CHINO ATOA YA MOYONI UGOMVI WAKE NA MARIOO, NILISHUSHWA MPAKA KWENYE SHOW / SITAKI TENA KUMUONGELEA
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Why marioo ana ugomvi na watu wengi hamuoni kama anashida inabidi aitwe na yeye kwenye interview aulizwe vizuri
Mario mjanja akizingua anajikausha aonekane mnyonge😂
Shida ni kajala na mwanae katimba huko,, kilichotokea konde geng 😂😂😂
Kwel kabsa mara mbosso wamengombana nae
Marioo ni mti wenye matunda
Marioo ana roho mbaya mwanetu chino lazima afike mbali🔥🔥
Marii anaonekan miyeyush mbosso yeye Abigael yeye na chinn Kidd saiz
Umesahau kuna jamaa anaitwa mapanch bnb…alikua na beef nae pia
Jaiva sinichi eti Anasema Anabusala oya mariio mapenzi Au nn😢
Oya tarehe kumi za mwez wagap unajua richi we nimwamba unajua kazi ako unaita wanetu tunaskia maovi yawo
Were house nilikuwpo chinno yuko sawa kwenye hili
Yani chino umenigusa sana moyoni wew uko Sawa yani Mungu akubaliki tu
java ndomgomba nishi mimi ndoninacho kiona
Chino nijeuri sana kwani huoni hadi mtandaoni naona hamo anakutumia sana wewe hunaakili lukamba ananyamaza wewe nidemu mbona uliona uzungumzia sana
We wa kike Nini mwanangu unakaaje na kitu moyoni
Tumeshamsikia na tushajua tatizo km marioo ni mkosa imeshatosha kumuongelea mwenziwe km yeye hana makosa vile
Harmo kaingiaje kwenye ugomvi wao😮 utanichefuwa ujuwe😅
Hili nalo limetokea wapi sijui
marioo awe makini sana anagombana na watu bila sababu za msingi
Kabra yakujibu skiliza kwanza
Marioo anashida
1. Alikataa hakutaka ku sainiwa wasafi wakati ni kweli.
2.Alimsema vibaya rayvanny baada yakuingia kwenye mahusiano na paula.
3.Alimsaliti Abigail chams kwa kuchukua ngoma alomshirikisha na kuifanya na Alikiba.
4. Kugombana na chino sasa hivi..
Lazma ujiulize, marioo anadharau na ana shida yule.🙌
sasa tatizo ni nini
Aligombana na Mbosso pia
Chino wanama❤❤❤❤
Anazngua marioo watu hawaishigi ivo
Ata hamo aliaza kama huyu dogo wacha tule mtoli nyama tutakuta chini😂
daaah
Marioo kaanza mapenzi mazito Sana na Paula 😂😂😂watakosana wote tu
Hapo mchawi producer Habba hamjajua tu
sema marioo na jaivah ni masnitch
Huyu jamaa anajielewa sanaaa
😂😂😂😂😂 MARIOO MARIOO mwacheni apumzike bna
Yaani kama viĺe kauwa mtu kaandamwa kila studio ni yeye
Marioo anajiona ashafika
🥸😎😎
mario miyeyusho
Chino 🎉
I beleave marioo Hana baya 1000%😂😂
Jaivah anataka abaki mwenyewe 😂😂
huyo jaiva anawachonganisha