Maombi Juu ya Mashambulizi ya Ndotoni by Innocent Morris
Вставка
- Опубліковано 16 кві 2021
- Maombi Juu ya Mashambulizi ya Ndoto by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
UA-cam Link:
/ holyspiritconnect
Nakomandi mashambulizi yote katika Kuna la Yesu naharibu mifumo yote ya maangamizi juu ya familia yangu katika jina
Ameen ameeen
Naomba namba yako mtumishu
Ameen sanaa Asante Bwana Yesu
Kwa jina la Yesu kuanzia sasa ndoto zote zenye kuleta uharibifu na kunirudisha nyuma katika maisha yangu nasema basi
Ninakataa kila roho ya mashambulizi kwenye maisha yangu kupitia ndoto kwa Jina la YESU KRISTO wa Nadhareth Alie Hai na ninafunga malango yote ya Ndoto mbaya juu ya Maisha yangu Ameen
Amen. Kila roho inayo shambulia maisha yangu kupitia ndoto imeshindwa. Ndoto za manyoka zimeshindwa kwa jina la Yesu ,ndoto za kurudishwa nyuma zimeshindwa kwa jina la yesu .
NinaFunga kila Mlango wa Ndoto mbaya kwa jina La Yesu kristo
Ameen
I'm sorry to get liko my lifeI aiolllotmentlloy
Dino. Core
Aminaa nimewekwa huru kutoka kwenye mashambuliz ya ndoton
nakupenda Yesu
Mtumishi barikiwa na Bwana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
I’m free from all demonic dreams in the Mighty name of our Jesus Christ🙏🏽Amen
Amen
Asante Bwana Yesu kwa kuniweka huru, mimi na nyumba yangu. Amen.
@@amenmushi5285 9 06
Asante Yesu kristo kwa kunifungua kutoka katika vifungo vya majini mahaba. Amen
Ahsante Mungu kwa maombi haya kila kifungo kimeniachia nipo huru kabisa.🙏👏🏾👏🏾👏🏾🤲🏾🙌🙌🙌
Wakati naendelea kusalii mda huu mtu amekuja na chungwa kunilisha nime mlisha mwenyewe kakimbia
Ameen kila mashambulizi yaishe kwajina yesu christo
Ubarikiwe mtumishi wa mung hay maombi yamenipony mung akubariki
Ameen
Kuanzia sasa nonafunga mashambulz ya ndoto zenye uharibifu katka maisha yangu kila ndoto mbaya
Amen Amen, nakemea kila nguvu za giza zinazonishambulia kwenye ndoto zishondwe kwa jina la Yesu,zisirudi tena maishani mwangu
Ndoto zangu ziwe za kukuona wewe.Asanteh BWANA YESU
Naamini kwakupitia maombi haya kwa damu ya Yesu napokea uponyaji ,ndoto za mashambuliz zimevunjika kwa jina la Yesu nipo huru,kwa jina la Yesu kristo wa nazareti aliye hai amina.
Yesu asante Kwa kuniweka huru.ndoto zangu zikawe za kukuona ww na kuona utukufu wako
Janamineanza kusali haya nime lala nafu nakushukuru mungu ubarikiwe daima
Amen mapepo yashindwe kwa jina LA yesu Niko huru kwa damu ya yesu na kwa jina LA yesu
Aminaaaa 👏
Navunja kila maagano yanayonisumbuwa kupitia ndoto nayachoma kwanguvu za mungu,,
Mjukuu wangu amefunguliw na ndoto za ajalii Kaye den mushi 🙏
Ameen
Ndoto Zangu Zote Nzuri Zifanyike Katika Jina La Yesu Kristo.NaZile Mbaya Zikafie Kuzimu Katika Jina La Yesu Kristo.
