEKA WATU ,"HIZI SIO DRAMA MADAM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024
  • #CTM24tv #CTM24NEWSHUB #SIASA #news
    #urronaldo
    Endelea kusubscribe🔔
    ⚫▶️ Kwa Taarifa nyingi zaidi MICHEZO BURUDANI habari na madrama kibao
    For any copyright issue contact us ✉️ SUPPORT (chiefmarcel1@gmail.com
    ▶️⚫ #CHIEFMARCELTV / @ctm.24updates
    #CTM24Updates
    • WATU 11 WALIVYOFARIKI ...
    #rema
    #Fireboy
    #wizikid
    #burnboy
    #Ayrastarr
    #jux
    #caf
    #TFF
    #mpejatv
    #Abbasitarimba
    #Chama
    #feitoto
    #AzamTv
    #millardayo
    #millardayoupdates
    #chiefmarceltv
    #middlesimba
    #Seeyouatthetop
    #bbc #richsports
    #mpenjatv #yangatv
    #kenyagossip
    #sns
    #simulizinasauti
    #bongo5
    #bongotouch
    #carrymastory
    #betltv #M15TV
    #pyramids
    #Azizki
    #salimkikeke #Bbc
    #Alijazeeraupdets
    #eastafrictrends
    #westtrends
    #southafrica
    #kizdaniel
    #calmdownchallenge
    #Diamondplutnumz
    #kondeboy
    #harmonize
    #wasafimedia
    #clouds
    #Datazone #pacome
    #mamelodsundownVsYanga
    #Fifa
    #engheris
    #Yangsc
    #Azizki
    #manara
    #hajimara
    #manara
    #manaratv
    #caf
    #mamelodsundown
    #feitoto
    #mayele
    #Yangasc
    #Sportpesa
    #Mbet
    #Azamfc
    #Alikamwe
    #Hajimanara
    #LingiyamabingwaAfrica
    #Tff
    #CafChampionship
    #Yangatv
    #Leshatv
    #Africa
    #Africa
    #Alikamwe
    #Yangatv
    #Tff
    #YangaSc
    #Yanga
    #bbcswahilileo
    #middlesimba
    #ligikuu
    #SimbaSc
    #SimbasportsClub
    #tetesizausajiri
    #kibudenice
    #bm3
    #shomalikapombe
    #boko
    #usajili
    #kochagamondi
    #yangatv
    #YangaSc
    #simulizinasauti
    #Yanga
    #Gharibumzinga
    #Azamtv
    #matukiolive
    #michezoupdates
    #goviralvideo
    #popuralviedo
    #simba
    #simbatv
    #Eastafricaradio
    #Tanzaniagossips
    #millardayo
    #Ayotv
    #shetaniwayanga
    #juuakalileo
    #feitoto
    #Afizikonkoni
    #kibudenice
    #Asas
    #sns
    #simulizinasauti
    #stevemweusi
    #tiktokchallenge
    #LeshaTv
    #pacome
    #hafzikonkon
    #skudu
    #Yangaday
    #Azizk
    #godyanga
    #Azamfc
    #mashujaa
    #ligiyamabingwa
    #ligikuu
    #burudani
    #crownfm
    #Leshtv
    #crownmedia
    #cloudsmediagroup
    #wasafitv
    #Wcb
    #Kingmusic
    #bongo5
    #richmedia
    #kochagamondi
    #Yanga
    #Simba
    #Simbsc
    #AhmedyAlly
    #Alikamwe
    #gorgeambangile
    #bongoplanet
    #Eastafricaredio
    #mwijaku
    #babalevo
    #liliomytv
    #Crownmediasports
    #crownmedia
    #Cloudstv
    #Globaltv
    #Samisagotv
    #bongotouch
    #Zamaraditv
    #Hajismanara
    #manara
    #manaratv
    #Leshatv
    #simonmsuva
    #mavalatv
    #richsports
    #msuva
    #feitoto
    #kibu
    #msonda
    #usajili
    #mzeewajambia
    #Enghersi
    #mzeewautopolo
    #gsm
    #mayele
    #Mzinze
    #michezo
    #kipengaextra
    #enghersi
    #mayele
    #yangatv
    #mayele
