Magoli | Simba 1-5 Yanga SC | NBC Premier League - 05/11/2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
    Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
    Haya hapa magoli yote sita ya mchezo huu...

КОМЕНТАРІ • 214

  • @amrandee
    @amrandee 9 місяців тому +7

    Dear my child this is the best Young Africans 💛🖤💚 we have ever seen
    This was 5th Nov of 2023
    My joy was unconditionally indeed in this day ,

  • @anethmsaki4600
    @anethmsaki4600 6 місяців тому +8

    Aliyerudi leo like hapa

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal6750 Місяць тому +5

    Leo tar 5/7/2024..Nimekuja kujikumbusha tena..nani tena yupo hapaaaa kufurahia ma-unyamaaa😂😂😂

  • @user-eo5rv5mn3w
    @user-eo5rv5mn3w 9 місяців тому +26

    Hata Kenya 🇰🇪 ushabiki wa Yanga unanoga , heko wananchi ❤❤ mapenzi ya dhati

  • @fridahmasoi6693
    @fridahmasoi6693 8 місяців тому +47

    Nani amerudi kuangalia hii mechi leo kama mimi😂😂🖐🖐🖐

  • @DianaDaniely-ux1uw
    @DianaDaniely-ux1uw 9 місяців тому +8

    Nimerudi kuja kuangalia Tena jmn kumbe hawajasawazisha😂😂😂

  • @Ntabo393
    @Ntabo393 9 місяців тому +8

    HII NI HISTORIA NAKUWA MTU WA PILI KUCOMMENT NAOMBA LIKES ZANGU

  • @user-jv7qi1ff7c
    @user-jv7qi1ff7c 9 місяців тому +7

    Naangalia leo tena labda simba wanaweza sawazisha😂😂😂😂😂😂😂

  • @victoromingo3337
    @victoromingo3337 9 місяців тому +4

    Hii yanga inakuja na ubaya...ligi ya tz imetushinda...well organized... Hapa Kenya tu ni wababa tu wanapiga mechi...na watoto wao

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 9 місяців тому +3

    Leo wa kwanza apa wanayanga wenzangu💚💚💛💛

  • @danotieno284
    @danotieno284 9 місяців тому +3

    I love how Yanga are doing this, kudos

  • @andreashayo6266
    @andreashayo6266 9 місяців тому +5

    Mmetuheshimisha sana mashabiki wa yanga

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 9 місяців тому +2

    This is young Africa 💚💛

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 9 місяців тому +13

    Yaan KIBU waajabu sana amefunga goli ameanza na nyodo ya kuwafunga midomo mashabiki wa Yanga badae ndo amekumbuka kusali matokeo yake wakamkanda yeye kwanza akatoka nje likafuata timu lake likadidimizwa kbs🤣🤣🤣🤣

    • @icmdc1464
      @icmdc1464 9 місяців тому +3

      kabisaaa, simba tatizo majigambo🤣

    • @amisamaurid1882
      @amisamaurid1882 9 місяців тому +1

      😂😂😂😂😂😂💛💚💛💚💛💚💛💚

  • @dorismwaipembe
    @dorismwaipembe 9 місяців тому +6

    Hii mechi cwez shindwa kurudia kuangalia kila mara😂💛💚

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 4 місяці тому +3

    Baada ya kusikia trh 20/ 4 tunakipiga tena,,😂😂😂 nimekuja kutuma salaam kwa watani

    • @duwemei2062
      @duwemei2062 4 місяці тому

      umeniwahi😀😃😃😀

  • @jayrwalihmussa8475
    @jayrwalihmussa8475 9 місяців тому +3

    Ilove yanga😂😂

  • @KingJaguar111
    @KingJaguar111 9 місяців тому +2

    Dah! Kam utani vle,sem n kujifunz kutokana na makosa hoping that next time tutafanya vema,#Simba nguvu moja!❤️

  • @Shadia544
    @Shadia544 Місяць тому +1

    Nimejikuta nangalia tena hizi kipigo cha kolo 5G 1/7/2024 LIKE 10 KAMA NA WEWE UNARUDIA HIKI KIPIGO 😂😂😂

  • @saidmbarouk3553
    @saidmbarouk3553 8 місяців тому +1

    l love yanga africans 💚💛🖤

  • @ebbyescor7614
    @ebbyescor7614 9 місяців тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤ Yanga unatoa burudani sana

  • @Watototuimbe
    @Watototuimbe 9 місяців тому +6

    Gori la kwanza ni goli Kali kuliko yote.🤣🤣

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 9 місяців тому +13

    Asante sana Eng Hersi kwa kutupa Raha binafsi Kwa upande was Raha umetimiza kiu yangu kulipa magoli walio tufungaga na sikudai Kwa hili Bado kimoja tu yaani uwanja na najua utakamilisha soon ahadi zako zoye zinatimizwa na ninawaomba wananchi was yanga uwe Raisi wa kudumu na inawezekana TU mbona Rwanda Raid wao ni WA kudumu?

