Kaombe kwa mjomba wako upewe we kama nani ktk hii episode umecheza kama nani kenge we mkome na ushoga wa kuomba omba kwa kazi za wengine mtaolewa ndoa ya mkeka
Kicheche anafanya mambo ya KIJINGA Sana michezo mingi anaiishia njiani Hana lamaana analofanya michezo anaikatisha njiani aache ujinga achukue Mfano kutoka kwa CLAM VEVO
Kweli mzee kicheche umeamuwa kuwekeza kwenye watoto hongera sana Kuna tumbwa flan twenyewe tumeamuwa kuwekeza kwenye kilimo,elimu n.k ilaa mbwa wewe umetishaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@@moneyfollowme737 anajitahidi kwa uwezo wake huna haja ya kumtukana wala kumfananisha na mtu kila mtu anafanya kwa uwezo wake ila kwenye kuhusu umaliziaji kweli anazingua na kukaa mda bila kutoa kazi inaweza kumpunguzia mashabiki akijitahidi kutoa kazi kwa wakati na kuzimaliza yupo vizuri zaidi ya unuavyojua wewe
Ila familia ya kicheche Ina balaa🎉🔥🔥🔥 Kicheche hii series balaa nikupe maua Yako sema nn waisha bac ep 2 isije ikawa kama pesa na matatzoo movie qali sana Ile jmn sijui imeishia wap daah🎉
Jmn kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii yaani uyo dada mwenye macho makubwa nampenda mno mwingine nae mkubali valet.japokuw wote mnafanyaaa kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii xanaaa
Kicheche una kazi nzuri, sounds nzuri, production ni nzuri kiujumla frame nzuri,shida huna muendelezo mzuri wa kazi zako "pesa na matatizo ni best story ila umeacha". Hapo ni shida
Oya kicheche unajua ww jamaa ni mpuuz sna ten unazngua mpumbavu zako ww hv kwann unapenda kuziumiza mbav zngu yan hii kaz kila cku huw naiyangalia 2 na kuipita nikiona kama rabda itakuw co nzur kumbe wala aisee noma sna mmetisha sna na zaid alienikosha huyo demu wait kwan ni mbea hatar yan hpo ndan kila k2 hanachockia hanaongea mwenzake yey uwamka na kucheka yan noma had noma tena nimekapenda bure hako kademu nice....?ni hayo 2 kwa kifup kaz nzur hongeren❤❤🔥🔥🤛🏻🤛🏻👏🏻👏🏻
Wa kwanza leo hebu jama nipeni like ZANGU tunao mukubali KICHECHE
Hii Kali ya mwaka😅
Uzipeleke wapi 😂
Kaombe kwa mjomba wako upewe we kama nani ktk hii episode umecheza kama nani kenge we mkome na ushoga wa kuomba omba kwa kazi za wengine mtaolewa ndoa ya mkeka
Chukua yangu
Hongera
Naombeni na mm hizo like nijue za kazi gani
Jamn hii move nimecheka sana 😂😂😂😂😂 nipeni like za bure
Proud to be a Tanzanian ❤
Hii nimeikubali sana bongo la movie kicheche noma sana 2024 kaja kivingne ❤
Kwenye comedy uyu jamaa baada ya Steve bas ni uyu jamaa kicheche next level 😂😂😂
Mimi huyo stive hanifurahishi , number moja ni Jot na Mpok
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Nisiposema kazi nzuri mno nitakosea🎉,CHUKUA MAUWA YAKO KICHECHE HII ITABAMBA,GONGA LIKE HAPA FROM+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤🎉
Kicheche hii imeweza bana from 254 Kenya 🇰🇪🇰🇪
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
Wow Mkenya Aka Catherine Makena Aka Naomi much love from Kenya ❤❤
@threemediastudios3037tena amekunywa coffee kwa ndege😂😂😂
❤❤❤
❤❤❤❤❤
Wa pili kulike gonga like twende pamoja 😂😂😂😂😂kama unamkubali kicheche mbwa yeye😅😅😅
Big respect from Kenya,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tatizo lako ni moja tuu haumalizagi tamthilia
Pastor simon na mara hii ni pesa na matatizo na hii nayo sijui kama itaisha
Kaka kicheche ungejalib kuwek muonekano wa kizee Yan ungekua umekua kabisaaa man yang
Tunao mkubali kicheche gonga like🎉
Ninakuku bali sana brother
Hoteli ya kibilit🤣🤣🤣
La suite svp🇨🇩
🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️
😂😂😂😂nyuma kicheche nakukubali mwamba wangu❤❤❤
❤❤❤❤ Good Life Kicheche keep going with the good work
😂😂Hii familia ya mzee kicheche waeza.sema wako.shule😂😂Uyo wa ushauri wa kufungua club nimecheka😂😂😂🙌🙌
Sijachelewa sana. Naombeni. Like zangu. 🎉❤ from south Africa
More love from 🇧🇮
Daaaahhh nimekukubali sana mwamba kicheche from Canada 🇨🇦 ❤❤❤❤❤
nakubali kicheche 🇨🇩
😂😂😂😂😂😂😂😂 Huo mjengo nouma nouma sana sheilaah izo balaaa ila kicheche syo pw😂😂😂😂😂🎉
Yaani kicheche anaweza kufungua shule ikajaa familia ake bs 😂😂😂😂 kicheche
Much support from Kenya 🇰🇪
Mlevi ila anaakili kakumbuka kufunga mlango ❤
😂😂😂
Kama unamkubari kicheche gonga like❤❤❤❤
Kicheche yupo vizur bt mimi ananisinyaga, haongei vizili yaan movie nzuri bt haibambi
Ako vzr but anasinya movie zake haziisha
😅😅😅😅😅😅😅
Kicheche ameanza kuniboesha wallai mbna hajamaliza pesa na matatizo
Kicheche mmekosea apo vaeni kishamban shamban izo sio sula za kijijin ili kuongeza mvuto zaidi sasa umevaa sut
Wa Kwanza Mimi apa naanza like 1 naombeni like kwa KAZI nzuri mzee kichche kabla ya Ku communt angalia Kwanzaa video 😂
Iko kiberit so poa wazee😂😂😂
Kicheche kwenye hii umetisha ila huyo mlevi nimemuwerewa wamwisho anakuwa wakwanza😅😅
Umenifanya nilale vizuri kwakweli 😂😂😂😂😂😂😂😂
Me Zaid yako 😂😂😂
mkenya kaweka uman hair
Kicheche anafanya mambo ya KIJINGA Sana michezo mingi anaiishia njiani Hana lamaana analofanya michezo anaikatisha njiani aache ujinga achukue Mfano kutoka kwa CLAM VEVO
Kwani we umeombwa u coment au ndo umetumwa nyoo kama aumpendi kicheche pita ivi so lazima uandike kasolo kaone chefuu😂
hawataki kuskia ukweli😂😂😂mi labda nilipwe ndo nicheke
Hajui kumalizia dadeq
Wewe kama hahutaki mambo ya kicheche achausi fate mambo yake
Kila mmoja anachanga karata namna yake kicheche take love from Burundi🇧🇮🇧🇮
😂😂😂😂Nimecheka ka fala much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Nimependa icho kijiji sana venye n kizuri na minazi vizur
Kweli mzee kicheche umeamuwa kuwekeza kwenye watoto hongera sana
