KABURI LA MTUME ; TAZAMA MAHUJAJI WALIVYOPITA KWA HUZUNI KWENYE KABURI LA MTUME
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Mahujaji wa Taasisi ya Tawheed Development Network wakiwa katika Mji Mtukufu wa Madina wamepata fursa ya kutembelea kaika Kaburi la Mtume S.A.W na kutoa salamu zao.
Hii ni fursa muhimu ambayo Mahujaji wameipata, Tafadhali Mkumbushe yule ambaye bado hajaweka nia ya kwenda kutekeleza Ibada ya Hija wakati ndio huu na Taasisi ya Tawheed tupo tayari kukusafirisha.
Sambaza Video hii kwa watu wengi zaidi bila kusahau Ku-subscribe Channel yetu ya Tawheed upate faida zaidi kuhusu Ibada ya Hija.
Mmungu nakuomba usiichukue nafsi yangu Hadi nitekeleze Ibadan hii tukufu fahari iliyoje kuliona kaburi like kipenzi na msikiti wake ❤
Ameena inshallah
Namm hiyo piya ndo duwa yangu mungu atujalie sote inshallah❤
Assalam alayk ya Rasurah Alla Assalam alayk ya habiba Allah ❤❤
MUNGU anijalie na mie nikaion kabla ajanichukua inshallah❤❤❤
Hairuhusiwi muombe Allah akuwafikishe Ibada ya hajj
Mashalah Allah wakbar mungu awabaliki mludi salama na atujalie tufke inshallah 🙏🙏🙏😭😭😭
Inshaallha naomba yarabb asiitoe roho yangu adi nikazuru makka
Assalamualaikum ya rasulullah. Assalamualaikum ya Habib llah
maashallah. ❤ Allah awalipe kheir ndugu zangu amin 🤲
Maumivu ya wivu wa kupenda kwenda hija Yarabi nakuomba nifikishe
Ameena inshallah
Yaa Rahman,Yaa Rahim,Yaa malik,Yaa Quddus,Yaa Mutakbir,Yaa Rauf.Mola wangu/wetu.Nakuomba nami niwe kati wa WAJA watakaofika sehemu tukufu napia nikashudie kaburi la kipenzi chetu.MTUME wetu.S.A.W.Inshallah
Naomba allah anijaliwe niwe mwenye kufanya toba
Ameena inshallah
Nakuomba allah nijaliye mm na familiya yangu utujaliye mwishoo wa uhaii wangu tuwe tushafika makka na Madina na piya kufanya ziayara ya kaburi la mtume muhaamadd s,w,a na rafiki zake
Mashalla tabarakalla yarasulilla
Allah atupe uwezo na ss tuweze kwenda kuitekeleza I a hii tukufu ammin🤲
Ameena inshallah
Allahumma amiiin Yarabb
Mashahallah
Yah Allah tujalie na sisi waja wako tuende tukalione kaburi la mtukufu wa daraja mtume wetu Muhammad swalahallaiih alaih wasaalm... Allah humma Ameen 🤲
Allah akbar
YAA RABB tujaalie mwisho mwema na tufe aliakua ni mashahidi
Allah akbar kabira ❤
Hijja sio mahala pakuchezewa mnamuona mzee yusuphu kaanza kulaanika taratibu,kazeni Swalla
Allh akibar allah akibar
Ya ALLAH tujaalie tuwe wenye kuidiriki safari kwa ajili ya hija kabla hatujaondoka katika mgongo wa dunia.
Kumbe Mohamad ni mfu alikufa yuko kaburini mtuandikie history yake tumujue
masha Allah
Yaa rabby tujaalie na sisi tufike katika hili kaburi la mtume Muhammad s.a.w
❤
Twakuomba ya ALLAH wakubalie hija yao mahujaji wetu
mpokeen YESU tu muache kuabudu alilala mauti
Insha Allah mungu atakabali maombiyako
Yaaallah nijaalie mm na waislm wengn kwend hij
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatu yaa rasurulla❤❤❤❤
Assalam alayka ya RASULA LLAH
ABUBAKAR WA UMAR RADHIYA LLAHU ANHUM
S.A.W❤❤❤❤
Mashahlaah mungu awabariki
Mashallah allahumarhamhum jamiia
Jadhaka llah her
Allah Akbar
اللهم صل وسليم عليه
Mungu mkubwa
masha allah ❤
Mashaallah ❤❤
Mashaallah ❤❤
Mashal
Allahu Akbar
Amiiin yaarab
Mashallah
Yaa Rahman,Yaa Rahim,Yaa malik,Yaa Quddus,Yaa Mutakbir,Yaa Rauf.Mola wangu/wetu.Nakuomba nami niwe kati wa WAJA watakaofika sehemu tukufu napia nikashudie kaburi la kipenzi chetu.MTUME wetu.S.A.W.Inshallah
Allah tukimuomba hutupa niliomba nijaaliwe Hijja kabla ya umauti
Naam ALLAH amenipa bila ya kujinyima . namaanisha masurufu. Tuombe ya kheri
Assalam alayk yaa Rasoor Allah❤❤❤❤😂
Allah akulehem akuingize peponi amii
Assalamu alayka ya rasulullah
Vita inayoendelea Palestine
Manshalla
❤❤❤
Hakika ni dini ya hasara kubwa na mwisho wawatu hawa ni jehanamu yamoto
Ukwell kabisa maneno unayosema hayana kipimo Cha akili yako
Eti nawewe ukomemti ijapo uwezo wako ni mdogo wa kutambua
Munasalimia kabuli.?
Kama huijuwi si unyamaze
Kila watu na taratibu zake nenda kachezee masanamu
Nyinyi mna dini yenu nasi tuna dini yetu
Munnaabudu sanam mbona atusemi Allah atujarie na sisi tukahijji insallah
mnaabudu msalaba na sanamu