Asante kwa maombi Yako kwa ujumla yananifanya niwe mfuas wako
Nimepokea uponyaji wa kushambuliwa katika ndoto na roho waovu...kwa jina la Yesu Kristo. Ameeeen
I receive grace from God in the name of jesus
Ameen
Ninafunga kila shambulio za ndoto mbaya kwangu na kwa mtotoo wangu kwa Damu ya Yesu kristo
Amen this message is ready to me please pray for me and my family for me at night
Ameen. I will pray for you
Mashambulz ya ndoton yashindwe kwa jina la Yesu kristo
Asante yesu kwa kunifungua kwa minyororo ya shetani
Amen Amen Amen barikiwa sana kwa maombi
Ahasante bana yesu kwa kuniweka huru
Asante YESU kwa kuniweka huru 🙏🙏🙏
Jamani mungu ni mwema nimefunguliwa
Ameen ameeen
Kuingiliwa kimwili imenitesa Sana katika mahusiano Sina Amani naomba Mungu aharibu kila mipango yamwovu ibili katika Maisha yangu
Bwana Yesu akuweke huru kabisa katika jina la Yesu Kristo
@@holyspiritconnect amen 🙏 in Jesus name amen 🙏
I decree and declare that no weapon formed against me shall prevail through dreams.amen
Kila Nguvu zilizo kinyume na mpango wako Mungu ninaharibu kwa Damu ya Yesu Krsto I command our blood of Jesus haleluya
Nmefunguliwa , Amina mtumishi
Ameen
Kila roho ovu za mashambulizi juu ya maisha yangu toka na uachie vyakwangu kwa jina la Yesu na kwa Damu ya Yesu...ninaaminiMungu aliye hai umetenda zaidi ya niombavyo.Amen.
Ameen
Asante BWANA yesu kwa kunifungua,asant kwa ajili ya familia yangu, Asante kwa ajili ya mtumishi wako endelea kumtumia Kama chombo chako,,zidi kumpa maono , amen
Bwana apewe sifa
Mungu Nisaidie Ndoto Za Kuzimu Niziotazo Zishimdwe Katika Jina La Yesu Kristo.Amina.
Mungu ni mwema kupitia maombi haya nimefunguliwa🙏🙏
Amen! Asante Yesu Kristo kwa ukombozi.
Barikiwa mtumishi wa Mungu.
Mapepo yote ya usiku yashindwe katika jina la yesu
Ameen
Asante mungu kwamaombi kila vifungo Kwa mama yangu vimeto weka mtumishi Mungu ni mwema
Naomba maombezi ya ndoto narudi Kijiji
Nitakuombea
Nina kemea kila roho inayoleta ndoto mbaya
Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏
Amen
@@holyspiritconnect mtumishi Bwana Yesu asifiwe naomba nisaidie namba zako
Asante Mungu ushatenda🙌🙌🙌
Asante Yesu kwa kunifungua! I can feel changes in my body! Halellujah!
Asante Mtumishi Mungu
Ninakemea kila mashambulizi ya ndoto mbaya katika Jina la Yesu
Moto wa yesu uteketeze mashambulizi yote kupitia ndoto
Ulinitumia hii sala ya kwenye ndoto ila bado zinanitoke sijaelewa❤ unaweza kunitumia sala zingine pia pia ninakufuatilia jwenye maombi ya siku saba bado naota wakinitoea
Nakataa ndoto mbaya naota mtoto wangu amekufa nafuta kwandam ya yesu
Nanipinga kila roho za kiume kwa Jina LA Yesuuuuuu
Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
Maagano yote yaliyofanyika katika ndoto kwa kujua/ kutokujua nayavunja sasa kwa jina la Yesu.
Ameen
Jina la Yesu, jina la Yesu ,jina la yesu
Amen Amen I receive
Ameen
Na amini nimefunguliwa kupitia maombi haya asante Yesu kwa kunifungua🙏🙏🙏🙏
Thanks brother, God bless
Asante Mungu kwa kunifungua na kuniokoa toka kwenye ndoto mbaya na mashambulizi ya rohoni Amen.
Amen 🙏🙏 hayo maroho ya ndoto yashindwa
Asante maombi ya mashambulizi ya ndotoni nilivyo maliza kuombaa nikalala nimeota Bibi kaja na mfuko wa dawa za kienyeji zaunga na mizizi nikamuuliza ulikua unafanya nn hapa hajibu anabami mmmmnikachikua dawa zake nikamrushia usoni akakimbia
Amen mtumishi naomba nifunguliwe Kwa jina la yesu.
Ninkushukuru katika jina la yesu kristo kwa kunifungua mimi na Ukoo yangu.
