ASIMULIA ALIVYOKAA JELA MIAKA 9 KISA MAUAJI “NILIMUAZIMA GHETTO RAFIKI YANGU AKAMUUA MPENZI WAKE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 сер 2022
  • Leo nakukutanisha na Tumaini Mabula Kijana mwenye umri wa miaka 32 ambaye kiasili ni Mzaliwa wa Simiyu na alikuja Dar es salaam kutafuta maisha tu, mwaka 2013 alikutana na majanga yaliyomfanya aishie kukaa mahabusu kwa miak tisa na ametoka mwaka huu.
    Mwezi February 2013 akiwa anaishi Mwananyamala aliazimwa gheto na Rafiki yake ili apumzike na Mpenzi wake , Tumaini akaondoka kwenda Kariakoo alikokuwa anafanya shughul8 za kujitatutia kipato na kuwaacha wawili hap ndani kwae, aliporudi Jioni alimkuta Mwanamke yule Mpenzi wa Rafiki yake akiwa amefariki, wakati huo Rafiki yake tayari alikuwa ameshatoroka na tangu hapo mzigo wa kesi ya mauaji ukamuangukia Tumaini..
    Kwa sasa ametoka Mahabusu na hana msaada wowote, hana pa kulala, hana kazi na hana Ndugu wa kumsaidia, amekuja mbele ya Watanzania kuomba support, Tunae Tumaini kwenye Exclusive interview na anasimulia mkasa wake wote kwa urefu, namba za kumsaidia ni 0688580756 Abilahi Abdallah

КОМЕНТАРІ • 779

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 Рік тому +138

    Huyu jamaa ukimskiliza vzuri anatufundisha Sana kumshirikisha Mungu Kwenye mambo yako

  • @frolawihenge2078
    @frolawihenge2078 Рік тому +148

    Mungu akutetee sana kijana Mabula .Kuna nyumba Mlandizi haijaisha sawasaw lakini inaweza.kukaliwa na watu uko tayari kukaa huko?Tena bure sababu mateso uliyoyapata yatosha.Mungu akusaidie.

    • @OnlyRuky
      @OnlyRuky Рік тому +4

      Watafute kina Millard wamuulize yeye hata cm ya kuona ujumbe hana

    • @sikatendeshabani2490
      @sikatendeshabani2490 Рік тому +4

      @@OnlyRuky duh nipe number yak ni mcheki ata fungo la kumi

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Рік тому +3

      Angalia dk ya 34 namba zake zimeoneshwa, chukua umpigie mshikaji

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Рік тому +2

      @@sikatendeshabani2490 dakika ya 34 angalia namba zake zimeoneshwa

    • @trillianbennahbennah5312
      @trillianbennahbennah5312 Рік тому +2

      Watu wa tanzania ebu niambieni buku ni shilingi ngapi

  • @poployalty9403
    @poployalty9403 Рік тому +183

    Daah nimejifunza kitu sana jamaa alikuja ofisini kwangu akiwa na simu ina password akaniambia naomba unifrashie hii sim nimepewa ili niende na mawasiliano kwa millard ayo...akaniadisia kidogo moyo wa imani ukaniingia nikamfrashia bure japo wenzangu waliniambia uyo analolote katoka kuiba iyo...daaah sasa leo namuona hapa moyo umeshtuka sana kumbe ni kweli....nimeelewa maana ya usi ukumu kitabu nje kabla ujakisoma.....#Tumsaidien

  • @nouvamusik3482
    @nouvamusik3482 Рік тому +64

    Millard ayo jitolee umsaidie uyu kijana kwa sababu naamini huez shindwa tafadhali kaka 🙏,,,🇰🇪

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Рік тому +43

    Ntakutumia pesa Kaka yangu Mungu akipenda pole sana Na matatizo kumbe polisi wana treat watu vizuri sana sikujua pole sana na matatizo

  • @estameryngogo594
    @estameryngogo594 2 місяці тому +2

    Pole Sana, Leo ndio nimekuona kwenye mahojiano na Upendo TV.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Рік тому +46

    Haya waazimisha mageto amkeni uko mtapewa kesi ziwaharibie maisha,,, pole sana bro ni mitihani ya maisha Mungu atakusaidia 🙏🏻

