Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лис 2023
  • Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
    Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
    Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
    Tazama highlights....
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 667

  • @irenemakundi-og9xg
    @irenemakundi-og9xg 5 місяців тому +259

    Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha

  • @magrethshishwa5481
    @magrethshishwa5481 7 місяців тому +109

    Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚

    • @user-ke9ef7wr5v
      @user-ke9ef7wr5v 6 місяців тому +1

    • @GabrielkindoleGodfrry
      @GabrielkindoleGodfrry 6 місяців тому +2

      Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo

    • @user-gu6eh4gl8l
      @user-gu6eh4gl8l 6 місяців тому +1

      💚💚💚💚💚💚💚💚

    • @fatma4628
      @fatma4628 6 місяців тому +1

      Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊

    • @claudiamoses7016
      @claudiamoses7016 5 місяців тому +1

      ​@@user-ke9ef7wr5vlq look

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 5 місяців тому +39

    Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like

  • @salummkumbe5694
    @salummkumbe5694 5 місяців тому +18

    Tunaorudia kutazama gonga like

    • @tenatanz
      @tenatanz 5 місяців тому +1

      Happy new yeah

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 5 місяців тому +13

    kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂

  • @EvaJuakaliTV
    @EvaJuakaliTV 17 днів тому +5

    Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤

  • @ManenoAbeli
    @ManenoAbeli 2 місяці тому +5

    Kama hii mechi ulifurahi weka like

  • @DoriceSephania
    @DoriceSephania 6 місяців тому +8

    Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa

  • @rahimuhabibu6388
    @rahimuhabibu6388 5 місяців тому +10

    Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024

  • @bahatichikoko6362
    @bahatichikoko6362 4 місяці тому +7

    Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani

    • @patrickndelwa8903
      @patrickndelwa8903 2 місяці тому

      Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense

  • @swaigift1694
    @swaigift1694 5 місяців тому +4

    Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika4669 4 місяці тому +6

    Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚

  • @user-ww9gd8pb7o
    @user-ww9gd8pb7o 7 місяців тому +8

    Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Місяць тому +6

    Nikiwa na stress naangalia hili game

  • @roi2554
    @roi2554 4 місяці тому +4

    2024 still watching it😂😂😂

  • @ochu1012
    @ochu1012 3 місяці тому +5

    06/03/2024 leo nimerudia😂

  • @ManenoAbeli
    @ManenoAbeli Місяць тому +6

    Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆

  • @mamahairat2223
    @mamahairat2223 2 місяці тому +5

    Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024

  • @nicodemasmasabo5412
    @nicodemasmasabo5412 4 місяці тому +6

    Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka

  • @BizoMenya
    @BizoMenya 6 місяців тому +6

    Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like

  • @user-ts4oj4eg5m
    @user-ts4oj4eg5m 5 місяців тому +3

    Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa

  • @beatricemasaoe1308
    @beatricemasaoe1308 18 днів тому +4

    Naona raha

  • @trice_yanga
    @trice_yanga 2 місяці тому +4

    sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌

  • @user-um2ov6gm8j
    @user-um2ov6gm8j 4 місяці тому +8

    Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii

  • @naomysalumu1858
    @naomysalumu1858 4 місяці тому +6

    Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024

  • @GodfreyKunambi
    @GodfreyKunambi 2 місяці тому +5

    Nipo Live Tarh 2/4/2024

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Місяць тому +2

    Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 6 днів тому +4

    Ukiwa na stress naangalia hili tujuane

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 місяців тому +3

    I love so much young african 3:16

  • @AhazyStanley
    @AhazyStanley Місяць тому +3

    Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia
    Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷
    Simba vs Young Africans FT 1-5
    Club African vs Young Africans FT 0-1
    Young Africans vs CR Belouzidad
    FT 4-0
    Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama
    Greatest games of all time 🙌🏻💛💚

  • @sheysarahnjeno5207
    @sheysarahnjeno5207 7 місяців тому +6

    Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.

