Dada wa kanisa astuka kuona mambo ambayo wanafichwa na wachungaji uisilamu wazidi kuenea

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 гру 2023

КОМЕНТАРІ • 121

  • @EuniceAngalushi
    @EuniceAngalushi 7 місяців тому +21

    Am a christian but soon nachange dini naendelea kujifunza mengi sana kupitia mafunzo yako😢😢lazma nislim

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 7 місяців тому +7

    Kikweli ndani ya Nafsi yangu, nawaombea sana hawa wahadhili wetu wanao lingania dini kwa wasiokua waisilamu wanafanya kazi kubwa sana, kwasababu wanakutana na vichwa vigumu sana ambao wamelishwa matango poli na viongozi wao wa kikiristo, sasa unapokutana navichwa ambavo nivigumu mpka aje kuelewa na akawa muisilamu dah nikazi kubwa mnooo ,Allah awape Taufiq iliokua bora na muendelee na kazi ya Mwenyezi

  • @daru2549
    @daru2549 7 місяців тому +7

    Sheikh leo eti umekutana na msomi😂😂😂 Nmefurahi sana umewaleta kwa njia iliyo nzuri ALLAH awaeke sheikh

  • @sonaratz
    @sonaratz 7 місяців тому +18

    Mimi nipo Tanzania na huwa nakufuatilia sana kwa ukaribu na huwa napenda sana mafundisho yako!

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 7 місяців тому +5

    Maashallah kazi nzuri

  • @husha6372
    @husha6372 7 місяців тому +5

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu jamaa Naona wakiristo WENGI huchanganyikiwa ku mjuwa Mungu Yesu na utatu

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @GamingLimbe
    @GamingLimbe 7 місяців тому +4

    Mashaallah Allah atujaalie Janah sisi sote ❤

  • @F.j84
    @F.j84 7 місяців тому +6

    Mimi nawaombea wakristo mungu awape fahamu na kupata njia ya hakki kw idhni yake mola mtukufu Allah

  • @salimiddi7583
    @salimiddi7583 7 місяців тому +3

    Hogera sheikh Salim somo wangu

  • @kanchorujarsomohamed4860
    @kanchorujarsomohamed4860 7 місяців тому +3

    Masha Allah mola awajalie kila la kheri

  • @rq21abdullahi96
    @rq21abdullahi96 7 місяців тому +11

    Salim na Ali . Inshallah one we will drink soup together 😂

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +2

      Inn shaa Allah

    • @mangeraalbert7982
      @mangeraalbert7982 7 місяців тому +1

      Inshaallah

    • @Zsdaughter
      @Zsdaughter 7 місяців тому

      Send it now to them si wameweka number zao za sim. Changia na Allah atakuzidishia.
      Support so they use more time kwa daawah. Mana na wao wanakazi zao. So ili tuwape nguvu zaidi ya kuwa kwenye daawa lazma tutoe.

  • @omarnzaro31
    @omarnzaro31 7 місяців тому +4

    Maa Shaa Allah mushapost wacha tutizame Inn Shaa Allah tuelimike zaidi

  • @SalumNyanza
    @SalumNyanza 4 місяці тому +2

    Maashallah Allah awalipe kila laheri

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 7 місяців тому +4

    Maasha Allah ..ALLAH awalipe kila jema kwa kazi nzuri mashehe wetu vipenz.

    • @TabuOdhiamboOmiya
      @TabuOdhiamboOmiya 7 місяців тому +1

      Kuna wakati unaeza kosa subira pale unapo mwambia jambo na hataki kushikia ilhali kauli yako ndio sahihi

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk 7 місяців тому +2

    Maa shaa Allah Sheikh Yusuf kumbe upo sambamba na mara umetuletea kitabu
    Allah akuhufadhini nyote na kila balaa.
    AMIIN

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 7 місяців тому +2

    Da nilitamani sana mda usiishe muendelee maana tayali walikua washakubali nisawa na mchezo wa mpila gol kipa ashapotea harafu umebaki na golitu harafu refa anapiga firimbi ete mpila umeisha da Sasa sijui utafungatu naje ukifunga refa ataikubali ndivyo ilivyotokea Leo washakubali lakini mdaumeisha nanikweli lazima watu wakamuombe mungu hakuna jinsi inshaAllah sikunyingine wataelewatu kama niwakuelewa maana hata umfundishe mtu miaka kumi kamaniwakuelewa ataelewa nadakikatu lakini kama sikuelewa atasubuli mpaka yesu aludi nabado hataelewa mungu awabariki sana masheikh wetu tunawapenda sana mlitupotea kidogo shidailikua Nini maana tunatamanisana kuwaona kilasiku ila tunawaombea sana mungu awajaalie afya na uzima mzidi kutufundisha Yale ambayo hatuyajui tuweze kuyajua assalamualaikum wabillah taufiq amen 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh Allah awaongoze waione haki

