"NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 кві 2020
  • "NILIFUNGWA MIAKA 30 BILA KOSA, NIKAPATA KISUKARI, RAFIKI ALINIPONZA" | TESTIMONY
    Ushuhuda wa kijana aliyehukumiwa miaka 30 jela kutokana na makosa ya rafiki yake na baadaye kutoka kwa ruhusa ya Rais John Magufuli.
    Ushuhuda wake unamafunzo mengi hasa kutokukata tamaa katika safari ya maisha.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
    (+255 784 888982)
    (+255 676 229628)
    Email: globaltvbest@gmail.com
    abbymrisho@gmail.com
    HABARI MPYA DAILY:
    bit.ly/habarimpya
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    GLOBAL RADIO TV:
    bit.ly/255globalradio
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    bit.ly/exclusive_interviews
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania

КОМЕНТАРІ • 23

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 4 роки тому +2

    Hiyo ndio nchi yetu ilivyokua, uonevu mpk basi, kwa ss tumshukuru Mungu mzee baba yuko makini Muheshimiwa wetu mr Magu💪

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 4 роки тому +5

    Simnge weka hata mawasiliano yake ili hata tumchangue kidogo za dawa na hata biashara kidogo😞

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Рік тому +1

    Daaa🙆jera kwakwer Uskiye Tu 😭pole Sanaa kaka Angu kwachangamoto 🔥Mungu Atakupigania🙆

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 роки тому +1

    Maskeen pole sana kaka yangu Mungu Mkuu

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 роки тому

    Pole Allah akufanyie wepesi

  • @raphaelenoc6965
    @raphaelenoc6965 4 роки тому

    Pole Sana

  • @kanjunjujhone5481
    @kanjunjujhone5481 4 роки тому

    Pole kaka Allah atakulipaa kwa kila jambo

  • @nomatter1239
    @nomatter1239 4 роки тому +1

    Inauma snnn

  • @mwajumakweli7931
    @mwajumakweli7931 4 роки тому +1

    Pole sana kaka

    • @fiacredady1107
      @fiacredady1107 4 роки тому

      Kaka pole sana serekali ikulipe tu.hahna hatya.

  • @wenge4x423
    @wenge4x423 4 роки тому +1

    mtihani mkubwa sana

  • @hekimasanga3952
    @hekimasanga3952 4 роки тому

    Mtihani mkubwa sana 😢😢😢

  • @zaramunir8238
    @zaramunir8238 4 роки тому +1

    Sooo sad 😔 😭yani inauma sana kwakweli angekuwa ulaya asingefungwa hivo na wangemlipa muda wake wote aliopotezea jela pour africa pole sana

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 роки тому

    Pole sana sjahawahi kuona😥 mwenye haki ameachwa na MUNGU🙏

    • @user-ij2bf8of8h
      @user-ij2bf8of8h 4 роки тому

      ⁰ppĺ⁰⁰⁰ said ĺ⁰⁰l⁰⁰0⁰lpl0p⁰pp0l0

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 4 роки тому

    Wamekudhulumu na mungu atawahukumu wote walokudhulumu

  • @remigiuskomba639
    @remigiuskomba639 Рік тому

    Dunia hii dah!

  • @himoda7647
    @himoda7647 Рік тому

    Sass apo mmemsaidia nn angeyoa namba ya Simu

  • @mwajumakweli7931
    @mwajumakweli7931 4 роки тому +1

    Ad nimetokwa na machozi

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Рік тому

    tanzania sheria mbovu uchunguzu wa police mbovu

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele 4 роки тому

    Ulizaliwa 1976 kwa hiyo ulifungwa na miaka 14 kama ulifungwa miaka 30 Sasa unassmaje ulipofika miaka 20 ukaanza biashara?

  • @salumjabir813
    @salumjabir813 10 місяців тому

    Tanzania hii...huna hela u can't survive..keai ya kijinga namna hii auntakuwa mzalendo kwel na nchi hii??