HARMONIZE:NILISIKIA SAUTI YA ANJELLA AKISEMA IBRAAH ANATESEKA KONDEGANG,NIMEMSAMEHE ATAKUA AMETELEZA
Вставка
- Опубліковано 20 лис 2023
- #azamfc #yangasc #simbasc
#simbasc #yanga #wananchi
#aslay #bentvmedia
#Chinowanaman#bentvmedia#interview
#yangasc #yanga #caf
#simbasc #usajilisimbaleo #simba
#simbasc #usajilisimbaleo #caf
#feisalsalum#yangasc#simba
#yanga#simba#caf
#simba #yanga #hajimanara
#simba #yanga #hajimanara
#tff #hajimanara #feisalsalum
#yanga #simba #caf
#simbasctanzania #wydad_casablanca #caf
#simbasc #wydad_casablanca
#mandonga #feisalsalum #yangasc
#yanga#simbasc#caf
#simbasc#raja#caf
#yanga #simba #simbasctanzania#hajimanara#usajili #ireneuwoya#mayele #simba
#yanga
#kariakooderby
#Uchambuziwaazamtv
#cafclcc
#Mashabikiwaalhilal
#Hajimanara
#Winnermedia
#Kochanabi
#Golilamayele
#Klabuboraafrika
#Top5media
#klabubingwaafrika
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Alhilal
#mayele
#Azamatv
#Ibenge
#Caf
#cafconfiderationcup
#Tff
#Kikosichayanga
#morrison
#Yangatv
#Yanga
#Caf
#Mayele
#Tff
#Hajimanara
#Klabubingwaafrika
#Yangasc
#Kisinda
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Caf
#Hajimanara
#caf
#Tff
#enghersi
#Yanga
#Simba
#Hajimanara
#Josephatgwajimarudishatv
#Simba
#Yanga
#Hajimanara
#Wakristo
#Simba
#Yanga
#Tundaman
#Ahmedally
#Yanga
#Simbasc
#Hajimanara
#Jezimpyazasimba
#Simba
#Yanga
#Tff
#enghersi
#Yangasc
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Breakingnews
#Diamondplatnumz
#Harmonize
#Msamaha
#Azizki
#Yanga
#Richsports
#Simbasc
#Kagele
#Mayele
#Simba
#Yanga
#morrison
#Mayele
#Simbasc
#yanga
#Simbaleo
#Yangaleo
#Kikosichayanga
#tetesizausajilileo
#Azizik
#Stephenazizk
#Azizkikusajiliwasimba
#Usajilisimbaleo
#Usajiliyangasc
#Dirishakubwalausajili
#Kochampyawasimba
#Tetesizausajilileo
#YangaSc
#mechiyasimbalive
#mechiyayangalive
#ccmkirumba
#Mwanza
#Yangaleo
#Geitagoldleo
#Wasafitv
#Msimamowaligikuunbc
#gsm
#caf
#wasafifm
#wasafimedia
#Cafconfiderationcup
#Usajilisimbasc
#Usajiliyangasc
#Usajili
#Dirishakubwalausajili
#Azamtv
#Dudysports
#Millardayo
#Globaltv
#Mbiusautitv
#Wasafitv
#Sportsarena
#fifa
#Hajimanara
#Cas
#Modewji
#Yusuphmanji
#Usajili
#Kikosichasimbaleo
#Simbaleo
#Ligikuutanzania
#Simba
#Usajiliyangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#Simba
#Yangaleo
#Usajilisimbaleo
#Ligikuu#tetesizausajilileo#simba #simbasctanzania#hajimanara#usajili #ireneuwoya#mayele #simba
#yanga
#kariakooderby
#Uchambuziwaazamtv
#cafclcc
#Mashabikiwaalhilal
#Hajimanara
#Winnermedia
#Kochanabi
#Golilamayele
#Klabuboraafrika
#Top5media
#klabubingwaafrika
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Alhilal
#mayele
#Azamatv
#Ibenge
#Caf
#cafconfiderationcup
#Tff
#Kikosichayanga
#morrison
#Yangatv
#Yanga
#Caf
#Mayele
#Tff
#Hajimanara
#Klabubingwaafrika
#Yangasc
#Kisinda
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Caf
#Hajimanara
#caf
#Tff
#enghersi
#Yanga
#Simba
#Hajimanara
#Josephatgwajimarudishatv
#Simba
#Yanga
#Hajimanara
#Wakristo
#Simba
#Yanga
#Tundaman
#Ahmedally
#Yanga
#Simbasc
#Hajimanara
#Jezimpyazasimba
#Simba
#Yanga
#Tff
#enghersi
#Yangasc
#Hajimanara
#Enghersi
#Yanga
#Tff
#Breakingnews
#Diamondplatnumz
#Harmonize
#Msamaha
#Azizki
#Yanga
#Richsports
#Simbasc
#Kagele
