Nice, movie. naitazama nikiwa uganda na marafiki zangu japo hawaelewi kiswahili. mngeweka tafsiri ya kizungu ingekuwa ya kimataifa. ikifaa hiyo season 2 itafsiriwe.
Katisha vibaya na kanivutia sana kwa hii style yake, pia ukisoma neno kibeniten bila ya kuitizama movie, unaweza ni vichekesho kama tulivyomzoea kikofia, kumbe ni bonge la movie, kiukweli hapa ndio kuna style tuzo sasa
Hakika imeanza vizuri ikaisha vizuri Kila mmoja ametendea haki nafasi yake Ila wa nimewakuli sana> °°Ruta man°° Amina mijudo°° kicheche°° mama yake Ruta man nimewakbali sana
Hongereni sana kwa kazi nzuri! Mwanzoni haikunivutia lakini mwishoni nimetokwa na machozi. Kiukweli nimejifunza mambo mengi sana katika kazi yenu, mbarikiwa na mzidi kutoa kazi nzuri kwa manufaa ya Watanzania na wote wanaozitazama kazi zenu.
Wangapi wanapenda kibenten iwena season2 ? like this coment, kama unapenda tuachie season 2 ya kibenten na hesabu coment zikifika 10k tu naachia season 2 kibenten
Kicheche kumbe una jua kama clam vevo, au unweza kuwa ni zaidi maana niliidharau hii movie kumbe ni bonge la movie na ina mafunzo zaidi ya moja, n story nzuri sana ongera sana man
This very is masterpiece ,very educative and interesting I enjoyed every bit especially VP man and kicheche so funny guy😂😂😂😂 more love from Kenya to you all actors and actresses
Movie nzuri aisee, nimecheka na ina mafunzo mazuri ya maisha👍🏾👍🏾👏🏾👏🏾👏🏾
kicheche na ruta man big love from Kenya
Kicheche noma sana nakubali👍🇰🇪
Wakwanza mimi Leo nipeni likes tukisonga....kibenten ni 🔥🔥🔥 twangoja ingine kicheche
Uhogkxlglhurfjgkvmvimcml CV lgclhl😅😊🎉❤
Kibenteni ni 💥💥💥💥.. leteni nyingine kama io io.. kicheche ❤❤
Kibenten ni nima sana Kaka kicheche songa mbele ❤
Turabakunda cyaneeeeeee hano iwacu mu Rwanda ❤️❤️🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Luta man na mkewe ameua sio kwa uvumilivu huo upendo wa dhati upo moyoni 🎉🎉🎉🙏🙏🙏✋✋
Kibenten noma sana really liked the movie🔥🔥🔥🔥🔥 live nikiwa ushelisheli
Nipe mauwa 🎉 yang kicheche makoti
Tunaomba movie yengene nayamuzuri kama iyi Kigali tunakupana baba❤
Kicheche baada ya hii, kwasabu imesha isha , bora uka endeley Na "Lamba Lamba*
From Congo we follow you
Tuna taka tu mwisho wa Lamba lamba Bro
mungu wabariki nyinyi wote muliyo cheza filamu hii, hii filamu is very educative. Big up to kicheche and the team.
Hii movie ni kubwa sana imeniliza, imenifurahisha, na imenielimisha, nimeipenda sana hii story, hasahasa kwa mlinzi na mtoto wa boss was nice
Kutoka baba mwenye nyumba mpk mlinzi waooh inamafunzo kedekede❤❤❤❤
Much love Kwa staring Makoti....nilisuniri sana hii full movie 🎉🎉🎉
Kicheche man... movie Iko best man.... hongera man... uko juu man... Season ya pili man tunangoja man.... Tuko Mombasani man... Kenya man....
Wakwaza Léo nipeni like hâta 50 jamani nawapenda boss ❤❤
Nice, movie. naitazama nikiwa uganda na marafiki zangu japo hawaelewi kiswahili. mngeweka tafsiri ya kizungu ingekuwa ya kimataifa. ikifaa hiyo season 2 itafsiriwe.
LUTA ndie Alie Uwa Sana Kwenye Movie 👑👌🏾👌🏾👌🏾
Wow nimeipenda saaaana mkovizuri
Napenda kazi zenu kicheche❤
Umbwa wewe big love from Kenya 🇰🇪😅
Dah huyu Rutha man katisha kinoma 🔥 Kicheche best comedian ever in Tz❤️🔥
Luthaman!
