Assalaamu alaykum! Shekh mashekh wengi hupenda kujifakhalisha kwa kila neema wanayopewa akiwa na nyumba nzuri, gari, wake hutangaza neema zao kwenye vyombo vya habari au kwenye mihadhara kwa hilo wamefeli.
Hawajifaharishi kwasababu wanatuelekeza pia dua na njia walizotumia wakapata neema so hawajifaharishi ila hawafanyi uchoyo wanatuelekeza nasi tuneemeke, mi namfatilia sana sh Othman kiukweli ile dua alielekeza kua ndo imemfingulia neema zote, toka nimeanza kuifanya aise sikutegemea kila kitu kinafunguka na kuna mambo nimefanikiwa ndo mana nikaamini yuko kwa ajili ya kutakia heri wengine pia, mungu akupe umri mrefu sh Othman kwasababu nilikua nimekata tamaa kila nalofanya haliwi nikaanza kuyumba kiimani ila baada ya dua ulizoelekeza kua zilikuneemesha moyo wangu umestawi upya baada ya kuzitumia na najivunia kua muislamu.
Tusemapo jini, ni jini wa ahina gani? Jini wa kichawi hasa uchawi wa familia ? Wala ni jini tu wakawaida
Jia ya kumutoa jini kwa mtoto ni ipi
😂Nimechekaaaaa mbavu zaniuma
Kwann umecheka
Dactari abari naomba utuelezee ya mayai kuna mmoja alikula pesa zangu akiniambia yai alitoa jeneza yangu ndani ya mayai 😢😅😅😅
Jinsi ya kutoa jini mahaba ni ipi?
Tiba ya kumtoa jiji hubuthi wa chooni na jalari ni ipi
😂😂
Allah Akbar
😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂
Assalaamu alaykum! Shekh mashekh wengi hupenda kujifakhalisha kwa kila neema wanayopewa akiwa na nyumba nzuri, gari, wake hutangaza neema zao kwenye vyombo vya habari au kwenye mihadhara kwa hilo wamefeli.
Hawajifaharishi kwasababu wanatuelekeza pia dua na njia walizotumia wakapata neema so hawajifaharishi ila hawafanyi uchoyo wanatuelekeza nasi tuneemeke, mi namfatilia sana sh Othman kiukweli ile dua alielekeza kua ndo imemfingulia neema zote, toka nimeanza kuifanya aise sikutegemea kila kitu kinafunguka na kuna mambo nimefanikiwa ndo mana nikaamini yuko kwa ajili ya kutakia heri wengine pia, mungu akupe umri mrefu sh Othman kwasababu nilikua nimekata tamaa kila nalofanya haliwi nikaanza kuyumba kiimani ila baada ya dua ulizoelekeza kua zilikuneemesha moyo wangu umestawi upya baada ya kuzitumia na najivunia kua muislamu.
Ufahari ni moja ya matatizo makubwa.
Nisaidie
Kuja nitakusaidia na maombi
Niko na shida
Call Jesus Christ of Nazareth do not be entyced by Baal worshippers