ELIMU BILA MALIPO - BIASHARA YA UFUGAJI WA KUKU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 113

  • @esterjohn1277
    @esterjohn1277 3 роки тому +2

    Hongera sana dada Mungu akubariki sana natamani hilo darasa ila niko mbali.niko mwanza sijui nifanyeje

  • @MussaJuma-rq4ht
    @MussaJuma-rq4ht Місяць тому +1

    Uko vizuri dada

  • @susanikisinza3720
    @susanikisinza3720 5 років тому +3

    Daaaah. Elimu nzuri. Unatufanya nasi wafugaji wadogo tuzid kujipa moyo. Asante saana kwa elimu.

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 Місяць тому +1

    Somo zuri, ila mtangazaji anadakia sana hamwachi mtu akamaliza point yake

  • @athumanimhina1869
    @athumanimhina1869 3 дні тому +1

    Mtangazaji hujui hata maswali yakuuliza mpaka itarveu imeisha sijui vifaranga tutavipataje

  • @kitunduwiston3819
    @kitunduwiston3819 5 років тому +2

    Ahsante sana kwa Elimu juu ya ujasiliamali,nimeelimika.

  • @hasnaahmed6877
    @hasnaahmed6877 3 роки тому +1

    Jmn nimependa sn mama maelezo yako niko arusha naweza kupat vifarag naelem zaidi

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 5 років тому +3

    Kweli wew no mfugaji umemjibu vizuri mtangazaji kusemea biashara ya mwenzako in mbaya

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 років тому +5

    Asante sana ndugu Gangana kwa elimu hii ya ufugaji, lakini pia shukrani sana kwa mgeni wako Dada Elizabeth Swai, kwa hakika ametuelimisha vya kutosha. Labda swali moja hukuliuliza pale aliposema kuwa ukitaka kupata faida ni lazima uanze na kuku mia tano, tungependa kujua sababu zote kwa ujumla za kuanzia na idadi hiyo ingawa alifafanua kidogo lakini majibu yake hayakumalizia dukuduku tulilonalo. Ukipata nafasi ni vyema ukalishughulikia hilo. Na namba ya simu ya whatsapp haikuwa ikionekana vizuri mwisho wake.

  • @lolanimals7206
    @lolanimals7206 5 років тому +9

    12:32 We mtangazaji unauliza maswali na kujijibu mwenyewe duh! Alafu maswali yako mengine unayauliza kiajabu ajabu nikama ulikua hujajiandaa sijui. Afu unamkatisha katisha, yani anaelezea kitu hata hajamaliza unamkatisha unauliza swali jingine dah!

    • @Raysam-ki1rc
      @Raysam-ki1rc 3 роки тому

      Napenda sana kufuga kuku 0777040468

  • @robsonswai2208
    @robsonswai2208 4 роки тому +4

    Hili liko vizuri. Nitafanyaje nipate vifaranga kutoka kwenu au mayai ya kuangua? Niko Moshi Kilimanjaro.

  • @lukresiajohn3939
    @lukresiajohn3939 2 роки тому

    Hongera sana dada kwa ufungaji wa kroiler mimi niko manyara nahitaji vifaranga namna ya kuwapata

  • @justinestanley8434
    @justinestanley8434 5 років тому +1

    Mradi mzuri sana hongera sana anti umenipa ujasiri mkubwa

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 5 років тому +2

    hongera kiongozi unanipa raha najenga mabanda nitakutafuta

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 Рік тому +3

    Huyu mama anaonekana hanaga masihara kabisa Yani nahisi ukiishi nae lazma unyooke

  • @aminalaizer9230
    @aminalaizer9230 5 років тому +3

    Dada nimekupenda bure nimefurahi mnooo nina shamba langu ekari 5 Arusha naomba no ya wakala wa Arusha

  • @ganganainfochannel
    @ganganainfochannel  5 років тому +13

    HABARI WADAU NAMBA YA MAMA MFUGA KUKU NI 0783 833 335

  • @user-we3er8zk1h
    @user-we3er8zk1h 9 місяців тому +1

    Hongera sana dada naipenda sana hii kazi. Naomba namba ya simu kwa ajili ya vifarangas

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 2 роки тому +1

    Napenda Sana 🇧🇮🙏

  • @ricardomusk6791
    @ricardomusk6791 4 роки тому +2

    Tanzania nawapenda vyenye munasongesha luga ya kyafirika mbere

  • @dismaswisso6384
    @dismaswisso6384 4 роки тому

    dada hongera hongera hongera sanaa napenda kuona mwanamke anadhubutu kuliko hata mwanaume,

  • @emmanuelfrancisrojala581
    @emmanuelfrancisrojala581 5 років тому +2

    Asante Kwa elimu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 роки тому +2

    GANGANA AGAIN. Asante Sana, wanauza shilingi ngapi kifaranga? Ni aina gani ya kukuwanapatikanaje? Mimi nataka 200

  • @jacklinecharles1252
    @jacklinecharles1252 3 роки тому +1

    Hongreni sana kwamwanza mnapatikana wapi?

