RC CHALAMILA AWAVUNJA MBAVU WATU - AIMBA WIMBO wa SAIDA KAROLI -UTEUZI BAADA ya KUOMBEWA na MWAMPOSA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • RC CHALAMILA AWAVUNJA MBAVU WATU - AIMBA WIMBO wa SAIDA KAROLI -UTEUZI BAADA ya KUOMBEWA na MWAMPOSA
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 31

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @Isack-b9k
    @Isack-b9k Місяць тому +8

    Chalamila mkuu wa mkoa ni mwanafalsafa mzuri sana namkubali sana

  • @perpetuakicheleri-zk5ly
    @perpetuakicheleri-zk5ly Місяць тому

    Amina baba 🙏🙏

  • @ceciliamlowola5980
    @ceciliamlowola5980 Місяць тому +3

    Kwa Mungu kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri kuwa yeye ni Bwana

  • @DoreenVictor-qi9ld
    @DoreenVictor-qi9ld Місяць тому

    Ameeeen

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Місяць тому

    Ameen Mkuu wa Mkoa

  • @MkapaLucas-h5j
    @MkapaLucas-h5j Місяць тому

    Mkuu wee unaona mbari Sana ubarikiwe

  • @wabaremasandiko1024
    @wabaremasandiko1024 Місяць тому

    Mungu apewe sifa na utukufu!!

  • @Sarakiseo-e3q
    @Sarakiseo-e3q Місяць тому +3

    🎉🎉🎉ya baraka Kwa mkuu wa mkoa na mtume mwamposa,nibariki Mimi uchumi ukue ninunue gari,nifuge kuku wengi,niwe na biashara kubwa mzuri ya kipato kikubwa,nijenge nyumba mzuri Hadi washangar,

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 Місяць тому +1

    🎉🎉

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute Місяць тому

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Albert chalamila ni muongo sana unasema mkoa upo salama wakati watu wanatekwa na hawapatikani paka leo

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew Місяць тому

    Mwamposa nakusihi sana aposto wangu mwamposa acha kuwapa nafasi hawa watu waropokaji kama huyo charamila anaanza kuongelea siasa tena kwenye jukwaa la madhabahu.

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew Місяць тому

    Chizi kapewa maiki wewe na dili wapi na wapi mpuuzi usilete siasa kwenye neno la mungu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Місяць тому +2

    Chalamila....
    Mara wewe mwislamu....mara wewe Mkristo.....
    Sema neno Moja tu ....wewe ni mtafuta Mungu..
    Iwe heri kwa nchi na watu Tz

    • @JonathanNelson-l8h
      @JonathanNelson-l8h Місяць тому

      Uyo ni kiongozi elewa neno uongozi na unaongoza watu wa dini tofauti lazima uwe nao wote

  • @EvaEva-rk9pl
    @EvaEva-rk9pl Місяць тому

    Nikweli

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Місяць тому

    Dini na siasa. Siasa inatumia dini kwa maslahi. Na hii ni Mbaya kwa Taifa. Means siasa kuhubiri siasa na dinî kwa wananchi ni hatari kubwa sana sana.

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu4335 Місяць тому

    Mwamba na NUSU chalamila

  • @mako331
    @mako331 Місяць тому

    Wakati mwingine haya mambo ya imani ni vizuri tu kunyamaza. Wezi na wahuni wengi wameingia kwenye dini, na ilitabiriwa muheshimiwa soma matayo 24 Yesu akawajibu, “Jihadharini msije mkadanganywa na mtu. Maana wengi watatokea wakisema kila mmoja kwamba yeye ndiye Kristo nao watawapotosha watu wengi

    • @japhetkasenga8686
      @japhetkasenga8686 Місяць тому

      Jaribu na wewe huo uhuni kama utafikisha hata watu 10

  • @philipomwazyunga4572
    @philipomwazyunga4572 Місяць тому +2

    Hunaga Siri ww chalamila..nilijua TU utasema yote...ha ha ha ha

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 Місяць тому

    Siasa kanisani

  • @SuzaniKelvin-p9z
    @SuzaniKelvin-p9z Місяць тому

    Maneno ya hekma kutoka kwa mkuu wa mkoa uenda alikua mchungaji,mungu akutie nguvu in the name of Jesus

  • @Isack-b9k
    @Isack-b9k Місяць тому

    Mkuu wetu wa mkoa dar ,chanika tunaibiwa sana usiku wanavunja nyumba na inasemekana wanaweka dawa za usingiz waweze kuiba

  • @wilfredlukowo9476
    @wilfredlukowo9476 Місяць тому

    Siasa na dini havitengani acheni kupotosha

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 Місяць тому

    Tutashinda tu

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 Місяць тому

    Chalamila uko mchungaji kabisa

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 Місяць тому

    Comment za waliofeli utaziona. Nyamaza muache mtumishi afanye kazi yako

  • @RahmaHersi-s1k
    @RahmaHersi-s1k Місяць тому