ASANTE SANA KWA ELIMU ila Kwa yeyote anayesoma hii.. nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.!
Asante sna Kaka nimefurahia sna mafunzo yko ila katika vinanipa tabu sna hili suala la kumtafuta menta wako pamoja lingine la kumtauta aliyefikiwa kuliko wwe inakuwa n mitihan sna
Miaka 5 ijayo labda ntakua kaburini Malengo yangu ni mwa ujao insha, Allah sai niko kwenye mikakati na nisiri yangu manake binadamu wamekua na husda Sana. Thanks.
Asante sana Betty Obedy kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Unacho takiwa kufanya ni kuchunguza kitu gani haswa kimepelekea biashara yako ifeli.. Na ukisha gundua hicho kitu usi kirudie tena uki kirudia tena utafeli tena..
Thank you my Brother Victor Mwabene you made it Bro your lessons are very helpful indeed, Shout out To the entire Team of Success path this is the real meaning of EACH ONE TEACH ONE we Appreciate you guys🙏🙏🙏🙏
ASANTE SANA KWA ELIMU ila Kwa yeyote anayesoma hii..
nakuombea Baraka na maisha marefu yenye mafanikio tele. siku njema iwe kwako na kwa familia yako YOTE.!
Amiin kwa sote inshaa Allah 🤲🤲
Same to you 🙏
Amin
Asante mwalimusinasapoti, Zidi kuhusu elimuhii Mmungu nisaidie huu mwanzo Amin ...
Ahsante sana kaka Victor...najifunza zaidi jinsi ya kufocus ktk maisha.
Asante sana sana sana zaidi ya sanaaa umenifunza sanaaa brooh
Elimu nzuri Sana spn mko vizuri
Mwenyezi Mungu akubariki sana kaka Victor. Nimekuelewa vizuri.
Asante sna Kaka nimefurahia sna mafunzo yko ila katika vinanipa tabu sna hili suala la kumtafuta menta wako pamoja lingine la kumtauta aliyefikiwa kuliko wwe inakuwa n mitihan sna
Nimependa elimu hii
Assante saana kaka, mara ya mwisho nitaomba tuwasiliane unisaidie kibinafsi.
Nice my brother .success paths is direction on my future
Asante Kaka mmekuwa wakomboz wa maskin kwa elimu yenu
Asante Sana kaka
Ok
Asante sana brother malengo ninayo sema bado nakwama sijui nakosea wapi
Asante kwa kutupa elimu bureeeeee kabisa
karibu sana
Miaka 5 ijayo labda ntakua kaburini
Malengo yangu ni mwa ujao insha, Allah sai niko kwenye mikakati na nisiri yangu manake binadamu wamekua na husda Sana.
Thanks.
Asante sana kwa kutupa elimu ya bureeee allah akujalie sana kaka daaah kwa moyo huu vipo vitu vingi nimejifunza kupitia mafunzo yako kaka
Asante kwa somo nimejifunza kitu kikubwa sana barikiwa sana kaka
Asante sana Betty Obedy kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Iko vizuri
Shukrani kaka 👏
Asante sana kwa darasa👍👍👏👏
Asante kaka Victor Mwambene🙏 wallah umenifungua ubongo wangu
Bro nakubali
Asante sana kaka kwa mafunzo mazuri 🙏🙏
Good Luck
Kaka umenifungua zaidi big work you have done thank you!!!
Somo nzuri sana asante brother
Shukrani sana kaka 👏
dh umenigusa kaka uko sahihi
Asante Sana kwa kutujuza
Thank you so much may God bless you and your family 🙏🙏keep doing what you doing
Asante sana pamoja sana
Ahsante kwa somo
Nashukuru sana mungu akujaalie
elimu nzur sana iyi
Malengo muhimu. Lakini maisha hupangwa na Mungu
Ubalikiwe kaka mkubwa
Asante sana brother nimejifunza mengi kwenye hili somo
Thanks Soo much my brother,you have open my mind,you make me to know how to success untill nw
Powa sana
Thanks thou for the Great contents, Hit like If this video is helpful at your side
God bless you Victor
Shukran sana
Shukran sana.kaka nikwelii
Yaap bro hapo super
Asante,, ubarikiwe sana bro
Sijakupa asante hapa dunian tu hata mwisho wako uwe mwema, umepushi mambo muhimu bro.
mungu.azidi.kukueka.asante.sana.kaka.kwa.elimu.yako
Hii ni vizur
Hakika
sichoki kusikiliza bro mungu akubariki miaka mingi zaidi.
thnx alot bro
Thanks braza
Naomba niuliz kit mfano umefanya biashara badae ukajikuta unafeli unachotakiw kufanya nn?
Unacho takiwa kufanya ni kuchunguza kitu gani haswa kimepelekea biashara yako ifeli.. Na ukisha gundua hicho kitu usi kirudie tena uki kirudia tena utafeli tena..
Thanks bro for your time and efforts to help us God bless you in your life
Good
Thank you my Brother Victor Mwabene you made it Bro your lessons are very helpful indeed, Shout out To the entire Team of Success path this is the real meaning of EACH ONE TEACH ONE we Appreciate you guys🙏🙏🙏🙏
Nice bro
Nawakubali sana na nmfuatiliaji sana wa hii channel, , But Nina nakala nmeandaa but cjapata presenter , , nakala inafundisha na nzuri ktk maisha pia
Bro nakubal motivation zak
Bro uko vizuri kuliko Ezden
Usiwachonganishe mwalim na mwanafunzi wake
du akika unatupenda sana
You can't know your tomorrow
Nahitaji audio ya elimu hii na mada zenu kwa ujumla nifanyeje
Nimefulah San nimependa
Kitabu cha nanauka naipataje?
Na ni sh ngapi?
Mm nimekuelewa sana sana .. naomba namba ya kaka jumanne nataka nimwelezee ndoto yangu ...
Hicho kitabu cha kutimiza malengo unacho na unauza bei gani nakihitaji
Wasomi tuelimike
Nkbl ichokitb bei gn nakipataje
kitabu tunaweza kukipata vipi kaka?
Shukran kaka