Kikweli ndani ya Nafsi yangu, nawaombea sana hawa wahadhili wetu wanao lingania dini kwa wasiokua waisilamu wanafanya kazi kubwa sana, kwasababu wanakutana na vichwa vigumu sana ambao wamelishwa matango poli na viongozi wao wa kikiristo, sasa unapokutana navichwa ambavo nivigumu mpka aje kuelewa na akawa muisilamu dah nikazi kubwa mnooo ,Allah awape Taufiq iliokua bora na muendelee na kazi ya Mwenyezi
Send it now to them si wameweka number zao za sim. Changia na Allah atakuzidishia. Support so they use more time kwa daawah. Mana na wao wanakazi zao. So ili tuwape nguvu zaidi ya kuwa kwenye daawa lazma tutoe.
Da nilitamani sana mda usiishe muendelee maana tayali walikua washakubali nisawa na mchezo wa mpila gol kipa ashapotea harafu umebaki na golitu harafu refa anapiga firimbi ete mpila umeisha da Sasa sijui utafungatu naje ukifunga refa ataikubali ndivyo ilivyotokea Leo washakubali lakini mdaumeisha nanikweli lazima watu wakamuombe mungu hakuna jinsi inshaAllah sikunyingine wataelewatu kama niwakuelewa maana hata umfundishe mtu miaka kumi kamaniwakuelewa ataelewa nadakikatu lakini kama sikuelewa atasubuli mpaka yesu aludi nabado hataelewa mungu awabariki sana masheikh wetu tunawapenda sana mlitupotea kidogo shidailikua Nini maana tunatamanisana kuwaona kilasiku ila tunawaombea sana mungu awajaalie afya na uzima mzidi kutufundisha Yale ambayo hatuyajui tuweze kuyajua assalamualaikum wabillah taufiq amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Asalam aleikum ...napenda sana mafunzo yenu brothers ...lakini ningependa kujua hicho kitabu ambacho sheik Hassan amekishika ni kitabu Cha Nini mkiniambia naweza tafuta nijisomee niongezee elimu yangu ....shukran sana brothers
watu kujieleza kwamba ni wakristo is just a slogan iliyokuja wapotosha viumbe za mwenyezi mungu. Ustadhi Salim na mwalimu Ali msichoke tafadhali. one day people will revert back from the slavary mission of christianity.
Allhamdhullillaih namshukuru ALLAH kwa kuwaona ndugu zangu katika Imani nilikuwa nimepotea kwa sbb ya internet lkn saii niko hewa ninawafatilia kila kona
Wakristo wanasema Mungu ndo Yesu na Yesu ndo Mungu, eti Mungu amejifanya mtu!, na Yesu anasema hakutumwa bali kwa wana Israel, na wana sema kasulibiwa ili abebe zambi zao ila hata yeye Yesu alilalamika Mangu wangu Mungu mbona umeniacha hapo kajivuwa kuzamini watu wakati analala mika ameachwa na Mungu wake, ikiwa Mungu alikuja kwa mwili wa binaada , huo mwili hajauvuwa mpaka leo na kama hajaivuwa atakuwa dhaifu na kama kauvuwa mwili basi hakuna haja katika kipindi hichi kumuabudu Yesu wakati hayupo tena duniani vipi abudiwe wakati hakuna andika ale sema yeye Yesu Mungu na kama halipo, Yesu hana Mungu ? Ikiwa anae Mungu na saa hii hayupo duniani kwa mwili wa binaadamu vipi abudiwe Yesu ikiwa Wakristo wanasema kaja duniani akiwa amevaa mwili sasa huo mwili hajauvuwa ?
Assalamu Alaykum. Munajisumbua bure. Mzee Hassan hawachi, hiyo ni tabia na umri ni mkubwa. Mchukulieni kama mzee wetu aliyejitolea. Mimi nimemuelewa hivyo na nishakubali matokeo. Allah amjaalie umri twaweel.