    #Enghers
    #Djuma
    #bangala
    #aishmanula
    #digjdiara
    #Simbasports
    #simbaTv
    #AhmedyAlly
    #Alikamwe
    #sajiliSimbanaYanga
    #maxnzegeli
    #Alikamwe
    #Yanga
    #TetesiZaUsajili
    ⚫▶️ Endelea kusubscribe🔔☑️ Kwa Taarifa nyingi zaidi MICHEZO BURUDANI habari na madrama kibao
    For any copyright issue contact us ✉️ SUPPORT (leshaonlinetv@gmail.com)
    #CHIEFMARCELTV / @ctm.24updates
    #CTM24Updates
    • WATU 11 WALIVYOFARIKI ...
    #rema
    #Fireboy
    #wizikid
    #burnboy
    #Ayrastarr
    #jux
    #caf
    #TFF
    #mpejatv
    #Abbasitarimba
    #Chama
    #feitoto
    #AzamTv
    #millardayo
    #millardayoupdates
    #chiefmarceltv
    #middlesimba
    #Seeyouatthetop
    #bbc
    #kenyagossip
    #sns
    #simulizinasauti
    #bongo5
    #bongotouch
    #carrymastory
    #betltv
    #M15TV
    #pyramids
    #Azizki
    #salimkikeke
    #Bbc
    #Alijazeeraupdets
    #eastafrictrends
    #westtrends
    #southafrica
    #kizdaniel
    #calmdownchallenge
    #Diamondplutnumz
    #kondeboy
    #harmonize
    #wasafimedia
    #clouds
    #Datazone #pacome
    #mamelodsundownVsYanga
    #Fifa
    #engheris
    #Yangsc
    #Azizki
    #manara
    #hajimara
    #manara
    #manaratv
    #caf
    #mamelodsundown
    #feitoto
    #mayele
    #Yangasc
    #Sportpesa
    #Mbet
    #Azamfc
    #Alikamwe
    #Hajimanara
    #LingiyamabingwaAfrica
    #Tff
    #CafChampionship
    #Yangatv
    #Leshatv
    #Africa
    #Africa
    #Alikamwe
    #Yangatv
    #Tff
    #YangaSc
    #Yanga
    #bbcswahilileo
    #ligikuu
    #SimbaSc
    #SimbasportsClub
    #tetesizausajiri
    #kibudenice
    #bm3
    #shomarikapombe
    #boko
    #usajili
    #kochagamondi
    #yangatv
    #YangaSc
    #makabililepo
    #Leshatv
    #Yanga
    #Gharibumzinga
    #Azamtv
    #matukiolive
    #michezoupdates
    #goviralvideo
    #popuralviedo
    #simba
    #simbatv
    #Eastafricastories
    #kenyagossips
    #Tanzaniagossips
    #millardayo
    #Ayotv
    #Feitoto
    #mzeewautopolo
    #feitoto
    #Afizikonkoni
    #kibudenice
    #Asas
    #sNs
    #simulizinasauti
    #stevemweusi
    #cramvevo
    #tiktokchallenge
    #LeshaTv
    #pacome
    #hafzikonkon
    #skudu
    #Yanga
    #Azizk
    #godyanga
    #Azamfc
    #mashujaa
    #ligiyamabingwa
    #ligikui
    #burudani
    #crownfm
    #Leshtv
    #crownmedia
    #cloudsmediagroup
    #wasafitv
    #Wcb
    #Kingmusic
    #bongo5
    #richmedia
    #kochagamondi
    #Yanga
    #Simba
    #Simbsc
    #AhmedyAlly
    #Alikamwe
    #gorgeambangile
    #bongoplanet
    #Eastafricaredio
    #mwijaku
    #babalevo
    #liliomytv
    #Efm
    #Globaltv
    #Samisagotv
    #bongotouch
    #Zamaraditv
    #Hajismanara
    #manara
    #manaratv
    #Leshatv
    #simonmsuva
    #mavalatv
    #richsports
    #msuva
    #feitoto
    #kibu
    #msonda
    #usajili
    #mzeewajambia
    #Enghersi
    #mzeewautopolo
    #gsm
    #comedy
    #mbowekesi
    #mbowe
    #chademamedia
    #upinzaniccm
    #ccm

