Jamani masheikh wetu wanapata tabu na vifaa, naona wanahangaika kutupatia sauti, tujitahidini kwa alonacho achangie ili tuelimike sisi na ndugu zetu hawa, ni kazi kubwa wanafanya naamini mimi na wewe tumeshindwa, je hatuwezi kuwa nao pamoja kwa kuchangia vifaa, Inshallah Mungu atuwezeshe waislamu na hata mkristo akijiskia kutoa hawa ndio wakuwapa sio wachungaji, nadhani mnaona elimu mnayopata na maswali mnavyouliza
Dua zetu tunawaombea ma sheikh wetu Allah akupeni afya za mwili na umr tawil na utajiri muendeleze dini ya kiislam na Allah azidi kukufungulieni Zaid muzidi kuingiza washirikina makundi kwa makundi ktk dini ya haki ya Allah
Wah..wallahi wakristo cjui kwann wanapenda maneno ya kuzua yaani ntasema wao ndio bidaa ni halali kwa dini yao maana hakuna ukweli uzushi tuu ati yesu alibakisha nywele kwa kaburi lake
MashaAllah Tabarak Allah. Mimi sikuzote nasema hakuna kazi iliobora duniani hivi sasa kama hii ya Daawah. Wakristo wengi sasa wanajua Mungu ni nani. Hivi karibu neema ya Mwenyezi Mungu itatufikia watu wengi wakisema " SUBHANALAH WALHAMDULILLAH WALAILAHA ILA ALAH WALAHAULA WALAKUWATI ILA BILAH".
Too sad! could not follow the conversation as there was no sound. Pls sheikh do something. Some of us are addicted and religoiusly follow your clips evry day
Kweli mungu hi mmoja lakini hakuteremsha vitabu viwili ila aliteremsha one by one na Paulo akaja kufogi biblia juu yake kwa kuchukua vitabu 3 vilotangulia na kuchnganya na maneno yake.
MMMMMMH ATA NYAMA YA NGOMBE AU NYAMA YA MNYAMA SIKU TATU HAHIWEZI KUACHIKA NAKUNAKIA MIFUPA DUU JAMAA NIWASHINDANI SANA NAKUEPAMBA BIBILIA KAMA WANAHIJUA KULIKO WALIOANDIKA
KIZUNGU KIZUNGU HIVI KWANI NUT MWEUSI ALIKUA NYANI KAMA WAZUNGU WANAVYOSEMA NA JEE SHITANI NI NTU MWEUSI AU WAZUNGU JAMANI WAMEPOTEZA WATU AU NDUGU ZETU
Kwanza DNA haitoki kwa nywele bila mzizi na pia dna haitoki kwa mfupa imekauka DNA inatoka flesh and the fluids of the individual There was no dna technology then.
Jamani masheikh wetu wanapata tabu na vifaa, naona wanahangaika kutupatia sauti, tujitahidini kwa alonacho achangie ili tuelimike sisi na ndugu zetu hawa, ni kazi kubwa wanafanya naamini mimi na wewe tumeshindwa, je hatuwezi kuwa nao pamoja kwa kuchangia vifaa, Inshallah Mungu atuwezeshe waislamu na hata mkristo akijiskia kutoa hawa ndio wakuwapa sio wachungaji, nadhani mnaona elimu mnayopata na maswali mnavyouliza
Yeah hii microphone yetu inamatatizo kindogo but inn shaa Allah tutajaribu tuone itakuwa aje
Mashalla sheikhs wetu mungu awalinde
MashaAllah Tabarak Allah
Quran surah Bakhara aya 111
Saalim and hassan good work brothers I love you for the sake of ALLAH
We love you too for the sake of Allah
Ezra atowe basi original language Aramaic inasema aje 😂😂😂 sheikh akija tena mwambie otowe
Hiyo kutawaza ilikuwa amri ya yesu imeondoka na amri mpya alopewa. Mtume Muhammad saw.
Ma shaa Allah brothers may Allah bless you for the good work.
Leo nimechelewa lkini Alhamdulillah tupoooo🎉🎉
Maana ya yesu kusema mimi ni mwalimu maanayake nakufundisheni halina ubishi hilo.
mashaallah ALLAH awazidishie
Dua zetu tunawaombea ma sheikh wetu Allah akupeni afya za mwili na umr tawil na utajiri muendeleze dini ya kiislam na Allah azidi kukufungulieni Zaid muzidi kuingiza washirikina makundi kwa makundi ktk dini ya haki ya Allah
Aamiin Yaa Rabb Al 'alamiin
Aamiin amiin amiin
Wah..wallahi wakristo cjui kwann wanapenda maneno ya kuzua yaani ntasema wao ndio bidaa ni halali kwa dini yao maana hakuna ukweli uzushi tuu ati yesu alibakisha nywele kwa kaburi lake
MashaAllah Tabarak Allah. Mimi sikuzote nasema hakuna kazi iliobora duniani hivi sasa kama hii ya Daawah. Wakristo wengi sasa wanajua Mungu ni nani. Hivi karibu neema ya Mwenyezi Mungu itatufikia watu wengi wakisema " SUBHANALAH WALHAMDULILLAH WALAILAHA ILA ALAH WALAHAULA WALAKUWATI ILA BILAH".