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Рік тому +4

      Na hao wanaenda kuomba geto alete girl friend wake wajifunze fuateni mila na desturi na utamaduni turudi kwa mola

    • @zenadaudzena2849
      @zenadaudzena2849 Рік тому +1

      😂😂

    • @jacksonjohn5686
      @jacksonjohn5686 Рік тому +2

      Kwakweli

    • @bongorecaps3558
      @bongorecaps3558 Рік тому +2

      Nyie acheni tu hii kitu Kuna siku nilimpelekea moto mtt wa watu akageuza macho akazima nashkuru kummwagia maji akazinduka ila sasa hv hata nikiingia lodge naomba sana lisitokee jambo

    • @mdta8161
      @mdta8161 Рік тому

      @@bongorecaps3558 🤣🤣🤣

  • @rashidikawanga2941
    @rashidikawanga2941 Рік тому +47

    Umeongea yote mazur na tumejifunza kaka lkn kubwa pia hilo la kusaidia wenye kuhitaji 👏👏👏 na Mungu atakubless siku zote na ufanikiwe pakubwa 🤲🤲🤲🙏🙏🙏

  • @martinymaryogo8753
    @martinymaryogo8753 Рік тому +48

    Aseee pole sana mdogo wangu, pole sana, ila MUNGU ndo kila kitu utainuka na utakaa pwa tu tena sana, ucje ukajutia kwa lolote, ni sehemu ya maisha ulipitishwa maan kuna wengine wako uraian lkn ni wagonjw na hawawez hata kucmama,ko ww shukuru uko na afya yote MUNGU anafungua kwa wakat wake kwa kila alie wake.

  • @yusuphmtumweni5829
    @yusuphmtumweni5829 Рік тому +31

    Duh kupitia ushahidi wa macho tunajifunza utukufu wa Mwenyezimungu hana mfano na kiumbe chochote

  • @nsumburoote2486
    @nsumburoote2486 Рік тому +58

    Nitakusaidia mtaji in shaallah na naomba watz tumchangie apate pesa Ya passport nitamtafuta kazi

  • @user-lf9eh4mz1j
    @user-lf9eh4mz1j Рік тому +15

    Duh nimeamini kweli wanaufungwa jela wote sio wenye hatia Allah akupe subra

  • @nunizedon8876
    @nunizedon8876 Рік тому +5

    Respect sana Millard wew ndio sababu kuu ya kumsaidia huyu kijana bila ya wew tusingemjua mungu atakulipa kaka .

  • @rabylicious7178
    @rabylicious7178 Рік тому +35

    Allah akujaalie pole hiyo n mitihani ya mwnyezi mungu uckate tamaaa🤲🙏

  • @donalddonald3190
    @donalddonald3190 Рік тому +23

    the guy is damn innocent 😥😥

  • @majidisalumu3260
    @majidisalumu3260 Рік тому +19

    Looh, Nimeumia Sana Kiongozi😭 Tupatie Namba Yake Tumsaidie Japo Kidogo

  • @Milla_2024
    @Milla_2024 Рік тому +7

    Thanks millard ayo hii content naamini kila mtu amejifunza na tumuombee jamaa atimize ndoto zake Muda bado upo..!!🙏🙏

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Рік тому

      Mkuu tusidanganyane watu wamejifunza kwa kusikiliza tu hapa ila walipoweka cm pembeni mambo yaliendelea pale pale ukitaka kuamini sisi wa afrika au watu wote ni vichwa vigumu unakuta mtu yupo hospitality amekaa mapokezi anaangalia TV wanaweka yale mambo unakuta uume au uke umealibiwa na magonjwa ya zinaa au anaona jinsi watu walivyoathirika tunashauliwa tutumie condom ila akitoka hapo hospital unazani anakumbuka hilo tena ndugu yangu hapo ndo utajua kumbe shetani yupo kazini

  • @victormessy7130
    @victormessy7130 Рік тому +3

    Pole Sana kaka @milard naomba kumuona huyu jamaa,naweza saidia chochote. Dah 9years inamtosha mtu kua Billionaire

  • @Stellaetesha
    @Stellaetesha Рік тому +8

    That can happen to anyone kwenye system ambazo uchunguzi wa ukweli haupewi kipao mbele. Tanzania justice system has to improve! Pole sana Tumaini.