КОМЕНТАРІ • 384

  • @ConnieJohn-ts9rp
    @ConnieJohn-ts9rp 16 днів тому +48

    Jamani wenzangu tuungane kwa pamoja hao tuwape hukumu yao kubwa 2025 tumlilie Mungu atusaidie Mpendwa Mbowe mungu akulinde kusema ukweli baba.

  • @RashidJonas
    @RashidJonas 15 днів тому +18

    Wameanza nao wanapeana sumu lakin wanakmbilia south aflika kutafta tiba watanzania wanyonge wanauawa kama mbwa ee mungu tusaidie

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 3 дні тому +9

    Dah kama sipati picha ,wala kuamini kinachotokea ,ila nasimamisha Duaa Allah atende haki yakile kinachotokea ,Amiin

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 16 днів тому +24

    Mbowe asante kwakuongea ukweli
    Huu niukweli asilimia 100%

  • @daviesibrahim9587
    @daviesibrahim9587 16 днів тому +28

    Katiba mpaya ni sasa watanzania amkeni

  • @user-wy4su3oc6r
    @user-wy4su3oc6r 15 днів тому +7

    Like the bit behind the camera it flows with the temper of the speaker,Ina neutralize ukalii kwa mbalii..fact mbowe big up sana nafkiri ujumbe umefika kikubwa utekelezaji

  • @user-of4gj2xb6j
    @user-of4gj2xb6j День тому +1

    Da inauma sana 😢 😢😢 Tanzania 🇹🇿 nchi yangu mambo gani mnayo ya fanya viongozi da 😢😢😢

  • @SalumJuma-r8p
    @SalumJuma-r8p 20 днів тому +18

    Da inauma unajuwa

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 2 дні тому +4

    Mungu wetu wa mbinguni wewe ndiye mtenda haki wa kweli tunaomba utulinde sisi wengine ni wanyonge hatuna namna ya kujitetea tunaomba ulinzi wako Mungu wetu. 😢😢😢😢😢😢

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 15 днів тому +10

    Ana loho mbaya huyu mama mungu jukum kati yake naloho anazopoteza

  • @KevinOlela
    @KevinOlela 4 дні тому +5

    Hii nchi unaisemea sanaa baba yetu mungu akupe nguvu ilaa tumechokaa na ccm

  • @remidiuswilliam7494
    @remidiuswilliam7494 9 годин тому +2

    Nimependa Leo umeongea fact sana ding

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w 20 днів тому +15

    Inauma sana,nchi tunayojua ni nchi ya aman tunafanyiwa hivyo,kwenye nchi yetu,mungu yupo❤❤❤

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 4 дні тому +7

    Siyo jeshi la polis Rais tuliye kuwa naye siyo kiongozi bora analazimisha uchaguzi usiwe mgumu mwakani tuliangalie ilo.

  • @jumaraimundi7540
    @jumaraimundi7540 16 днів тому +8

    Kuna maisha baada ya apa duniani, mim niko na mbowe sio na madudu hayo

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 17 днів тому +7

    Inaumiza vibaya mno sema tu lakufanya limefichika,ee mungu tunusuru sisi wanao dhidi ya hawa maharamia,hii ni zaidi ya dhuluma ya wazi kabisa!

  • @AgnessJohn-v8p
    @AgnessJohn-v8p 2 дні тому +3

    Mbowe nakuunga mkono aise na mungu akulinde sana mbowe

  • @user-do1ug7de3g
    @user-do1ug7de3g 2 дні тому +2

    Hivi kwanini wanatekwa jamani rais apungeze speed na chama chake ili watu wasalimike

  • @PaulWilliam-w1o
    @PaulWilliam-w1o 3 дні тому +5

    Kweli baba sema

  • @Sultani-f7u
    @Sultani-f7u 18 днів тому +9

    Amna kiongozi

  • @JohnLwanzali-b9l
    @JohnLwanzali-b9l 13 днів тому +7

    Duhh hatari sana kinachosikitisha zaidi ni kwanini wanatekwa watu wa upinzani tu? Kuna nn Tz

    • @user-hi1hi6ib4u
      @user-hi1hi6ib4u 3 дні тому +1

      Hata mmi jamani inaniuma sana kwanini ni waupinzani tuu...na wakati kuna watu wanafanya ualifu tena wakikatili lakini wako huru.