Yesu (Masihi Issa mwana wa Maryam)si Mungu bali ni Mjumbe wa Mungu قال الله تعالى:{وإذقال الله ياعيسى ابن مريم ءأنت للناس اتخذني وأمي إلهين من دون الله قال سنحانك ما يكون لى أن أقول ما ليس لى بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علم الغيوب}المائدة 116 {ما قلت لهم إلا مآ أمرتني به أن اعبدوا الله ربي وربكم ..} المائدة 117 {قال الله هذا يوم ينفع الصادقين صدقهم لهم جنات تجري من تحتها الأنهار خالدين فيهآ أبدا رضي الله عنهم ورضوا عنه ذلك الفوز العظيم} سورة المائدة 119 {ورضوان من الله أكبر}
"Wamaa khalaktu l-insaa wal-jina illaa liyaabuduun". Allah anasema sikuumba majini na watu ispokuwa waniabudu mm tu. Alhadith Almuslim akhwa lmuslim laa yadhlimuhu walaa yaslibuhu". Muislam ni ndugu WA muislam asimdhulumu Wala asimsulubu ama kumtesa. Qur-an, "wamaa arsalnaa illaa rahmata lil-aalamiin" Allah anasema" na hatukukupeleka ewe Muhammad ispokuwa ukawe rehema kwa walimwengu wote. Swali 1.kwani majini ni viumbe ama si viumbe. 2.km ni viumbe nani kaviumba?. 3.wanaishi ulimwenguni ni kina nani? 4.kwann Mungu akuumbe akose kukuwekea utaratibu km baba kwenye nyumba ana uratibu wake kwa watoto jee Mungu anakosaje kukuwekea utaratibu anaoutaka yeye? Someni maandiko msisomewe maandiko.
Am a christian but soon nachange dini naendelea kujifunza mengi sana kupitia mafunzo yako😢😢lazma nislim
Inn shaa Allah karibu sana
@@salimdaawah123 santii
Kaimbu kwa dini ya haki na kweli
Welcome❤❤❤
Welcome to Islam my dear friend
Kikweli ndani ya Nafsi yangu, nawaombea sana hawa wahadhili wetu wanao lingania dini kwa wasiokua waisilamu wanafanya kazi kubwa sana, kwasababu wanakutana na vichwa vigumu sana ambao wamelishwa matango poli na viongozi wao wa kikiristo, sasa unapokutana navichwa ambavo nivigumu mpka aje kuelewa na akawa muisilamu dah nikazi kubwa mnooo ,Allah awape Taufiq iliokua bora na muendelee na kazi ya Mwenyezi
Sheikh leo eti umekutana na msomi😂😂😂 Nmefurahi sana umewaleta kwa njia iliyo nzuri ALLAH awaeke sheikh
Mimi nipo Tanzania na huwa nakufuatilia sana kwa ukaribu na huwa napenda sana mafundisho yako!
Masha Allah karibu sana
Yan nafurahi kuwaona tuna wakaribisha Zanzibar muje mutembwee
Maashallah kazi nzuri
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu jamaa Naona wakiristo WENGI huchanganyikiwa ku mjuwa Mungu Yesu na utatu
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Mashaallah Allah atujaalie Janah sisi sote ❤
Mimi nawaombea wakristo mungu awape fahamu na kupata njia ya hakki kw idhni yake mola mtukufu Allah
Aamiin amiin amiin
InshaAllah.AaminaYaarabi.soote
Hogera sheikh Salim somo wangu
Masha Allah mola awajalie kila la kheri
Salim na Ali . Inshallah one we will drink soup together 😂
Inn shaa Allah
Inshaallah
Send it now to them si wameweka number zao za sim. Changia na Allah atakuzidishia.
Support so they use more time kwa daawah. Mana na wao wanakazi zao. So ili tuwape nguvu zaidi ya kuwa kwenye daawa lazma tutoe.
Maa Shaa Allah mushapost wacha tutizame Inn Shaa Allah tuelimike zaidi
Karibu sana
Maashallah Allah awalipe kila laheri
Maasha Allah ..ALLAH awalipe kila jema kwa kazi nzuri mashehe wetu vipenz.
Kuna wakati unaeza kosa subira pale unapo mwambia jambo na hataki kushikia ilhali kauli yako ndio sahihi
Maa shaa Allah Sheikh Yusuf kumbe upo sambamba na mara umetuletea kitabu
Allah akuhufadhini nyote na kila balaa.
AMIIN
Da nilitamani sana mda usiishe muendelee maana tayali walikua washakubali nisawa na mchezo wa mpila gol kipa ashapotea harafu umebaki na golitu harafu refa anapiga firimbi ete mpila umeisha da Sasa sijui utafungatu naje ukifunga refa ataikubali ndivyo ilivyotokea Leo washakubali lakini mdaumeisha nanikweli lazima watu wakamuombe mungu hakuna jinsi inshaAllah sikunyingine wataelewatu kama niwakuelewa maana hata umfundishe mtu miaka kumi kamaniwakuelewa ataelewa nadakikatu lakini kama sikuelewa atasubuli mpaka yesu aludi nabado hataelewa mungu awabariki sana masheikh wetu tunawapenda sana mlitupotea kidogo shidailikua Nini maana tunatamanisana kuwaona kilasiku ila tunawaombea sana mungu awajaalie afya na uzima mzidi kutufundisha Yale ambayo hatuyajui tuweze kuyajua assalamualaikum wabillah taufiq amen 🙏🙏🙏🙏🙏
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah awaongoze waione haki
Asaramuaraikum shehe Mungu akujariye Kwa dawa
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh
Asalam aleikum ...napenda sana mafunzo yenu brothers ...lakini ningependa kujua hicho kitabu ambacho sheik Hassan amekishika ni kitabu Cha Nini mkiniambia naweza tafuta nijisomee niongezee elimu yangu ....shukran sana brothers
this was very informative very impressive the moment you expose oneself to islam,one becomes i new being,daawah sahihi GOD bless you
Tatizo la wakrsto wanadanganywa na wachungaji bila mchungaji kutoa ushaidi wa maandiko bali nimaneno wanayotoa mdomoni mwao
Ushahidi uko nao? Ama tu ni maneno?