  • @veronicamwanasenga7340
    @veronicamwanasenga7340 5 років тому +5

    dada uko vzr lkn mtangazaji alishindwa kukuuliza maswali ya msingi kukidhi haja ya watazamaji kuna mambo tumeshindwa kuyafahamu. unauliza kabila unataka kutambika

    • @azamansur7086
      @azamansur7086 5 років тому

      😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

    • @DonMC007
      @DonMC007 5 років тому

      Veronica Mwanasenga Jina lako la kati ni Japhet ?

  • @utaani1
    @utaani1 5 років тому +7

    Mimi nilipokuwa mdogo nilikuwa na kuku huyu mmoja mdogo jike baada ya miaka miwili nilikuwa na kuku 30.

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 4 роки тому +1

    Umezinguwaa.hatujawaa.mayai.tunayapata.wapi.tumie.njia.ngani.vifaranga.bei.ngani ww.mtangazaji.upo.upo.to.huleweki

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  4 роки тому

      Namba tumekuwekea hapo ,hatukua na nia ya kutangaza biashara ,kamabhujaelimika hata kidogo rudi darasa la kwanza

  • @emmanuelwasike3780
    @emmanuelwasike3780 5 років тому +1

    Elimu bora

  • @akeem1221
    @akeem1221 5 років тому +1

    23.35 Swala linaudhi sanaa. Ah!

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani7083 5 років тому +2

    Hongera sana Dada nitakuja hapo ofisini

    • @mpegesaaswile6581
      @mpegesaaswile6581 5 років тому

      Ufugaji wa kuku siyo kazi ndogo kama tunavyofikilia

  • @omarysingano3652
    @omarysingano3652 5 років тому +2

    Safi gangana

  • @justinnyoni9498
    @justinnyoni9498 5 років тому +1

    Ayo macho

  • @mcrwego1322
    @mcrwego1322 4 роки тому +2

    Mtangazaji unazingua

  • @tululililomo4706
    @tululililomo4706 5 років тому +1

    Mahojiano kama haya inatakiwa kueleza ukweli na uwazi ni vigumu sana kloiler kumzidi utamu kuku wa kienyeji kama ni biashara itafanyika tu hofu ya nini wewe mfugaji

  • @rmonlinetv6533
    @rmonlinetv6533 5 років тому +8

    ufugaji wa KUKU ni kilimo bora na cha haraka ktk kuleta mafanikio.Natamani kujifunza hii kitu...So,Khalid Gangana hebu tuletee vipindi vya kutosha sana kuhusu jambo hili ili tupate ufahamu zaidi

  • @sadikikatima4783
    @sadikikatima4783 5 років тому +1

    hongera

  • @faisalsuleiman3806
    @faisalsuleiman3806 5 років тому +2

    Tatizo la watangazaji hawafati utaratibu wa kuuliza maswali we jumamosi na weekend yake ya nn?tunataka utaratibu wa ufugaji vipi kaanza mpaka kafikia hapo changamoto zinazomkumba na mengineyo

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 років тому +3

      Sorry kama hujaelimika hata kidogo, hicho kipindi Lengo lake ni hayo maswali ya kijumamos na jumapili, kuna maisha baada na tofauti na kazi. Hata Akija JPM hataulizwa masuala ya maendeleo bali tutamuuliza kuhusu utani zaidi. Fuatilia kipindi hicho cha nipe5 kwa undani kimejaa jokes na ndio lengo lake. Lakini pamoja na yote hatuwezi kuuliza maswali kadhaa ya msingi mfano hayo uliouloza yameulizwa na kujibiwa humo. Usiwe unakurupuka na kupenda kulaumu

  • @mushjosephat
    @mushjosephat 5 років тому +2

    We mtangazaji unauliza maswali na kujijibu mwenyewe duh! Alafu maswali yako mengine unayauliza kiajabu ajabu nikama ulikua hujajiandaa sijui. Afu unamkatisha katisha, yani anaelezea kitu hata hajamaliza unamkatisha unauliza swali jingine dah

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 років тому +1

      Kesho njoo uonyeshe mfano. Tusamehe kama hujaelewa na kuona hata zuri Moja hapo kwenye hiyo interview.