  • @user-lb1nb2ls9g
    @user-lb1nb2ls9g 2 дні тому +3

    Wakati wa utawala Idi Amin, hawakuitwa usalama wa taifa,waliitwa kikosi cha mauwaji cha Ndulii

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 16 днів тому +17

    huu mfumo wa jeshi la polisi lifumuliwe lipangwe upya hii ni hatari alafu tunajidanganya eti inchi iko salama hawa wanaye potea ni kuku?

  • @scolasticasimon-je6cy
    @scolasticasimon-je6cy 2 дні тому +2

    Drama nawatu wanauliwa hivi mungu atusaidie kwakweli yaan mauaji yamezidi mungu awahukumu .

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m 17 днів тому +16

    Uyu pia Samia afai.kuongoza Tanzania yetu

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 18 днів тому +7

    Woga sio mpango wa Mungu

    • @user-hi1hi6ib4u
      @user-hi1hi6ib4u 3 дні тому +1

      Tena Mungu hapendezwi na waoga tuamke jamani kumlilia Mungu.

  • @pascalfransic4173
    @pascalfransic4173 3 дні тому +3

    Uoga we2 naupumbavu wawatanzania hakinasisi tumebeba vichwa2 maskin waakir sis

  • @sikudhanishembilu2690
    @sikudhanishembilu2690 2 дні тому +2

    Ta nzania rais wetu alikua jembe wetu magufuri, ila kwa sasa Bado hatujaona

  • @nsajigwasilisye4416
    @nsajigwasilisye4416 11 днів тому +6

    Enough is enough......

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 18 днів тому +8

    Bunge tunawachagua kisha mnatugeuka mnakwenda kuinda sheria kandamizi namna hii looo!!!

    • @mohamedkashindi7689
      @mohamedkashindi7689 9 днів тому +1

      Kusema ukweli hakuna bunge hapo ni bunge la mchongo

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze 9 днів тому +1

      na mwaka hu bungeni siwafichi tuwajaze chademaaa

    • @AbrahBuraheze
      @AbrahBuraheze 9 днів тому

      bungeni tukiwajaza chadema patachamgamka bunge litakuwa la moto sasa tuamasishache mbunge wa cc asikanyage bungeni mwaka unaokuja

  • @Leopard-vg3jk
    @Leopard-vg3jk День тому +1

    Uko sahihi mzee wang tumechoka kupelekwa kupelekwa na huyu mama

  • @Saidesaideinacio
    @Saidesaideinacio 4 дні тому +4

    Mtakumbuka sana magufuli sana ni Kwa sababu mlikataa corona na sasa munalipa fidia form Mozambique 🇲🇿

    • @HamadFakh
      @HamadFakh 2 дні тому +1

      Huo utekeji kipindi cha Magufuli ndo ulishamiri zaidi kuliko sasahivi,nahili jambo la utekaji halihusiani kabisa na kukataa Corona

  • @wilsonyeza8202
    @wilsonyeza8202 12 днів тому +3

    Jaman mbowe sio kichaa kuyasema haya inauma sana tunapoona watanzania wezetu atuwaoni

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 3 дні тому +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Wambie ukweli na msema ukweli mpenzi wa mungu na kila nafusi itaonja mauti niwakati 2 😢😢😢

  • @AliKutenga
    @AliKutenga 2 дні тому +1

    naomba nifahamu huo mziki ni wa wimbo gani...

  • @AnociathaChuwa-cb5nk
    @AnociathaChuwa-cb5nk 18 днів тому +3

    Kweli hatari
    Sheria nyingine zinazopitishwa na bunge la ccm ni za hatari sana
    EE MUNGU TUSAIDIE

  • @piusbille3905
    @piusbille3905 5 днів тому +2

    Haya Maisha kama tupo Congo Vitani Usi Jione Upo Salama haujui kesho yako

  • @zakariamombey9024
    @zakariamombey9024 3 дні тому +2

    Mda mwingine umakini unahitajika sana kwakweli 😢

  • @ElishaElias-p2d
    @ElishaElias-p2d 20 годин тому

    ❤ahsante baba ukweli kabisa

  • @user-ki2ww5lg2j
    @user-ki2ww5lg2j 3 дні тому +1

    Sema sema mzeee

  • @MsafiriSambogo-n9g
    @MsafiriSambogo-n9g 2 дні тому +2

    Nakukubari baba ongea baba nihaki yako

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 2 дні тому +1

    Tunaishi kwa hofu kubwa sana
    Hata tukiwa majumbani kwetu hatuna Amani tunahofia usalama wetu.
    Je vipi kuhusu usalama wa watoto wetu wakiwa mashuleni Mungu tunaomba ulinzi kwa ajili watoto wetu na wapendwa wetu.