Mashallah mashallah hidaya boli kanenepa mashallah umeolewa saii
Katisha vibaya na kanivutia sana kwa hii style yake, pia ukisoma neno kibeniten bila ya kuitizama movie, unaweza ni vichekesho kama tulivyomzoea kikofia, kumbe ni bonge la movie, kiukweli hapa ndio kuna style tuzo sasa
@@albertkatuga2434 dah hii ni bonge movie afu uzuri wote wametumia vzr uhusika wao
Kicheche😂😂😂😂❤❤more love
Peter kutoka Kenya noma sana napenda mumefanya kazi mzuri sana
😂😂Kicheche the 30 second man 😂😂. Hii nayo Kicheche ni🔥🔥🔥🔥
One of the best bongo movie I've ever watched bu so sad....
Me ni kamanda man ila kwako nimekua mdebwedo man😂😂😂 kaliiiiiiii
Mimi wakwanza jaman kutoka Burundi 🇧🇮
Wueh kali hii.....mafunzo ni mengi jamani....hongera Kicheche😂😂😂❤❤❤...🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hakika imeanza vizuri ikaisha vizuri
Kila mmoja ametendea haki nafasi yake
Ila wa nimewakuli sana> °°Ruta man°° Amina mijudo°° kicheche°° mama yake Ruta man nimewakbali sana
Kikofiaaaaa😂😂😂😂😂😂❤🇰🇪
This movie is not only entertaining but also educative with so creative actors, au vipi MAN🤣🤣, much love from Kenya
Kabisa man 😂
Iko powa sana, Mimi nimekuwa nikiangaria vipande vipande tyu. Nainjoitu.😂
Bado Niko ebisoni ya 17.
Jaman mimi kiana kutoka burundi making nipo zambia kwasas kiukweli hoi movie nimeipenda xana ruta man ongeza nidiiii kaka usiwaze maisha mzunguko
Wakwanza mie mwaga ❤❤❤
Duuuu kicheche ni noma from ujiji
Imeisha vizur man Ila cjapenda man melina kufa man hakua na noma KBS man
First viewer nipeni like zangu
Umepigaje apo???
Umepigaje apo
Ruta man big up maskini mwenzangu
Luta naomba unitumie namba lakini pia hongera kwa kazi nzuri
Hongereni sana kwa kazi nzuri! Mwanzoni haikunivutia lakini mwishoni nimetokwa na machozi. Kiukweli nimejifunza mambo mengi sana katika kazi yenu, mbarikiwa na mzidi kutoa kazi nzuri kwa manufaa ya Watanzania na wote wanaozitazama kazi zenu.
Napenda kazi zenu❤
Movie nturi ya kuburudisha na kuelimisha! Hongera
This movie is so educative. That's why every actor played his role perfectly.
Love u more
Love from Tanzania 🇹🇿
nakukubali sana kibenten 😅😅😅❤❤ pumbavu zako tuko pamoja ❤❤❤❤
I love this movie!
The gateman’s amazing the turns and twists are despicable
I think I have crush on him
Yaani kicheche kaenda kijijini hatari abadan😂😂😂👏👏😍
Kqwina
Wish we get one more like this it was the best best ❤❤❤❤ kicheche salute man❤
Ingekuwa vizuri sana kama wangeiendeleza kwa season 2, Tafadhari iendelezeni kwan itakuwa vizuri sana,, Asanteni sana!!!
