Mungu akujaalie.iwe salama ,usije ukafikiri wote hao uliowaalika wanafurahia mafanikio Yako,ingekua na mie ningefanya tu Dua na kuhamia,wengine wangejua tu pole pole kwajili ya usalama
Jamani ukifanya kitu kizuri kina Raha na hata Mwenyezi Mungu alisema zioneshe neema nilizokujaalia kwa kunishukuru na kwa waislamu wenye Nia njema wanawaombea Dua hi yo vitu visipatwe na husuda Ila kujizuia kutangaza si kazi ndogo
Yani Master WA Bongo WA kiume skuizi Wana akili yakutafuta pesa na kufanya maendeleo ikiwemo kujenga na kuoa,sio zamani wakipata pesa wanaspend na mademu wmisho wake wanafilisika nakuanza kungada,Big up Mwijako,Baba levo,Aristooooteee,Dimond ,Harmonise na wengine wanaojielewa
Hongera sana mwijaku ktk maisha ukifanya kitu kizuli lazima ujisikie faraja sana, ni mfano wa kuigwa maana vijana acheni kuiga ujinga igeni mambo mazuri, muulize kafanyeje mpaka kafikia apo ndio maisha sio leo kidimbwi anakuja msanii gani ilimradi mpate pombe zabule😂😂😂
Kusapotiwa ni vitu vya kawaida muhimu kutumia akil kama mwijaku, watu washaanza ooh anatakiwa amshukur diamond n sawa lkn nae amebebwa akajishikilia sio kama wengne wanabebwa wanajiachia, mwachen mwijaku katoa funzo kubwa kwa wengne wanaopenda kila bata sana bdo wpo nyumba za kupanga, hongera DC
mwijaku is big ft ulikua una bweka sana mm nilikuelewa nikakwambia wewe unatumia akili na elimu uliokua nayo ukaniambia asante mdogo wangu ona sasa umewaacha midomo wazi watu wewe umetisha sio kama huyo mapua na mwenzie h mama
Wejinga hii nyumba ni ya mwarabu mwenyewe namjua tqngia nyumba hii imeanza kujengwa nyumba hii ni pacha kwenye compaund moja nyumba hizi zilikua zinauzwa mwenyewe alikua anajenga na kuuza wacha kujifaragua na mali zawatu wewe unajitia umasikini sasa naenda kumuweka wazi mmiliki wa mjengo huu utaona aibu wewe nguruchu
Konde we endelea kuwahonga wanawake wenzetu mwenzio uyo Hana Dem wa kumhonga mana alipata Dem pia akauza picha za uchi yupo kipesa tu kama mwanamke muuza k
Nakumbuka mwaka Fulani dereva mwenzetu akatuchukuaga kijiweni pale mwaloni mwanza kwenda kuzindua nyumba nyasaka akidai yake mpaka tulijizarau why? Jamaa tunafanya nae kazi Moja amejenga nyumba kubwa kiasi hiki alikua muhaya baada ya wiki zikavuja kumbe nyumba ya boss wake kapewa alinde
Hongera mwijako kiukweli lakin mimi nimekuwa Thomaso😂😂 kidogo siamin Mungu atupe umri kwa hapo baadae tutakujasikia waziri fulani anadai mwijako ampishe kwenye nyumba yake😂😅😂#time will tell
Hyo nyumba inauzwa sio ya kwake hana nyumba, huyuu msanii darari iko sokoni,akigombana na mwenye nyumba hiyo ndo mtajuwa ulikuwa usanii, hyo nyumba ni ya .....
