BEST FRIEND | Full Movie |
Вставка
- Опубліковано 25 вер 2023
- This video is fair use under U.S. copyright law because it is non-commercial, transformative in nature, uses no more of the original work than necessary for the video's purpose, and does not compete with the original work and could have no negative affect on its market.
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for 'Fair Use' for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research, Fair use is a permitted by copyright statute that might otherwise be infringing, Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use - Розваги
Leo naombeni hata like 5 tu
We mpumbavu
Hongera sana
Jamani Tanzania naombeni sana tuangalie sana kipaji cha huyu kijana CLAM VEVO maana ni so talented.
Wakwanza leo to much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Am from kenya that song enye clam ameimba it is so nice please jina la hio wimbo
Clam nikanumba Naomba like jaman japo 5❤❤❤
bald
Unaweza
❤❤❤❤❤
Ikosawa VEVO na Sasha
❤😮😅😊🎉
The Best movie ever I think you should prepare another one like...... Sikua nataka ata iishe yani🥰🥰🥰
Charming pumzika kwa amani bro mm kila nikikuona nalia sana bro km nakuona pande za lumo 😢😢🤲🤲
Wakwanza leo nipeeni like from Kenya 🇰🇪
😂😂😂😂😂 ndoto imetisha kinoma wallai hii imeenda 😢😢😢😢😢😢... nani amekubalia hili❤❤
Walai aki
😂😂😂🔥🔥🔥❤️
To be honest...
Kwenye hii movie umechukua kura yangu kwa 100%
Ila nilitamani isingekuwa ndoto ili nijue hatma yao sanura na clam,,
Anyway kazi nzuri sana na nitakuwa shabiki wako namba moja🎉🎉🎉🎉
Ila iyi ndoto imenifurahisha😂❤❤
Hatimae wakwanza,, nipen maua yangu jaman,, clam kep it up ,💪
hatari hii.....much love from kenya
Idea konki, Movie Kali, Salut sana. Mlijipanga Aisee
Pole sana kwa ajari bro mungu akupe maisha marefu na yenye furaha tukutane kwenye season nyingine❣️❣️❣️❣️🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Clam anajua paka anakera ❤🎉🎉🎉
AkoLDAViD
Clam vipi unakatiza hivyo...hufai kuishia hapo..onyesha baada ya mama zanura kujua unacho kisema n ukweli...
Hapa umeniangusha kaka mm...
Anyway love from Kenya.
Hongera sana mzee hii ime weza sana🎉🇨🇩
Noma sana clam hiii imeenda sana @from pemba#
Amazing sana clam vevo, hichi ni kizazi cha kanumba! Watching from Kenya.
😮😮😮 wakwanza mm leo naombeni likeee zenu 😂😂
Clam hii movie ulivyoimaliza so pw bwana ulianza vzr ila umeimaliza vibaya bwana😮😮
Mwisho umezinguwa brother..
Dah bro clam,,we uwa unatuacha in suspense sana,,,big boss ulituacha ata hatujui iliendaje,,Tena best friend bro Dah!!!
Huyu dada @sasha jinake kamili anaitwa nani
Haijaisha vzr hii..Clam hapa umetuibia mawazo
Rest in peace charming Charz😭😭 Nahisi hii Move ingekua nzuri zaid kama ungekuwepo Allah ailaze roho yako maala pema pepon inshallah 🙏
hey
Leo nimekuwa wa kwanza nipeni like zangu
+254♥️♥️ nipeeni likes za Kenya tunaikubali
Clam tunaomba big boss namba mwendelezo
Wakwanza leo kama unamkubali clam gonga like
Waa huo utamu wa hii movie yaani ni ndoto 😂😂😂 Clamvevo u r talented I love it,mimi huo wimbo nimeupende❤❤❤much love from Kenya 💖💖💖💖
❤❤❤kaka tunataka big boss mbn kimya sana
🎉🎉🎉watching from Kenya 🇰🇪 clam vevo hii ni kali yaani umetiisha 😊❤❤❤
Wakwanza from kenya
nakupenda kk!!!
