REKODI ZA KOCHA WA SIMBA: HUJAWAHI ZISIKIA POPOTE...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 жов 2024
  • #KochaMpyaSimba #FadloDavids #Rekodi
    Fadlu Raghman Davids alizaliwa Tarehe 21/05 mwaka 1981 katika mji wa Cape Town; nchini Afrika ya kusini, na kimahesabu ana miaka 43. Hii inamfanya kuwa miongoni mwa makocha wenye Umri Mdogo kuaminiwa katika klabu kubwa kama SImba. Fadlu ni kocha mwenye leseni Ya Juu Kutoka CHAMA CHA SOKA BARANI ULAYA, yaani UEFA PRO LICENCE, Leseni ambayo ameipata mwezi wa 5 Mwaka huu huko Northen Ireland.
    Unaweza Ona ni kawaida lakini Kuipata Leseni ya juu zaidi kama hii, Fadlu ilimchukua zaidi ya miaka 9; JASHO, MAPAMBANO NA Uvumilivu Vilihitajika zaidi.
    Ni rasmi sasa Fadlu ni kocha wa SImba kwa Mkataba wa Miaka Miwili akichukua mikoba ya Kocha wa Muda Juma Ramadhani Mgunda.
    Maswali mengi ninayokutana nayo ni je FadlU ni kocha Wa aina gani? Wengi wanauliza kwanini simba wameamua kuwa na Kocha Mdogo kiumri na Uzoefu? Leo nataka nikupe rekodi za Kocha Fadlu Davids; rekodi hizi huenda hujawahi zisikia popote pale. Kupitia rekodi hizi Nitajibu swali je Fadlu ni kocha Mdogo kama Anavyosemwa au ni kocha Mkubwa? Bila kupoteza muda acha Tuanze..
    TUMEDHAMINIWA NA PELEGRINO SANITARIUM CLINIC
    Hawa ni mabingwa wa kutibu Magonjwa Sugu kama; Kisukari, Kansa, Ukimwi, Presha, Tezi Dume na magonjwa yote Yanayokusumbua..
    Kwa mawasiliano zaidi piga simu Namba...
    0747 805 550.
    JE UNAZIFAHAMU VIDEO ZANGU BORA ZAIDI? TAZAMA HIZI HAPA..
    1. Yanga Baada ya Usajili: Kikosi chake cha Kwanza Hatari zaidi. • BAADA YA USAJILI: "KIK...
    2. Baada ya Usajili: Huu ndio Usajili Bora zaidi kwa Simba. • KIUFUNDI: USAJILI BORA...
    3. Kabla ya Pre - Season: Simba wanatakiwa Kufanya Jambo hili Muhimu. • KABLA YA PRE-SEASON: S...
    4. UKWELI: KUHUSU KIWANGO HALISI CHA STEVEN MUKWALA | MSHAMBULIAJI MPYA SIMBA. • UKWELI: KUHUSU KIWANGO...
    5. USAJILI WA CHAMA YANGA: UNA 'MAANA KUU 7' | TAZAMA KWA UMAKINI VIDEO HII. • USAJILI WA CHAMA YANGA...
    6. KIUFUNDI: MAENEO 8 YA USAJILI SIMBA | MO AMEAMUA...
    • KIUFUNDI: MAENEO 8 YA ...
    JE UNGEPENDA KUTANGAZA BIASHARA YAKO SOCCERDATA KWA BEI NAFUU? KUWA SEHEMU YA WADHAMINI WETU TUKUTANGAZIE BIASHARA YAKO NA IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
    (MAWASILIANO)
    0710 679 388
    0627 532 401
    Email: soccerdata01‪@gmail.com‬
    KAMA MDAU, TUNAKUOMBA UCHANGIE UNUNUZI WA VIFAA VYA UZALISHAJI.
    Saidia Ununuzi wa Vifaa vya Uzalishaji vitakavyorahisisha Kazi na kuongeza Ubora wa Uchambuzi.
    SoccerData inahitaji Vifaa VITATU vya kuanzia Vinavyogharimu Shilingi 4.7 M ambavyo Ni;
    1. Video Camera
    2. Computer
    3. Condenser Microphone.
    Changia Kiasi chochote Ulichonacho kupitia;
    TIGOPESA: 0710 679 388
    HALOPESA: 0627 532 401
    (Jina : Sekwao Mwendi)
    BANK ACCOUNT.
    CRDB BANK.
    SEKWAO MOHAMEDI MWENDI
    0152235925700
    Lakini pia kwa Mawasiliano zaidi, Wapigie SoccerData kwa Namba hizo.
    ____________________________
    KARIBU KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII;
    FACEBOOK: / soccerdata
    INSTAGRAM: / soccerdata_tz
    JE UNGEPENDA KUWA SEHEMU HALISI YA SOCCERDATA? JISAJILI KAMA MEMBERSHIP LEO UPATE ZIADA YA UCHAMBUZI...
    / @soccerdata.
    SOCCERDATA KARIBUNI SANA...

