MAOMBI YA KUNG'OA MAPANDO YA ADUI by Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 7 бер 2022
- MAOMBI YA KUNG'OA MAPANDO YA ADUI by Innocent Morris
Omba Mungu aondoe kitu chochote kilicho kaa ndani yako ambacho kinakuzuia usisonge mbele katika eneo lolote la maisha yako.
MSTARI:
"Akajibu, akasema, Kila pando asilolipanda Baba yangu wa mbinguni litang'olewa."
Mathayo 15:13
Innocent Morris
+255652796450 (WhatsApp)
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
UA-cam Link:
/ holyspiritconnect
Naomba kila pando lililokinyume kwenye maisha yangu na family yangu likapate kung'olewa Kwa jina la Yesu na presha inayoni sumbua itoweke Kwa jina la Yesu Amen.🙏🙏
Naomba Kila pando ambalo si mpango wako Bwana, juu ya uzao wangu na uchumi wangu yakang,olewe Kwa jina la Bwana
Bwana yesu nakuomba niondolee mapando yote yliyopandwa maishani mwangu kwa siri na kwa dhahiri. Niondolee maradhi yote mabaya. Niondolee Tamaa za dunia hii.. Niondolee roho zote za kudhulumiwa kwa Jina la yesu ameen
Mapando yote yachomoke from my life in Jesus name, spirit of rejection, relationships dont stay, sickness vitoke in Jesus name amen
Mungu naomba uniodoree kizuizi chochote ktk maisha yangu ktk kazi zangu na ktk iman yangu kwa damu ya yesu
Naomba milango yangu iliyofungwa na shetani ifunguliwe kwa jina la Yesu. Narejesha vyote vilivyo liwa nzige madu madu na tunutu.
Mungu ondoa kizuizi kincho fanya watoto wangu anywe pombe kwa jina la Yesu
Asante bwana yesu hujawah kuniacha cku zote umenipigania
mungu aondoe chuki na ukimya kwa mchumba wangu vikang'olewe vyote kwa jina la yesu
Mungu naomba uondoe mapando waliotupandia ya madeni naya kushindwa na maisha
Mungu naomba uondoe udhaifu na kutokujiamini ndani ya mwili wang ammen
yesu damu yako inene mema juu ya maisha yangu
Mungu anipe kusonga mbele katika maisha
Amen
Mungu naomba uondoe mapando yote ayaliyo pandwa na shetani na niweze kurudi kazini ,naamini Mungu unaenda kujibi maombi yangu na tukae sawa mimi na mume wangu tofauti Zetu zitoke kwa jina la yesu😭🙏
Eee mungu naomba kile kilicho pandwa kwa ndoa yangu na watoto wangu wanikatae eee Mungu naomba ukaweza kung'oa
Nang'oa kizuizi kicho fanya tusibariki ndoa kwajina la Yesu
Mungu aondoe pando la chuki kwa baba ya mtoto wangu , agape ministry wache Kunichukia waniajiri.... roho yakukataliwa ikufe
Naomba ning'oe ulemavu nakupiga keleleusku kwajina la Yesu
Aniponyesheye maman yangu mwili yote inauma shigo moyo mikono migulu bya mingi
Made yanan subuwa sana katika maisha yangu Kwa jina la YESU kristo amen
Ee Mungu niondolee maumivu ya mikono yanayonsumbua kwajina la Yesu
Niko
Burundi naomba muniombee mungu aniponye niko naugonjwa wakuvunjika kichwa nina maumi mingi sana na nina stress mingi kwaju ya kichwa hiki sasa nataka Mungu aniponye katika jina Yesu Kristo
Nang'oa pando lilompandwa kwenyefamilia yangu isiendelee
Mungu niondoree roho ya umasikini kwenye maisha yangu
Asante bwana Yesu kwa kunifungua,. This is such a powerful prayer I've ever had/heard
Kila Pando liliopandwa Na adui ambao MUNGU hakunanda likaondoke katika Jina la YESU Kristo.
Ameen Ameen Asante Sana Mchungaji kwa ajili ya haya maombi nna imani kua babangu ambaye anagonjeka magonjwa ambavyo hayajulikani atapona kwa Jina la Yesu kristo
Mpando iliopandwa kwa mwili ya yangu na damu yangu vitoke zote
Mungu aniteee duka langu lizidiwe na wateja na nipate mme sahihi
Nang'oa mapando yote yaliyo pandwa kwa nguvu za Giza toka kwa jina la yesu
AMEN🙏
🙏🙏🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA NAPOKEA KWA JINA LA YESU christo amen
Naomba adui chochote alichopanda katika maisha yangu leo naing'oa kwangu kwa mumewangu kwatoto wangu
Naomba tuondolewe pepo ya madeni na ya kufiridhika
Amen nasonga mbele kuanzia leo jina la YESU kristo amen
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Anaomba mtt wangu wa pili wa kiume abadike tabia yake mbaya
Naomba pando lolote juu yangu yesu ondoa sasa hivi
Mungu akubariki mtumishi akupe maisha marefu amina
Yesu nibwana yesu nibwana
Adui yoyote anayenifanya nisipate kazi niwe ombaomba navunja kwadamu ya Yesu hana nafasi sasa namteketeza sasa
Naondoa kila kifungo klicho wekwa kinyume namapenzi ya mungu
Nanga mapando yote mabaya kwa Jina la Yesu
BNmempokea YESU Leo JINALABWANa
Ameen ameeen
Ameen napokea uponyaji wafamilia ktk biashara
Mungu naomba uondowe vyote vinavyo nisumbua
Ngome zivunjike kwadamu yayesu naamini mapando yatoke
Ameen
Asante sana barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mutumishi wa mungu barikiwa sanaaaana niombee sana utabarikiwa na mungu ❤❤umenibariki saaana namushukuru mafundisho Yako yanaponya hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah ❤❤
Asante Bwana YESU Kwa kuniweka huru. 🙏
Kweli mngu ningome wakalam2 awe mbaya au muzur ila mungu unastahili imani angu ipo kwake
Ameen
Natoa mapando ya wadeni wote wasionilipa,lakini nadhirumiwa kwa damu ya Yesu kristo mapando yaondoke leo.