mozambique
Clam vevo eshima Sana mwanangu unaweza
Kazi nzuri clam vevo👏👏👏
Ngumi moia kichwa kimeikaa sawa🤝tupo hindia😂😂😂😂
Wakwanza kuiona from kenya
Here I'm from Kenya wapi likes zangu wadau😢😢😢
Jaman mm cjawai kupata ata like 5 naomben Leo unipe
Like
😂😂😂
Iyo chukua
Usiwaze
❤mesahau
unajua sana mpk unaharibu kaka
Nawapenda sana wtu wangu
Mimi wakwanja munipe liké mingi❤❤❤❤
Kumbe ilikua ndotto😂😂😂😂
kabisa kazi imekuwa kali sana kabisa .Nimependa kazi kutoka DRC GOMA
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kumbe ndo kipindi kinaanza 😅😅😅... nliwatch ikaisha mbaka mwisho Tena nimeanza upya 😅😅😅😅😅... all the way from UAE likes zangu bana
Ndy sija elew apo
Clam vevo best friend unauwa sana kaka
Best Friend ime kwisha? Mimi njo wa kwanza! My gift please
Nzuri pia mwisho mzuri❤❤
Next kanumba one love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kisengere nyuma 😅😅😅 clam vevo 👌✌️🇰🇪🇰🇪 Nairobi
Cinema mzuri but hapo mwisho bado kidogo
kuna kitu nilikua naona kabisa kinaenda kutokea ila sio kuisha kwa mtindo huu imeniuma san bro ila kazi nzur zaid👏👏👏👍👍👍❤
Nimekuwa wakwanzaa jamani like zenu😂😂
Nimependa san natamani iendelee ❤❤
Clam👏👏Clam👏👏 Clam 👏👏🎉🎉all the way from Kenya 🇰🇪 endelea hivyo
Wa kwanza leo kama tuko pamoja na the super family vevo 🎉
huyu mtoto anawaendesha hadi watu waliomzidi yani hana kipaji kikubwa sana aendelee hivyo hivyo❤❤
Iyi nyimbo jmani naipenda
Alooo! Mnafanya kazi nzuri sana big up!!
Mbona namba mbili hamna jamani?
Kazi imetamatika sasa ni muda wa kuwaletea kile kitu loho inapenda na utapata burudani 🤝
Maishani mwangu mwote sijawahi kuitazama na kuipenda filamu kama jinsi nilivyoipenda hii🥰🥰🔥🔥💯💯
Clam wew nikiongozi sana Yani mtalam kabis mm nakukubali hatari ❤ ongera kwanyota yako wallah 👌
Kwa mm nilivyoelewa hapo mwisho ni kuwa maisha yetu yote mpaka hatima zetu zilishatayarishwa kama alivyo kuwa anaota hivyo sisi tunaishi marudio tu alieelewa kama mm agonge like hapa
Nilikuwa sjaelew Sasa nimeelew ohooo
🎉AkoL DAViD
🎉AkOL DViD
Wow nice one clam vevo indeed your support
Umezingua sana...sasa inaishaje hivyo?? Ndo maana huwa siangalii mifilamu ya kibongo huwa inaisha kiboya sana
Tunaomba muendelezo wa Big Boss
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Much love for this movie Jina la wimbo was clam alikuwa akiimba ni mzuri sana
Wakwanza kutoka Burundi❤❤❤
Wallah ilove this movie so much-loved kutoka moyon tena nimependa asilimia elfu❤❤❤❤❤❤❤❤
Much love 💕 from Kenya 🇰🇪 Watch in Saudi Arabia good 👍 job clam Vevo ❤❤❤❤❤
Gj
Like yang ya kwanza pamoja na comenti nahomb like zangu 🙏
Watching from Kenya clam we love your content so much 🎉🎉🎉
Naomben like zangu wa kwanza leo❤ ❤
The movie stars combination is on another level bravo much love from kenya alafu tunawait hyo big boss part 2 please❤
Mtu aniambie huo wimbo kaimbwa na nani yavutia saana🎉❤❤❤
Clam vevo clever boy never disappoint 👏🏼👏🏼
ua-cam.com/video/ufhkts2tLyQ/v-deo.htmlsi=b8OT473Y0X6XLbaM
Ajali imetucosti😢
Ni wakwanza au wa mwisho naomba likes zangu,,still Kurian Kartel from 🇰🇪
Félicitations vraiment
RDC 🇨🇩
Safi
Clam am eagerly waiting for big boss season 2
BDO ep 6 Sasha unatakiwa umuimbie
hatari uko.vizuri clam vevo
Ridhwan .. AKA Clam Vevo.. Mastermind ❤
Naona chuma hiki clam umeamua kiwe chatofauti Sana hii itakuwa kalisana nikama big boss
Big AP klam VEVO kazi nzur ❤❤❤❤❤
Clam pole kwa ajali mwanetu😢
Daaa bravoo vevoo ivi nilikuwa antaka kusemajeee nmesahau😂😂😂😂
Uongo mbaya nimeangalia hii movie bila yakupeleka mbele ni nzuri mnoo
Nlikuwa nmeacha kuwatch bongo movie ila kwa hii nmerudi rasmi.clam unaweza hadi unakera.much love nikiwa KSA
Kabisa
Hongera sana clm vevo naomba nije kucheza na move hata moja na wewe
Naishi Congo nampenda sana clam
wakwanza.mimi leo nipeni like zenu❤❤❤
@CLAM VEVO naomba jina la huo wimbo
Buro clam una weza pambana kaka na pia pole sana kwa ajali iliyokutokea
Wakwanzaa apaaa n motoooooo
Nipeni mauwa yangu❤❤
Sisi sote ni ma fans wa clam vevo jameni supporti katika music level yangu
umetisha kak hii inawezekan kabisa kuiendelez tuletee part 2 maan imenigusa kam reality kak umewez kabisa