    • @amisamaurid1882
      @amisamaurid1882 9 місяців тому

      Point xana Mzee 💛💚💛💚💚💚💛💛

    • @EliberthElias
      @EliberthElias 9 місяців тому

      Ira kochawasimba ana2umiza moyo namanula wake

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 9 місяців тому +3

    Leo Azm TV mmenifurahisha kweli 😂😂😂😂😂

  • @raynaeafrica9464
    @raynaeafrica9464 7 місяців тому +1

    January 2024 Tujuane hapa😅😅❤

  • @charleskapaya4248
    @charleskapaya4248 9 місяців тому +3

    Asante chama rangu

  • @edsonleonci5113
    @edsonleonci5113 7 місяців тому +2

    Napenda kuiangalia hii mechi ni zaidi ya mara 50 sasa 😅😅😅😅

  • @duwemei2062
    @duwemei2062 4 місяці тому +2

    nimekuja kupitia hii kitu kabla ya mechi ya tar 20/04/2024

  • @stephanofyulla8448
    @stephanofyulla8448 7 місяців тому +2

    Nani anaangalia hii mechi mpaka leo 2024😂😂😂 Tabulele laa👋

    • @ummimyelle6561
      @ummimyelle6561 7 місяців тому

      Kumbe tupo wengi tunaofatilia mpaka hii leo

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 9 місяців тому +5

    Dah mm sio shabiki wa mipira ya Tanzania sipo Simba wala Yanga ila hakiamungu Yanga mpira waloucheza unafanana san na Man City mpira wakumfanya mpinzani aonekane kama team ya daraja la 3 dah balaa