Amina pastor kwa kunifungua na Kila aina ya mapando kupitia damu ya yesu
Niondolee roho zote chafu kwa jina Yesu
Mtumishi nimempokea yesu kwenye maisha yangu amina
Naomba baba ya mtoto wangu na mamake wache Kunichukia
Kila pando la shetani ninaling'oa kwenye kila rneo la maisha yangu
Eee Mungu babayangu ondoa mapando ya magonjwa, ulafi,kucheleweshwa haki , ndoa kwa ajili yangu na wanangu, wanangu wafunguliwe; kimasomo, kikazi , kiafya n ktk safari zao
Kila pando alilo aslolipanda MUNGU ndani yangu naliamuru litoke katika Jina la YESU krito
Naomba Kila kilicho kinyume na maisha yangu na kwa familia yangu kiondoke kwa damu ya Yesu kristo..
Mungu niondolee vidonda vya tumbo nataka niwe Dada wa kufunga na kuomba lakini hali hii inanirudisha nyuma hali ya kuhailisha vitu vya KiMungu.
Pando lolote aduu alilo panda kwenye maisha yangu au family yangu Nina ngwoa kwa jina la Yesu kristo wanazareti naachilia damu ya Yesu
Bwana yesu wewe ni bwana katk jina la yesu krsto
Mtumishi nimemupokea bwana yesu leo
Mtumishi nimempokea Yesu leo
asante mungu kwa zawadiii hiii ya uzma
Nasikilizasana maombi yako nafunguliwasana ubarikiwe
Ameen
Amen and Amen hallelujah 🙌 🙏 👏🏻 napokea ushidy
Amen, nashukuru kwa aye maombi❤
Ameen
Asante yesu kwa kuniweka huru
Asante Yesu nimepona
Ameen
Amen napokea kwa jina la yesu
asante kwa damu ya yesu kwa kuniocha
Bwana naomba ondoa magonjwa yote mwilini mwanangu 😢😢😢😢
Ameni nimebarikiwa na somo
Naamin kong-oa mapando yote mwilinni mwangu kuanzia ss
Mwenye nyumba anipende mm na asinitoe chumbani kwa jina la yesu🙏
Ooh Mungu Wangu open My mariage 27th August caming soon Open My fiance in the park pls
Amennn Asante YESU KRISTO
Asante yesu mungu nisaidie
Nimempokea BWANA yesu
Mapando yote yaondoke katika biashara yangu
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Nang'oa Kila mapando ya majini mahaba katika mawili wangu kwa jina ya Yesu kristo na kwa Damu ya Yesu kristo iliyomwagika pale msalabani. Amen🙏
Nataka mwanangu emanuel kila nikimpa biashara analewa anakula msingi
Amina
amina apokea uponyaj
Dam yasu damu ya. Yesu
Hakuna miximu itakayo kaa ngoka kwa jina la Yesu
Ubarikiwe Mtumishi Sana Sana Asante Yesu Kwa kunifungua 🙏🙏
Kila pando lilopandwa na adui katika Familia yangu namwambia Yesu ayaondoe kwa damu yake Takatifu Amina
Ninang’oa mapando yaliyopandwa kwangu, kwa watoto wangu n familia yangu… Yang’oke yote kwa jina la Yesu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mungu niondolee mikosi yote iliyowekwa na adui ili nisifanikiwe niwe mtu wa kuhangaika
Ni kweli mtumishi ukipata pesa tu majanga yanatokea
Amin nime pokes
Ameen ameeen
eeee!!! bwana yesu nalomba ongowa mapando ya aduyi katika maisha yangu.
Mashemeji wabadilike ma father in law mungu tenda yaliyo ya ko🙏🙏🙏
Ameen
Amen Amen 🙏🙏🙏
Ameeen and ameeeeen
AMEN AMEN 🙏🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏
Amen kwajina la yesu mim juditi nang'oa kila pando lililo pandwa na kila adui ndan ya maisha yangu nang'oa pando la opaleshen katika tumbo langu langu nan'goa kwa watoto wangu yusra na samia miliamu timotheo ezekieli kwa wazazi wangu na ndugu zangu iwe kwenye uchumi kwenye ndoa kwenye elimu kwenye afya kwe kazi za mikono yetu yote nang'oa pando la magonjwa pando la kupata ela nakuisha bila mafanikio nan'goa kitu chochote adui anakitumia nisisonge mbele ninaamulu kwa jina la yesu kwa damu ya yesu liondoke dabodabo amen