Ushahidigzni.unataka.mambo.yako.wazi.tumiaMaji.a.cha.tishu.uchafu..eti.ushahid.gani.someni.vitabu.vyenu.acha.ubishi.kudaitu.kuokoka.wanaokokaga.wachafu.HatoingiaPeponi.ilawasafi.yadikhuru.lijanna.illa.nadhwifu.@@user-hy5zd5rn6r
Mashallah Allah wape kila kheri
🤣🤣 hustadhi Salim na hustadhi aliy Leo mume patana mwana sacolojia naona mambo ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Tena sana 🤣😂😂😂
Allah,awape,afya,njema,then,mzid,kutoa,dawa,mtaan
Mariam alikuwa anaambudu nani wakati MUNGU alikuwa kwa tumbo yake???
kweli watu wamepotoka 😂😂
MashaAllah ❤❤❤
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
watu kujieleza kwamba ni wakristo is just a slogan iliyokuja wapotosha viumbe za mwenyezi mungu.
Ustadhi Salim na mwalimu Ali msichoke tafadhali. one day people will revert back from the slavary mission of christianity.
Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh nshkr sheikh zetu nmpata vzr Allah amzidishie elimu n afya mzidi kuwapa daawa in Sha Allah
Aamiin amiin amiin
Mashallah mungu awap umri
Aamiin amiin amiin
MashaAllah masheikh zetu mungu azidi kuwapa afya njema na maisha marefu
Allhamdhullillaih namshukuru ALLAH kwa kuwaona ndugu zangu katika Imani nilikuwa nimepotea kwa sbb ya internet lkn saii niko hewa ninawafatilia kila kona
Mashaalh mwenyezimung awaongezee elim ili tupate kujifunza zaid
Wakristo wanasema Mungu ndo Yesu na Yesu ndo Mungu, eti Mungu amejifanya mtu!, na Yesu anasema hakutumwa bali kwa wana Israel, na wana sema kasulibiwa ili abebe zambi zao ila hata yeye Yesu alilalamika Mangu wangu Mungu mbona umeniacha hapo kajivuwa kuzamini watu wakati analala mika ameachwa na Mungu wake, ikiwa Mungu alikuja kwa mwili wa binaada , huo mwili hajauvuwa mpaka leo na kama hajaivuwa atakuwa dhaifu na kama kauvuwa mwili basi hakuna haja katika kipindi hichi kumuabudu Yesu wakati hayupo tena duniani vipi abudiwe wakati hakuna andika ale sema yeye Yesu Mungu na kama halipo, Yesu hana Mungu ? Ikiwa anae Mungu na saa hii hayupo duniani kwa mwili wa binaadamu vipi abudiwe Yesu ikiwa Wakristo wanasema kaja duniani akiwa amevaa mwili sasa huo mwili hajauvuwa ?
Mi ni muislamu naomba msomaji ampe.nafasi mwalimu aelemishe naye abakike kwavitabu
Mashaallah Allah wape afya njema na nguvu ya kupigania dini ya kiislam
Mzee Ali needs to be patient when Salim is handling people.
Wallah tena anaongea Sana Hadi husikii kitu nasauti yake kubwaa mashaa llah hata na mtatiza sheikh salim mara nyingi
Hez too annoying.
Ali kuwa na subra na mwachie ustadh afanye kazi yake,wewe kazi yako ni kusoma
Yah ni kweli. Sheikh Ali awe anasoma tu asichangie. Cause inaleta confusion.
Assalamu Alaykum. Munajisumbua bure. Mzee Hassan hawachi, hiyo ni tabia na umri ni mkubwa. Mchukulieni kama mzee wetu aliyejitolea. Mimi nimemuelewa hivyo na nishakubali matokeo. Allah amjaalie umri twaweel.