  • @eidmbelwa8104
    @eidmbelwa8104 9 місяців тому +5

    Nimekuja ku-review nione walio hujumu timu lakini sioni kitu.... Wanawaonea tuu

  • @aloycemassawe900
    @aloycemassawe900 9 місяців тому +3

    Aseeh hii kwangu nikama dozi ya ukimwi Kila siku lazma niangalie

  • @ummimyelle6561
    @ummimyelle6561 7 місяців тому

    Cjui kwann naipenda yanga kuas iki yaan icpocheza naumwa mwenzenu😢 aki tena 💚💛🖤

  • @user-jx5om6jh4o
    @user-jx5om6jh4o 4 місяці тому +3

    22/04/2024🎉 baada ya kumfunga mtani

  • @nduwimanaradjabu6574
    @nduwimanaradjabu6574 9 місяців тому +3

    Sisi Sio Milima hatimae tumekutana, Huyu Pacome Zouzzoua Kiboko ya Makolo 😂😂😂

    • @icmdc1464
      @icmdc1464 9 місяців тому +2

      anawazoa zoa

  • @user-cs6vc6ff5y
    @user-cs6vc6ff5y 7 місяців тому +1

    Wananchiiiiiiiiiiiiiii this is young africa

  • @jozidasuperior7257
    @jozidasuperior7257 9 місяців тому +5

    Wameyatimba😂😂

  • @AnnaJoseph-ng2ei
    @AnnaJoseph-ng2ei 6 місяців тому +2

    Nani anaangalia marudio kama mimi😂😂😂😂😂😂

  • @user-eg5zp8wx4g
    @user-eg5zp8wx4g 6 місяців тому

    Nmemis Yanga yangu Leo nmeirudia hii gemu kuiyangalia💛💚💪

  • @shabanimbululo
    @shabanimbululo 9 місяців тому +4

    Mmevumiliaaaa mwisho mkaona mpost😁

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 9 місяців тому

      Wamepata pakutolea maumivu😂😂😂😂

  • @kyandoalpha9005
    @kyandoalpha9005 9 місяців тому +2

    Hii ndo Yanga sasa🙏🙏🙏

  • @thecafcl8409
    @thecafcl8409 9 місяців тому +3

    Simba ni team ndogo sana sana

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr 8 місяців тому +2

    Leo tena nmerudi kumwangalia shoga ake KMC😅😅

  • @anithaboniface229
    @anithaboniface229 9 місяців тому +2

    Nasikia raha sana jamaniiiiiiiiiii mm

  • @user-qx8ez6pw9p
    @user-qx8ez6pw9p 9 місяців тому +4

    Mie ndo naangalia Mda huu

  • @omarmatata-dc3mv
    @omarmatata-dc3mv 9 місяців тому +3

    TABULELE LAAAH😂😂YAAANI MPAAKA WASEEME NI MATESOO NA WATATESEKA MPAKA USIKU WA MANANEE😂😂😂😂💚💛👋👋👋👋👋

  • @maniqakebbe8323
    @maniqakebbe8323 7 місяців тому +1

    tulio irudia kuiangalia tujuane 2024 😂😂😂

  • @alexmosha-mk5ku
    @alexmosha-mk5ku 9 місяців тому +3

    Yaani hata Kwenye Marudio wamepigwa tena

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 9 місяців тому +3

    Kibu alikimbia mapemaaaa kasingizia zake kuumia ili aside delete na mchezo ili lawama zisimdondokee 😂😂😂😂

  • @user-ue2cn6qo2m
    @user-ue2cn6qo2m 7 місяців тому +1

    Mechi tamu sana hii sichoki kuiludia kutazama..😂😂😂

  • @DenisDaniel-rc2xm
    @DenisDaniel-rc2xm 5 місяців тому +2

    Naangalia leo tena

  • @issa_Tz
    @issa_Tz 7 місяців тому +1

    Baada ya kufungwa taifa stars nimeona niirudie video hii ili nijifariji

  • @newtonoskar1566
    @newtonoskar1566 9 місяців тому +3

    Nilizan atakua mpenja😢 atatangaza

  • @MussaRashid-dm3nv
    @MussaRashid-dm3nv 2 місяці тому +1

    Lomalisa noma

  • @greenparktv6926
    @greenparktv6926 9 місяців тому +2

    Simba wacoment wapi😂😂😂

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 9 місяців тому +4

    Maji yamezid unga polen Simba sasa muwe na adabu

  • @TINAMOLLELY
    @TINAMOLLELY 4 місяці тому

    Tar 2 /4 nimerudi hapaaaa

  • @maxmilliangabriel5244
    @maxmilliangabriel5244 13 днів тому +1

    Leo tr 8/8 nimekuja tena kujikumbusha jinsi tulivyo msulibu mnyama , na leo tena ni kipigo tu

  • @FrancisMaina-tq8wy
    @FrancisMaina-tq8wy 2 місяці тому +1

    Nimeikumbuka

  • @allekaddo
    @allekaddo 9 місяців тому +5

    5 ngapi?

  • @icmdc1464
    @icmdc1464 9 місяців тому

    yanga asantee, mmemfanya kitu kizuri mmeweka heshima🤗

  • @abdulhamimu7676
    @abdulhamimu7676 Місяць тому +1

    Nipo hapa naangalia

  • @kenya560
    @kenya560 9 місяців тому +1

    Mbona sio HD

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 9 місяців тому +3

    Bado naangalia mechi y jan ilvyokuw bad siamin🤔

  • @HamidaMponda-be3oo
    @HamidaMponda-be3oo 9 місяців тому +3

    Kila xiku naangalia hii crip

  • @daktariwamauzo
    @daktariwamauzo Місяць тому +1

    Hii ni dawa ya kunguni wanaotusumbua USIKU KUCHA 😂

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 9 місяців тому +2

    💚💚💚💚💛💛

  • @user-ei1bu4gv4u
    @user-ei1bu4gv4u 7 місяців тому

    Kweli mashujaa yanga hata kenya wanashabikia yanga aaaaaaaaah duuuu mungu wangu

  • @ramxomtum2babu414
    @ramxomtum2babu414 4 місяці тому +1

    Nimerudia leo mwezi mtukufu😂

  • @moviekaa
    @moviekaa 9 місяців тому +1

    Yaan hii mechi kila nikirudia kuitazama simba anafungwa goli tano alafu wafungaji walewale akina pacome , sijui mimi tu peke yangu au nyinyi wadau munaonaje?😂😂