КОМЕНТАРІ • 64

  • @samsonshayo622
    @samsonshayo622 3 місяці тому +22

    Duuuuh brother 🙌🙌🙌🙌🙌 hii ndo maana harisi ya kuitwa mchambuzi umefanya tafit na umepoteza mda wakutosha kama n analysis wewe n king 👑 🎉🎉🎉

  • @robertsongola6034
    @robertsongola6034 3 місяці тому +8

    Daaar, huyu baba ni hatari anajua mpaka anakera daaar safi sana.

  • @MataiMajengo-b8y
    @MataiMajengo-b8y 3 місяці тому +10

    Wa kwanza nipeni like zangu

  • @ZulphaMsangi-s9g
    @ZulphaMsangi-s9g 2 місяці тому +3

    Safi uko vizuri 🎉🎉

  • @qualitymediaproduction
    @qualitymediaproduction 3 місяці тому +4

    WEWE NI NOMA 💪 SIO WALE WACHAMBUZI WA TV

  • @SaidYusuph-r4t
    @SaidYusuph-r4t 2 місяці тому

    Anafaa sana mwambaaa❤❤❤

  • @hoseanguvumojamiboki4827
    @hoseanguvumojamiboki4827 2 місяці тому +2

    Nakukubali sana upo on fire

  • @Dls24-l6v
    @Dls24-l6v 3 місяці тому +6

    Nondo kama hizi tunazpata Kwa soccer data pekee🎉🎉leta nondo mkuu tushajaza mabando👏👏

  • @johnjoseph9596
    @johnjoseph9596 Місяць тому

    Umepotea sana kaka, namisi sana chambuz zako.
    Rudi ulingoni tupe materials

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  15 днів тому

      TUSAPOTI
      TigoPesa: 0710 679 388
      HaloPesa: 0627 532 401
      Jina:Sekwao Mwendi.
      Barikiwa sana

  • @maufoung
    @maufoung 3 місяці тому +2

    Safi sana 🤙

  • @ErickRichard-kh7tj
    @ErickRichard-kh7tj 3 місяці тому +4

    Nakubali

  • @ezrahtossitz2853
    @ezrahtossitz2853 2 місяці тому +1

    Upo vizuri Sana

  • @hassanjr5318
    @hassanjr5318 3 місяці тому +3

    Uchambuzi unaofwata 🔥

  • @MaganaNgara
    @MaganaNgara 3 місяці тому +5

    Upo vizur , Kwa nn usitumie utaalam huo kweny vilabu kama mwajiriwa

  • @Vijimbi1Yo
    @Vijimbi1Yo Місяць тому

    ❤❤duuwa kocha

  • @DamasSanga-tg4xh
    @DamasSanga-tg4xh 2 місяці тому

    Uko vzur mkuu

  • @MelkiandesKagoma
    @MelkiandesKagoma 3 місяці тому +2

    Thank you broo 🙏 🙌

  • @novanickywasanzu5589
    @novanickywasanzu5589 3 місяці тому +2

    Good newz

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge6943 2 місяці тому +1

    Mwamba anajua sana kuchambua

  • @OthmanOthman-m5s
    @OthmanOthman-m5s 2 місяці тому

    simba ❤❤❤ ilove you

  • @GodwinKingu
    @GodwinKingu 2 місяці тому +1

    Naipenda timu yangu ya simba ubaya ubwela

  • @amosimanyangu1234
    @amosimanyangu1234 2 місяці тому

    Unajua bana

  • @JacksonMgeta
    @JacksonMgeta 3 місяці тому +9

    Asante kwa like nipe siku yoyote uchambuzi wa Jean chess haua

  • @iddyomary6152
    @iddyomary6152 2 місяці тому

    Uchambuzi mzuri kuwahi kuusikia!