  • @athumanimtajih
    @athumanimtajih Рік тому +52

    Funzo kwenu mnaoazimana ghetto kwa ajili ya kumpa support shetani

    • @amossmabangotz2032
      @amossmabangotz2032 Рік тому +5

      Inategemea. Kaka sasa amekuja msela wako meshibana kinoma huwezi kumkazia mzee sema ndy hivyo kwenye maisha tusiwe wema sana

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 Рік тому

      kabisaa mshahara wa dhambi

    • @esthersiresire
      @esthersiresire Рік тому +1

      Nina Imani wewe pia ushawai saidiwa ghetoo so usiongee vibaya mwambie mwenzako pole Kwa yaliyomkuta tuu

    • @athumanimtajih
      @athumanimtajih Рік тому

      @@esthersiresire sijawahi hata hiyo tabia

    • @faithzamani1965
      @faithzamani1965 Рік тому

      @@athumanimtajih acha uongo ulikuwa unipeleki kule kwa rafikiako juu kule

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e2450 Рік тому +15

    Daah msukuma mwenzangu polee Sanaa,,ndo mapitoo nmejisikiaa vbaya Sanaa!!😥

    • @joycemachibya4380
      @joycemachibya4380 Рік тому +1

      Adi nimeumia jmn ,msukuma mwenzangu jmn upole nao sio mzuri 😢

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima3847 Рік тому +24

    I'm really sorry kaka all will be well in sha Allah ameen 🙏

  • @sharonmasawe5381
    @sharonmasawe5381 Рік тому +23

    ila wanaume wana hii tabia ya kuazimana vyumba sababu ya wanawake, wanasahau hatari kama hizi hata waskie vitu kama hivi wanasahau mapema sana

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Рік тому

      Sasa tunafanyeje ndo kusaidiana uko likikukuta unajumuika nalo tu we ukumbuki ata wewe nilikupeleka kwa msela wangu ushasahau hilo uoni kama tulisaidiwa tukamaliza kiu zetu tulizokua nazo

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Рік тому +20

    Mtihani pole kijana ndio tujifunze kwani katika hiiii duniya hakuna rafiki hasa ukipata tatizo wote walio wakia wema kwako watakukimbiya

  • @annamuro5937
    @annamuro5937 Рік тому +14

    Mungu si Asthumani.... Mungu anaishi, ni kuwa na subira tuh na kumtegemea Mungu... Kama ameweza kutoka jela basi na maisha yatamnyookea Kwa uwezo was bawna Alie juu mbinguni, Mungu akufungulie milango ya baraka kaka angu

  • @ayubumbembati8658
    @ayubumbembati8658 Рік тому +3

    Kwenye Uhuru hapo umenigusa sana. Siku zote huwezi kujua thamani ya Uhuru kama hujawahi kuukosa. Uhuru tulionao una thamani saaaana!! Umepita kwny wakati mgumu sana lkn Mungu alijua unaweza na ndo sababu aliruhusu upite kwny huo wakati mgumu na akakuvusha salama. Usimwache Mungu wako siku zote za maisha yako. Pole sana bro, hii ndo dunia!

  • @sein.208
    @sein.208 Рік тому +5

    Subhana Allah
    Mtihani kweli kweli 😭😭 pole sana kaka.. Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi popote penye uzito🤲🏼

  • @sureiamboo
    @sureiamboo Рік тому +133

    Almost a decade 🥲, very sad. The Government should be responsible to pay him compensation for his lost life he spent in jail for the crime he did not commit!

  • @shukranjazzakhaallahukheir1897

    shukran Sana BB.,msaada ndungu zangu mwenye nacho mwenye nachumba apangishiwe nafunguliwe mradi.inshaaAllah

  • @aboumaburaramadhan4188
    @aboumaburaramadhan4188 Рік тому +10

    Pole sana bro hizi ndio story tunazo zitaka maana zinatufunza musilete story za ajabu

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Рік тому +20

    Kwa maelezo haya , mpelelezi wa hii kesi, hakumuelewa hata kidogo? Tunajua kesi ya mauaji hutumia muda mrefu lkn.....na mashahidi mbona kama walikua wapo? Miaka .. 9 .!!.
    Hilo jaribu ni gumu lkn naamini Mungu atakusaidia kijana..wema umekuponzaaa😭

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 Рік тому +4

      Asingeweza kutoka mpaka huyo muuaji kupatikana kwani mauaji yalitokea nyumbani kwake.