  • @MarvelOsakah
    @MarvelOsakah Місяць тому +1

    Nimekuja kuangalia tena😂

  • @MwajumaaDooh
    @MwajumaaDooh 4 місяці тому +1

    Me kila siku narudia hii mechii😂😂

  • @gideonelias5379
    @gideonelias5379 5 місяців тому +1

    Nmeamua niirudie leo kabla hatujaenda robo fainal ya CAF

  • @PeterWiliam-tn1uo
    @PeterWiliam-tn1uo Місяць тому +1

    Nipo

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 9 місяців тому +3

    Gharibu mzinga hujawahig tangaza mechi tukafeli wananchi

  • @bihasnashehondo
    @bihasnashehondo 9 місяців тому +1

    Ila Azam hamjawaonesha mashabiki wa Yanga kwa ukubwa wake kwenye majukwaa wakishangilia .mlionesha sehemu chache tu za mashabiki wa Yanga

  • @user-di2sz5rx4x
    @user-di2sz5rx4x 7 місяців тому +1

    Kila siku napenda kuangalia

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 9 місяців тому +1

    Azam muwe mnatulea highlight mapema, tunakosa quality wengne ni mbovu kwel

  • @nahifatmatimba2398
    @nahifatmatimba2398 7 місяців тому

    Mimi hapa

  • @user-lf7ms4ud2y
    @user-lf7ms4ud2y 9 місяців тому +3

    Ni lini mpira ya kenya itakuwa hivi

    • @mwanahamisijuma7270
      @mwanahamisijuma7270 9 місяців тому

      Ata cjui kwakwli

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 9 місяців тому +2

      😂 nyie c mnajivunia English😂

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 9 місяців тому +2

      Mpira wa Kenya zamani ulikuwa juu...Ila inabidi mjipange Sana na pia siasa zipungue FKF.

    • @uhurujan2244
      @uhurujan2244 9 місяців тому

      ​@@ikouwasi7644😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-yx4xk3ti4t
    @user-yx4xk3ti4t 9 місяців тому +3

    oyaaaaa ni atari

  • @user-ru7np8ji9p
    @user-ru7np8ji9p 9 місяців тому +1

    Azam.mpo dunia.h mn maludio ya yqnga na azam.adi leo kenge nyny 😂😂😂💚💚💚🖐🏻🤸🏻‍♂️

  • @julianashani9408
    @julianashani9408 9 місяців тому +1

    kwaleo mmeona Aaka!! Yanini kususa, mlimwachia UTV 😂😂😂😂😂😂😂 imekaa powa kweli

  • @abdullynasry2205
    @abdullynasry2205 9 місяців тому +2

    Angalia goli la 4 utajua kuwa Inonga kaachia makusud angalia kwa makin 😢

  • @frozamhando6740
    @frozamhando6740 7 місяців тому

    Mimi Mwananchi😊😊😊

  • @AllyMaganga-cd8qm
    @AllyMaganga-cd8qm 4 місяці тому +1

    Nairudia hii game kila mda yaani

  • @anethmsaki4600
    @anethmsaki4600 8 місяців тому +1

    Wa leo tujuane

  • @RicardoMomo-vh6qu
    @RicardoMomo-vh6qu 9 місяців тому +3

    Hii wamelowa 😂duuh

  • @user-gq4hz6cn8l
    @user-gq4hz6cn8l 7 місяців тому

    mm nimeludi 🤚👐👐👐👐🖐️🖐️🖐️

  • @ernestfred6813
    @ernestfred6813 9 місяців тому +2

    Naangalia muda huu

  • @BsxRapuEnock
    @BsxRapuEnock Місяць тому +1

    mimi

  • @Ramadhan-rd5kf
    @Ramadhan-rd5kf 7 місяців тому

    Jaman hii mechi kunashabiki wa simba anayeludiaga kuiangalia kwel

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 4 місяці тому +1

    Tarehe 20/04/2024😂😂😂😂

  • @MwendaKizota
    @MwendaKizota 5 місяців тому +1

    Mmmh

  • @halimahassan5107
    @halimahassan5107 9 місяців тому +1

    Tabulele laaaaaaaaaa😂😂😂😂

  • @lusekelo97
    @lusekelo97 9 місяців тому

    Sawaaa

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 9 місяців тому +2

    Musonda goli la kikatili

  • @Holyghostpower.
    @Holyghostpower. Місяць тому

    Nimekuja Tena kuangalia kipgo

  • @shabanimbululo
    @shabanimbululo 9 місяців тому +1

    Hatujamalizaaaaa😅😅

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc 9 місяців тому +2

    Magoli matam sana