Othman Masoud asema 2025 uchaguzi lazima uwe wa haki kwa vyovyote vile

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 119

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 11 місяців тому +14

    BIG UP tu pamoja Zanzibar bila mamlaka kamili tutazidi kudhalilikaaaaa ❤ LOVE my country Zanzibar

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 8 місяців тому

      Mohd pole Hussein hamumuwezi aneleta Maendeleo ya hali ya juu Zanzibar

    • @user-gd2xj3xd1b
      @user-gd2xj3xd1b 5 місяців тому

      Pole kwako kwakuona ujezi wa Hussein mwinyi ni maendeleo tembea ukaone maendeleo kwa wezetu pia hao wezetu na maendeleo walio nayo wanapigania uhuru na demokrasia pia huijui Zanzibar ww @@margarethpolepole7438

    • @SudiKhamisi
      @SudiKhamisi 2 місяці тому +1

      Mungu afanye wepesi ten tusha wachok ccm

    • @baraghash4964
      @baraghash4964 23 дні тому +1

      Kwa nguvu hatumuwezi kweli. Ila kwenye sanduku la kura la haki basi hoseni hana lake jambo

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 4 місяці тому +2

    Ccm,kumbukeni,mungu,hajasema,uongo,hata,siku,Moja,mazalim,mtaondoka,tu,inshaallah

  • @hafidhkhamis731
    @hafidhkhamis731 11 місяців тому +4

    Allah awe nasi tuko pamoja an hakuna lisilokuwa na mwisho ao ccm mwisho wao utafika tu inshaaAllah

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 місяці тому

      Hafidhi hizo ni ndoto za alinacho acha kazi ufanye kazi kuishinda Ccm baada wakongwe walishakubaliana kuungana wewe wewe kidagaa una nini tena utabaki na kelele za chura hazimkatazi ngombe kunywa maji ccm oyeeeee kazi inaendelea Hussein Mwinyi chapa kazi hao njaa za kutakq utumwa zinawasumbua

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 11 місяців тому +6

    Huyu mzee nampenda sana ❤

  • @Silimajuma-d5e
    @Silimajuma-d5e 2 дні тому

    M/mungu alete kheri zake! Tujifahamu Nini tunataka tusiwe wafiki mchana mwema

  • @saidjuma7915
    @saidjuma7915 11 місяців тому +5

    Mhe omo inshalah tupo na ww inshalah kukomboa zanzibar ki ufupi tushachoka ndo hatujui la kufanya sahivi zanzibar kurudi kwenye mamlaka ni muhimu sana

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 місяці тому

      @@saidjuma7915 Ahsante sana Rais Hussein mwinyi kwa kuifanya Zanzibar njema na inapendeza kila kona wasikusumbue hao wqnaotaka utumwa kila siku na uroho wa madaraka Siasa mchwzo mchafu hawana kabila hao utashinda kwa kishindo na wewe Omo kula kuku tu Siasa mchezo mchafu Ccm oyeeeee Act Wazalendo oyeeeee Hussein Mwinyi chapa kazi

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 11 місяців тому +2

    Mwenyezi Mungu Muumba wa vyote tunakuomba Zanzibar iwe free na itoke kwenye makucha ya hawa Matapeli wanaojiona wana Nguvu zaidi

  • @salyali7807
    @salyali7807 11 місяців тому +2

    Very powerful speech... excellent job OMO

  • @IsmailClassictz
    @IsmailClassictz 10 місяців тому +1

    Powerful speech ❤❤❤ LOVE MY COUNTRY ZANZIBAR
    NEVER GIVE UP ZANZIBAR ❤❤❤

  • @user-qo8uj1ym4m
    @user-qo8uj1ym4m 11 місяців тому +4

    Munaamika wakuu wetu wa vyama mola awape nguvu hivyo hivyo daima

  • @AaAa-vm8bb
    @AaAa-vm8bb 11 місяців тому +4

    Huwezi kusherehekra mauaji ukapata neema ndani yake hili mulijue twende tu hadi tufike asante bw. Othman kwa maneno matamu na yenye faida

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 місяці тому

      AAAA wewe mnyanwezi acha kelele wewe hiyo Zanzibar ni yako humo kuna kila sina ya watumwa hakuna hata mwenye Zanzibar yake nahisi wewe umezaliwa 2000 hujui lolote wewe ni bendera yafuata upepo hakuna mnzanzibar kamili njoo Tabora nikuobyeshe warabu wanyamwezi huna lolote kazi kubwabwanya tu