  • @RubanzintwariJeanclaude
    @RubanzintwariJeanclaude 7 місяців тому +3

    Asaramuaraikum shehe Mungu akujariye Kwa dawa

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @salimkongoi6853
    @salimkongoi6853 7 місяців тому +2

    Asalam aleikum ...napenda sana mafunzo yenu brothers ...lakini ningependa kujua hicho kitabu ambacho sheik Hassan amekishika ni kitabu Cha Nini mkiniambia naweza tafuta nijisomee niongezee elimu yangu ....shukran sana brothers

  • @ngureamosdaniel3945
    @ngureamosdaniel3945 7 місяців тому +4

    this was very informative very impressive the moment you expose oneself to islam,one becomes i new being,daawah sahihi GOD bless you

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 7 місяців тому +5

    Tatizo la wakrsto wanadanganywa na wachungaji bila mchungaji kutoa ushaidi wa maandiko bali nimaneno wanayotoa mdomoni mwao

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r 6 місяців тому

      Ushahidi uko nao? Ama tu ni maneno?

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 11 днів тому

      Ushahidigzni.unataka.mambo.yako.wazi.tumiaMaji.a.cha.tishu.uchafu..eti.ushahid.gani.someni.vitabu.vyenu.acha.ubishi.kudaitu.kuokoka.wanaokokaga.wachafu.HatoingiaPeponi.ilawasafi.yadikhuru.lijanna.illa.nadhwifu.​@@user-hy5zd5rn6r

  • @sulimankarusi8345
    @sulimankarusi8345 7 місяців тому +2

    Mashallah Allah wape kila kheri

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 7 місяців тому +2

    🤣🤣 hustadhi Salim na hustadhi aliy Leo mume patana mwana sacolojia naona mambo ni ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @ShaliphZbel-it8id
    @ShaliphZbel-it8id 7 місяців тому +2

    Allah,awape,afya,njema,then,mzid,kutoa,dawa,mtaan

  • @sheemaryam
    @sheemaryam 7 місяців тому +3

    Mariam alikuwa anaambudu nani wakati MUNGU alikuwa kwa tumbo yake???
    kweli watu wamepotoka 😂😂

  • @user-hp8dp7gf8w
    @user-hp8dp7gf8w 4 дні тому +1

    MashaAllah ❤❤❤

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 7 місяців тому +2

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @djhassim_254
    @djhassim_254 4 місяці тому +1

    watu kujieleza kwamba ni wakristo is just a slogan iliyokuja wapotosha viumbe za mwenyezi mungu.
    Ustadhi Salim na mwalimu Ali msichoke tafadhali. one day people will revert back from the slavary mission of christianity.

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 7 місяців тому +1

    Walkm mslm warahmtullah wabarakatuh nshkr sheikh zetu nmpata vzr Allah amzidishie elimu n afya mzidi kuwapa daawa in Sha Allah

  • @user-mp7gr1ct8p
    @user-mp7gr1ct8p 7 місяців тому +4

    Mashallah mungu awap umri

  • @siadibrahim8111
    @siadibrahim8111 7 місяців тому +1

    MashaAllah masheikh zetu mungu azidi kuwapa afya njema na maisha marefu

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 7 місяців тому +1

    Allhamdhullillaih namshukuru ALLAH kwa kuwaona ndugu zangu katika Imani nilikuwa nimepotea kwa sbb ya internet lkn saii niko hewa ninawafatilia kila kona

  • @zuenajuma-si7wp
    @zuenajuma-si7wp 7 місяців тому +1

    Mashaalh mwenyezimung awaongezee elim ili tupate kujifunza zaid

  • @sulemohdi2013
    @sulemohdi2013 7 місяців тому +1

    Wakristo wanasema Mungu ndo Yesu na Yesu ndo Mungu, eti Mungu amejifanya mtu!, na Yesu anasema hakutumwa bali kwa wana Israel, na wana sema kasulibiwa ili abebe zambi zao ila hata yeye Yesu alilalamika Mangu wangu Mungu mbona umeniacha hapo kajivuwa kuzamini watu wakati analala mika ameachwa na Mungu wake, ikiwa Mungu alikuja kwa mwili wa binaada , huo mwili hajauvuwa mpaka leo na kama hajaivuwa atakuwa dhaifu na kama kauvuwa mwili basi hakuna haja katika kipindi hichi kumuabudu Yesu wakati hayupo tena duniani vipi abudiwe wakati hakuna andika ale sema yeye Yesu Mungu na kama halipo, Yesu hana Mungu ? Ikiwa anae Mungu na saa hii hayupo duniani kwa mwili wa binaadamu vipi abudiwe Yesu ikiwa Wakristo wanasema kaja duniani akiwa amevaa mwili sasa huo mwili hajauvuwa ?