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Рік тому +1

      Hii story ya broo imenikumbusha wimbo wa ferooz wema wangu umenipoza

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Рік тому

      @@1stladyafrica402 kwaiyo asingepatikana angekaa ata miaka 50 na zaidi kuna mda serikali itizame upande wa pili kisaikolojia tu mtu kashaeleza kila kitu pale nikufanya upelelez wao wa kina kisha kumpa ata dhamana ya kuwa nje akishilikiana na mahakama na jeshi la polisi maana yeye asingeweza kukimbia wakat jambo akulifanya yeye kwaiyo angewapa ushilikiano polisi na mahakama vzur sasa mtu akuhusika miaka 9 je tufanye alieusika sasa asingepatikana au angelikuwa nae alishafariki je jamaa angeukumiwa au ndo ile kesi ingegeuzwa kuwa ameuwa bila kukusudia wakat sio yeye kuna jambo kama vile alijakaa sawa hapo kisheria japo cjui sana mambo ya sheria ila hilo litizamwe kwa jicho la nne

    • @dijasaid2994
      @dijasaid2994 Рік тому +1

      @@1stladyafrica402 yaani damu ya Binaadam kuitoa roho haiendi bure.... na HAKI ya mtu asie na hatia ipo japo inachelewaga... pole kwake maskini ALLAH amfanyie wepesi

    • @venancegaspatv1961
      @venancegaspatv1961 4 місяці тому

      shida ilikuwa pale kwenye DNA baada ya yeye kumshika bega na pia kururhusu getto kutumika inachukua muda kuonesha no connection

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Рік тому +5

    29 :09 MACHO ni zaidi ya camera ukiona ugomvii usisogeee yanarecord 💯

  • @thabealaizer3313
    @thabealaizer3313 Рік тому +2

    😭😭😭 anarudi Tena, Yesu anarudi Tena, utukufu haleluya tumbariki tumepona msifu Bwana anarudi Tena 🙏
    Pole sana kaka

  • @evancechangae
    @evancechangae Рік тому +21

    Very Sad 😢... MUNGU atakupa Mwanzo mpya 🙏. Na kwa kuwa umeweka namba hapo, tutakujali kwa chochote.

  • @fatimamv2723
    @fatimamv2723 Рік тому +7

    👏👏👏Asant sn kk nmejifunza mengi Kuna rafiki yng Huku warabuni Huwa wanapigana mm Huwa naingilia Kati bt Kwa maelezo yk nmekoma juu mm Bado kijana mdogo hawa umri umeenda n Huku si kwetu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Рік тому +29

    tatizo nchi za Africa hususan police hawawezi kazi kabisa hawana uweledi hata kidogo kazi kurundika watu jela wasio na hatia

    • @neemamathew7465
      @neemamathew7465 Рік тому

      Kwrrr kabisa😓😓

    • @elizagreen8098
      @elizagreen8098 Рік тому +3

      Shida sio police, shida ni sheria zenyewe vilivyotengenezea police hana mamlaka ya kumuachia mtu mwenye tuhuma hasa kesi za mauaji ni kipengele kidogo na hazina dhamana... Mpaka hukumu itakapotolewa

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 Рік тому

      @@elizagreen8098 sio hivo ki vp wakati wao uchunguzi miaka 20 ? sikiliza hiyo storimuuaji alipatikana kitambo kwanini huyo waliendelea kumuweka, ? police Africa ni shida tupu na kusingizia watu kesi

  • @ibra_muddy
    @ibra_muddy Рік тому +8

    True Story ila presenter una feli kwa kutokua serious. Ndugu yangu omba yasikukute.

  • @aminamollel5725
    @aminamollel5725 Рік тому +4

    Ni mara ya tatu Leo naangalia na kusikiliza hii na sijawahi comment, sababu hata sijui nacomment nini? Wacha nijitahidi tu😭😭😭😭 nimejifunza kuwafukuza vijana wote wanaolala kwenye ghetto la watoto wangu

  • @tanveermalik6182
    @tanveermalik6182 Рік тому +8

    😭😭 AKI SIMU WW UMEKUA NI TATIZO KUBWA DUNIANI POLE BRO ILA HII NI ELIM TOSHA KWENYE HUU ULIMWENGU WA SIMU .!!!