😂😂😂😂 nani kamuona ibra yuko nyuma Kama bordigard hata hao walinzi hawako makini ktk kumlinda ibra wote wanamlinda harmonize IBRA yuko Kama chawa tu wa harmo😂😂😂😂
Harmonize mwenyewe hana mjengo kama huo kapangisha anautamani kinoma sana zile magari za kajala ziko wapi 😂😂😂 mpaka unamtumia mr pimbi watu wewe fyuuuuu harmonize a.k.a harmonica 😂😂😂😂😂
Mwijaku hawezi kujenga nyumba kma hii sema anapenda sana kiki yan hafanani na nyumba hii bhana mi sijawah kumwamini mwijaku, but hyo nyumba ni ya mkewake coz mkewe ni mwasibu bank flan hv
I realy love how harmonize and Ibra socialize hawana maringo mingi...big up... straight outer kenye❤❤
Jamani wasanii tz chukueni mfano uliobora ombenimaarifa apo ongera sana mwinjaku umefanya kazi. Mzuri sana
Waaooh inafrahisha sana kabisa hongera kwake mwijaku
Nyumaba kubwa Ila kainyima nyumba, si ungefanya hata vyumba vitatu, waha wenzio tukija dar kufikie kwa Kaka mwijaku😅😅😅
🎉🎉🎉 mashallah 💝 ❤ 🎉
Kama hujaskia ngoma aliyoimbiwa Mwijaku na Msanii wa Hip Hop anaeitwa Snaida kacheki inaitwa mwijaku
Naona kampeleka mumewe😂
Harmoniz Buda mbona simuoni
Huzuri wa mmkonde hanaga zarau sbabu yye maisha aliyoptia anayjua vzr na sis tulianza mftilia tngu bss
Huwez Amin kumbe yule ambae unamfanyia uchawa anakupa pesa nawe ukatumia akili kuzitumia badae anakuja kukuheshimu Sana, congratulations Bro😊
Mungu akujaalie.iwe salama ,usije ukafikiri wote hao uliowaalika wanafurahia mafanikio Yako,ingekua na mie ningefanya tu Dua na kuhamia,wengine wangejua tu pole pole kwajili ya usalama
Haswaaa lkkn anainad mno
Yani uyu inaonekana alifunga naziri ndio mana anafanya Ayo kiukweri mfano kwa wasanii waliowengi wanapangatu
Inatakiwa wajifuze apo sasa kama kujenga sio KAZI aswapale unapotiania kilakitu hinawezekana wapunguze kujikubali wawekeze vitu kama ivi
Jamani ukifanya kitu kizuri kina Raha na hata Mwenyezi Mungu alisema zioneshe neema nilizokujaalia kwa kunishukuru na kwa waislamu wenye Nia njema wanawaombea Dua hi yo vitu visipatwe na husuda Ila kujizuia kutangaza si kazi ndogo
Tayari dua imepita ndiomaana Leo kawaharika wasaniwezake
Allah azidi kukuzidishiye kaka yangu.
Kwa kweli umefaa kazi kubwa.
Congratulation once again
Tembo🐘 ako so humble Mashaallah ❤
Sanaaaa mpk Raha mashaallah
Tukumbuke fahari zote hizi mwisho wa siku Allah anatuhitaji tumwabudu.
ila mwijaku unaheshima sana Mungu akutunze.....nimependa unavyomwambia harmonise umeniheshimisha ...choppa mmeniheshimisha wallah....😪😪😪
Haahahha ad wanafik mnakubar shoo kwer hela noma
@@landmadvdmbeyacity9561mwanangu ukiwa na ela watu wansahau mabaya yote mamae
mnafki nan sasa hapo,,acha ulevi mkuu@@landmadvdmbeyacity9561
Mwijaku mimi sikupingi baba keep up✊🏻
Yani Master WA Bongo WA kiume skuizi Wana akili yakutafuta pesa na kufanya maendeleo ikiwemo kujenga na kuoa,sio zamani wakipata pesa wanaspend na mademu wmisho wake wanafilisika nakuanza kungada,Big up Mwijako,Baba levo,Aristooooteee,Dimond ,Harmonise na wengine wanaojielewa
Sitaki kuamini kama Mathias anaenda kuishi magorofani.
Huyo Ni mtu muhimu Sana kama hufahamu
@@SalimAbdallah-tg1yo najua bro
Hongera sana mwijaku sio wengine wanabaki ooh nimenunua nywele 10ml uko kwenye nyumba ya kupanga ukipata nafasi fanya vitu kama hv maana kesho huijui.
😂😂😂😂😂😂utani ww
😅😅😅😅
Hongera sana mwijaku ktk maisha ukifanya kitu kizuli lazima ujisikie faraja sana, ni mfano wa kuigwa maana vijana acheni kuiga ujinga igeni mambo mazuri, muulize kafanyeje mpaka kafikia apo ndio maisha sio leo kidimbwi anakuja msanii gani ilimradi mpate pombe zabule😂😂😂
Nina Iman wote tuliocomment hapa tunaenda kupambana ili tuweze kupata mjengo Kama wa mwijaku wote tuseme Amina, inshallah 🙏
Amen
Amen Nimependa sio kuonea wivu wa kijinga umesema poa
Amiin
Amina
Harmonize muhuni😅 eti amani ya bwana iwe nanyi😂😂😂
Nimesikia konde akimtonya mjaku kitu kuhusu watu wabaya😂
Kujenga jengo kama Hilo sio mchezo aisee mpaka Sasa Kuna watu haawaaamini
Nampenda harmonize wallah Hana majivuno
Hana kabisa konde wetu
Vyote sawa! Hongera sana! Tahadhari tu hizo ngazi kama meli ndugu yangu!
