Yanga SC 4-1 Tanzania Prisons | Highlights | NBC Premier League 28/05/2024
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2024
- Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick Yanga ikiiadhibu Tanzania Prisons magoli 4-1 kwenye mchezo wa kuhitimisha msimu #NBCPremierLeague 2023-24 uliopigwa Azam Complex, Chamazi.
Waliotangulia kufunga ni Tanzania Prisons kwa goli la beno Ngassa dakika ya tano huku Aziz akifunga magoli yake dakika ya 11', 12', na 79' huku goli lingine likifungwa na Kennedy Musonda dakika ya 52.
Magoli haya yamemfanya Aziz kuwa mfungaji bora wa ligi #TopScorer akifikisha jumla ya magoli 21 mbele ya Feisal Salum aliyemaliza na magoli 19
Tazama highlights.... - Спорт
Mm yanga Ila Niko tofauti kidogo. Nafurahi Ki Aziz kupata kiatu, lakini siwezi kumbeza fei, tukumbuke fei kuondoka yanga kumeketa tija kwa wote wawili😊, yaani fei kuonekana zaidi na azizi kuonekana zaidi tofauti na walipokuwa pamoja huku mara nyingi wakigimbea namba kumi. Narudia, nafurahi Aziz kushinda kiatu, lakini wote fei na Aziz ni wachezaji wazuri Sana. Hongera kwao.
Fei toto nakukumbusha tu kuwa mwenzako master ki kabeba medal,kabeba mpira, kabeba kombe, kabeba kiatu na anabeba na Hamisa mobetto😁
Amesomba Mvp kombe fei mtt sana kwa azizii
Utapigwa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂namobeto tena
😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
Nakupenda Aziz k
aziz ki kacheza kwa bidii mno,astahili golden Boot,kaichukuwa kwa haki,.
Skudu yuko bomba sana
Aliyeona kitu kwa Ngassa jr. Tujuane 🙌
Ki aziziii like hapa
Huu ulikuwa msimu Bora kwetu wananchi tuombe mungu tuvunje hii rekodi inshaallah
Aziz kweli mchezaji 🙌.. anajua
Nakupenda sana azizi l love you. baby boy❤❤❤❤🎉🎉🎉
akuna kitu kilicho wahi nifurahixha Feisal kukoxa kiatu big up brother
Haswaaaaaaaaaaa Yan kakosea Nina Raha mpaka nashindwa kueleza yaaan apewe Salam zake hawez shindana na azzzzzz
Stéphane Aziz Ki 🇧🇫🇧🇫🇧🇫
Many good things you have done, weldone president hersi
Azizi ki kapambana sana msimu huu anastahili kiatu❤❤❤
Embu pendeni kuwapa watu maua Yao mtu akifanya vizuri mpongeze
Nasikia laa sana kikwel kwa master ki aziz
Yanga is a best
Kilichowaponz ni kuanza kufunga😅😅😅
mnzizeee asitoke yanga
Kabsa yaan, alafu hizi match 3 za mwisho alikua anajitahid kumtengenezea Aziz
Nimefurahi wachezaji wamechangia wote mwenzao kupata kiatu
Jezi nzur Sanaa ushind mnonooo
Bravo
TATU FC wakiona hii highlights wanaumia vibaya mnoo
😂😂😂😂😂 nimejikuta nacheka
Aziz ki kabeba1: kiatu 2:kombe :robo final caf 4:hamisa 5:kabebesha mimba yani musimu huu amekosa tu kumbeba rais
Asante sana Azizkii
Na fard jamn hamjamuon km anaweza
Magoli ayo ametaabiriwa na Harmonize
naomba yanga hii isibomolewe ila mwamnyeto akapumzike
mwamnyeto baba tunakupenda badilika😢
Saikolojia jmn..hayuko sawa
Jamani mashut ya aziz k ni ya moto naona golikipa wa prisoni anadaka alaf anapuliza mikono hatari ila prisoni wameyataka wenyewe pale walipo jaribu kupiga mzinga wa nyuki busu ndipo nyuki wakaamka kweli kweli comback ya kibabe
Mwamba WA Ouagadougou ni ninja tu.
