Nikweli kabisa dada riyama mimi mwenyewe mkewangu tunazidiana myaka kumi mimi nina miyaka 25 mke wAngu ana miyaka35 nampenda sana mana stamani kumpoteza kwasababu ni lulu yangu nimempata kwa ugum sana
Uwiiiii Kuna wanawake wanaingia kwenye ndoa za watu Kwa vishindo na matusi na mashindano juu Kila siku ni uchonganishi ndiyo maana watu wanauogopa uke wenza jamaniii raha ya uke wenza awe Mwenye dini, heshima ustatabu na adabu na mume awe na hela
Riama wewe ni mzuri MA SHA ALLAH… jitahidi upunguze mwili kidogo. Sbb mwili ni sbb ya maradhi mengi. Na pia inaweza kua ni kikwazo cha wewe kupata wtt dear. Nakupenda saana Riama.
Mie nampenda sana Riyama, ila hapo kwenye marafiki sijaelewa vizuri kwasababu kwanza amesema hana marafiki zaidi ya mume wake, wazazi wake na watoto wake, halafu baadaye amesema alimuunganisha Tabu Mtingita na nusu ya marafiki zake, Je hapo imekaaje?🤔
Lakini mbona mnamchoshaga rihama wangu. Kila kucha kumuuliza maswali kuhusu mume wake. Yaani miaka yote Kila interview lazima kuulizwa ulianzaje kumtongoza😢
Nikweli kabisa dada riyama mimi mwenyewe mkewangu tunazidiana myaka kumi mimi nina miyaka 25 mke wAngu ana miyaka35 nampenda sana mana stamani kumpoteza kwasababu ni lulu yangu nimempata kwa ugum sana
Nikweli kabisa dada riyama mimi mwenyewe mkewangu tunazidiana myaka kumi mimi nina miyaka 25 mke wAngu ana miyaka35 nampenda sana mana stamani kumpoteza kwasababu ni lulu yangu nimempata kwa ugum sana
Hongera kaza kijana. Umri mo tu
Sahihi
Mh 😂😂tafuta size yako bro
Mh 😂😂tafuta size yako bro
Mh 😂😂tafuta size yako bro
Umeonga vizur xaa dd angu m/mung atakup zaidi🙏🏻🙏🏻❤❤
Mashaallh kuna utu na ubinaadamu mashaallh vyote anavo riama mungu akupe unayohitaji
Nakupenda Dada Riyama ❤❤
Mdogo wanguu Riyama umetishaaaaaaa sanaaa, luv from Da Nuu 💕
Umeongea vzr sn Da Riyama kila la kheri
Riyama kwenye Hilo lakukubali mmeo aongeze mke nakuombeya kwaAllah aifanye kuwasababu yawewe kupatawatotonaye amiin ,maana niwanawake wacace wenye kukubalihilo
Anahekima sana nakupenda sana❤
Nakupenda riama sana ikosiku nitakutafuta
Binadamu wanakazi sana mm nimekuelewa riyama
Uwiiiii Kuna wanawake wanaingia kwenye ndoa za watu Kwa vishindo na matusi na mashindano juu Kila siku ni uchonganishi ndiyo maana watu wanauogopa uke wenza jamaniii raha ya uke wenza awe Mwenye dini, heshima ustatabu na adabu na mume awe na hela
Love Riyama ❤❤❤
Riama mzur Mashaallah
Riama wewe ni mzuri MA SHA ALLAH… jitahidi upunguze mwili kidogo. Sbb mwili ni sbb ya maradhi mengi. Na pia inaweza kua ni kikwazo cha wewe kupata wtt dear. Nakupenda saana Riama.
Sasa kama mumewe ndo anapenda huo unene je jamani mradi hana 😅tumbo namanyama uzembe
Anaongea kiswahili fasaha haachanganyi lugha mashaa-Allah
Kumbuka pia kiingereza hajui labda ndo sababu!
😂😂😂😂😂@@kherichapa7324
Huyo ni mzanzibar na kiswahili fasaha kinapatika zenj
Chidi chidi chidi chidi benz❤❤
🎉🎉🎉Mungu akubariki
Big up Riyama nimependa majibu yako
Riyama umenena sanaaa kuhusu chidi umenigusaa👏👏👏👏🤝
Riyama❤❤❤❤🎉🎉🎉
Allah akufadhi kipenzi chetu Riyama ❤Allah awalinde na family yako mpendane mskilizane daima🤲
Pachawangu❤❤❤❤ nakupendamno
Huyu ndo rihama sasa❤❤❤❤
Riama napenda unavyoongea. Na una busara saana.
Riyama ww ni mwanamke nanusu mke mmoja hatosh mume aowet ila aowe mke mwenyehof ya mung
Nakupenda da rihama❤❤❤❤❤
Hao wanaomchukia riama wote ni wamakonde yani wamakonde wengi ni washamba samba hiyo ndo shida
Mie nampenda sana Riyama, ila hapo kwenye marafiki sijaelewa vizuri kwasababu kwanza amesema hana marafiki zaidi ya mume wake, wazazi wake na watoto wake, halafu baadaye amesema alimuunganisha Tabu Mtingita na nusu ya marafiki zake, Je hapo imekaaje?🤔
Ukiwa na d zako lazima uwelewe
Alewa neno alikuwa na marafiki ila kwa sasa hana
Riyama jamaa kashakumaliza !! Kakupa nini huyu jamaa?
❤❤
Mungu awatunzie ndoa yenu
Riyama ❤❤❤❤ hoyeeeeeeeee
Daa riyama utakuwa wewe ni mamake chitoto mume fanana😅
Ameen😍🙏
❤❤🎉🎉
Lakini mbona mnamchoshaga rihama wangu. Kila kucha kumuuliza maswali kuhusu mume wake. Yaani miaka yote Kila interview lazima kuulizwa ulianzaje kumtongoza😢
Chid bez ana akili ila akilewa tu ila yukopowa mmnoo
Ulisema hauna marafiki zaidi ya wazazi na wanao.mbona unasema ulimpeleka kwa marafikizako unaofanya naokaxi
Marafiki zake kwajili yakazi
Mm mwenyewe cna rafiki ila ninaao niliosoma nao ndo hvy
Nikweli kabisa dada riyama mimi mwenyewe mkewangu tunazidiana myaka kumi mimi nina miyaka 25 mke wAngu ana miyaka35 nampenda sana mana stamani kumpoteza kwasababu ni lulu yangu nimempata kwa ugum sana
❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