Simba SC 1-5 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 05/11/2023
Вставка
- Опубліковано 4 лис 2023
- Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Tazama highlights.... - Спорт
Kama na wewe unarudia kila siku kama mimi gonga like za kutosha
Haitajirudia tena simba ngv 1
Tupooooooo😃😃😃😃😃😃😃😃
Aa mm kilasiku narudia tamuhii
Tunawasubilia, ijayo tutawapiga 10
@@veronicangwale7159q
Tunaotizama tena leo hii mechi gonga like za kutosha tujuane hapa💚💛💚💛💚
❤
Hii siku watu walipotea had kwao anashituka amepanda gar la mbez wakat anakaa gongolanyolo
💚💚💚💚💚💚💚💚
Ila simba walikoswa mno ilifaa wakule kumi😊
@@user-ke9ef7wr5vlq look
Tunaotizama tena leo tar 5 January gonga like
Tunaorudia kutazama gonga like
Happy new yeah
kwa tuliorudia kuangalia mara tano tano hapa mwaka 3055 gonga LIKE😂
Kama Unatazama 2024 Gonga Like hapa ❤❤
Kama hii mechi ulifurahi weka like
Diara umejua kumkand mgen rasmi 💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛nakupenda bure diaraa
Hii mech naiangalia Kila siku 3_1_2024
Me mwenyewe daily never miss 😅
Nairudi hii mechi Leo tarehe 25|01|2024 tujuane hapa kwa like,Yani machungu ya tutofuzu afcon 16 taifa star Yanga inanipa amani
Ukiangalia hii mechi shida ilikua kwenye defense
Tunaoangalia 2024 tujuane apa kwa 👍
Kila Siku Hii Ni Mechi Mpya Kwangu....Naipenda Yanga Sports Club 🔰💛💚
Yanga mnafurahisha kweli, mnajua mnajua, mnajua tena. Hongera sana yanga na viongozi wenu wazuri
Nikiwa na stress naangalia hili game
2024 still watching it😂😂😂
06/03/2024 leo nimerudia😂
Even me, YOUNG AFRICANS the CHAMPION 🏆🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏅🏅🏅 🏅🏅🏅🏅🏅🏅🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆
Nimerudia kuiangaria Leo tarehe 24/3/2024
Ila sisi yanga hatuna huruma kwa kweli 😅😅😅😅😅😅😅yaan kila siku tunaiangalia hku tunacheka
Tunaotizama mpka sasa hii mechi tujuane hapa kwa like
Mpira wetuu unakua kwa kasi sana what a performance by young africa
Naona raha
sema azizi ki anakuaga na mzuka😂halafu huyo mtangazaji amesemaje eti ohooho🙌🙌
Yan leo taree27 mwezi 1 naangalia mludio haya magoli yanavyo ingia mwili unasisi mka machozi yafuraa yanatoka kama mechi inachezwa saa6 hii
Leo Tena tareh8 mwezi wapili 2024
Nipo hapa Leo 8/3/2024
Nipo Live Tarh 2/4/2024
2ko pa1
Hii ndo dar young Africans buana❤❤❤❤
Ukiwa na stress naangalia hili tujuane
I love so much young african 3:16 ❤
Game zangu Bora Ambazo sichoki kuangalia
Finał France 🇫🇷 vs Argentina 🇦🇷
Simba vs Young Africans FT 1-5
Club African vs Young Africans FT 0-1
Young Africans vs CR Belouzidad
FT 4-0
Simba vs Young Africans FT 2-2 #Balama
Greatest games of all time 🙌🏻💛💚
Yangaaaaa yangu....vivaaaaaaaaaaa.
💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Nilikua na mawazo yangu nimeangalia haya marudio nimefarijika😂😂
Nimeirudia Tena leo😂😂
Mm pia narudia sana hii mchi
Nimeumia.sana kwa mtokeo sikutegemea ila Kuna maisha baada hii 😢😢
🤣🤣🤣🤣
Wangap wanarudia hapa
Sichok kuangalia hii mechi 😅😅😅
Yanga yangu nakupenda saana🎉🎉
Ila yanga ilinipa raha
Leo tar 18 tujuane 😅
Tupo live 😂
Leo tarehe 30/11/2023 naangalia kwa mara nyengine 💚💛
Me leo tar 12/12/2023
Tunaotizama tena leo tar 5 february gonga like apo😂
Mi narudia leo saa 23:26 usku tareh 16 .05.2024
Leo mzize katulia
😂😂😂😂 sanaa raha jamani
Nashindwa kabisa kufanya kazi kila saa narudia mechi ya yanga na simba na mechi ya yanga na CR Bulzdad.
kama kuna mtu anamfaham daktari wa saikolojia naomba msaada.
Nitafute haraka sana nikutibu huo ni ugonjwa😂😂😂
Uko sawa tu huna shida yoyote nipo mwenzako hapa kila usiku ndo kazi yangu😅
Acha kulakula kipolo😊
@@galluskanenge4898 kabla ya hizi mechi nilikuwa nakula kipolo cha wali na maharagwe na sipati hili tatizo 🤦♂️
Ahaa ! Hauhitaji daktari wa saikolojia ,ila tafuta mechi mbili mlizowahi kufungwa na simba magoli mengi zaidi ya manne na meji za nje ambayo mlifungwa mpaka mkachelewa ndege yaani unapona kabisaa ,ukiona bado ,nitakuagizia njegere mabichi upike ule na wali utona shwari kabisa.