  • @user-ry1pe3tu5s
    @user-ry1pe3tu5s 9 місяців тому +1

    MH HONGERA UMEMWAGA RADHI ZA UKWELI ,,,SAFI SANA

  • @MohammedEddy9
    @MohammedEddy9 11 місяців тому +3

    ALLAH akueke!! Na atuweke!! inshaAllah

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 11 місяців тому +4

    ZANZIBAR YA KALE NA UISLAM
    1) ZANZIBAR ilikuwa ni nchi pekee ya Kiislam kwa Afrika Mashariki na Kati.
    2) ZANZIBAR ilikuwa ni Kitovu Cha Mafundisho ya Kiislam kwa Afrika Mashariki na Kati.
    3) ZANZIBAR ilikuwa ni Makao Makuu ya Pan-Islamism na Islamic Modernism kwa Afrika Mashariki na Kati.
    4) ZANZIBAR ilikuwa maarufu Duniani kwa sababu ya Uislam na Kiswahili, yenye Lugha ya Qur'an kwa Uislam Duniani.
    SASA ZANZIBAR HAINA DINI.

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 8 місяців тому

      Wala maadili hamna

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 8 місяців тому

      KUPINDUA MAADILI YA KIISLAM
      ​@ahmedalbalooshi8518 SWADAKTA. Kwa sababu lengo la Mapinduzi sio kuondosha Utawala wa Kiarabu kama inavyopotoshwa bali Vita Dhidi ya Uislam na Maadili yake.
      MAPINDUZI KWA MUUNGANO
      1) Misahafu ilichomwa na Mingine kutupwa Baharini.
      2) Wanafunzi waliharamishwa kusoma Surah al-Fatiha na Surah al-Ikhlas kabla ya kuingia Darasani. Na wakalazimishwa kwaya ya kumsifu Mkiristo Nyerere kabla ya Darasani.
      3) Mafundisho ya Uislam na taarekhe ya Zanzibar yalifutwa. Kinyume chake utaitwa "Mdini."
      4) Akiwa Mgeni Rasmi Siku ya Baraza la Eid, Beit al-Ajaib Rais Julius aliwaambia Waislam wa Zanzibar kuwa Nchi Haina Dini.
      Hiyo ni Utawala wa Mfalme Julius kwenye Biblia. Aliwataka Wakiristo wasichanganye Dini na Siasa katika Nchi:
      a) Ingawa Wimbo wa Taifa unaomba Mungu aibariki Tanzania isiyo na Dini.
      b) Pia Wanasiasa wanawataka Mashekhe waiombee Nchi yao isiyokuwa na Dini.
      5) Na Kiswahili Cha Zanzibar
      kinapinduliwa kwa kuondosha maneno yenye asili ya Kiarabu:
      a) Zanzibar kubatizwa kuwa Tanzania Visiwani. Ni tafauti na Visiwa vya Kilwa na Mafia.
      b) Darasa la Tisa kubatizwa kuwa Didato Cha Kwanza.
      WALITAKA KUBADILI QUR'AN
      Ali Hassan alikuwa Rais lakini Julius Nyerere Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi akiwa Mgeni Rasmi Dodoma.
      Kwa vile Serikali ya Muungano inaongozwa na CCM, viongozi
      walisema Qur'an ibadilishwe😂
      Lakini Waislam wa Zanzibar walipinga kwa kulinda Qur'an, walijeruhiwa na kuuliwa.😂
      Sheikh maarufu Nassor Bachu alipelekwa jela na Mwandishi wa BBC Mh. Ali Saleh alitupwa jela kwa kutangaza tukio hilo.
      HITIMISHO LAKINI SIO MWISHO
      Bila shaka Maadili ya Waislam wa Zanzibar yametoweka kwa sababu ya kuacha Mwongozo wa Qur'an. (Qur'an; 25:30).

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 4 місяці тому +1

    Wazanzibar,tunataka,viongozi,wanamnahii

  • @alifoum6758
    @alifoum6758 11 місяців тому +2

    That's significant milestone

  • @LemaliMeyasi-r4c
    @LemaliMeyasi-r4c 8 днів тому

    Na kweli kabisa

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 11 місяців тому +2

    Zanzibari ni nchi iliharibiwa NA ungereza NA marekani NA wayahudi kwa sababu ya uslaam wao NA wanahaki kuihifathi dini ya mungu wao NA kila mtu huko akhera moja moja peke yake ataulizwa alicho kitenda duniani NA atapewa kitabu chake kwa kulia au kushoto tutaulizwa tu umetetea dini yako umetetea nchi yako au umeunga kutawaliwa NA wakrsto

  • @MohammedSaid-cz2od
    @MohammedSaid-cz2od 10 місяців тому +1

    Kwa uwezo wa allah hapaharibiki kitu ishaallah

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Місяць тому +1

    Hao wanayoitetea ccm njaa km sie tu nyie

  • @rayamgeni9772
    @rayamgeni9772 11 місяців тому +2

    Tunakuombea kwa Allah mkombozi wetu.

