REKODI ZA KOCHA WA SIMBA: HUJAWAHI ZISIKIA POPOTE...
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- #KochaMpyaSimba #FadloDavids #Rekodi
Fadlu Raghman Davids alizaliwa Tarehe 21/05 mwaka 1981 katika mji wa Cape Town; nchini Afrika ya kusini, na kimahesabu ana miaka 43. Hii inamfanya kuwa miongoni mwa makocha wenye Umri Mdogo kuaminiwa katika klabu kubwa kama SImba. Fadlu ni kocha mwenye leseni Ya Juu Kutoka CHAMA CHA SOKA BARANI ULAYA, yaani UEFA PRO LICENCE, Leseni ambayo ameipata mwezi wa 5 Mwaka huu huko Northen Ireland.
Unaweza Ona ni kawaida lakini Kuipata Leseni ya juu zaidi kama hii, Fadlu ilimchukua zaidi ya miaka 9; JASHO, MAPAMBANO NA Uvumilivu Vilihitajika zaidi.
Ni rasmi sasa Fadlu ni kocha wa SImba kwa Mkataba wa Miaka Miwili akichukua mikoba ya Kocha wa Muda Juma Ramadhani Mgunda.
Maswali mengi ninayokutana nayo ni je FadlU ni kocha Wa aina gani? Wengi wanauliza kwanini simba wameamua kuwa na Kocha Mdogo kiumri na Uzoefu? Leo nataka nikupe rekodi za Kocha Fadlu Davids; rekodi hizi huenda hujawahi zisikia popote pale. Kupitia rekodi hizi Nitajibu swali je Fadlu ni kocha Mdogo kama Anavyosemwa au ni kocha Mkubwa? Bila kupoteza muda acha Tuanze..
TUMEDHAMINIWA NA PELEGRINO SANITARIUM CLINIC
Hawa ni mabingwa wa kutibu Magonjwa Sugu kama; Kisukari, Kansa, Ukimwi, Presha, Tezi Dume na magonjwa yote Yanayokusumbua..
Kwa mawasiliano zaidi piga simu Namba...
0747 805 550.
JE UNAZIFAHAMU VIDEO ZANGU BORA ZAIDI? TAZAMA HIZI HAPA..
1. Yanga Baada ya Usajili: Kikosi chake cha Kwanza Hatari zaidi. • BAADA YA USAJILI: "KIK...
2. Baada ya Usajili: Huu ndio Usajili Bora zaidi kwa Simba. • KIUFUNDI: USAJILI BORA...
3. Kabla ya Pre - Season: Simba wanatakiwa Kufanya Jambo hili Muhimu. • KABLA YA PRE-SEASON: S...
4. UKWELI: KUHUSU KIWANGO HALISI CHA STEVEN MUKWALA | MSHAMBULIAJI MPYA SIMBA. • UKWELI: KUHUSU KIWANGO...
5. USAJILI WA CHAMA YANGA: UNA 'MAANA KUU 7' | TAZAMA KWA UMAKINI VIDEO HII. • USAJILI WA CHAMA YANGA...
6. KIUFUNDI: MAENEO 8 YA USAJILI SIMBA | MO AMEAMUA...
• KIUFUNDI: MAENEO 8 YA ...
JE UNGEPENDA KUTANGAZA BIASHARA YAKO SOCCERDATA KWA BEI NAFUU? KUWA SEHEMU YA WADHAMINI WETU TUKUTANGAZIE BIASHARA YAKO NA IWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
(MAWASILIANO)
0710 679 388
0627 532 401
Email: soccerdata01@gmail.com
KAMA MDAU, TUNAKUOMBA UCHANGIE UNUNUZI WA VIFAA VYA UZALISHAJI.
Saidia Ununuzi wa Vifaa vya Uzalishaji vitakavyorahisisha Kazi na kuongeza Ubora wa Uchambuzi.
SoccerData inahitaji Vifaa VITATU vya kuanzia Vinavyogharimu Shilingi 4.7 M ambavyo Ni;
1. Video Camera
2. Computer
3. Condenser Microphone.
Changia Kiasi chochote Ulichonacho kupitia;
TIGOPESA: 0710 679 388
HALOPESA: 0627 532 401
(Jina : Sekwao Mwendi)
BANK ACCOUNT.
CRDB BANK.
SEKWAO MOHAMEDI MWENDI
0152235925700
Lakini pia kwa Mawasiliano zaidi, Wapigie SoccerData kwa Namba hizo.