😂😂😂😂😂mpo vizuri mbwa nyie mnacheza na fursa sisi tunasubir mpya au malizia Simon na LAMBALAMBA
Kwa kua wa Kwanza nipeni likes zangu basi hata tano tuh 😂😂❤❤❤😢😢😢😢😢😢😅😅
Mamaa Man nakupenda man 😅😅
Kacheza vzr nmependa sana mama ruta
Hii movie ni tamu sana,kaka Kicheche fanya hima utuangushie bonge lingine la filamu
Naipenda sana kasi yako
Leo wa kumi naombeni hata like kumi basi
yoooh babas
Gate man na huyo Dem wake wanajua kazi😊 movie iko liit....so educative and entertaining🎉
Wapi likes from kenya 🙏🙏💥💥💥
From Germany hii movie amefanya vzur sana kicheche na ruta man
smart movie funzo nzuri kbs asante sana
Kicheche I love all your acts brakamwshe pumbavuzako
kicheche nime kukubali sana 🎉🎉❤❤ najisikia vibaya nilitamani isiishe hii kibenteni ila ndoivyo yani 🎉🎉🎉😂❤❤❤
Mwanzo mzuri mwisho mzuri
Good ma Ongereni sana
Wangapi wanapenda kibenten iwena season2 ? like this coment, kama unapenda tuachie season 2 ya kibenten na hesabu coment zikifika 10k tu naachia season 2 kibenten
Kicheche kumbe una jua kama clam vevo, au unweza kuwa ni zaidi maana niliidharau hii movie kumbe ni bonge la movie na ina mafunzo zaidi ya moja, n story nzuri sana ongera sana man
Maisha mapito😂😂😂
😅😅😅
Season 2 ikuje bana
Nimekubali kicheche😂😂😂
Leo wa Kwanza mm naomba like angalau 10 ❤❤
Nzuri hii movie
2:33:23
🎉😅😢🎉😂 2:33:53
Latifa nakutafuta mama love you
Tifa unagusa maisha yangu hakuna filam nilio tokea kukupenda tifa Ila hyi move daah umenivuta
Tifa ni mrembo sana.na mi ningepiga vitu
Kwani mnangojea nini jamani leteni Mara moja iyo season 2..... It's a very professional and educative movie ongeleni jamani
Nmempenda Sana Mlinzi Lutta
The best movie ever in history 🎉🎉🎉
😂😂😂❤❤❤ umefanya vizuri kabisa baba
Huyo dada aliyeact kwenye wimbo wa Tuliza Boli hatari sana. Twamshabikia sana huku Kenya
from kenya big up Tz one of the best African movie (VP MAN)
Frexh man karibu Tz
duuh yaani nimemaliza kuiangalia hii movie nimempigia mama..mwandishi amejitahidi sanaaa.
representing 254, the movie is fire🔥🔥🔥🔥
Number one nipewe mauwa
Applause to all characters for the good played roles.feel the love all the way from Kenya
That's not for Kenya. That's for your gay team. We love our flag 🇰🇪 🇰🇪
Uyu sugar nyanya afanana na mzee fungafunga mzee jegua ata sauti na uteshi wake
olala ! uuyu Kicheche noma😂🤣🤣🤣😂😁 Big up brow ,ila tunaomba utupe igizo lamziki niite kicheche kibenteni .
Nawapenda sana ❤❤❤ 😂😂😂
Vai Belinda nawapenda Sana kwaku mtetea ruta❤❤❤
Kicheche rutaman 😂😂😂😂😂😂😂❤
Nimekula ada yako😂😂😂
The best educative movie ever from kicheche👍👍👍
Aisee kweli movie iko poa sn nimeipenda kiukwel mmefanya kazi mzuri sn hongera yenu sn
Mbwaaaa 😂 umevunja record movie lako Lina masaa matatu hata wahind awakugusi 😂😂
Hii ni season imeungañishwa epsode sio single movie nd maana ndefu
Vipi man niko
This very is masterpiece ,very educative and interesting I enjoyed every bit especially VP man and kicheche so funny guy😂😂😂😂 more love from Kenya to you all actors and actresses
Man anajua jmnii
aaa w kicheche utaniua n mambo yako yakiajabu naikubali KAZI yako❤❤❤❤n big up sna tuko pamoja
Oya sio powa damu zangu mmeacha bonge la Movi yan bongo Hamna tena tulien iyo series ya pili msijemkaiharibu
nimependa sna hii movie but kicheche naomba kufanya kazi na wewe plz
❤ saf sana nimefurah sana na hii tamthilia na pili nilijua tu kua kicheche lazima awe mlinz😂😂 mahabuba jela
Clam vevo yuko vizuri na snake boy
Kijana yule ni Kanumba was pili, kaka wa Binti wawili
Hii naye imekubali I like it keep going guyz❤
Courge❤🔥🔥🇸🇦🇧🇮 😂😂 munaturudisha nyuma😂
😂😂😂😂kicheche uyu kanivunja mbavu
Min nimeipenda sana
Mmeliunga mazimaaaa❤❤❤❤
Nani mwimbaji wa hiyo ngoma, "penzi letu sio duniani mpaka peponi wakuu"
Na hongera mzee kicheche