Mashallah Mashallah Mashallah I love these Ladies. These are ladies of substance and for sure they know their purpose in this life... These are those whom wametajwa katika hadiths nyingi katika dini. “Who is the best lady?” They said , “those whom wen you look at them or feel happy.” These are the Ones... Sengo Le Matilda I love your English 👌👌👌
You shall never stop amazing nesh wow.... Keep it up......mrs Tanzania. The more you grow the younger you became, be blessed with your family. Cherrylane.
Hongera qeen dalin jma ndowa ni baraka kutoka Kwa mungu ukitazama warembo wengi huckii kuolewa wanapigwa na kuachwa wakipaata bac mimba lkn ndowa kwao mh ni Sawa na kutafuna chuma Kwa meno
Matilda ni bonge la actrice anajuwa ku acter zaidi ya sana naeza kusema ni number one Tz najiuliza angeli kutanaka na kanumba sijiwe ingelikuwa je ?? Jordan mayele from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Mie Nadhani Tunajichanganya Sana Na Kitu Kinaitwa Mahusiano, Hivi Mungu Alituumba Tuishi Katika Mahusiano Au Katika Ndoa??? Athari Za Mahusiano tunazishuhudia Leo kwamba wanaume wanawatuhumu wanawake kuwa ni waongo, Na wanawake wanawatuhumu wanaume ni waongo pia. Kiukweli Ndoa Ndio Hasa Takwa La Mungu Na Kusudi La Mungu Kumuumba Mtu Mke Na Mtu Mume, Inakuaje Mtu Uridhie Kwamba Mnaweza Kuishi Katika Mahusiano Tu!!??? Tunamhitaji Mungu Zaidi Ili Atuongoze Katika Njia Inayofaa Kuliko Kuifuatisha Namna Ya Dunia Hii Ambayo Mambo Mengi Yamekuwa Yakifanyika Chini Ya Uongozi Wa Shetani.
Mtangazaji upo juu,,km unamkubali Huyu kijana like twende nzetu sawa
Mashallah Mashallah Mashallah I love these Ladies.
These are ladies of substance and for sure they know their purpose in this life...
These are those whom wametajwa katika hadiths nyingi katika dini.
“Who is the best lady?”
They said , “those whom wen you look at them or feel happy.”
These are the Ones...
Sengo Le Matilda I love your English 👌👌👌
ila vidox nakupenda jmn unajua kuhoji MashaAllah nipe like yko nami nijidai
Dylan Didaz Asante sana mtu wangu
Wadada very confidence
Namkubali Sana batulii❤️❤️❤️💪💪💪
Nawapenda sanaa nyiye wadada wawili munajiheshimu sana
Mmmmhh !!
Kwani huyo batuli aliachana na yule mume wa mtu?? nilisoma ktk mtandao I'm not sure huyo wife wa huyo mwanaume alikuwa akitukanana na batuli
You shall never stop amazing nesh wow.... Keep it up......mrs Tanzania. The more you grow the younger you became, be blessed with your family. Cherrylane.
Mashaallah hawa Ma Dada ni wazuri tuu.. wana sura nzuri ❤
Masha Allah nawapenda sana..majibu mazuri na pia hamna maringo
Mungu awabariki,Ma dada Warembo Mlio tulia.Nawalov Sana Kina dada.
nawapenda sana nyie wadada ile sana mungu awape maisha marefu kazi njema kwenu
Hongera qeen dalin jma ndowa ni baraka kutoka Kwa mungu ukitazama warembo wengi huckii kuolewa wanapigwa na kuachwa wakipaata bac mimba lkn ndowa kwao mh ni Sawa na kutafuna chuma Kwa meno
Mmeendana sana jaman love Ming Ming kwenu Matilda & batuli
Mashaallah wamefanana kama mapacha
Mashallah...Nawapendaaa Wazurii😘😘😘😘
Kijana wa Milard Ayo, ni mjanja sana wa kuuliza maswali , ana kipaji sio taaluma tuu, hongera kwake
Mashallah nimewapenda bure 😘😘😘majibu mazur pia km mapacha
Yaaa wamefana
Wamefanana kweli
Da nyiyi niwazuri kwakweli wasura Nadhani hata.tabia.munguawadumishe naumojawenu semeni amin
Jaman madada zang nawapenda sana mungu awaweke kwa urafik wenu mzur aamin
kiukweli kuna maneno mmeongea kama yapo moyoni mwenu mungu adhidi kuwalinda miaka 800 nawapenda sanaaaaaaaaaa........
Wazuli Alf wanafanana ,wanajielew..,they look as wife materials weka ndani ndo utaliona balaa lake.....
Hhhhhhhhhh uone mziki wao
🤣
Nyie wadada na wa appreciate, mnajitambua sanaaaa
Love mingi kwao
wadada wazuri hawa mashallah nawapenda bure
Mashaallah nyote ni wazuri wallah Allah awalinde na kila baya
Nimewapenda sanaaaa wadada tena sanaaa
Matilda ni bonge la actrice anajuwa ku acter zaidi ya sana naeza kusema ni number one Tz najiuliza angeli kutanaka na kanumba sijiwe ingelikuwa je ?? Jordan mayele from DRC🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nawapenda saaana ❤❤🇧🇮
Nawapenda sana😘
Majibu kuntu sasa hawa ndio wife materials wnye akili zao
Kabsa
Tena
Batuli🔥🔥🔥
Nawapenda mm bure ❤❤
Nawapenda wazur km mapacha 😘😘
Emmy Yahya mm lips tu za Matilda💋
Matirida love you
Mashallah mko vizur dada zangu ongeren
nimewapenda sana 😘 .