____________________________
KARIBU KATIKA MITANDAO YETU YA KIJAMII;
FACEBOOK: / soccerdata
INSTAGRAM: / soccerdata_tz
JE UNGEPENDA KUWA SEHEMU HALISI YA SOCCERDATA? JISAJILI KAMA MEMBERSHIP LEO UPATE ZIADA YA UCHAMBUZI...
/ @soccerdata.
SOCCERDATA KARIBUNI SANA...
Duuuuh brother 🙌🙌🙌🙌🙌 hii ndo maana harisi ya kuitwa mchambuzi umefanya tafit na umepoteza mda wakutosha kama n analysis wewe n king 👑 🎉🎉🎉
Daaar, huyu baba ni hatari anajua mpaka anakera daaar safi sana.
Wa kwanza nipeni like zangu
Safi uko vizuri 🎉🎉
WEWE NI NOMA 💪 SIO WALE WACHAMBUZI WA TV
Anafaa sana mwambaaa❤❤❤
Nakukubali sana upo on fire
Nondo kama hizi tunazpata Kwa soccer data pekee🎉🎉leta nondo mkuu tushajaza mabando👏👏
Anapambana madin kichiz
Umepotea sana kaka, namisi sana chambuz zako.
Rudi ulingoni tupe materials
TUSAPOTI
TigoPesa: 0710 679 388
HaloPesa: 0627 532 401
Jina:Sekwao Mwendi.
Barikiwa sana
Safi sana 🤙
Nakubali
Upo vizuri Sana
Uchambuzi unaofwata 🔥
Upo vizur , Kwa nn usitumie utaalam huo kweny vilabu kama mwajiriwa
❤❤duuwa kocha
Uko vzur mkuu
Thank you broo 🙏 🙌
Welcome 👍
Good newz
Mwamba anajua sana kuchambua
simba ❤❤❤ ilove you
Naipenda timu yangu ya simba ubaya ubwela
Unajua bana
Asante kwa like nipe siku yoyote uchambuzi wa Jean chess haua
Uchambuzi mzuri kuwahi kuusikia!
Kumbe kama mgunda tu😂😂😊
Samahan kaka nipe uchambuzi ya Jean
Nakubali san
Aise umenitia moyo na Simba yangu
Sfi sana
Mafanikio kwa Simba hayo
Safi sana mchambuzi ila simba ubovu aupo Kwa wachezaji Wala aupo kwa makocha ubovu upo Kwa viongozi na mashabiki timu ikifungwa tu wanatimua makocha mmmh sijui kama huyo mwamba atadumu Kwa miezi miwili
Unajua
Soccer data ni bora kuliko Wasafi fm
Mh Wanasmba tutatoboa kwel mbona hajawah kuwa bingwa
Yani bando zinaisha rakini ragha tupu
Sasa kaka mbona izi Namba ya Tiba Asili akuna mwenye Whatsapp sisi atuko Tanzania na atuwezi piga simu
+255 747 805 550 hii hapa mkuu IPO WhatsApp,,, Karibu Pelegrino kwa huduma Bora.
😮
Wachambuz weng wajifunze kwako Hao wengne wanatumalizia bando bila kufaham chochote
DAH!HAMNA KOCHA HAPO MECHI 20 ANASHINDA 1 KUFUNGWA MECHI 7 SARE 8 ? Na kuishuha daraja
Tunausubili huo uchambuzi ulio shiba😂😂
Wangekuja wote wawili Simba sasa maana kufanya kazi kila mmoja peke yake hakuonekani kuna mafanikio
Huu ndio uchambuzi sasa sio borojo za wengi
Apaa inabidii nikamwambie baba leve akuweke 7MEDIA PALE ILI UTUPE MADIINI KWENYE KIPINDI CHA MICHEZO 🎉 UKO VIZURI KAKA😊
❤
😢😮😅kweli
Huyu ndiye mchambuzi anae jitambua
BADO HATUJASEMA TUTAKOMESHWA SANA WANA SIMBA
Mgunda usijali we anza kupasha misuli, utaingia muda si mrefu, watakukubali tu.
🎉🎉🎉🎉🎉
Simba hakuna maajabu apo...uyu sio levo ya kuifundisha simba
Akuna kocha apo
sio lazima umkubali ww
Ww ndo mchambuzi
bado hujanishawishii nahitaji comment juu ya ujenzi wa timu anaweza kuivusha na kuipa makali kama kocha mkuu au tumletee kocha wake
Chukua maua yako
Huyu ni matola aliechangamka 😂
Akili hizi hua mNAZITOA waapi
Hawalingan ata kdgo hujielewii
Sio kosa lako kosa n Akili yako
Mti wenye matunda hauwishi kupigwa mawe