  • @brightlastborn4440
    @brightlastborn4440 Рік тому +4

    Dah pole sana bro, sema umezungumzia sim na ili jambo jana tu tulikuwa tunalijadili na washkaj zangu duh kumbe limekualibia maisha kiasi iko,pole sana

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Рік тому +2

    Hilo ni funzo usimwamini hadi rafiki ako na watu wapenzi waende kurent mungu akulinde😍😍

  • @abuumakiwa7121
    @abuumakiwa7121 Рік тому +4

    Ila tupongeze polisi ishu imetokea muda mref ila bado walikua wanafatilia mpaka baada ya miaka yote hiyo jamaa kapatikana..

  • @ianchristopher1950
    @ianchristopher1950 Рік тому +20

    safi sana, kumbe bongo kuna fingerprint and Dna detection

  • @zakiamseka9698
    @zakiamseka9698 Рік тому +3

    Mungu ni mwema mbaya wako alipatikana nawe uko huru ,Mungu atakupa mahitaji yako na amani tele.Watz tupambane tumpe support

  • @bintiAbdalla
    @bintiAbdalla Рік тому +9

    Duuuh pole sana kijana,yote ni maisha anza upya madhali we ni mzima mikono uko nayo pambana tu kaka

  • @mwajjumapolewema3041
    @mwajjumapolewema3041 Рік тому +5

    Story sio ya kuchekesha mtangazaji anajichekesha vipi

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 Рік тому +1

    Pole sana Aliloliandika Mungu huwezi kuliepuka kila tukio mungu ana sababu yakepia hua ni mtihani kwako..Mungu kakuvua bado mzima na kijana ...Jitahidi kaza tu kweri yako Mungu kaificha.. pambana mungu atakufungulia

  • @bhokesaid3264
    @bhokesaid3264 Рік тому +5

    Dunia hii kila kitu ni mpango wa Mungu tuombe sana hatujui mwisho wetu asee

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. Рік тому +10

    Asa mbona unaanza direct kutuhadithia badala ya kumuachia mwamba ndio atufungukie. Ukisummarize utawapa people uvivu wa kusikiliza video yote.

  • @Rafkazu
    @Rafkazu Рік тому +17

    Naomba namba yake nitamsaidia kwa malipo ya nyumba miezi mitatu

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo6861 Рік тому +7

    Stori ya kujifunza ni ndogo tuuu mwanamke sio wa kupiga basi

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 Рік тому +4

    Imeisikitisha sana haya maisha haya Pole sana kaka ni sehemu ya kujifunza pia mwenyezi mungu Akupe uvumilivu na afya njema bado utatimiza ndoto zako tu.

  • @clementiddi5708
    @clementiddi5708 Рік тому +21

    Ila legal system ya Tz hovyo sana. Pole sana na Mungu akupe rehema zake.

    • @Stavanger-cr3ee
      @Stavanger-cr3ee Рік тому

      Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto

    • @Stavanger-cr3ee
      @Stavanger-cr3ee Рік тому

      Clement, Legal system iko sahihi ila WASIMAMIZI wa mfumo huo ndio Changamoto

  • @sabinajoseph6733
    @sabinajoseph6733 Рік тому +1

    Poleee sanaaa.... Urafk wa hivi nimbaya sanaaa poleee utapata na Mungu Baba atkusaidia

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Рік тому +3

    tunaomba no ya huyu kijana pls we will support him

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 Рік тому +8

    Duuuuuh,eheee
    Mungu akufanyie wepesi ndugu yetu 🙏

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Рік тому +3

    Jamaa ni mkweli kuliko hata kawaida afu nimekutana naye hata siamini msala wake nahisi mungu anamaksudi naye

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Рік тому +3

    Daaa maisha haya😭😢😢 pole saña ndugu yàngu Mwenye enz Mungu atakusaidia ktk maisha yako

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Рік тому +7

    Wallahi mtihani pole sanaaaa mdogo wangu

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Рік тому +7

    Dah aise imeniuma sana amepitia mtihani kwa ajili ya wema dah pole sana kaka Mungu atakupa nguvu inshallah 🙏 umetufunza kitu kikubwa katika maisha ila pia mngetutajia namba zake za simu ili mtu kama utakuwa na chochote tuweze kumchangia angepata ata chumba na mtaji ili aanze kujipanga

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Рік тому +12

    Dah! Pole sana bro, mwenyezi mungu ndiye ajuaye.