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Місяць тому +1

    Ccm Hana njaa Wala Hana shida haya ni mwanachama Gani huyo wa ccm anaesaidiwa kwenye shida mtu pa kukaa Hana ama wew ni ccm hebu waangalien ccm Wana shida Wana njaa zindukeni nyie wenzetu tuungane tuwe kitu kimoja tupiganie haki kwanza tuishi vizur hatuna Raha maisha magumu mtu akiamka Cha kukila Hana ama wew unajiita ccm umjinga wew

  • @kassimhaji1141
    @kassimhaji1141 11 місяців тому +1

    Yuko pamoja mm na Zanzibar na Zanzibar na mm ewe mola tusaidie tuwe huru

  • @arthurbertluanda3390
    @arthurbertluanda3390 11 місяців тому

    Mashaalah no kukata tamaaaa

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 11 місяців тому +1

    njaa hii hatuna haja ya kampeni tuko nawe OmO

  • @user-jf7is4fk2v
    @user-jf7is4fk2v 11 місяців тому +1

    sio rahisi bila ya katiba mpyaaaaaa piganieni katiba huru na haki kwanza

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 17 днів тому

    Hivi kama ww ukipewa hiyo nchi utafanya maajabu gani ya mussa ili iyo nchi iwe ya kitajiri usidanganye watu atakaechukua nchi yyte yule yatakua ni yale yale tu hayo ni maneno ya wana siasa tu hakuna lolote ww si umo humo

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 15 днів тому

    Watu wote tume kaa kama tumepigwa pasi kwanjaa bwana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 місяців тому

    OmoWewe nenepa tu hamna kitu hapo Ccm iko juu sanaaaa zanzibar kimaendeleo wewe kula tu urefu wa kamba yako Rais Hussein Mwinyi humuwezi anachapa kazi vizuri sana

    • @kassim1262
      @kassim1262 4 місяці тому +1

      Tunahitaji znzbr htuhitaji kazi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 4 місяці тому

      @@kassim1262 ulie tu huna Zanzibar wewe siajabu mnyamwezi msukumq mmakonde Muha nk kule kote kulikopita waarabu wewe mtumwa tu huna cha Zanzibar yetu naneno yako ya kufuata mkumbo msimsumbue Mwinyi muacheni aiguze Zanzibar kama Dubai huyo mchapa kazi mtumwa wewe usiyetaka kukombolewa kwa warabu

    • @Rukaiya-lt3hm
      @Rukaiya-lt3hm 2 місяці тому +1

      Anachapa kazi kweli sukari 3400 mchele 2500 tumpe hongera kwa uchapa kazi huo

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 17 днів тому

    Sasa huyu omo kule serekalini anafanya kazi gani na kwanini asijiuzulu akawa na chama chake tu akapambana na hao CCM

  • @user-lr6qx9df4z
    @user-lr6qx9df4z 17 днів тому

    Huyu nae mnafki tu ww kama utaona wanachofanya serekali mambo ya ovyo si ujiuzulu bado upo tu hebu waachie uwongozi upambanenao kimaneno unapambana kimaneno na bado upo hujiuzulu Tanzania hakuna siasa asidanganye watu hii yote ni wivu tu kwa anacho kifanya mwinyi kwa sasa

  • @hamadKhamis-p6k
    @hamadKhamis-p6k Місяць тому

    Na nyie viongozi wetu hatutaki ahad zisizotekelezeka hatutaki ten hewala km marehemu maalim huruma hailei mwana tunatk vitendo sasa apa hachomoki mtu mara hii ata kuwa mtu kanaijenga Dunia mzima hii hamna kukaa ten ccm madarakani mwisho wao ni mara hii hao

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s 6 місяців тому

    ALLAH AWALAANI WAO NA VIZAZI VYAO VINAVYOKULA HARAMU.MALIPO DUNIANI AKHERA HESABU.