  • @abdikuta9333
    @abdikuta9333 4 місяці тому +1

    Mi ni muislamu naomba msomaji ampe.nafasi mwalimu aelemishe naye abakike kwavitabu

  • @user-nt4qc4zg7y
    @user-nt4qc4zg7y 7 місяців тому +1

    Mashaallah Allah wape afya njema na nguvu ya kupigania dini ya kiislam

  • @ibrahimhajji6210
    @ibrahimhajji6210 7 місяців тому +16

    Mzee Ali needs to be patient when Salim is handling people.

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 7 місяців тому +1

      Wallah tena anaongea Sana Hadi husikii kitu nasauti yake kubwaa mashaa llah hata na mtatiza sheikh salim mara nyingi

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 7 місяців тому +1

      Hez too annoying.

    • @saberaziz1789
      @saberaziz1789 7 місяців тому +1

      Ali kuwa na subra na mwachie ustadh afanye kazi yake,wewe kazi yako ni kusoma

    • @Abuyusuf134
      @Abuyusuf134 7 місяців тому

      Yah ni kweli. Sheikh Ali awe anasoma tu asichangie. Cause inaleta confusion.

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 6 місяців тому +3

      Assalamu Alaykum. Munajisumbua bure. Mzee Hassan hawachi, hiyo ni tabia na umri ni mkubwa. Mchukulieni kama mzee wetu aliyejitolea. Mimi nimemuelewa hivyo na nishakubali matokeo. Allah amjaalie umri twaweel.

  • @b.funditv4781
    @b.funditv4781 6 місяців тому +1

    Mm npo Tanzania ila nawafuatilia sana mashekhe wetu nawapenda sana tena Allah awajaalie afya njema

  • @abdikhalifdahir3220
    @abdikhalifdahir3220 2 місяці тому +1

    Ma'sha Allah

  • @alisaleh7040
    @alisaleh7040 7 місяців тому +1

    Duh ikiwa mohammad mafkirio yako ni yessu bas ata yessu wako humjui huyu dada akupat kuijua vzr dini anaez akawa muislam

  • @Marim-qp8gs
    @Marim-qp8gs 2 місяці тому +1

    Shukran sana kwa katanga a dini yetu ya kislam

  • @SalimHumud
    @SalimHumud Місяць тому +1

    Somo Mungu akupe nguvu upeleke neno la Mungu

  • @Rajkumar-gz4qr
    @Rajkumar-gz4qr 3 місяці тому +1

    Wakristo hufanda kitabu gani, juu hii yao sio hata bibilia

  • @mjaaliakhalfan9030
    @mjaaliakhalfan9030 7 місяців тому +5

    Yesu (Masihi Issa mwana wa Maryam)si Mungu bali ni Mjumbe wa Mungu
    قال الله تعالى:{وإذقال الله ياعيسى ابن مريم ءأنت للناس اتخذني وأمي إلهين من دون الله قال سنحانك ما يكون لى أن أقول ما ليس لى بحق إن كنت قلته فقد علمته تعلم ما في نفسي ولا أعلم ما في نفسك إنك أنت علم الغيوب}المائدة 116
    {ما قلت لهم إلا مآ أمرتني به أن اعبدوا الله ربي وربكم ..} المائدة 117
    {قال الله هذا يوم ينفع الصادقين صدقهم لهم جنات تجري من تحتها الأنهار خالدين فيهآ أبدا رضي الله عنهم ورضوا عنه ذلك الفوز العظيم} سورة المائدة 119
    {ورضوان من الله أكبر}

  • @nassorsharifu9837
    @nassorsharifu9837 7 місяців тому +1

    Imani ya utatu hakuna mkristo anaeweza kuielezea sababu ni Imani ya kubuni

  • @Rajkumar-gz4qr
    @Rajkumar-gz4qr 3 місяці тому +1

    Uislamu dini ya ukweli, inaridhisha

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 7 місяців тому +1

    Mwalimu ni wangi na wasomaji ni wangapi. Hii imekuwa maudhi wallahi.kuweni na maelewano baina yenu. Samahani.