Kama umemuon masanja mkandamizaji amevaa koti la suti rangi ya maroon kwanyuma amepiga picha na shabiki wake then akapita chaaap gonga like kibao hapa
Nime muona
Hongereni mmependeza sana wasanii wetu.
Mbarikiwe sana hawa ni marafi wa kweli
Masha Allah wazuri sana
Mashaallah
nakupenda bure Rebecca😘😘
Kwa swali la ndoa daaah imejibu kiukubwa
Nawapenda jmn hawa wadada dah ❣️
beauties wit brain😘😘
Wazuri wote mashallah
Wazuri sana
Ya Ata mimi nilitaka sema, wazur uwq nawapendaga jaman matrida kanenepa Harafu ana shepu
Kwel ndowa wanasemaga Ndoa ni nyinyi wenyewe eti tuli unataka niwe kwenye mahusiano
Kwel matrida ni maalufu Lakin anaga, skendo
Eti no koment
Wanaonekana wana furaha sana hongera zao
Walembo Sana afu nyi nawapenda hamupo kwenye mitandao walembo sana
dem akiwa na hela anataman cc tusionazo, ila asie nazo anataman mweny nazo, na hayo maisha
Awo ndo wasani wanao jiheshimu afu wazuri kweli hawaringiyi uzuri wao nawapenda bure ❤❤❤
Safi sana tilda ake pesa na mume tofauti sanaaa
Mnajielewa sana ✅
wazur jmn😙😙
Hongereni sana
Warembo 😍😍👏
Beautiful
Mmependeza
Napendaga move zenu kwakwel matlda ongea yake iko ivyo ivyo ata kwa move nawapenda sana nyie amnaga skendo mbovu wala ampendi kiki
Millard cku izi ushaanza chafua vichwa vya habari na habar tofauti ndani!!
Nawapenda sana
Matilda kanenepa huyo🙄🙄🙄🙄
Mie Nadhani Tunajichanganya Sana Na Kitu Kinaitwa Mahusiano,
Hivi Mungu Alituumba Tuishi Katika Mahusiano Au Katika Ndoa???
Athari Za Mahusiano tunazishuhudia Leo kwamba wanaume wanawatuhumu wanawake kuwa ni waongo, Na wanawake wanawatuhumu wanaume ni waongo pia.
Kiukweli Ndoa Ndio Hasa Takwa La Mungu Na Kusudi La Mungu Kumuumba Mtu Mke Na Mtu Mume,
Inakuaje Mtu Uridhie Kwamba Mnaweza Kuishi Katika Mahusiano Tu!!???
Tunamhitaji Mungu Zaidi Ili Atuongoze Katika Njia Inayofaa Kuliko Kuifuatisha Namna Ya Dunia Hii Ambayo Mambo Mengi Yamekuwa Yakifanyika Chini Ya Uongozi Wa Shetani.
KWA MATATIZO YA NGOZI,KAMA MICHIRIZI SUGU, MAKOVU, NYAMA UZEMBE, KUONGEZA SHEPU, HIPS,N.K,DAWA ZIPO,SMS/WHATSAP 0693_330284
Dawa za kiasili ama
Warembo😍😍
God bless you
Wanafanana wanaendana kwa kweli hawana skendo ,lkn ubaya ni urafiki
wao labda hautodumu sababu ni waigizaji ,
Why are they putting so much pressure on women to get married ❓
video mbona hamutoi mpk chini zipo passport size tu mnakera
Nampenda sana matlida
Kuwapenda tyu
Mtangazaji yupo vzr aisee ameoji mbaka laha sapolaiz
Qali sana vidox
Nampenda batuli mim jamani lik kwa batuli wake
Ad mnafanana
Wanajitambua hawa wadada
Good...
Nice
NDOA NI BARAKA KUTOKA KWA MUNGU HAILAZIMISHWI WAKATI UKIFIKA MTATUNUKIWA HILA WANAUME WENGI WANAOGOPA WADADA WANAOPENDA OUTING.
Wamefanana pia
Safi
Asante Millard kwa kutuongezea tangazo😂😂
Nawapenda hawa wa dada
Hivi ni mapacha au?
Huyu batuli mbona zamani alikuwa haongei hivi au ndio ubishoo
Huyo sio REBECCA ama machoyanguu
Macho ako
Ndo mwenyew
Kweli kabisaa muhimu uthaminiwe kuliko pesa
Yaani wewe matulida nakupenda sana ivi kwa nini ulizubutu kuzaa na mzee stivini nyelele? ulikosa wanaume wa saisi yako? nipe jibu,
Wazuri sana
Wadada Wenye eshmazao nawapenda mno
Matilda namkubali sana
Mie NAWAPENDA lkn rebeca punguza poz kdg....
Rakini vitu vitamu au ndio mbwembwe tu michezo mnaiweza au maji matupu
Matilda ila umenenepa, kiukweli nakukubali Sana,
Mbona munafanana Sanaa.nimapacha
Aje kwangu awe mke wa pili
Love them wanawake
Hawana maringo alaf hakun skendo kma wengine
❤️❤️❤️
Safi wadada mnajitambua sana
Mtoto afsa
nmeipenda eti money come and go for sure iko ivyo bg up dadaz
Karembo matilda
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Midada mizuri hii