CHINO ATOA YA MOYONI UGOMVI WAKE NA MARIOO, NILISHUSHWA MPAKA KWENYE SHOW / SITAKI TENA KUMUONGELEA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

КОМЕНТАРІ • 40

  • @Lilmag19
    @Lilmag19 7 місяців тому +12

    Why marioo ana ugomvi na watu wengi hamuoni kama anashida inabidi aitwe na yeye kwenye interview aulizwe vizuri

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 7 місяців тому

      Mario mjanja akizingua anajikausha aonekane mnyonge😂

    • @flavourboyke
      @flavourboyke 7 місяців тому

      Shida ni kajala na mwanae katimba huko,, kilichotokea konde geng 😂😂😂

    • @AyubuHamisi-kq6gd
      @AyubuHamisi-kq6gd 7 місяців тому

      Kwel kabsa mara mbosso wamengombana nae

    • @dunkchainz7237
      @dunkchainz7237 7 місяців тому

      Marioo ni mti wenye matunda

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 7 місяців тому +6

    Marioo ana roho mbaya mwanetu chino lazima afike mbali🔥🔥

  • @HosseaMkwandah-no5ld
    @HosseaMkwandah-no5ld 7 місяців тому +6

    Marii anaonekan miyeyush mbosso yeye Abigael yeye na chinn Kidd saiz

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 7 місяців тому

      Umesahau kuna jamaa anaitwa mapanch bnb…alikua na beef nae pia

  • @OmmyDseven
    @OmmyDseven 7 місяців тому

    Jaiva sinichi eti Anasema Anabusala oya mariio mapenzi Au nn😢

  • @EddykingJuma
    @EddykingJuma 3 місяці тому

    Oya tarehe kumi za mwez wagap unajua richi we nimwamba unajua kazi ako unaita wanetu tunaskia maovi yawo

  • @justinyohana5074
    @justinyohana5074 7 місяців тому +4

    Were house nilikuwpo chinno yuko sawa kwenye hili

  • @RobertsonNandime-eo9fp
    @RobertsonNandime-eo9fp 7 місяців тому +4

    Yani chino umenigusa sana moyoni wew uko Sawa yani Mungu akubaliki tu

  • @vansmaterial5742
    @vansmaterial5742 7 місяців тому +1

    java ndomgomba nishi mimi ndoninacho kiona

  • @neemapraigory8832
    @neemapraigory8832 7 місяців тому +3

    Chino nijeuri sana kwani huoni hadi mtandaoni naona hamo anakutumia sana wewe hunaakili lukamba ananyamaza wewe nidemu mbona uliona uzungumzia sana

    • @JohnMars-dt5my
      @JohnMars-dt5my 7 місяців тому

      We wa kike Nini mwanangu unakaaje na kitu moyoni

    • @ASHAKHAMISMUSSA
      @ASHAKHAMISMUSSA 7 місяців тому

      Tumeshamsikia na tushajua tatizo km marioo ni mkosa imeshatosha kumuongelea mwenziwe km yeye hana makosa vile

    • @jonathankazaking2033
      @jonathankazaking2033 7 місяців тому +1

      Harmo kaingiaje kwenye ugomvi wao😮 utanichefuwa ujuwe😅

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 7 місяців тому

      Hili nalo limetokea wapi sijui

  • @alawisaid280
    @alawisaid280 7 місяців тому +1

    marioo awe makini sana anagombana na watu bila sababu za msingi

    • @EddykingJuma
      @EddykingJuma 3 місяці тому

      Kabra yakujibu skiliza kwanza

  • @Boaz22
    @Boaz22 7 місяців тому +3

    Marioo anashida
    1. Alikataa hakutaka ku sainiwa wasafi wakati ni kweli.
    2.Alimsema vibaya rayvanny baada yakuingia kwenye mahusiano na paula.
    3.Alimsaliti Abigail chams kwa kuchukua ngoma alomshirikisha na kuifanya na Alikiba.
    4. Kugombana na chino sasa hivi..
    Lazma ujiulize, marioo anadharau na ana shida yule.🙌

  • @Florisvevotz
    @Florisvevotz 3 місяці тому

    Chino wanama❤❤❤❤

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs 7 місяців тому +1

    Anazngua marioo watu hawaishigi ivo

  • @wemaadam
    @wemaadam 7 місяців тому

    Ata hamo aliaza kama huyu dogo wacha tule mtoli nyama tutakuta chini😂

  • @Nguvumoja255
    @Nguvumoja255 7 місяців тому +2

    daaah

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 7 місяців тому

    Marioo kaanza mapenzi mazito Sana na Paula 😂😂😂watakosana wote tu

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 7 місяців тому

    Hapo mchawi producer Habba hamjajua tu

  • @eastzoo_89
    @eastzoo_89 7 місяців тому

    sema marioo na jaivah ni masnitch

  • @georgesteven5185
    @georgesteven5185 7 місяців тому

    Huyu jamaa anajielewa sanaaa

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 7 місяців тому

    😂😂😂😂😂 MARIOO MARIOO mwacheni apumzike bna

    • @ASHAKHAMISMUSSA
      @ASHAKHAMISMUSSA 7 місяців тому

      Yaani kama viĺe kauwa mtu kaandamwa kila studio ni yeye

  • @JohnMars-dt5my
    @JohnMars-dt5my 7 місяців тому

    Marioo anajiona ashafika

  • @mobizzyclassic
    @mobizzyclassic 7 місяців тому +1

    🥸😎😎

  • @valentinecylidion
    @valentinecylidion 7 місяців тому

    mario miyeyusho

  • @rumem6665
    @rumem6665 7 місяців тому

    Chino 🎉

  • @amirkilingo
    @amirkilingo 7 місяців тому +1

    I beleave marioo Hana baya 1000%😂😂

  • @hassanmkumbo5157
    @hassanmkumbo5157 7 місяців тому

    Jaivah anataka abaki mwenyewe 😂😂