#Mayele
#Simba
#Yanga
#morrison
#Mayele
#Simbasc
#yanga
#Simbaleo
#Yangaleo
#Kikosichayanga
#tetesizausajilileo
#Azizik
#Stephenazizk
#Azizkikusajiliwasimba
#Usajilisimbaleo
#Usajiliyangasc
#Dirishakubwalausajili
#Kochampyawasimba
#Tetesizausajilileo
#YangaSc
#mechiyasimbalive
#mechiyayangalive
#ccmkirumba
#Mwanza
#Yangaleo
#Geitagoldleo
#Wasafitv
#Msimamowaligikuunbc
#gsm
#caf
#wasafifm
#wasafimedia
#Cafconfiderationcup
#Usajilisimbasc
#Usajiliyangasc
#Usajili
#Dirishakubwalausajili
#Azamtv
#Dudysports
#Millardayo
#Globaltv
#Mbiusautitv
#Wasafitv
#Sportsarena
#fifa
#Hajimanara
#Cas
#Modewji
#Yusuphmanji
#Usajili
#Kikosichasimbaleo
#Simbaleo
#Ligikuutanzania
#Simba
#Usajiliyangasc
#yanga
#ligikuu
#tanzania
#Simba
#Yangaleo
#Usajilisimbaleo
#Ligikuu
#Chama
#Caf
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#LIGIKUUTANZANIA
#Ligiyamabingwaafrica
#Africa
#Tanzania
#Rockmedia
#Sokatv
#Mavalatv
#Wizarayamichezo
#Kochapitso
#Yanga
#Yangaday
#yangasc
#Plantamedia
#Azammedia
#Fifa
#Kambole
#Zalanfc
#uwamjawaalhilal
#Chama
#Caf
#SIMBASC
#YANGASC
#SIMBA
#
#Ligiyamabingwaafrica
#Africa
#Tanzania
#Rockmedia
#Sokatv
#Mavalatv
#Wizarayamichezo
#Kochapitso
#Yanga
#Yangaday
#yangasc
#Plantamedia
#Azammedia
#Fifa
#Kambole
#Zalanfc
#uwamjawaalhi - Розваги
Konde M/Mungu akuzidishie
Number one to comment from Zambia 🇿🇲
Hawa watangazaji wako vizur wapewe maua yao na konde yupo vizur kujibu apindishi 🔥🔥🔥💪
Ibraaah🎉
Salute
King of the melody
Konde boy jana kapiga interview nyingi ila hapa Times Fm mmeuliza maswali ya msingi sanaaaa kongole🎉🎉🎉
Namependa Leo kuona harmonize na vany wakiwa pamoja nifurah kubwa Sana ata upande wa mashabiki na inchi nzima nijambo lamaana mungu awabariki Sana👍🙏.
🔥🔥🔥🔥🔥🐘🐘🐘
Binafsi ni konde gang fun
Furaha kubwa nasubiri kolabo ya harmonize na diamond platnumz inshallah
wasani mtateseka kwa kua ngoma kali amnazo redio pigeni ngoma kali maisha yaende
This artist is my favorite one in EAC
Safi sana Konde unamajibu mazuri sana yenye Hekima
konde boy 🔥❤️
Uandikaji wako kabisa ndi uandishi . Comment from Rwanda
Nice harmo🎉🎉🎉
Yuko vzr ila anaboa mwanaume utavaaje kipn cha pua
Naomba kuuliza IBRA saivi mbona haimbi
❤
King of melody wap mnamjaza tu
Safi anachoongea konde nakikubali
🎉🎉🎉🎉🎉
Kama anjela wamekaa mwaka kalaumu lakn yeye harmonies anavolaumiwa ndo saw
Na ndo manya nyimbo za sasa zina chujaa sanaa naa kwa sababuu hawaa umizii kichwaa wana lopoka lopoka, kwaa sasa wanaa uziaa ustaaaa tuuuu hawana ujumbee wenyee ujumbe hawana nafasiiii
Mwamba unatisha sana kende kweli
Awakuwez ata wakikusaka kwatochi
Niliwambia hawakusikia sasa wambie wambie waelewe
Hindia ujaenda kumtibu
Jamani leo nimekua wa pil leke zenu mashabiki wa konde tuonane
Leke zenu ndio Nini?!????😢
Like unapata faida Gani acheni ushamba
Hiv nyie mnaosemaga umekua wa kwanza mara ooooohhhhhhh nimekua wa pili nipeni like zangu, faida yake nn yaan kama ungekua unapata hata shavu kwa uliemkomentia hapo sana lkn you got nothing men, embu acheni ulimbukeni
Aky Wenye Mnaongea Vibaya Nyinyi Ndio Wabaya TEMBO NI TEMBO TU
ivo unavosema kwa ajera kua ukimtambulisha msanii akifanya vzr sifa zinakuja kwako akifanya vibaya pia inakuja kwako na ww pia mpe heshima yake mond maisha yasonge bro