Kusapotiwa ni vitu vya kawaida muhimu kutumia akil kama mwijaku, watu washaanza ooh anatakiwa amshukur diamond n sawa lkn nae amebebwa akajishikilia sio kama wengne wanabebwa wanajiachia, mwachen mwijaku katoa funzo kubwa kwa wengne wanaopenda kila bata sana bdo wpo nyumba za kupanga, hongera DC
Mtie machungu hamoniz hajajenga bado anapanga tu
Kanunua nyumba huyo ndo analokaa
Hiii mbaya kuleta watu wako watizame nyumba wewe waona fahari kumbe waniletea mabalaa waulizwa watu yaliyo wakuta
Zamarad unakuja kwa kas Sana ad raha
mwijaku anaishi pazur kuliko mondi 😂😂😂
From Kenya congratulations DC
Napenda mwijaku anavyo jifanya kama mjinga kumbe anajia anacho fanya
Sijaipenda i video reason mbona Ibra hana time ya kuongea naye mbona ivo lakin Mash37 from kenya
mwijaku is big ft ulikua una bweka sana mm nilikuelewa nikakwambia wewe unatumia akili na elimu uliokua nayo ukaniambia asante mdogo wangu ona sasa umewaacha midomo wazi watu wewe umetisha sio kama huyo mapua na mwenzie h mama
Hbaba hana gari atakua na nyumba
Mapua anabonge la nyumba na nyumba nyingine nne exclusive hii nakupa
Wow mwijaku kelele. Zimeleta. Faida big up broo 😂🎉
Nina furaha kwa ajiri yako Mwijaku hongera sana broo
Brother ongera sanaaa ila nilivo mtazama hermonaize kapenda sana ila kapenda zaidi ukojuu kawa surprised sana
Ongera sana mwijaku acha wakusema waseme
Kiukweli mwijaku ww ni mtu wa kuigwa sana umenifunza k2 mkubwa
Hongera DC mwijaku,mungu azidi kukubariki
Wejinga hii nyumba ni ya mwarabu mwenyewe namjua tqngia nyumba hii imeanza kujengwa nyumba hii ni pacha kwenye compaund moja nyumba hizi zilikua zinauzwa mwenyewe alikua anajenga na kuuza wacha kujifaragua na mali zawatu wewe unajitia umasikini sasa naenda kumuweka wazi mmiliki wa mjengo huu utaona aibu wewe nguruchu
Ww mwijaku unajifabya shehe mkeo anaranda kichwa wazi makwapa nnjee ndio ninkmambo km haya yanafanywa kimya kmy watu maarufu mnafeli apo tu
Konde we endelea kuwahonga wanawake wenzetu mwenzio uyo Hana Dem wa kumhonga mana alipata Dem pia akauza picha za uchi yupo kipesa tu kama mwanamke muuza k
Kajala hayupo body la hamonize lishajaaa tena duuuuh, kajala Ana siri ya kubalance body la hamo
Harmo hana heshima kumuweka karibu na mkeo atapita nae
😂😂😂
Ongera sana bro mwijaku hii sio wale wanaopiga picha na nyumba za watu
Harmonize don't worry tutakujangia
mpaka Leo sauti Zina washinda
alafu mnataka na wenzenu
mnatu malizia MB tuuu vilaza
Nakubali sana mwijaku piga kazi baba usiwe kama baba levo maneno meng vitendo hakuna
Hapo harmonize hajara wara kuvuta bangi mwijaku nae hajaweka ugoro
Unakuta homonaiz hata huko bank hana bilion moja anaboma lake mwaka wa kumi tungu aanze mziki
Umejipata ndugu,wewe Sasa ni chawa mwenye hadhii
Congratulations❤❤❤
Konde hua anaumia akiona mtu katoboa,shauri Yako mwijaku 😂,hata hapo kaumia mie nimemuona
Wewe ndie umeumia uko huku kuangalia nani kaja na anafanya nini. Acha fitina na wivu utaishia pabaya.
