JINSI YA KUTOA MAJINI MWILINI KWA NJIA NYEPESI SANA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

КОМЕНТАРІ • 17

  • @AmasSaladin-pt4sx
    @AmasSaladin-pt4sx 16 днів тому

    Tusemapo jini, ni jini wa ahina gani? Jini wa kichawi hasa uchawi wa familia ? Wala ni jini tu wakawaida

  • @AshaAminda
    @AshaAminda 27 днів тому

    Jia ya kumutoa jini kwa mtoto ni ipi

  • @jeaninevumilia5917
    @jeaninevumilia5917 6 місяців тому +2

    😂Nimechekaaaaa mbavu zaniuma

  • @RispaAmarah
    @RispaAmarah 3 місяці тому

    Dactari abari naomba utuelezee ya mayai kuna mmoja alikula pesa zangu akiniambia yai alitoa jeneza yangu ndani ya mayai 😢😅😅😅

  • @SiaminiHussein
    @SiaminiHussein 4 місяці тому

    Jinsi ya kutoa jini mahaba ni ipi?

  • @walkingspringsab-wi9vb
    @walkingspringsab-wi9vb 7 місяців тому

    Tiba ya kumtoa jiji hubuthi wa chooni na jalari ni ipi

  • @غالببدرالبوسعيدي
    @غالببدرالبوسعيدي 13 днів тому

    😂😂

  • @kazungukakio9600
    @kazungukakio9600 Рік тому

    Allah Akbar

  • @JerusaMkuyu-pw1zo
    @JerusaMkuyu-pw1zo 4 місяці тому

    😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf 8 місяців тому +1

    Assalaamu alaykum! Shekh mashekh wengi hupenda kujifakhalisha kwa kila neema wanayopewa akiwa na nyumba nzuri, gari, wake hutangaza neema zao kwenye vyombo vya habari au kwenye mihadhara kwa hilo wamefeli.

    • @ShaniaKing-o5d
      @ShaniaKing-o5d 7 місяців тому +2

      Hawajifaharishi kwasababu wanatuelekeza pia dua na njia walizotumia wakapata neema so hawajifaharishi ila hawafanyi uchoyo wanatuelekeza nasi tuneemeke, mi namfatilia sana sh Othman kiukweli ile dua alielekeza kua ndo imemfingulia neema zote, toka nimeanza kuifanya aise sikutegemea kila kitu kinafunguka na kuna mambo nimefanikiwa ndo mana nikaamini yuko kwa ajili ya kutakia heri wengine pia, mungu akupe umri mrefu sh Othman kwasababu nilikua nimekata tamaa kila nalofanya haliwi nikaanza kuyumba kiimani ila baada ya dua ulizoelekeza kua zilikuneemesha moyo wangu umestawi upya baada ya kuzitumia na najivunia kua muislamu.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu 6 місяців тому

      Ufahari ni moja ya matatizo makubwa.

  • @christineauma7036
    @christineauma7036 8 місяців тому

    Nisaidie

    • @annk4929
      @annk4929 8 місяців тому

      Kuja nitakusaidia na maombi

  • @christineauma7036
    @christineauma7036 8 місяців тому +1

    Niko na shida

    • @edwardngugi3537
      @edwardngugi3537 8 місяців тому +2

      Call Jesus Christ of Nazareth do not be entyced by Baal worshippers