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Рік тому +3

    Pole sana ndg yangu mungu kakusimamia umetoka na ridhiki mungu atakufungulia tuu inshaallah

  • @dorislinus8296
    @dorislinus8296 Рік тому +4

    Pole Sana kakaangu mungu hajawahi mwacha aliye wake

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d Рік тому +5

    Mambo ya sm kukaguwana n vifo nje nje aki me kuna sk nikagua sm ya mme 😥walai tuligombana nilipigwa sikurudia tena ndo ikawa fundisho cjawahi kagua sm yake mpka tulivyoachana uwiii pole sna kaka kwa changamoto uliopitia weka iman tuu ipo sk utasahau yote

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Рік тому +7

    Pole sana brother msaidieni jamani kijana huyu atia imani wallahi msaidieni please

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Рік тому +3

    Pole sana tumaini ila hongera kwa kutoka pia karibu uraiani ila tushukuru mungu umetoka bado kijana ,, tumaini mungu yuko nawe namini kwa uwezo wake ipo siku yatabaki story na unaonyesha unaakili mno utafika mbali nakuombea kheri

  • @thomaswenceslaus6677
    @thomaswenceslaus6677 Рік тому +8

    Acha asimulie story kwanza mwandishi una narrate story yote mwanzo ata hamu ya kusikiliza inakata.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Рік тому +3

    Pole kijana wangu hakika Mungu yuko nasi tunataka tukuwezeshe uone furaha tena sio kusafisha mitaro unahitaji kilicho chema zaidi sana.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Рік тому +5

    Daa, nimejifunza mengi. Kumbe ndiyo maana wanasemaga upelelezi unaendelea. Wee, sitosogelea penye matukio ya mauwaji ng' o. Pole Sana mdogo wangu . Apumzike salama Binti wa watu.

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Рік тому +2

      Mmh mimi ctoacha kushuudia nataka hiyo cctv ya macho na mimi ininase tu napenda kushuhudia matukio mimi

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Рік тому

      @@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣 utakipata, unachokitafuta. Mi hata 😔

    • @ricksonlyimo2662
      @ricksonlyimo2662 Рік тому

      @@shakilamasoud2983 kwakwer acha tu nikipate sipendi kusimuliwa mimi napenda kushuhudia live

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Рік тому

      @@ricksonlyimo2662 🤣🤣🤣🤣

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu4228 Рік тому +5

    Da! Mungu amsaidie sana

  • @thenewking_tv
    @thenewking_tv Рік тому +2

    Pole sana ndugu ni mapito tu hayo, bado ni kijana na una nguvu anza upya maisha mungu atakujaalia utakaa sawa

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 Рік тому +1

    MUNGU akubariki sana utafanikiwa tu, kila jambo hutokea kwsbb. pole sana kijana mwenzangu

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Рік тому +1

    Dah pole sana bro Mungu akufanyie wepes Inshaa Allah

  • @allyhafidhi4826
    @allyhafidhi4826 11 місяців тому +1

    pole sana bro mungu ni mwema muda wote amekupa mtihani na amekulinda Allah akujaze kila lenye kheri

  • @michaelbryson6916
    @michaelbryson6916 Рік тому

    Pole Sana na hongera kwa wapelelezi kwa kunusuru maisha yako kwasababu kazi waliyoifanya nikubwa

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Рік тому +2

    Mungu atakulipia kaka umepitia magumu Sana pole Sana kaka Mungu akakupe haja yamoyo wako kupitia jaribu ilo

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 Рік тому +6

    Du huyu kijana kapitia mtihani mgumu sana wa maisha ila selikali ismuache tu inabidi wamsaidie maana kahukumiwa kwa kosa lisilo lake miaka tisa sio mchezo

  • @mumuog7876
    @mumuog7876 Рік тому +1

    Dah mwanangu nimekukubali aise unajua kujielezea kiukweli Mungu akusaidie aise

  • @yohanamartin5177
    @yohanamartin5177 Рік тому +3

    Pole msukuma mwenzangu 🙏🏿

  • @Jenib_
    @Jenib_ Рік тому +3

    yaani Tanzaniani nchi yangu ila kuna watu evil sana dah pole sana Kaka .. contact zake laad Millard tunapataje? Mimi Kuna siku kidogo nichomwe kisu chooni yaani sitaki hata kukumbuka.