Unagongwa wewe team mashoga wa tandale
Aumie kwa nn km pesa anayo anaumia kipara ndezi na mwambino
wewe utakua wadinywa mkundureeee
😂😂😂
Mnajifanya zenu mkiumwa mnaomba kuchangiwa
Nyumbu kuja kuhamia ayakuwa amesha tembeza dar nzima
DC umeupiga mwingi Hongera sana 🎉🎉🎉
Hongera Sana mwijaku
Good up kaka umetisha ❤
Hongera sana mwijaku siyo kazi ndogo
Hongera sana my brother,bila shaka sasa wengine wataanza kujitambua kupitia wewe na watafanya makubwa zaidi
Safiiiii kaka mtumikie kaffir uishi kama mfalme
Ni moja ya hatua mzuri yaaani kumbe Mwijaku yuko Perfect for 100% kiasi hiko duuuuh hii ni fundisho kwa watu ambao wanambeza Mwijaku
Yan apo konde anatoka na nyimbo
Congratulations home boy
Nakumbuka mwaka Fulani dereva mwenzetu akatuchukuaga kijiweni pale mwaloni mwanza kwenda kuzindua nyumba nyasaka akidai yake mpaka tulijizarau why? Jamaa tunafanya nae kazi Moja amejenga nyumba kubwa kiasi hiki alikua muhaya baada ya wiki zikavuja kumbe nyumba ya boss wake kapewa alinde
Osioe mwanake mwingine mpe raha mkeo
Mbona mke wa mtu unamkodolea macho
ila mwija unamakalio makubwa kama nn sijui
Inapendeza sana
Harmo ulokuwa ukimugonga mwijaku umeona matusi yake?? Wewe bado unajikongoja tu
Ongera sana ndugu yangu
Mueshimu mtu aliejitoa mhanga kujenga nyumba hata kikiwa chumba kimoja mheshimu
Hongera mwijako kiukweli lakin mimi nimekuwa Thomaso😂😂 kidogo siamin Mungu atupe umri kwa hapo baadae tutakujasikia waziri fulani anadai mwijako ampishe kwenye nyumba yake😂😅😂#time will tell
Mwij mm bonge la shabik yak ndan ya leo ten na zilizokik hongera san mwija kama mwij nakukubal San tot la nyumban kg
Hyo nyumba inauzwa sio ya kwake hana nyumba, huyuu msanii darari iko sokoni,akigombana na mwenye nyumba hiyo ndo mtajuwa ulikuwa usanii, hyo nyumba ni ya .....
😂😂😂😂 nani kamuona ibra yuko nyuma Kama bordigard hata hao walinzi hawako makini ktk kumlinda ibra wote wanamlinda harmonize IBRA yuko Kama chawa tu wa harmo😂😂😂😂
Congratulations mwijaku
Nimependa nidham ya kusalimia ya HARMONIZE
I
I
ibra mbona mnyonge sana shida nini ? vumilia tu ipo siku utatoboa tu
Mwejaku congratulation for your villah.my Allah bless Harmonize for help to the poor
Wewe aujaona ya papa Jones
manara wivu umemjaa ndo maan ajafika wkt alialikwa😅😅au sbb amejua konde anafika angekuwa mond kaambiwa lzm manara angefika😂
Nimekuja kuona kisima baada yakumsikia Baba Levo jaman hawa wananiua mbavu mm eti ngazi za kupandia kwenye matank dah😂😂😂😂
Harmonize mwenyewe hana mjengo kama huo kapangisha anautamani kinoma sana zile magari za kajala ziko wapi 😂😂😂 mpaka unamtumia mr pimbi watu wewe fyuuuuu harmonize a.k.a harmonica 😂😂😂😂😂
Hongera sanaaa mwijaku hata kama wakisema nikwako
Kua makini bro sio Kila mtu anapenda mafanikio yako.hongera sana ila nakusihi mengine yabaki siri
Mungu azidi kukuongoza vema mwijaku na muzidi kushikamana upendo uhendelee na konde famiry❤❤
HONGERA SANA MWIJAKU ENDELEA ZAIDI UMETHIBITISHA SANAA INA HELA
Alafu yule Doto magari anabwabwaja huko mtaani kwa maneno yake ya mkosaji😂😂😂😂😂
Acheni uchawa na nyie mwenzenu akifanya kitu kizur anastaili pongezi, big up mwijaku
Hata mimi nataka nikiwa mkubwa nikasomee uchawa choo kikuyu,hii fani inalipa ❤
😂😂😂😂😂😂
Uhakika
Hivi Yale madawa yalikamatwa kigamboni waliokuwa wanayasafilisha wasanii hakuwemo hakulipwa kusafirisha maana dah mangwea tunamkubuka
Mwijaku angalisho na ule konde boy kumufikisha nyumbani kwako ata muchukuwa mke wako île njo yabia yake mbaya
Jamani Ibra na macho yake ya huruma anavyo angalia. Ndogo wangu usijali nawe siku yako itafika tu😂
Nimeumisi ule wimbo wa mtoto acha kupga mayowo wache waone wenyewe
Hamonaizi weni mchafu kweli umechukya mke wa dij wako siamini
Hao nao mgambo wa harmonize 😂😂 kha!!
Nnachojisikia furaha mke wa mwijaku hanaga mambo mengi ,akiamua kuvaa wigi Lake imetosha. Mwishowe wametimiza lengolao.
Congratulations mwijaku❤❤❤❤🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲🇨🇩🇿🇲
Mwijaku hawezi kujenga nyumba kma hii sema anapenda sana kiki yan hafanani na nyumba hii bhana mi sijawah kumwamini mwijaku, but hyo nyumba ni ya mkewake coz mkewe ni mwasibu bank flan hv