Ukweli kbs mashalla
Allah awahifadhi yarab
daawa nzr maa shaa Allah
Asalm walaikum warahmatullah wabarakat
Shekh Salim Sauti inapotea sana kwa hii video
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh mitambo yetu ndio iko na shinda but inn shaa Allah tutarekebisha
Assallam aleikum mashekhe wetu Allah awahifadhi sana nafurahi sana kuwaona tena
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
JazakAllah Kheir Sheikh zetu. Sheikh Salim, Kala Singh hawaabudu, Ngombe wanasema wanafata Mtume wao anaitwa Guru Nanak. Wahindi Baniani ndio wanaabudu Ngombe
Thanks for collection
Wajib.
Masha Allah 🥰
Sauti ulipotelea at very sensitive point subhanallah
Tatizo huyo jamaa ni Kiswahili kinapiga chenga. Ubishi mwingi huleta ujinga. Achana nae. Hajui maana ya Usafi.
Shukran saana🙏🙏🙏🙏
Sheikh salim huyo mzee ndio amenifurahisha sana kuhusu picha ya yesu
AS'SALAAM ALAYKUM WARAHMATUALLAH SHEIKH HASSAN EKIWA HUYO ALISEMA ANATAWADHA SAWA KAMA ANATAWADHA UNAOHAJA YAKUMUETA MUONGO BALI ANAJIDANGANYA MWENYEWE NAFSI YAKE ANEZOWEA KUDANGANYA KAMA WAKOLONI WAKIJA HUKO NAKIDANGANYA NAKUFUNFISHA BIBILIA KIMNE LENGO LAO WAKOLONI ELIKUA WANAFUNZA BIBILIA NAKUWAVHIA NDIGU ZETU NAWAKOLONI KUCHUKUA MASHAMBA
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Andante interpreter Salim juu ya yesu kufufuka.
Mashaalah
MashAllah
Asalamu alekumu mashala mungu amulidi kwakilajabo ❤❤
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Too sad! could not follow the conversation as there was no sound. Pls sheikh do something. Some of us are addicted and religoiusly follow your clips evry day
Inn shaa Allah but it's a small part where our microphone stop but we will rectify
Ukweli utazidi kubainika, Inshaa Allah
Sauti mushkilat..... assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Assallaam Alaykum Warhamatullah Wabarakatuh.Hapa kuanzoa kwenye manemo yaliyofungwa sauti imekata hatujasikia ufafanuzi wake
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh microphone yetu inamatatizo but inn shaa Allah tutarekebisha
Sasa yesu si alionekana na wafuwasi wake na akaomba samaki n asali😂😂😂 mungu mzungu na anakabila ya kiyehudi.
ALISOMA KIZUNGU SHULENI MBONA SASA UNAONGEA KISWAHILI SAWA NA FASA LAKINI YOTE NINI UZUNGU WAMEUVAA KUMBE WANADANGANYA WATU TU
MMMMH AMETABIRIWA NAPIA KUPEWA JINA EMANUEL KWAHIO LEO TENA SIO YESO AU SIO JESUS KWAHIO YUPO NAMAJINA KADHA MMMMMH WAZUNGU JAMANI WAMELETA BALAA
❤🎉😮😅😊
Sijui ni kusudi ama ni gani kuji fanya wakumbavu😂
Allah awaongoze waione haki
@@salimdaawah123 Ameen
SHEIKH HASSAN KARIOKI EKIWA ANATAWADHA SAWA BALI ANAJIDANGANYA MWENYEWE NAWAFUASI WAKE WA DINI YAO AU YAKE
Kweli mungu hi mmoja lakini hakuteremsha vitabu viwili ila aliteremsha one by one na Paulo akaja kufogi biblia juu yake kwa kuchukua vitabu 3 vilotangulia na kuchnganya na maneno yake.
MMMMMMH ATA NYAMA YA NGOMBE AU NYAMA YA MNYAMA SIKU TATU HAHIWEZI KUACHIKA NAKUNAKIA MIFUPA DUU JAMAA NIWASHINDANI SANA NAKUEPAMBA BIBILIA KAMA WANAHIJUA KULIKO WALIOANDIKA
KIZUNGU KIZUNGU HIVI KWANI NUT MWEUSI ALIKUA NYANI KAMA WAZUNGU WANAVYOSEMA NA JEE SHITANI NI NTU MWEUSI AU WAZUNGU JAMANI WAMEPOTEZA WATU AU NDUGU ZETU
41:10 mafi sout.
We will rectify inn shaa Allah our microphone just stopped
Kwanza DNA haitoki kwa nywele bila mzizi na pia dna haitoki kwa mfupa imekauka
DNA inatoka flesh and the fluids of the individual
There was no dna technology then.
🎤 inaleta tabu
Ni bei gani
Huyu mzee hajielewi
Jesus Washing his disciples was not in temple