Kuna tumbwa flan twenyewe tumeamuwa kuwekeza kwenye kilimo,elimu n.k ilaa mbwa wewe umetishaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
First one, I love the way Kenyans come together 💪 to support KICHECHE kikofia makotii❤❤❤🎉🎉🎉 nipeni likes 20 tukisonga 🔥💯☑️🥰
Ila kwakweli kicheche unachekesha wew🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😅😅😅
Kicheche mwalimu😅😅😅😅😅😅
ILA KICHECHE UWE UNAMALIZIA SERIES UNATUHAMISHA SANA WAP PASTOR SIMON,WAp PESA NA MATATIZO BICHWA MNATUFELISHA JAMAN
Kweli
Yaa clam anamaliza series zake vizuri,, anatuchanganya uyu kicheche,, hadi lambalamba hukuwai maliza
Nahic salio malige😂😂😂
Mawazo yanamuishia jamn msimlaumu😂😂😂
Kicheche mwenyewe mpenda makalio😂😂😂
Kali sana
Much love from kenya 🇰🇪
Sasa move nyingine hamjamaliza mnatoa nyingine
Iyo Ni shida Kbs
Hainan soko
ni kwel Pesa na matatizo haijaisha wameleta nyngne ndo nn
Kwl kabisa na mm nliuliza ivo ivo
Chenchi Seen It , Kazi Kubwa Xan Hii Kam Unamkubal Kicheche Tujuwane Hapa Jamaniii 🎉🎉🎉🎉
Nakukubaliiii babaaa
Ndo tumeanza timu kicheche gonga like apa💪💪💪💪
Yani huyu ni mwamba, tunakujua na idea mpya Kila wakati, inaitwa kuchanganya maadui na washindani wetu😂😂😂😂❤❤❤
Kicheche Kwa Clam atakaa sana ni kibenten tu ndo imeisha yaani Hana jipya hajawahi maliza episode zote🥺
Kabisa
@@moneyfollowme737ila mm ananikosha ivoivooo😂😂😂😂
Kweli kabisa
@@moneyfollowme737 anajitahidi kwa uwezo wake huna haja ya kumtukana wala kumfananisha na mtu kila mtu anafanya kwa uwezo wake ila kwenye kuhusu umaliziaji kweli anazingua na kukaa mda bila kutoa kazi inaweza kumpunguzia mashabiki akijitahidi kutoa kazi kwa wakati na kuzimaliza yupo vizuri zaidi ya unuavyojua wewe
😂😂 haka kajamaa kalevi kalikuwaga wapi jaman anajua anajua Tena 😂
Nan una mkubali seem yakwanzaa❤❤❤❤🎉
Mleviii8😂
Nakukubali sana kicheche😅 9
😂😂😂😂😂😂nicheke mie kicheche niokote sasa 😂
Ila kicheche anajua kutufurahisha kama unakubali gonga like hapa
nakubali kicheche wew nifundsana wew tazania wa1
😂😂😂😂😂😂nmecheka kinoma much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakwanza Leo ku Toka Zambia naomba like zangu
Utaolewa kuomba like kenge we kaombe kwa babu yako we kama nani kwenye episode hii acha ushoga
Kicheche hyo familiar yako kweli😂😂😂😂😂😊😊😊😊
We love him very much kicheche anaendesha vizuri commedia yake
Wote nyuma geuka mbele tembea turudi kwenye KIBIRITI❤❤❤❤
Wakwanza jameni nipeni likes zangu💯🔥🔥 from Kenya pia nipeni likes zangu tunaopenda kazi ya kicheche💯🇰🇪🇰🇪
Hii nayo ni kibiriti ya kicheche 😂😂😂
😂😂😂 mbavu zangu jamani napenda iyo nyimbo mnaisabu mabati
Nakubar kicheche we noma
More love from 🇺🇸
Yani kicheche nimecheka mpaka bas et haya mambo ya kujifanya baba kujionyesha 😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤🇹🇿
😂
Aaàh noma hii ndio Familia yenyewe sasa❤❤❤❤❤ like.