Ameen
Asante yesu kwa kunipa mafanikio katika maisha yangu
Asante Bwana Yesu kwa Kuniweka huru🙏🙏🙏
Katika jina la Yesu Kristo nakemea kila mashambulizi yoyote kwenye ndoto kwa damu ya Yesu nafunga kila mashambulizi yoyote katika ndoto
Nafunga milango yote yandoto mbaya Kwa jina Yesu Kristo
mungu atende miujiza kwangu kupitia ndoto make ikifika uck nakosa amani
Namba mungu unisaidie nipone naota mambo mabaya usiku
Asante Yesu mmefunguliwa kupitia Maombi haya Asante Mungu
Ameen
Asante Bwana Yesu kwa kuniweka huru katika jina la Yesu Kristo Ameen 🙏
Asante kwa ibada nzuri ya maombi. Barikiwa. Am blessed, be blessed too
Amen Mungu akaharibu roho zote za Paka zinazo nishambulia ndotoni kwa kunifukuza
Asante yesu hakika yesu ni mzuri sifa za utukufu vikufiki bwana
Ameen
Asante Bwana Yesu kwa Kuniweka huru,katika Lango la Ndoto
Mungu akubariki mtumishi wa mungu Kwa maombi mazuri amen,amen,amen
Naomba maombi kwa wazazi wangu nk n ndoto baya kwa mama yangu naomba maombi naota mama yangu amekufa npenda mama yangu pia n family yetu
Tutakuombea uwe na amani
Nvunja roho zote za ndoto juu yaa umauti ya watoto wangu mume wangu inayoonyesha mauti kuwa wamekufa nakemea klwa damu ya yesu zikapatw kushindwwa ktk jina yelsu kristo navunja hayo madhabahu hazina mamlaka ktk jina la yesu kristo Rika bosi nakemea zikapatw kushindwwa ktk jina la yesu roho za Kila aina nakemeaa roho zinazoszhambulia Kwa ndoto ziklaashindwa Kwa jina yesu Rika betene nazivunnja Kwa damu ya yesu
Ameen ameeen
Nakea kwajina la Yesu mashambulizi yotete.kwenye ntoto yakilaaina achia kwenyendoto kwajana la yesu kristo nakemea kwa damu ya yesu
Katika jina la Yesu kristo navunjakila vigingo na ndoto mbaya zinazo nifuatilia .
Ameni nafunguliwa mashambulizi yote yanayo nishambulia kwenye ndoto
Tufanyeje ❤
Ndoto za majin mahaba toweka kwa jina la yesu
🙏🙏🙏 ubarikiwe Kwa maombi mtumishi wa mungu
Nimefunguliwa katika jina la Yesu
Amen
I receive
Ameen
Am free from demonic dream and of spiritual husband i dismantal in jesus name
Ameen ameeen
Ninasambaratisha kila roho za giza, roho za maangamizi, roho za kukataliwa kwa Damu ya Yesu Kristo.
Kwa kupitia maombi ya mtumishi wa mungu ninaenda kukaa kinyume na mashambuliz ya kwenye ndoto juu yang na juu ya familia yangu,mama,baba,dada,kaka na familia zetu nakaa nazo kinyume tokea hii siku
Ameen ameeen ameeen
Ninamshukuru Mungu wangu kuniponya
Ameen
Ninafunga kila ndoto mbaya kwa jina la yesu
Eeee Mungu naomba niokoe
Asante Yesu hakika wewe ndo msaada wetu! Tumefunguliwa mimi na family yangu yote 🙏🏻
Damu ya Yesu Kristo aliye hai imeniweka huru
Amen 🙏
Nafunga roho za ndoto chafu zote kwa jina la Yesu kristo
Hakika haya maombi yananifungua sana kila nikiomba lazima nitapike na kubehua sana
Ameen. Haleluya
Ndo unapata kufungulia hapo,MUNGU ni mwema.
Asante BWANA YESU kwa kuniweka huru
ASANTE Bwana Yesu kwa kunikomboa. Amen
Nafunga ndoto mbaya zote kwa damu ya yesu
Amen
🙏🙏🙏
Nafunga ndoto chafu kwa jina la yesu
Najiungamanisha na maombi hayo kuanzia sasa ivi
Asante Yesu