  • @jumamnyonge2148
    @jumamnyonge2148 7 місяців тому +1

    Allah awajaliye kwa kweli manshallah

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 7 місяців тому +1

    MashaAllah Allah barik

  • @user-qn6xf4nw7d
    @user-qn6xf4nw7d 7 місяців тому +1

    Tanzania unakuj lin shekhe🙏

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 місяці тому +1

    💖

  • @JoyceMbise-zr2xh
    @JoyceMbise-zr2xh Місяць тому +1

    Mimi ni mkristo lakini hakuna mchungaji anayewaambia watu wavae mavazi yasiyofaa

  • @ShaliphZbel-it8id
    @ShaliphZbel-it8id 7 місяців тому +2

    ❤❤❤❤❤❤

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman8785 7 місяців тому +1

    Msomi na anasema kuna dhambi ya asili.

  • @ruthnalex
    @ruthnalex 7 місяців тому +1

    Dini ya repentance and holyn ess wanafunza hayo yote but kwingine Sio rahizi nikutoa tu nakubarikiwa,good job bro mi hukufuatilia sana

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 7 місяців тому +2

    Asalaam mashekh wetu..mbona hamjaeka option ya ku download?

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh iko my sister

  • @user-rl4nv7ls4e
    @user-rl4nv7ls4e 6 місяців тому +1

    Swala la uvaaji ni mtu mwenyewe.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Ni amri ya Mwenyezi Mungu sio mtu mwenyewe

  • @Hi_20206
    @Hi_20206 7 місяців тому +1

    Huyo msomi amesoma nini exactly juu sioni

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому +2

      Hahaaaaaaa 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤔🤔

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l 7 місяців тому +2

    Ak wakirsto wanashagaza Mungu ajilete mtu azaliwe n akufe azikw n afufuke is that make sense?

    • @user-hy5zd5rn6r
      @user-hy5zd5rn6r 6 місяців тому

      It makes sense only to those people who understand

    • @HNs-px8mz
      @HNs-px8mz 2 місяці тому

      Pia nashagaa Muumba kila kitu afe auliwe n watu aliwaumba yeye mmmmmmm ilo haliwezekani.Mungu mwenyezi hana udhaifu ata nukta

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 7 місяців тому

    Mbona msikitini hamuwaambii watu kama baadhi ya majini ni waislamu na ni ndugu zenu😅

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  7 місяців тому

      Aya gani kwa Qur'an inasema hivyo???

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 6 місяців тому

      Ukweli unauma dada yangu. Kula panadol tembe mbili mara tatu kwa siku itakupunguzia maumivu.😅

    • @HNs-px8mz
      @HNs-px8mz 2 місяці тому

      Uzushi.toa andiko majini n ndugu

    • @Bahati47
      @Bahati47 2 місяці тому

      Hiyo kwenye Quran Kila muislam anajua na tunawapenda sana hao ndugu zetu wa ki jini ❤️

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Місяць тому

      "Wamaa khalaktu l-insaa wal-jina illaa liyaabuduun". Allah anasema sikuumba majini na watu ispokuwa waniabudu mm tu. Alhadith Almuslim akhwa lmuslim laa yadhlimuhu walaa yaslibuhu". Muislam ni ndugu WA muislam asimdhulumu Wala asimsulubu ama kumtesa. Qur-an, "wamaa arsalnaa illaa rahmata lil-aalamiin" Allah anasema" na hatukukupeleka ewe Muhammad ispokuwa ukawe rehema kwa walimwengu wote. Swali 1.kwani majini ni viumbe ama si viumbe. 2.km ni viumbe nani kaviumba?. 3.wanaishi ulimwenguni ni kina nani? 4.kwann Mungu akuumbe akose kukuwekea utaratibu km baba kwenye nyumba ana uratibu wake kwa watoto jee Mungu anakosaje kukuwekea utaratibu anaoutaka yeye? Someni maandiko msisomewe maandiko.

  • @makalajonas
    @makalajonas 7 місяців тому

    Tusome neno wakristo sivyo tutayumbishwa sana

    • @HNs-px8mz
      @HNs-px8mz 2 місяці тому

      Msome mmjue Muumba si mtu wala hakufa msalabani wala hana udhaifu wowote

    • @HNs-px8mz
      @HNs-px8mz 2 місяці тому

      Karibu ndugu katika dini y haki kunyenyekea amri za Muumba wetu

  • @macwiz5696
    @macwiz5696 6 місяців тому

    Jesus is the way and truth ISLAM worship moon look at the mosque sign

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  6 місяців тому

      Propaganda za kanisani hizo

    • @HNs-px8mz
      @HNs-px8mz 2 місяці тому

      We worship almight creater who create all mankind and every thing and our lord is the lord of jesus