Ndo wanafananisha na fei😂😂😂🎉
Tuvaa hizo jezi Huwa tuko noma sisi fei
Pamojaaaa sanaaa Azizi kiiiiiii
Kiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
❤❤❤
Mwamba Aziz kiiiiiiii hakuna wa kutokea kama kiiii
msheri kaonyesha ni kipa wa daraja gani, mwamnyeto kaonyesha ni beki wa daraja gani, goli moja limetupa majibu mawili
yaani jiwe mmoja ndege wawili
Goal kosa la mshery hana maamuz ya hraka maana kaishaona mwamnyeto kabanwa na watu 2 kwann asibane angle ya pemben au akamsaidie mwamnyeto? Maana mwamnyeto kaenda kuclear makosa ya yao
Mwamnyeto hajaanza leo
Sasa Mliona rahisi Fiken nyie Kwenye shirikisho Final Tuone.........Hawooooooo Makolo
Huyu jamaa ana just sanaaaaa
Ki Aziz ❤❤
I blame Tanzania prisons for scoring first😂
Jaman Aziz ki so mchezaj wa kuliganishwa na fei too
Uyondio mwamnyeto ninaemjua mm makosa yakijinga afaikia yanga uyu
Huyu golikipa wa yanga anadaka kwa macho
Huyu mwamba namkubali sana aisee. Mungu azifi kumtia nguvu
Mpeni salaam fei sisi tushiki
Yanga wana
Kama wyn room wa man u vile.🙌🙌🙌🙌
The video quality is very low and bad
Kuna namna league yetu iwe na championship playoff kuanzia wa kwanza Hadi wa 7 afu na relagation play off wacheze 8 - 16 watu wachukue ubingwa kwa mbinde
utatuharibia ligi
Siache mmbachao...kwa msala upitao
Fei take care.....😂😂
Aziz k 🎉🎉🎉🎉
Ukimfuatilia sana Mwamnyeto Kila goli atakalofungwa yanga basi lazima yeye kafanya kosa kiukweli amekua na makosa Kila mchezo ambaye anacheza
acha wivu bro 😮😮😮😮
Nomaaa
Woooooooooxh
Master key
Naomba skudu asiondoke
Mabigwa WA kila kitu🎉
Mwamnyeto dah mi ananikwaza kweli kweli
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉, ametisha sanaaaaa kaka Kiiiii
Fei alikuwa anampiga misumari mwamba....ila mungu naye ni nani😂😂😂😂
Fei toto atapewa socks
Ila mwamnyeto tumpe thank yu
Watoto 2nabalaa
Yule streka wa majini au teka la mguu mmoja salamu zimfikie...
Kama huna D 2 uwezi kuewa😅😅😅😅😅😅
😊😊
Master ki mwamba kwel kwel
Mamaeeeeeeh
Ila Mwamnyeto!😂
Mtasema mengii ila.. ndo ivo kajituma na Mungu kashamwandkia kitambo kushinda na leo kahitimisha .ligi imeisha muwape washindi maua yao
Quality ya video mbovu Azam Tv jmn khaaa🙄🙂↔️💔
Mbovu sana
Yaan inaumiza macho balaa
Skud abaki
Yangaaaaaaa
Au wewe ndo wale waliokosaa D mbilii ambacho huelewii nn???😱😱😱😱😱 hata kuonana!!!!!!!
Hivi mwamnyeto aliyemroga alikufa???
😂😂😂😂😂😂 amutaft
Yani mm hua nashangaa sn kuckia simba wanamtaka huyu alafu hua nashangaa sn kua eti hatuwapi😂
😅😅😅😅😅😅
Walijaa box tukanyoosha
Haka kabeno ngasa soon kaje yanga
Wacha wanaostahili kushinda ashinde kiatu cha mfungaji bora
Kuna fala anapiga hatrik wachezaji wako 8 lakini master ki kapiga hatriki Azam wako 11😂 alafu makolo wanasema fei😂😂😂
😂😂 hata Azam kapigwa 3 nmaster k
Key anawashenyenta mabeki na makipa
jiniaz
Huyu skudu leo
🎉 ana vitu vingi na nimdogo sana
Mwamnyeto nguvu nyingi akili kiduchu 🤔
Hivi mwamnyeto wa ninni
Wanachangia au tayr maongezi yamepita
Hv mbangula yumo kwl?
Mbangula alikuwemo
Clement yanga wakimtumia kama winga alaf watuletee striker anayeeleweka clement tutaona umuhimu wake
Sahihi Sana, tofauti na clement kucheza kama striker
PIRA BIRIAN.
Acha huo mgol Cheo mpas wa shekh
Azizi ki anasemaje dada fei ni wake na anatamba nae namimi kama baba mkwe npepitisha ndoa ifungwe
This is top foul
Sisi humu Tu
Ila gharib mzinga maneno yako jaman mbona mambo d2
Fei we fei wewe ,adi mobeto anachukuliwa ,zanzibar bure kabisa
Mwamnyeto cjui ana shida gani huyu
Yan hzo ndio mech za nyumban tukienda kimataifa attuzngua hyu aspo jilekevisha
Mtangazaji kiswahili ni Msumari sio Msumali duuu😂
Izo ni vitu vudogo ww
Iyo mechi Ni Kama imeuzwa😮
Nawewe kanunue
Kanunua mamako
😂😂😂 hata ile ya kwenu tulinunua
Ata Simba mbona mliuza Mana nyie mlikula tano hao nne
Huyu dogo Ngasa kwani vp?
Magoal ya mchongo
Shoga nn
Kacheze shirikisho na watoto wenzio
Hata kama huna Akili,macho nayo hayaoni.
Hay magol so ya mchogo km ya musimu uloisha
Unasifia kijinga wee mtngazaji kiwango ambacho anaonyesha azizki ni chakawaida tu unampa kichwa na masifa kibao ambayo hana, top class unamjuwa wap?au unaongea tu kwakuwa umekata spika tena ndo watu wakuskie unaongea kiingeraza feki kisichokuwa na mpangilio
Makasiriko ya nn kolo😂😂😂ni top class magoli 21
Pole ndugu
Wewe ndio umeandika ujinga, eti kiwango cha kawaida lete takwimu kama kuna Mchezaji yeyote kutoka kwenye litimu lako lililoshika nafasi ya 3 anayemfikia.
Una maumivu eti?
Kama haitoshi jitombe mwenyewe sikujui sijui una mshono au muhogo utajijua mwenyewe nakam huwezi jitumbukize chooni kwako