  • @EzraKawogoPujongtown
    @EzraKawogoPujongtown День тому +1

    Daah Mungu atusaidie😢😢

  • @patriciamseya3396
    @patriciamseya3396 День тому +1

    Nasema sitokaa nipoteze muda wangu kwenda kupiga kura

  • @oredidunia120
    @oredidunia120 День тому +1

    Kaka yangu katekwa Hapo dar es salaam na sehemu aliyetekwa Kuna CCTV camera LAKINI tulijaribu kutoa Tarifa KWENYE vyombo VYA usalama na gari ILIYO MTEKA tunayo namba ya usajili
    Tulienda kumuona MKUU WA wilaya PIYA na vitengo VYA UPELELEZI LAKINI hawakuajibika hadi Léo ni mwezi WA Tatu hatujuwi wapi alipo ndugu yetu
    JINA lake ni Faida John ISAYA

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 17 днів тому +3

    Wa kwanza kukamatwa ni huyo huyo mama samia.

  • @KuluthumuMsuwakollo
    @KuluthumuMsuwakollo 2 дні тому +2

    Kwa yanayoendelea sasa nchini kwetu ccm itapita kwakua na nguvu ya kiutawala ila kiuchaguzi ni mtihan kwakwel wanyonge ndio wapiga kura na wanalia kila kukicha yarab lilinde taifa letu tuondoshee kila lililobaya tuepushe na shari zote zinazoendelea kuchafua serikal mungu wape hekma viongozi wetu amiin amiin

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 4 дні тому +1

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu MWAMINI Yesu na UOKOKE na ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm 15 днів тому +1

    Mwenyezi mungu ipo siku atawazalilisha tu kwani yeye ndie mtendaji mkuu kwetu

  • @Ibrahimmeshilieki
    @Ibrahimmeshilieki 17 годин тому

    Dhuu! tanzania sio tanzania tena ile misemo ya kusema mama hawez endesha nchi ndio inatimia

  • @cassianmbangwa5473
    @cassianmbangwa5473 День тому +2

    Mh, amkeni watanzania kwanini kipindi cha uchaguzi. Hawa wana siasa tuwapuuze na niwapuuzi mbowe hiyo kazi ifanye kwa umakini. Mara makufuli anateka watu na kuwaua leo nani tena acheni mchezo mchafu Mungu anawaona mnacho kifanya

    • @tabuanthony7450
      @tabuanthony7450 22 години тому

      Uko sawa kabisa akina mbowe ni mchezo wao huu kuelekea uchaguzi kumuharibia mama tu.

  • @MugundaKamilo
    @MugundaKamilo 12 днів тому +2

    Anasema ni drama kweli si mnatekwa na kuuawa na watanganyika wenzenu yeye mzanzibara asemeje wakt Zanzibar iko salama

  • @user-bk4mq8oi9p
    @user-bk4mq8oi9p 18 годин тому +1

    Rais wetu ni msikivu naamini atapambana kukomesha vitendo vya kigaidi ndani ya nchi Kwani yeye ndiye amiri jeshi mkuu was nchi

  • @user-mc6um1it1r
    @user-mc6um1it1r День тому +1

    Naomba Samia jiuzuru hatukutaki jaman maana ukizidi kuwa madarak

  • @OmegaNgondo
    @OmegaNgondo День тому +1

    Kiukweli inauma sana kama mtu anakwambia wewe usiue, harafu unamuona yeye anaua, duuuuu, inaumiza sana sana,

  • @cassianmbangwa5473
    @cassianmbangwa5473 День тому +1

    Viongozi wetu msitumie busala ktk hili mjawe na hekima ya Mungu kwani wanatenda wao kisha serikali ina fanya, kwani chama kitu gani mpaka msigwa na mbowe waingie bifu kueni makini wanajua atalopoka uchafu wote