  • @HerenaReganga
    @HerenaReganga 5 місяців тому +5

    💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛

  • @YondoBishweko-si4uh
    @YondoBishweko-si4uh 5 місяців тому +6

    Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 6 місяців тому +7

    Nimeirudia Tena leo😂😂

  • @JoshuaLaurent-wv3tz
    @JoshuaLaurent-wv3tz 17 днів тому +3

    Mm pia narudia sana hii mchi

  • @jamesraphael9581
    @jamesraphael9581 7 місяців тому +8

    Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢

    • @Emmy-my2xc
      @Emmy-my2xc 7 місяців тому

      🤣🤣🤣🤣

  • @sylvesterthomas9341
    @sylvesterthomas9341 6 місяців тому +10

    Wangap wanarudia hapa

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 9 днів тому +4

    Sichok kuangalia hii mechi 😅😅😅

  • @amanikasekwa7454
    @amanikasekwa7454 Місяць тому +2

    Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉

  • @jacklinendimbo4529
    @jacklinendimbo4529 10 днів тому +3

    Ila yanga ilinipa raha

  • @habibukilango7738
    @habibukilango7738 4 місяці тому +8

    Leo tar 18 tujuane 😅

  • @kulthumabdalla
    @kulthumabdalla 6 місяців тому +5

    Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛

  • @user-ux3jj1er3e
    @user-ux3jj1er3e 4 місяці тому +3

    Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂

  • @JuniorShadrack-iw9ru
    @JuniorShadrack-iw9ru 25 днів тому +4

    Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024

  • @user-oh2ib9me5g
    @user-oh2ib9me5g 7 місяців тому +8

    Leo mzize katulia

    • @jumakassim8718
      @jumakassim8718 7 місяців тому

      😂😂😂😂 sanaa raha jamani

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 3 місяці тому +9

    Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad.
    kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.

    • @vi3ayo1622
      @vi3ayo1622 3 місяці тому

      Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂

    • @halimahamis7370
      @halimahamis7370 3 місяці тому

      Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅

    • @galluskanenge4898
      @galluskanenge4898 3 місяці тому

      Acha kulakula kipolo😊

    • @Faustine_Charles
      @Faustine_Charles 3 місяці тому

      @@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦‍♂️

    • @galluskanenge4898
      @galluskanenge4898 3 місяці тому

      Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 3 місяці тому +4

    Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊

  • @user-ui4bl2pb1g
    @user-ui4bl2pb1g 3 місяці тому +2

    Yangu tamu bana❤❤❤❤

  • @prosperpius9030
    @prosperpius9030 7 місяців тому +4

    Mzize the Unsung Hero

  • @MjeruMani-df8lu
    @MjeruMani-df8lu 20 днів тому +4

    Leo ni tar 23 mwez wa 5 😂😂😂😂😂

  • @MossesMria
    @MossesMria 5 місяців тому +5

    narudia na leo tena😂😂

  • @user-so5vq9rh6v
    @user-so5vq9rh6v 7 місяців тому +5

    Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉

  • @ValeeMitindo-od7fs
    @ValeeMitindo-od7fs 7 місяців тому +7

    Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤

  • @zeyanaalhabsi8636
    @zeyanaalhabsi8636 6 місяців тому +7

    5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.

  • @husnakumburu8853
    @husnakumburu8853 Місяць тому +5

    Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅

  • @jacksonnyoni1978
    @jacksonnyoni1978 6 місяців тому +8

    Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂

    • @MdogowaKaka
      @MdogowaKaka 6 місяців тому +1

      Inafrahisha sana😂

  • @jacklinendimbo4529
    @jacklinendimbo4529 2 місяці тому +5

    Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY 5 місяців тому +3

    Hii video inanifurahisha nikiitazama .

  • @mwanaidiomari2183
    @mwanaidiomari2183 Місяць тому +2

    Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂

  • @moviekaa
    @moviekaa 3 місяці тому +10

    Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂

    • @ashamkenga6072
      @ashamkenga6072 3 місяці тому +2

      😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂

    • @moviekaa
      @moviekaa 3 місяці тому +1

      @@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 місяців тому +2

    I love so much young african 3:16

  • @Derrick-hf4di
    @Derrick-hf4di 5 місяців тому +5

    Tunaongalia mwaka 2024 ❤

  • @user-zf6wi8cp4u
    @user-zf6wi8cp4u 6 місяців тому +5

    Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.

