NGUO NA NDEVU ZA MTUME MUHAMMAD UTURUKI !
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Uturuki ni moja ya mataifa makubwa ulimwenguni ambayo huwavutia watalii kutoka katika pembe zote za dunia.
Miongoni mwa vitu ambayo huwavutia watalii ni vitu vya kale vilivyoachwa na himaya tofauti zilizotawala dunia.
Katika makala yetu tumetembelea jumba la makumbusho la TopKapı mjini Istanbul, kuthibitisha au kukanusha kile ambacho kimeenea katika mitandoa ya kijamii kwamba mavazi na vifaa tofauti vya Mtume Muhammad vimehifadhiwa katika jumba hilo ambalo linapatikana mjini Istanbul.
►Subscribe to KyataOnline on UA-cam : bit.ly/3dMAX0l
►Follow KyataOnline :
/ hamimkyata
/ kyataonline
/ hamim_kyata_
Production : - Kyata Online @kyataonline
- Eloi B.
Executive Producer : Diaspora Visuals @diaspora_visuals
Nyinyi mnapiga kelele tuu mwenzangu anaizunguka dunia kwenda kujionea kwa macho yake alafu mnamtukana kweli hakili zenu ni mbovu sana
umeona na wewe
Hakuna upuuzi kama huo waislam sio wapuuzi kiasi hicho wadanganye wapuuzi wenzio. Walghiyadhu bi l, lah
asante kwa comment yako
Tena acheni ujinga wenu huo
vinapatikana kwenye hili jumba la makumbusho , mimi nikufahamisha tu mzee Juma Magesa !
Huyu kafiri inaonekana
tembea uone wewe acha ujinga ! huyo yeye anakuonesha kinachosemwa kuwa kipo katika makumbusho ya Uturuki.
Ulitakiwa kuongozwa na mwenyej akuelekeze sio ww mgen unamaliza mb zetu pumbav
umeitwa kwani ?
Upuuzi mtupu mfano wa binaadam wa kwanza kuwa fuvu lake liligunduliwa na mzungu tanzania ujinga mtupu!
asante kwa comment yako
wewe ndio mpuuzi
@@osmankapitula617 we ota ukizinduka utajua
Inna lilahi waililay rajiuun kafiri mkubwa unatafut rizk ya haramu😂
vinapatikana katika jumba hilo la makumbusho ambalo lipo mjini Istanbul
Safi lkn ungejarbu kuuliza wenyej ndo utupakulie nasi unaposema hapa "pamezungushiwa uzio pana historia yake" mimi ckuelewi
asante kwa comment yako. Tutalifanyia kazi ombi lako
Acheni upuuzi. Mtadhalilika nyie ,,,...
mbona wajinga sana ! kila kitu huwa mnaona tatizo
Makafiri wakubwa nyie nguo za maswahaba mtaziona nyie hayo makaburi yao hamjayaona jahannam ni makazi yenu
asante kwa comment yako
matusi nyie !
Hiyo ni tabia yako Binafsi sio tabia ya uislamu kuwajibu watu kama ulivyo fanya Mtume Muhammad S. A. W. Ametukataza
Mpumavu wewe
asante kwa comment yako
afu wewe je ?
ndio
tunashkuru sana kyata online zidii kutuelimisha kwa yanao jiliiii uturuki
hakuna lolote hapo
@@mwavulakairuki9727 weee aca kabisa mavazi yake kama muhindi wa kusini
@@serengetinationalparkintan7418 hahahhahha
asante sana kwa shavu msela wangu!
haya tunajiandaa kuja kutembelea huko
karibu sana ! ila usije bila chanjo!
Mkisikia muhamadi munachachamaa kama jina lake lingeweza kufukuza majini kama la yesu kristo ingekuaje?
asante kwa comment yako
Ndio maana Ni Mtume wa Mungu tena wa mwisho tena chunga ulimi wako huyo unaemwita yesu ss tunamjuwa ni mtume wa mungu tena tunamiheshimu sw
Yesu kwetu ni mtume kma wengne af chunga maneno yako maandazi ww
asante kwa comment yako
kwa hiyo ?
Upuuuzi tu
asante kwa comment yako
wewe ndio mpuuzi
Upuuzi MTU huo
haya asante
kama wewe
Uongo_mtupu
Ulikuw wakati huo ww ht wasumlia upuuzi ama mtume kamuona n nguo Hz wanafki nyinyi Allah walaani duniani mpaka kesho akher kw kumtaja mtume mhammad kw ujinga
asante kwa comment yako
kwa nini mnapenda kutukana !
Acheni ushenzi Mbona hamjatuonyesha izo nguo
skiliza nanichoongea acha kukurupuka ili uelewe !
hukuskia anakwambia bado hawajafungua kipindi hiko