  • @AliyJumaIbrahim
    @AliyJumaIbrahim День тому +1

    MBOWE UNATAFUTA KIKI KWA WASIOTAMBUA CHOCHOOTE BORA UHAMIYE KWENYE JANI LA MUEMBE UWE PAMOJA NA WAUNGWANA ,

  • @IreneWilliam-ur9ws
    @IreneWilliam-ur9ws 4 дні тому +1

    Rais wetu mama samia utuhulumie jaman taifa litakuwa palesina na Israel jaman Tanzania matukio yamezidi jamani mpaka malekani wanaingilia Kati

  • @RESTITUTAMOLLED-mp3pp
    @RESTITUTAMOLLED-mp3pp 9 днів тому +1

    kwa yeyote ambaye ana utimamu wa akili ifikapo 2025 kwa pamoja tukawatoe madarakani hawa watu.watu wanapoteatu utafikiri vifaranga wanao achiwa kiholela hata wasio mama yao hatimae kubebwa na mwewe.hatari sana

  • @alphoncejackson9300
    @alphoncejackson9300 День тому +1

    Kiukweli kusema drama wakati watu wana tekwa na kuuawa alikosea xana japo ccm wana jiona hawaja wai kukosea

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje9700 4 дні тому +2

    Kwa hili tu linasononesha sana mngewasomea mashitaka basi muwafunge lakini hivi italeta shida Haya machozi haya.....mmmh

  • @user-ki2ww5lg2j
    @user-ki2ww5lg2j 3 дні тому

    Nakukubali mzee tufingue masikio ss wannunge

  • @AgreyAmon
    @AgreyAmon 15 днів тому +3

    True

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 7 днів тому +2

    Samia hateki mtu yoyote ila vikosi vya ulinz ndo vinateka watu na kuwaumiza watu bila ya kutumwa na rais mbona Zanzibar hajatekwa mtu

    • @user-tq6cc5dl9t
      @user-tq6cc5dl9t Годину тому

      Tutateseka sana hii nchi polis wamekuwa wanyanyasaji

  • @jessiesenya68
    @jessiesenya68 Годину тому

    Dunia imeoza😢😢😢😢

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 9 днів тому +1

    Mheshimumiwa mungu akutunze

  • @RamadhanSeleman-he3ss
    @RamadhanSeleman-he3ss 3 дні тому +4

    Ee mungu 2saidie wote 2ishi kama mungu anavotaka

  • @EdgarLema-g6f
    @EdgarLema-g6f 11 днів тому +1

    Tazama walivo kimya ata raisi samia ajibu chochote amealalisha unyama uendelee.

  • @BegumisaFiribetr
    @BegumisaFiribetr 11 днів тому +1

    Poleni ndugu zang

  • @MageKisuda
    @MageKisuda День тому

    Inauma sana,tz co nchi ya amani tena

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 14 днів тому +2

    Mungu atasimama

  • @PrinceByarugaba
    @PrinceByarugaba День тому

    Inaskitisha sana 😢😢😢

  • @KevinOlela
    @KevinOlela 4 дні тому +1

    Nikwl mh mbowee tumechoka na tumeshaogopaa sanaaa hatujui itakuaje huyu mama mzazibarii ni mchawii sanaa ana roho ya mbwaa tumechoka tanzania tumechokaa huuuwiii tumechoka huyu mama hafai hata bureeee

  • @prophetsamawiparapanda1856
    @prophetsamawiparapanda1856 14 днів тому +2

    Dahh hatari Sana tutapona kwa namna hii ndugu zetu wakipotea tutawapata?

  • @gadoluhanga5106
    @gadoluhanga5106 8 днів тому +1

    Hakuna kitu kinaogopesha kama kutojisikia salama ndani ya nchi yako!

  • @SafihunaSingo
    @SafihunaSingo 2 дні тому

    Acha kupotosha watu wee Mbowe Acha kabisa.

