Pole sana nakushauri ujiunge na kundi letu la Mafunzo WhatsApp, kule tunafundisha namna ambavyo utawalea Vifaranga tokea siku ya kwanza mpaka miezi miwili, tutafute WhatsApp 0712188239 tukuunganishe Kwa TSH 5,000/=
Ila huyu jamaa simuamini saana. Anaingiza Milioni 2 kwa Mwezi,halafu mazingira siyo rafiki.! Kwa ujumla mazingira hayavutii kulingana na kipato anachosema!
Ongeza idadi ya kuku, fikilia kuhusu vitu Vya msingi kama mabanda, tumia gharama ndogo iwezekanavyo Ili kuongeza margin ya FAIDA, hii itakufanya UFANIKIWE ndani ya muda mfupi, achana na vitu visivyo Vya msingi kama vile kuweka tails kwenye Banda la kuku Sababu tuu unapata pesa hapo lazima utachelewa, tunakukaribisha kwenye kundi letu WhatsApp 0712188239, ujifunze zaidi. Mungu akubaliki
@@KingoFarm1 mtaji ni suala pana sana na mara nyingi mtaji fedha ndio huonekana unapoanzisha biashara/mradi hivyo tuendelee kujifunza kila siku. Kikubwa anza na ulichonacho maana ndio mtaji namba moja @chachawambura4030
Hawa jamaa wanaongeaga tu ila kama huna hela hakuna utakachokifanya,maana fikiria huna hela,huna eneo,huna hata wakukukopesha kwa riba rafiki, huwezi kufanya kitu,utaushia kufanya vibarua na kupata pesa ya kula tuu
Kazi nzuri.
Mimi Nina eneo kubwa ,na ninapenda sana ufugaji na hitaji elimu sana, nahitaji ramani ya Banda ushauri wenu ni mzuri Naomba Namba zenu.
0712188239
Mimi sioni nambazeni .namba mnitumie namba kama namba naitwa fatma nipo dar mikocheni B.naomba nitumieni nambazenu naweza nikaingia kwrnye group. Yako.
0712188239
Mpo vizuri napenda iyo
Shukrani
Ni aina gani ya kuku?
Sasso
Nipenda sana masomo yenu.Napenda sana kufuga kuku.
Karibu jiunge na kundi letu la Mafunzo WhatsApp 0712188239
Mpo wapi?
Mtwara
Kingo Farm nakufatilia sana sana tena sana. Video ina motisha lakini haijaelezea namna unavyoingiza hiyo pesa kwa mwezi. Fafanua tafadhali
Shukrani sana broh endelea kutufuatilia utajifunza mengi
Uhunii tuu mwingii
Me naomba niseme hyu jamaa sio muhun anafanya kaz me leo nmeongea nae yupo sahihi nasema hv kwa kuwa na Mimi nafuga
@@FrederickNkyaa wewe ni mfugaji?
Baba Milioni 2 kwa mwezi aisee sio kweli hapo nae umetupiga
Asante Kwa maoni na ushauri
Jambo Kaka na mimi nahitaji sana mafunzo ya ufugaji kuku ila nipo kongo Drc
Tutafute WhatsApp+225712188239
Namba tafadhari
0712188239
Nimependa darasa lenu nitajitahidi kuwafatilia Sanaa
Karibu kwenye kundi la Mafunzo utajifunza mengi zaidi
Mimi pia ninataka hii ukulima nashindwa nitaanza zipi nisaidie bwana
Tutafute WhatsApp au tupigie 0712188239. Ujiunge kwenye kundi la Mafunzo ya ufugaji au ununue kitabu chetu kitakusaidia sana
Kwasasa mna kuku wa ngap?
Sioni majogoo. Unafuga kuku wa mayai kwa njia ya kienyeji?
Hao ni chotara wanataga hata bila Jogoo
Nilitamani ufafanue jinsi unapata hyo milioni2
Njoo kwenye kundi letu la Mafunzo ya ufugaji utaona mwenyewe
Kaka mimi nina kuku20 lakini vifaranga vikitotolewa vinakufa nifanyeje naomba uhauri
Pole sana nakushauri ujiunge na kundi letu la Mafunzo WhatsApp, kule tunafundisha namna ambavyo utawalea Vifaranga tokea siku ya kwanza mpaka miezi miwili, tutafute WhatsApp 0712188239 tukuunganishe Kwa TSH 5,000/=
Naomba namba
0712188239
Mko sehemu gani
Unatotolesha kwa machine au wanatotoa wenyewe?
Wanatotoleahwa kwenye mashine
Naomba namba yako
0712188239
Nafurahia elimu yenu
Vifaranga vyangu vinakufa tu nifanyaje?
Tutafute WhatsApp 0712188239 kama utapenda tukuunge kwenye kundi la WhatsApp la Mafunzo ya ufugaji Kwa vitendo Ili ujifunze
Mimi ninao kuku watano na nimetotoledha vifalanga 30 ila sijui namna ya kuchanganya chakula na ujenzi wa banda mnisaidie tafadhali
Njoo WhatsApp 0712188239
Kwa haraka nimemuelewa anatangaza dawa za kuku
Sisi hatuuzi Dawa za Kuku.
Ila huyu jamaa simuamini saana. Anaingiza Milioni 2 kwa Mwezi,halafu mazingira siyo rafiki.! Kwa ujumla mazingira hayavutii kulingana na kipato anachosema!
Ongeza idadi ya kuku, fikilia kuhusu vitu Vya msingi kama mabanda, tumia gharama ndogo iwezekanavyo Ili kuongeza margin ya FAIDA, hii itakufanya UFANIKIWE ndani ya muda mfupi, achana na vitu visivyo Vya msingi kama vile kuweka tails kwenye Banda la kuku Sababu tuu unapata pesa hapo lazima utachelewa,
tunakukaribisha kwenye kundi letu WhatsApp 0712188239, ujifunze zaidi. Mungu akubaliki
😂😂😂😂😂😂😂😂❤
Waongo
Tufanye unakuku 500 wanaotaga,, utakosa trey 10 za mayai kwa siku?kwa mwez1 trey 300kwa sh11000trey, yaan sh11000×300=3300000,
@@jossporahmsw8420 hapo pigia kuku 200
Ulikuwa tayar unaeneo na pesa, ndyo maana ilikua rahs kwako,, bila hivyo ni ngum bro.
Kila kitu ni malengo, hata ukiwa na Kila kitu kama huna malengo na uthubutu huwezi kufanya hicho alichokifanya yeye.
Ni kweli kabisa broh weka malengo mazuri muombe mungu akutangulie upiganie ndoto yako
Akuna mtu atakae kupa mtaji pambana
Sahihi,,,,,,
@@KingoFarm1 mtaji ni suala pana sana na mara nyingi mtaji fedha ndio huonekana unapoanzisha biashara/mradi hivyo tuendelee kujifunza kila siku. Kikubwa anza na ulichonacho maana ndio mtaji namba moja @chachawambura4030
Hawa jamaa wanaongeaga tu ila kama huna hela hakuna utakachokifanya,maana fikiria huna hela,huna eneo,huna hata wakukukopesha kwa riba rafiki, huwezi kufanya kitu,utaushia kufanya vibarua na kupata pesa ya kula tuu
Anza na kuku hata mmoja au wawili
Waongo tu
Mwanzo si lazma kuku 200
Number pls
0712188239
Number yako haitaki kujitokeza kwa whtsapp
0712188239 ipo what's up
Broiler ikifunga miezi minne wanaweza fika kilo ngapi