Hakuna mechi za yanga Sinto choka kuiangalia kama hii ya Simba na Ile ya CR belouizdad,,zinanipa Raha sana😊
Yangu tamu bana❤❤❤❤
Mzize the Unsung Hero
Leo ni tar 23 mwez wa 5 😂😂😂😂😂
narudia na leo tena😂😂
Bado amjasema hadi mseme hii ndio yanga ya sasa ongera sana yanga🎉🎉🎉
Mpaka hapa nadhani mshajua timu Bora ambayo CAF wanaizungumzia ni ipi...YANGA IMEMALIZA UTATA.....MPAKA MSEMEEEE....😂😂😂❤❤❤
yanga
5gggg hamtasahau wanssimba maisha yenu yoote.
Haichoshi kuangalia hata mara miaaa😅😅😅😅
Kila mda naiangalia ihi mechi mpaka laha 😂😂😂😂
Inafrahisha sana😂
Kabla ya tareh 20.. nmekuj kujitidhisha tenaaa Kun sehem tulikoseailibid tuwafunge7
Hii video inanifurahisha nikiitazama .
Tarehe4 may 2024 nipo apa gonga like kama tuko pamojaa😂
Walikufa vibaya mbwa hawa 😂😂😂
😂😂😂yan mpka raha kurudia rudia haichoshi😂😂😂
@@ashamkenga6072 Jeuri yote imekata 😂😂😂
I love so much young african 3:16
Tunaongalia mwaka 2024 ❤
Laivu
Hiki ni kipigo Cha mbwa Koko. pole yenu simba.
Kikosi cha gamond cha mauaji....hiki ndo kiliua simba...hiki ndo kiliua cr beliouzdad
Hii atar kila cku naangalia raha sana
😂😂 Hii mpaka ifutwe ndio ntaach kuangalia😂
nikimaliza hii naenda kutafuta ile ya kingereza😅😅
Nimerudi baada ya kupigwa na wajelejela😅😅😅
Jamani yanga mtaniuwa naraha mimi ni chabikiwayanga Africa kutoka Congo bukavu
Tabulele 😂😂😂
Neno wananchii ni kubwa Sana lieshike kwa timu zote
Karibu Tanzania 🇹🇿 ndio
Jaman tupean michong kutok congo uk
Ngoja niangalie tena leo 20/2/2024😂
Tuko pmoj😅😅
@user-yt3tn6dx3f😂😂😂😂😂😂et uchaw waroge nawao kama rahsi yanga raha😅😅😅
Mm pia narudiaga sana
Daaah yanga noma❤
Nilifrahia Sanaa hii mechi🙀
Jamani nan Kama yanga
Women day nipo hapo
Sijawahi kuchoka kuangalia hii😂😂😂
Nahisi kama Simba anaenda kufungwa goli la sita hapa😂😂😂
Timu yenye kuleta raha duniani
Asante sana yanga kwa kunipa heshima mtaani kimyaa
Tupo wengi tunao rudia yanga Atari 😂😂😂😂
Maandalizi
Kwa raha zangu shida zenu makolo😂😂 29 Feb 24
I love so much young african
Yanga tamu
Leo trh 18 niko apa kitakacho nitenganisha mim na kuangalia hii mechi ni kifo 😂😂😂
😂😂😂😂 hatariii
Yanga unanikosha Mimi mwenzenu💛💛💛💛💛💚💚💚
Movie yangu hii ya kila siku
Ata mimi jamani sichoki kuangalia hii movie💚💚💚💚💚 yanga
I love you ❤❤ yanga
Poleni sana wana simba nikionjo kidogo hicho bado atuja wafunga mpaka tuwafunge mabao nane ndo tunarizika rahaaaa mpaka kufaaaaaa from louis ville kentucky
Yanga World Wide, Chicago, IL
Huyu mtangazaji.jamani ananikosha sana.gonga like kama unamkubali🎉🎉🎉
Narudia kuchek tena tarehe 10/02/2024😊
Tunaenda kupiga kwenye mshono pale pale
Wanao sema yanga siyo maneno nimepira kwer gonga like hapa
Good kabisa😅
Kila siku lazima niungalie ni raha sana kept timu kama hii
yaani leo niko nashinda kuangalia kurudia rudia hizi mechi tuliowakanda tano makolo na mechi tuliomkanda mwarabu belouizdad nne😂😂 kama movie yaani
Sema raha kuangalia hii highlights 😅😅
Narudia pambano leo 1/5/2024
Nimekuja leo tarehe 26 February 2024 jaman wapii wenzangu wa 5G
Hii mechi mpaka mda huu naitazama kwaumakini.
sichoki kuangalia hii mechi kirasiku yan hahaaaa
Tarehe 5 Yanga goli 5 simba goli 1,Nov.2023. Ikumbukwe daima.