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv 16 днів тому +2

    ivi hao ni wabongo wenzetu wanao fanya hayo au none Tanzanian

  • @japharisongoni7277
    @japharisongoni7277 День тому

    Ushauri wangu naomba kuwekwe Kamara kila pande za vituo vya mabas

  • @marcmathewmuyala1937
    @marcmathewmuyala1937 2 дні тому

    Dhambi ya UBAGUZI ishaanza kuwatafuna hao CCM hadi wameanza kutiliana sumu

  • @HemediHussein
    @HemediHussein 18 годин тому

    Duh dunia hii madaka tutayaachatu😢

  • @harithrashid5314
    @harithrashid5314 10 днів тому +1

    Ongeza hio nyimbo tusimskie zaidi

  • @thomaskwibonelwa9240
    @thomaskwibonelwa9240 4 дні тому

    Weak parliament, weak judiciary, weak executive! Under such situations Citizens must become united and defend themselves!

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 23 години тому

    Wala haiumi kwani inauma unajua?mimi nasema siyo kweli nyoosha ruler na siyo kupotosha Watanzania

  • @AngelMateru-l4d
    @AngelMateru-l4d 2 дні тому

    Kwel bab 😢😢

  • @YasiniShabani-xd4ei
    @YasiniShabani-xd4ei 3 дні тому

    😢Tanzania inaeenda wap ee mungu isijeikawa kama kenya tuna rais gani wa aina hii mbona anatutia mashakan

  • @ShankukuMakyani
    @ShankukuMakyani День тому

    Sema kweli waaçhe utekaji

  • @user-rj8zh8ok7q
    @user-rj8zh8ok7q День тому +1

    🙏🙏🙏

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 19 днів тому +3

    Usalama wa Taifa unapewa ruhusa ambayo hata kama mtu asipotumia weledi wa kazi anaweza kukunyaka na kisha ukaisha

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 18 днів тому +1

      Sasa hao ni usalama wa taifa au ni magaidi na wahuni na vibaka wa taifa?

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz 14 днів тому +3

    Kwa nini wapinzani wanatekwa ccm nyie mbona hamtekwi kwanini muongopeni mungu uchuwamadalaka umewapeleka pabaya .jamani muwalegeze wenzenu wanaloho hatawenyewe wanaitaji kuishi

    • @suzyyusuf
      @suzyyusuf 4 дні тому

      Kwahiyo wenyewe kula zikifika wanatekwa

  • @ErastoSimba-Tz
    @ErastoSimba-Tz День тому

    Dah inauma sana dah

  • @fatumasalehe-ch9jf
    @fatumasalehe-ch9jf День тому +1

    Makonda kuongea ukwel wamemtilia sumu ccm wanaakili gani pumbavu zao tulijua mchezo alikua nao magu kumbe wamebakia wengine kumanina zao

  • @Marieth-oi8gc
    @Marieth-oi8gc 3 дні тому

    Mbona Zanzibar hawapotei watu hakutekwi Tanzania bara wanauwawa

  • @CharlesMarigory
    @CharlesMarigory День тому

    Ee Mwokozi wetu Mwenyezi Mungu utuokoe na umbwa mwitu sisi tulio wanyonge tusio kua na haki katika nchi yetu. Wengine wanajuta kuzaliwa Tz na ni nchi yetu lakini kama wakimbizi wa kutoka Somalia

  • @AmadeMuarabo-m7f
    @AmadeMuarabo-m7f День тому

    🇲🇿mzee umesema ukweli

  • @fatumasalehe-ch9jf
    @fatumasalehe-ch9jf День тому

    Waambieee mbona ccm awatekwi semanaoo baba wasengee sana tatizo ukwel unawauma wamezoeya kuficha mambo mikundu yao ccm wote wasenge

  • @tabuanthony7450
    @tabuanthony7450 22 години тому

    Tapeli ww mbowe unawateka hafu unaisingizia serikali

  • @HebroniMwakanyika-rw3xl
    @HebroniMwakanyika-rw3xl 10 годин тому

    hapo kwenye msaada yupo sahihi, afya kwanza mengine yafuate

  • @swalehaltooq5233
    @swalehaltooq5233 День тому +1

    Unaongea ukweli mtupu mtu nakamatwa kama kuku mauaji yamezidi Tanzania inatisha sifa mbaya zinafika duniani nchi inakuwa na dosari Tanzania iataogopwa kimataifa nchi isiyokuwa na usalama

  • @athanasmasmami5389
    @athanasmasmami5389 3 дні тому +1

    Nashangaa ata watu wanaopenda ccm yan😢