    • @mushjosephat
      @mushjosephat 5 років тому

      @@ganganainfochannel yapo mazuri mengi lakini ungetulia tungepata mazuri zaidi....ila ahsante kwa kutuletea huyu mama

  • @yasinikateula6605
    @yasinikateula6605 5 років тому +6

    ongera

    • @rajabshaban689
      @rajabshaban689 5 років тому

      Kwa mtu Alieko mwanza anawezapata vifaranga na bei yenu Hipo vip kwa kifaranga kimoja?

    • @martinapanga176
      @martinapanga176 5 років тому

      Safi. Toeni mawasiliano

  • @ladislaustuma9094
    @ladislaustuma9094 5 років тому +2

    naomba mawasiliano jamani ili tuweze kujikwamua kiuchumi na sisi

  • @ngurapoultrycare
    @ngurapoultrycare 4 роки тому +2

    Hongera kwa channel hii.Pokea salamu kutoka Kenya.Karibuni kwenye channel yangu.

  • @emmamarijani6657
    @emmamarijani6657 2 роки тому

    Bi up liz

  • @petermuganda3706
    @petermuganda3706 5 років тому +4

    hakuna group la ufugaji mkurugenzi

  • @raphaelmwambula913
    @raphaelmwambula913 4 роки тому

    Very good

  • @rmonlinetv6533
    @rmonlinetv6533 5 років тому +2

    pia nampongeza huyo dada kwa elimu hii

  • @stevenkambeytz2459
    @stevenkambeytz2459 5 років тому +10

    Ahsante ila brother hauulizi maswali ya msingi yan kama vile haupo serious ..

    • @jumanneilwarioba5761
      @jumanneilwarioba5761 5 років тому +2

      Mtangazaji hujui kutumia fursa, masihara mengi.

    • @chobalikosimon6459
      @chobalikosimon6459 5 років тому +1

      Kweri huyu mtangazaji kama anapiga stor tu

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 років тому

      Usikariri sana vipindi vinatofautiana ,Nature ya Kipindi cha Nipe5 uwasilishwaji wake ni wa namna hiyo, ni kipindi chenye elimu inayowasilishwa kwa njia ya jokes nyingi, maisha binafsi na hata burudani. Fuatilia vipindi vyote vya Nipe5 utagundua hilo. Hata hivyo kama hujaelimika kwa lolote hapo pole. Vipo vipindi vinavyoitwa vya serious ni vyema ukavifuatilia lakini Nipe5 haipo hivyo ila tunahakikisha ujembe wa elimu unafika. @@jumanneilwarioba5761

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  5 років тому

      Hata hivyo kanunni za utangazaji inaleta maana hapo, usitangaze kama unasoma tanganza kama unapigastori au mazungumzo ya kawaida kila siku. Pole kama hujaelimika kwa mtangazaji kuwasilisha kazi yake akiwa kama anapiga stori @@chobalikosimon6459

  • @ericjonstz3120
    @ericjonstz3120 4 роки тому +1

    Njema

  • @allanjack500
    @allanjack500 4 роки тому +1

    ONE CHOICE SMAMIA

  • @jbjb9580
    @jbjb9580 4 роки тому +1

    Sorry dada angu kama Dawa hamtumii,vp kuhusu chanjo??

  • @hosianamollel316
    @hosianamollel316 3 роки тому +1

    Niko Arusha naomba mawasiliano ya wakala wa Arusha tafadhali

  • @hamzabakari6160
    @hamzabakari6160 5 років тому

    Elimu iko poa vifaranga ua mayai kwajiri ya kutokoresha napatikana wapi

  • @akeem1221
    @akeem1221 5 років тому +1

    10:32 majogoo hawana manyoa na wamechoka hawako wachangamfu. Kitu ni mbaya hapo.

  • @peterkiriaku7562
    @peterkiriaku7562 3 роки тому

    Nata usaidisi, wamasomo

  • @akeem1221
    @akeem1221 5 років тому +12

    Gangana jifunze ku interview watu. Eye contact very important, facial expression is not good, interupting the guest not good, stop looking in your laptop and other places.