Mm npo Tanzania ila nawafuatilia sana mashekhe wetu nawapenda sana tena Allah awajaalie afya njema
Aamiin amiin amiin sote
Ma'sha Allah
Duh ikiwa mohammad mafkirio yako ni yessu bas ata yessu wako humjui huyu dada akupat kuijua vzr dini anaez akawa muislam
Shukran sana kwa katanga a dini yetu ya kislam
Kazi yetu nikufikisha ujumbe wa Allah
Somo Mungu akupe nguvu upeleke neno la Mungu
Aamiin amiin amiin sote
Wakristo hufanda kitabu gani, juu hii yao sio hata bibilia
Yesu (Masihi Issa mwana wa Maryam)si Mungu bali ni Mjumbe wa Mungu
قال الله تعالى:{وإذقال الله ياعيسى ابن مريم ءأنت للناس اتخذني وأمي إلهين من دون الله قال سنحانك ما يكون لى أن أقول ما ليس لى بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علم الغيوب}المائدة 116
{ما قلت لهم إلا مآ أمرتني به أن اعبدوا الله ربي وربكم ..} المائدة 117
{قال الله هذا يوم ينفع الصادقين صدقهم لهم جنات تجري من تحتها الأنهار خالدين فيهآ أبدا رضي الله عنهم ورضوا عنه ذلك الفوز العظيم} سورة المائدة 119
{ورضوان من الله أكبر}
Imani ya utatu hakuna mkristo anaeweza kuielezea sababu ni Imani ya kubuni
Uislamu dini ya ukweli, inaridhisha
Mwalimu ni wangi na wasomaji ni wangapi. Hii imekuwa maudhi wallahi.kuweni na maelewano baina yenu. Samahani.
Allah awajaliye kwa kweli manshallah
MashaAllah Allah barik
Tanzania unakuj lin shekhe🙏
Inn shaa Allah tutapanga
💖
Mimi ni mkristo lakini hakuna mchungaji anayewaambia watu wavae mavazi yasiyofaa
Okey but huwa mnakatazwa
❤❤❤❤❤❤
Msomi na anasema kuna dhambi ya asili.
Dini ya repentance and holyn ess wanafunza hayo yote but kwingine Sio rahizi nikutoa tu nakubarikiwa,good job bro mi hukufuatilia sana
Asalaam mashekh wetu..mbona hamjaeka option ya ku download?
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh iko my sister
Swala la uvaaji ni mtu mwenyewe.
Ni amri ya Mwenyezi Mungu sio mtu mwenyewe
Huyo msomi amesoma nini exactly juu sioni
Hahaaaaaaa 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤔🤔
Ak wakirsto wanashagaza Mungu ajilete mtu azaliwe n akufe azikw n afufuke is that make sense?
It makes sense only to those people who understand
Pia nashagaa Muumba kila kitu afe auliwe n watu aliwaumba yeye mmmmmmm ilo haliwezekani.Mungu mwenyezi hana udhaifu ata nukta
Mbona msikitini hamuwaambii watu kama baadhi ya majini ni waislamu na ni ndugu zenu😅
Aya gani kwa Qur'an inasema hivyo???
Ukweli unauma dada yangu. Kula panadol tembe mbili mara tatu kwa siku itakupunguzia maumivu.😅
Uzushi.toa andiko majini n ndugu
Hiyo kwenye Quran Kila muislam anajua na tunawapenda sana hao ndugu zetu wa ki jini ❤️
"Wamaa khalaktu l-insaa wal-jina illaa liyaabuduun". Allah anasema sikuumba majini na watu ispokuwa waniabudu mm tu. Alhadith Almuslim akhwa lmuslim laa yadhlimuhu walaa yaslibuhu". Muislam ni ndugu WA muislam asimdhulumu Wala asimsulubu ama kumtesa. Qur-an, "wamaa arsalnaa illaa rahmata lil-aalamiin" Allah anasema" na hatukukupeleka ewe Muhammad ispokuwa ukawe rehema kwa walimwengu wote. Swali 1.kwani majini ni viumbe ama si viumbe. 2.km ni viumbe nani kaviumba?. 3.wanaishi ulimwenguni ni kina nani? 4.kwann Mungu akuumbe akose kukuwekea utaratibu km baba kwenye nyumba ana uratibu wake kwa watoto jee Mungu anakosaje kukuwekea utaratibu anaoutaka yeye? Someni maandiko msisomewe maandiko.
Tusome neno wakristo sivyo tutayumbishwa sana
Msome mmjue Muumba si mtu wala hakufa msalabani wala hana udhaifu wowote
Karibu ndugu katika dini y haki kunyenyekea amri za Muumba wetu
Jesus is the way and truth ISLAM worship moon look at the mosque sign
Propaganda za kanisani hizo
We worship almight creater who create all mankind and every thing and our lord is the lord of jesus