Much love from USA 🇺🇸 🇺🇸 🇺🇸
Asante sana King 👑 of new generation 😂😂wewe ni mwamba na nime kubali sana wangu
Mbwa family😂🙈 tamu walai nimeipenda sana🔥💥💥🔥
Hii movie noma sana😂❤, naitazama nikiwa Kenya❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Ila familia ya kicheche Ina balaa🎉🔥🔥🔥
Kicheche hii series balaa nikupe maua Yako sema nn waisha bac ep 2 isije ikawa kama pesa na matatzoo movie qali sana Ile jmn sijui imeishia wap daah🎉
Jmn kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii yaani uyo dada mwenye macho makubwa nampenda mno mwingine nae mkubali valet.japokuw wote mnafanyaaa kazi nzuri xana MUNGU Awabarikii xanaaa
Kicheche una kazi nzuri, sounds nzuri, production ni nzuri kiujumla frame nzuri,shida huna muendelezo mzuri wa kazi zako "pesa na matatizo ni best story ila umeacha". Hapo ni shida
😢😢 kabisaa
Kweli kabisa ilikuwa patamu hatar
@@user-jf9pt8bu5j eeh afanye kazi tuu endeleze hio epsod za pesa na matatizo
@@user-ym9bb2jf7x kweli afanye amalize pesa na matatizo au pastor saimoni
Ndio hivyo sio poa
Kicheche mkali katika movie❤❤❤❤❤❤❤
Kicheche. Umetisha. Sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂ila kicheche mungu akuweke
Hhh tunahesabu mabati😂😂😂😂
Oya kicheche unajua ww jamaa ni mpuuz sna ten unazngua mpumbavu zako ww hv kwann unapenda kuziumiza mbav zngu yan hii kaz kila cku huw naiyangalia 2 na kuipita nikiona kama rabda itakuw co nzur kumbe wala aisee noma sna mmetisha sna na zaid alienikosha huyo demu wait kwan ni mbea hatar yan hpo ndan kila k2 hanachockia hanaongea mwenzake yey uwamka na kucheka yan noma had noma tena nimekapenda bure hako kademu nice....?ni hayo 2 kwa kifup kaz nzur hongeren❤❤🔥🔥🤛🏻🤛🏻👏🏻👏🏻
Jmn mlevi kanikosha 😂😂😂😂
Kicheche unaniboa sana unapo Kaa kimy bila kupost move zako watu tunaumia kuto kukuona bana
Sisi tupo drc congo butembo 👑 king of New generation 🇨🇩🇹🇿
Oyahhh mwamba anajua kutufurahishaaaa😂😂😂😂😎
❤❤❤❤noma kaka
Picha nzuri tatizo ammalizi mnaishia njoan
Kweli Kabsa
Mfano pesa na matatizo yaan dah😢
Kazu nzuri sanaa❤❤🎉Kicheche forever🎉🎉
😂😂😂😂😂mbavu zangu zimevunjika zote ahwiii 😂😂😂
Big up kicheche
Nakukubali snaa kicheche
Kicheche never disappoint
😂😂😂😂😂😂😂
Nimempenda uyo jama anaeye sema kirundi Eti Wabibonye 😂😂😂😂
Uyo numugore wanj😂😂😂
kicheche my favourite 😍 ❤️ from tazania much more love from Kenya 🇰🇪 😍
Tunawapenda pia majirani zetu ❤❤❤
😂😂tulio muona mkenya mwenzetu tujuane hapa 😀❤❤
From burundi wakwanz nipen lik zen jaman
Kicheche nakukubali Sana from malaw❤❤❤
Naomba unisapoti
Kicheche 😂 umeongeza maajabu😂 nipo Zanzibar mwambaaa 😅
Akili nyingi😂😂
@@nyamiziramadhani4232 lakini mshamba sana kicheche
Hapo ndio wabongo mnapo feli moja hakijaisha mnarukia nyengine
Ovyoo sana ndio maana napenda clam vevo
Sema Ina nifurahisha nikifikilia watu walio toka kuigiza filamu ya kishua Hadi ya pangu pakavu tia mchuzi 😂 😂 😂 😂😂😂 namuona dokta wa Cawina
J'aime vraiment depuis France
Kicheche anajua ki ukwel
Wasije wakalana wenyewe kwa wenyeweee🤣🤣🤣🤣