  • @beatrixmalakasuka1214
    @beatrixmalakasuka1214 Рік тому +2

    Pole sana kk Mungu akutie Nguvu

  • @sosthenesjairo7995
    @sosthenesjairo7995 Рік тому +6

    Dar..pole xana mwana na sisi maskini tunaetoka kwenda kutafuta mbali na nyumbani atukumbukwi na ndugu maana wanajua auna cha kuwasaidia kumbe m2 uko ndani dar toa namba ndg yany na karibu katika bwana

  • @andrewcharleskillaga6805
    @andrewcharleskillaga6805 Рік тому +1

    Tumaini Mabula-:Pole sana kijana..
    Imani yako itakusaidia..

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Рік тому +3

    Masikn pole sana my dear mtihani mizito huo ila Allah atakufanyia wepesi

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Рік тому +4

    Pole mdogo wangu imeniuma sana 😭😭😭🤲

  • @esternely7166
    @esternely7166 Рік тому +3

    Pole kaka lakin naendelea kuamin mungu ananguvu jina lake litukuzwe haki yako imeonekana

  • @getrudemsigala8481
    @getrudemsigala8481 Рік тому +3

    Aiseeee pole mno ashukuriwe Mungu mpaka sasa uko hapa🙏

  • @khadijakinyala9407
    @khadijakinyala9407 Рік тому +2

    Pole kaka ,wenye mageto mjifunze hili na maisha ya sasa visasi ni vingi mnoo

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Рік тому +11

    poleee broo.Nakumbuka sele alipewa kesi ya kubaka miaka 20 amekaa gerezani katoka kwa msamaha wa samia, kijana wa watu hajamaliza hata mwaka nje kauliwa

  • @happykiwelu1451
    @happykiwelu1451 Рік тому +1

    Mungu akujalie,

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Рік тому +5

    Kumbe tuna finger prints system Tanzania vizuri sana

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 Рік тому +1

    Daaah pole sana mwamba.. naamini bado ujachelewa, pambana muda bado unao.. maisha yetu hatujui mbele tunakutana na kipi.. hili ni funzo kubwa sana....alaf namba imefungiwa kupokea simu hii.. Sina uwezo wa aina ile Ila naamin mwamba ni mpambanaji tunaweza fanya Jambo..

  • @nyakundizachary4122
    @nyakundizachary4122 Рік тому +3

    So sorry wish we can send money from Kenya I'm willing to do so

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Рік тому +8

    Utapata kazi mdogo wangu mungu yupo na wewe utafanikisha tu bado kijana mdogo usikate tamaa

  • @innomchaga
    @innomchaga Рік тому +1

    Mwenyezi Mungu akujalie mafanikio broo.

  • @advocateerickpaulbakilana7485
    @advocateerickpaulbakilana7485 Рік тому +6

    Huyo mtangazaji somehow amezingua. Amemuacha huyo jamaa amejieleza na ameshindwa kumuuliza huyo mtuhumiwa mwenzake nini kilitokea. Ndio maana inatakiwa mtangazaji ajue field nyingine mfano sheria. Angejua sheria kidogo angeweza kumuongoza vizuri huyo jamaa.

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Рік тому +4

    Pole.lakini kwa kukusijiliza tu pe gine ni Mungu mwenyewe amekuadhibu.kwani huyo rafiki yako aliingia na mpenzi wake kwenye geto yako kufanya nae nini? je kitendo hicho kilimpendexa Mungu?
    Mungu ameshakusamehe ili tujifunze vijan wengine pia

  • @josephinaisaya9512
    @josephinaisaya9512 Рік тому +2

    Pole sana mdogo wangu Kwa yaliyokukuta

  • @nayrasayd344
    @nayrasayd344 Рік тому +2

    Pole sana kaka allah ni mwema kila siku tumejifunza kitu

  • @dorislinus8296
    @dorislinus8296 Рік тому +3

    Mungu akufanikishie maisha mapy