    • @ashamuhammed8779
      @ashamuhammed8779 4 роки тому

      Ebwana nahitaji elemu zaid bado mgeni kwenye ufugaji pande za unguja hongera sana ndug

    • @Kmaryam
      @Kmaryam 4 роки тому

      Mtangazaji Sifuri 😏

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 4 роки тому

      Naona hajasoma mambo ya carieer guidance and counselling

  • @mercye.4277
    @mercye.4277 2 роки тому

    Mkurugenzi naomba kuongea na wewe. Pls naomb number zako

  • @eliakimsando2919
    @eliakimsando2919 4 роки тому +1

    Honestly enda ujifunze jinsi ya kufanya interview ,hukujipanga,maswali unayohoji ni kama uko mahakamani

  • @jacklinemathew2127
    @jacklinemathew2127 5 років тому +1

    Dada una majibu mazuri,huwa sipendi mtu aniulize kabila gani,hili swali huwa sio zuri kwakweli coz jibu lake huwa ni ubaguzi.

    • @kibemassao5488
      @kibemassao5488 3 роки тому

      Ubaguzi gani sasa, hata ukitaka kazi lazima uulizwe jina, kabila, dini na makazi ili ukifa ijulikane unatokea wapi na utazikwaje. Mtu anayehisi kuulizwa kabila ni ubaguzi yy ndo mbaguzi, wasiwasi wa nn???

  • @hassanbinally7127
    @hassanbinally7127 4 роки тому +1

    We mtangazaji umesomea wp mi sielewi utaratibu wako wa uulizaji wa maswali

  • @salmamohammedyahaya6098
    @salmamohammedyahaya6098 3 роки тому

    Nitakutafuta dada

  • @dottokibogoti886
    @dottokibogoti886 5 років тому +1

    Mm nahitaji mashine ya kutoresha

  • @josephnjellah280
    @josephnjellah280 5 років тому

    Nitapateje mayai ya kutotoa nipo mbeya

  • @noahmwaipopo9142
    @noahmwaipopo9142 5 років тому +1

    @Magesa Majogoro

    • @suleimanislam7777
      @suleimanislam7777 5 років тому

      Fursa nzuri hii niko nje naomba nipate maelezo zaidi kwani nina mpango wa ufugaji namba yangu +966566212408 suleiman huwel

    • @georgematahimba5242
      @georgematahimba5242 3 роки тому

      Ninazalisha maggot watokanao na nzi aina ya Bsf ambacho ni chakula bora sana kwa kuku.
      Nipe tenda niwe nakuletea kwenye huo mradi wako

  • @allymkamba1115
    @allymkamba1115 5 років тому +3

    Ata mm napenda kufuga kuku naombeni munipe somo Dada naomba kwanamba zasim 0653653291

  • @emmanuelwasike3780
    @emmanuelwasike3780 5 років тому +1

    Maswali hayaridishi tunataka kujua mwanzo ,wake gharama na jinsi ya kukabiliana Nazi.Pia wewe nimogasana unaogopa kutazama mgeni.Wasike kenya

  • @ndimirimanafelixnesta5204
    @ndimirimanafelixnesta5204 5 років тому +3

    Ninapenda sana hiyi life kama muhusika ata soma comment yangu naomba anipe mafunzo flani number yangu ya watsap 0781283407 kiukweli kabisa nikitu nakipenda sana nataka kujuwa kuhusu cakula madawa navingine shukran sana

  • @metodymkamila3458
    @metodymkamila3458 4 роки тому

    Mimi nimeshaaza navifalanga 300 Ila cmzoefu sana naomben ushauli wenu

  • @raphaelikisaka5078
    @raphaelikisaka5078 4 роки тому +1

    Mambo vp 0766531991

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 4 роки тому +2

    Mtangazaji sio makini....mjingamjinga tu

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  4 роки тому +1

      Zuzu kabisa

    • @Kmaryam
      @Kmaryam 4 роки тому +1

      Nimeshindwa kuangalia video hadi mwisho sababu ya huyu mtangazaji .. hii video angekuwa mtangazaji makini tungepata elimu yakutosha kabisa

    • @seifjuma3471
      @seifjuma3471 3 роки тому

      @@ganganainfochannel 😅😅😅😅

    • @ganganainfochannel
      @ganganainfochannel  3 роки тому

      Hafai

  • @fortantkalonji7217
    @fortantkalonji7217 5 років тому +2

    Very good