  • @lameckemanuel6774
    @lameckemanuel6774 3 місяці тому +2

    Kumbe kama mgunda tu😂😂😊

  • @JacksonMgeta
    @JacksonMgeta 3 місяці тому +4

    Samahan kaka nipe uchambuzi ya Jean

  • @SukuboyAlkene
    @SukuboyAlkene 2 місяці тому +1

    Aise umenitia moyo na Simba yangu

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 2 місяці тому +1

    Sfi sana

  • @BleanceKigwila-u2l
    @BleanceKigwila-u2l 2 місяці тому +1

    Mafanikio kwa Simba hayo

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 2 місяці тому

    Safi sana mchambuzi ila simba ubovu aupo Kwa wachezaji Wala aupo kwa makocha ubovu upo Kwa viongozi na mashabiki timu ikifungwa tu wanatimua makocha mmmh sijui kama huyo mwamba atadumu Kwa miezi miwili

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa2601 2 місяці тому

    Unajua

  • @LemaJr-wv8ch
    @LemaJr-wv8ch 2 місяці тому

    Soccer data ni bora kuliko Wasafi fm

  • @DickisonJosephat-ch8cb
    @DickisonJosephat-ch8cb 2 місяці тому

    Mh Wanasmba tutatoboa kwel mbona hajawah kuwa bingwa

  • @RojaMfikilwa
    @RojaMfikilwa 2 місяці тому +2

    Yani bando zinaisha rakini ragha tupu

  • @Zakayommkmusictz-mq3m
    @Zakayommkmusictz-mq3m 3 місяці тому +1

    Sasa kaka mbona izi Namba ya Tiba Asili akuna mwenye Whatsapp sisi atuko Tanzania na atuwezi piga simu

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  3 місяці тому

      +255 747 805 550 hii hapa mkuu IPO WhatsApp,,, Karibu Pelegrino kwa huduma Bora.

  • @SadickMalulijr
    @SadickMalulijr 3 місяці тому +2

    😮

  • @DickisonJosephat-ch8cb
    @DickisonJosephat-ch8cb 2 місяці тому

    Wachambuz weng wajifunze kwako Hao wengne wanatumalizia bando bila kufaham chochote

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 2 місяці тому

    DAH!HAMNA KOCHA HAPO MECHI 20 ANASHINDA 1 KUFUNGWA MECHI 7 SARE 8 ? Na kuishuha daraja

  • @BUTILANJIA
    @BUTILANJIA 3 місяці тому +1

    Tunausubili huo uchambuzi ulio shiba😂😂

  • @BabaMunir-gj2rf
    @BabaMunir-gj2rf 2 місяці тому

    Wangekuja wote wawili Simba sasa maana kufanya kazi kila mmoja peke yake hakuonekani kuna mafanikio

  • @DionizyDidas
    @DionizyDidas 2 місяці тому

    Huu ndio uchambuzi sasa sio borojo za wengi

  • @GipsonStivin-wv6um
    @GipsonStivin-wv6um 2 місяці тому +2

    Apaa inabidii nikamwambie baba leve akuweke 7MEDIA PALE ILI UTUPE MADIINI KWENYE KIPINDI CHA MICHEZO 🎉 UKO VIZURI KAKA😊

  • @AmonMeshack
    @AmonMeshack 2 місяці тому

    Huyu ndiye mchambuzi anae jitambua

  • @justinefelis2071
    @justinefelis2071 3 місяці тому

    BADO HATUJASEMA TUTAKOMESHWA SANA WANA SIMBA

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 2 місяці тому

    Mgunda usijali we anza kupasha misuli, utaingia muda si mrefu, watakukubali tu.

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 3 місяці тому

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 2 місяці тому

    Simba hakuna maajabu apo...uyu sio levo ya kuifundisha simba

  • @AbdallahMohd-z7q
    @AbdallahMohd-z7q 2 місяці тому

    Akuna kocha apo

  • @AbiudKilongoz
    @AbiudKilongoz 2 місяці тому

    Ww ndo mchambuzi

  • @madupandu8553
    @madupandu8553 3 місяці тому +2

    bado hujanishawishii nahitaji comment juu ya ujenzi wa timu anaweza kuivusha na kuipa makali kama kocha mkuu au tumletee kocha wake

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 місяці тому

    Chukua maua yako

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 3 місяці тому +3

    Huyu ni matola aliechangamka 😂

    • @flova7022
      @flova7022 3 місяці тому +2

      Akili hizi hua mNAZITOA waapi

    • @frayy5595
      @frayy5595 3 місяці тому +2

      Hawalingan ata kdgo hujielewii

    • @benedictojanuary4930
      @benedictojanuary4930 2 місяці тому +1

      Sio kosa lako kosa n Akili yako

    • @HamzaMahundu-l2v
      @HamzaMahundu-l2v 2 місяці тому

      Mti wenye matunda hauwishi kupigwa mawe