  • @senkondonyange5769
    @senkondonyange5769 3 місяці тому +5

    Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u 5 місяців тому +5

    Hii atar kila cku naangalia raha sana

  • @user-op7mh5sp4p
    @user-op7mh5sp4p 4 місяці тому +4

    😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂

  • @dicksonmwenyembegu2523
    @dicksonmwenyembegu2523 4 місяці тому +5

    nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 3 місяці тому +4

    Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅

  • @safariJanvier-tx2lq
    @safariJanvier-tx2lq 7 місяців тому +55

    Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu

  • @mariahmushi7106
    @mariahmushi7106 3 місяці тому +7

    Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂

    • @user-yt3tn6dx3f
      @user-yt3tn6dx3f 3 місяці тому

      Tuko pmoj😅😅

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 3 місяці тому

      @user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅

  • @J.mM.l
    @J.mM.l 17 днів тому +3

    Mm pia narudiaga sana

  • @user-pf5ob7un7x
    @user-pf5ob7un7x 4 місяці тому +2

    Daaah yanga noma❤

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 місяців тому +3

    Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀

  • @user-ok2rx9wl1w
    @user-ok2rx9wl1w 7 місяців тому +5

    Jamani nan Kama yanga

  • @EsterKway
    @EsterKway 3 місяці тому +5

    Women day nipo hapo

  • @witnessniclass3777
    @witnessniclass3777 3 місяці тому +5

    Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂

  • @user-zw3kr4vo9c
    @user-zw3kr4vo9c 4 місяці тому +2

    Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂

  • @RonardoBernadin
    @RonardoBernadin 17 днів тому +3

    Timu yenye kuleta raha duniani

  • @jumakassim8718
    @jumakassim8718 7 місяців тому +3

    Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa

  • @Ally-sr4cw
    @Ally-sr4cw Місяць тому +5

    Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂

  • @mwajuma802
    @mwajuma802 3 місяці тому +5

    Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24

  • @user-vr8fv5ic8v
    @user-vr8fv5ic8v 5 місяців тому +1

    I love so much young african

  • @user-ih5bq9mw7t
    @user-ih5bq9mw7t 5 місяців тому +2

    Yanga tamu

  • @vi3ayo1622
    @vi3ayo1622 3 місяці тому +6

    Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂

  • @user-zb2pg4ix5s
    @user-zb2pg4ix5s 7 місяців тому +3

    Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚

  • @dullahamis4043
    @dullahamis4043 7 місяців тому +5

    Movie yangu hii ya kila siku

    • @danielsunghwa487
      @danielsunghwa487 7 місяців тому

      Ata mimi jamani sichoki kuangalia hii movie💚💚💚💚💚 yanga

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh 7 місяців тому +2

    I love you ❤❤ yanga

  • @user-wl6il1zk6m
    @user-wl6il1zk6m 7 місяців тому +6

    Poleni sana wana simba nikionjo kidogo hicho bado atuja wafunga mpaka tuwafunge mabao nane ndo tunarizika rahaaaa mpaka kufaaaaaa from louis ville kentucky

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 23 дні тому +1

    Huyu mtangazaji.jamani ananikosha sana.gonga like kama unamkubali🎉🎉🎉

  • @kevymloje730
    @kevymloje730 4 місяці тому +3

    Narudia kuchek tena tarehe 10/02/2024😊

  • @petro8010
    @petro8010 Місяць тому +3

    Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale

  • @edsonmgaya5795
    @edsonmgaya5795 5 місяців тому +5

    Wanao sema yanga siyo maneno nimepira kwer gonga like hapa

  • @FloraIkwabe-qy3yb
    @FloraIkwabe-qy3yb 10 днів тому +3

    Kila siku lazima niungalie ni raha sana kept timu kama hii

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 3 місяці тому +4

    yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani

  • @athumanyahya
    @athumanyahya 2 місяці тому +4

    Sema raha kuangalia hii highlights 😅😅

  • @totnandjosephkilowoko1264
    @totnandjosephkilowoko1264 Місяць тому +3

    Narudia pambano leo 1/5/2024

  • @elizerbethmichael2435
    @elizerbethmichael2435 3 місяці тому +3

    Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G

  • @PetrontemiNyaga
    @PetrontemiNyaga 25 днів тому +3

    Hii mechi mpaka mda huu naitazama kwaumakini.

  • @KefaGeorge-oo1jw
    @KefaGeorge-oo1jw 2 місяці тому +4

    sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa

  • @KelvinMtavangu-ow8yo
    @KelvinMtavangu-ow8yo 4 місяці тому +2

    Tarehe 5 Yanga goli 5 simba goli 1,Nov.2023. Ikumbukwe daima.