Heshima yake alisha pewa 600m,kwani ulisha sikia dogo anamutukana kwa kinywa chake huyo Boss wake wa zamani?mara nyingi upande wa Hamo huwa wanakuja kupangua makombora ya chuki kutoka upande wa pili.Heshima za woga au kulazimishwa yaani nidhamu ya woga imewaumiza watu wengi katika maisha na kuwafanya watu wachelewe katika kuyafikia maendeleo,kwahiyo heshima za kushinikizwa hazitakiwi katika maisha.Kwani umesikia Angela anadaiwa mamilioni ya pesa na Hamo kama ilivyo upande wa pili?Mimi ninaona huyu dogo wamuache afanye maisha yake na waache kumusemasema na machawa wao kwa sababu hawakusaidia bure ndiyo maana aliwalipa inamana alikuwa mfanyakazi wao alizalisha faida wakanufaika kwahiyo walisadiana ndiyo maana alipoondoka walimtoza ushuru 600m ni sawa na mamlaka za mapato kwani mtu akisha maliza kulipa kodi katika mamlaka husika baaade hiyo mamlaka huwa inamfuata kudai heshima?Huyu Hamo mimi sio shabiki wa Miziki yake ila mimi ninamkubali jinsi alivyokataa unyumbu kwa kuona kwamba kazi ni popote na kuchomoa pingu za upande wa pili ni kijana anayejitambua anaamini katika kupambana kwa kufanya kazi na amewaonesha mwanga Wasanii wengine ni namna gani wanaweza kujichomoa katika makundi ya kinyonyaji!
@@RamadhaniLukambuzi 👍🏿sijui kwa nini watu wanataka Diamond aabudiwe wakati uhusiano wa label na msanii ni wa kibiashara. Jambo lao ni win-win situation. Ili label iweze kupata mapato toka kwa msanii ni lazima imnoe na kum-market na hiyo ni lazima na sio fadhila, vinginevyo basi sio label. Sasa sijui ni kukosa elimu ya biashara ya mziki au vipi baadhi ya watu wanataka wasanii katika label waonekana kama wanadaiwa fadhila.
Mnawazid eara kuhoji
Eti mdogo wangu mbona ulikuwa unatembea naye hadi akabeba na mimba yko Acha unafiki na ushamba
Wewe paka mwausi nini ulikuwa nae akimpatia mimba
Harmo vua kipini bwana kaaa
ee jino kwa jino km ww ulivyoondoka kwa mond ukilalamika
King of merlody ni 1 tu chiristian bella
Dogo upo poa lkn da hicho kipini puani umezingua
Kama mwanamke
Ulisema daimonde ana roho mbaya wewe ulishindwa ata kuinuwa umoja gisi dai alikuinuwa
Dogo anajichubua
Umasikini mbaya tafuta hela
@@ricklandennishela gani msanii mwenye hela tz ni Diamond anauwezo waku brand wasanii na ku wa promote na haitaji media yoyote imusukume au kusuku.a wasanii wake,
@@svt3nenda kwake akudinye huna haya kumsifia mwanaume mwenzako wakati hakutambui tafuta hela nkt.
@@psychedelicmind5743 kubali kataa tukana,msanii mwenye pesa ni Diamond iko wazi,anasimamia wasanii na ku wa brand na promotion na haitaji kuzunguuka kwenye media zingine huo ndio ukweli
Nawewe kajichubue kama unaona anafaidi😂😂
Dada yako vipi Acha dose ikuingiye kuteswa kwa zamu harmo ulichomfanyiya mondi ba wewe leo kimekurudiliya😢malipo ni hapa hapa kenge we
Mjinga wewe umesahahu uliko toka mshukuru daimondi kakuokota barabarani
Kashatoboa tayari kila mmoja kasaidia ata mondi kasaidiwa ila hakumbuki tena sharobar records bob junior haumkumbuki tena ndivyo ilivyo ata ww kuna sehem nyingine umesaidiwa na haukumbuki ndivyo maisha yalivyo
Una maisha ya kiboya na chuki sana.. kila mtu ana mapitio ktk maisha.. diamond mwenyew alisaidiwa ndio akafika alipo pia
Uandikaji wako kabisa ndi uandishi . Comment from Rwanda