  • @kassim1262
    @kassim1262 4 місяці тому

    Ccm hawalijui hili au ndio maslahi kwnz nchi baadae duh inasikitisha wanajiita wzalendo lkn wanaiua nchi

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 11 місяців тому +1

    VYAMA VINABADILISHWA KAMA CHAI. IPO WAPI C.U.F 😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮

  • @MuhidiniMohamedi-rx9gb
    @MuhidiniMohamedi-rx9gb 11 місяців тому +1

    Seemababa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 6 місяців тому

    Narudi kuwakumbusha vyama sio sulisho kwa wananchi sababu watu wamechoka na kusikiliza sera ya vyama vusivyotejelezeka watu wanaangalia mtuu ktk chama ndio maana nccr ilikufa ndio maana cuf Iko taababani sababu hakuna watu mazubuti lakini ikitikea mtuu mazubuti ktk chama basi chama hupata nguvu

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 6 місяців тому

    Imekula kwako😊

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 11 місяців тому

    Zanzibar mnailindavkunann cc wenyewe tunajeshi lakutosha cc kulima tunalima kilakitu nasilazima vyakula vitoke kwenu maana hamtupi buree tunanunuwa kwapesa zetu

  • @emilbocco5895
    @emilbocco5895 11 місяців тому

    Sawa Zanzibar kamili na Tanganyika kamili we are ok with That, jitayarisheni kuanzisha jeshi lenu maana tunatumia pesa nyingi kuilinda zanzibar, pia mjifunze kulima maana chakula kinatoka bara, pia mjifunze kulipa umeme maana smz ina madeni makubwa ya umeme kutoka bara

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 11 місяців тому +1

      Kwani kabla ya muungano waZanzibari walikuwa wakilala na njaa?.Waache wenyewe watatafuta mbinu za kuishi.Nyie musishuhjulike

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 11 місяців тому +1

      Umeme tutafuta,kuanzia tutatumia taa za asili,usijale kaka.

    • @alijuma7674
      @alijuma7674 9 місяців тому +1

      Huyu jamaa anaakili za mende ,mana hafahamu historia. Tanganyika haikuwa na serikali bali Zanzibar Alitawala kote huko lkn la pili ni kichwa maji .Zanzibar haikuanza 1964 ,ipoooo years and year ni dola kongwe sana

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 9 місяців тому +1

      Tokea awali ,Zanzibar haikuwa na jeshi,kwa sababu nyingi,moja wapo ni kuwa hawakuwa na adhma ya kuvamia nchi jirani,na ukiongezea hapo,wananchi wake walikuwa wa amani na upendo.Kwa upande wa chakula, wana uwezo wa kujilisha kama walivokuwa wakila hapo awali.Usisahau mamilioni ya fefha za kigeni zilizochukuliwa na kuhamishwa huko kwa waporaji.

    • @emilbocco5895
      @emilbocco5895 9 місяців тому

      Muungano una ubaya wake pia una uzuri wake, kama hutaki kurekebisha mapungufu unataka uvujike sisi hatuna shida. Ila hata ndoa lazima mapungufu yatokee, huwezi vunja kabla ya kujitahidi kurekebisha huu ni muungano wa nchi na watu si muungano wa vitabu,

  • @BernadethaSimba-qi4dw
    @BernadethaSimba-qi4dw 10 місяців тому

    Na ss tunaomba dua kwa M/ Mungu aepushe na ipo siku itafika hicho unachosema kitafutwa tu hata huku tunakeleka kila mtu ale chake kashiba kalala njaa shauli yake tunakuomba tuonyeshe huo mkataba wa kudhibitiwa nyie zanzibar

  • @kaslali2039
    @kaslali2039 10 місяців тому

    Dunia ya leo si ya kusemana
    Alie na mwana aombe salama
    Kwetu kuliroa kwao kushazama

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 8 місяців тому

      Kusemana kwa kukosoana bila matusi ni wajibu wa kila mwananchi,kwani mabaya na mazuri yaanikwe

  • @AbuuImraan-alghafr-azinjibar
    @AbuuImraan-alghafr-azinjibar 10 місяців тому

    Acheni ujinga nyinyi acheni kuwafitinisha watu kwa siasa zenu

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 8 місяців тому

    Kama walivyo pinduwa nanyi mupindue ndo mtapata madaraka si kwa sera

  • @user-ok9vr5jj6r
    @user-ok9vr5jj6r 10 місяців тому

    Asnte omo wape vidonge vyao hao 😂😂

  • @user-su6kn2xo1b
    @user-su6kn2xo1b 10 місяців тому

    Jino kwa jino haki

    • @C-uj4np
      @C-uj4np 8 місяців тому

      Sawaaaaa 🎉❤😂😊

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 9 місяців тому

    Wewe user ukitaka toa aibu za watu toa zako kwanza usojielewa

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q 10 місяців тому

    Mnatupanga tu hakuna uchaguzi wa haki Tanzania

  • @user-gv9st4eg6h
    @user-gv9st4eg6h 5 місяців тому

    Mfupa uliomshinda fisi nani atauwezaa, ccm hamuwezi kutuyumbisha ,tutadumu hadi maishaa

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 11 місяців тому

    TATIZO LENU KUSHINDWA HAMKUBALI HATA UCHAGUZI UWE WA HAKI VIPI MADHALI MKISHINDWA MTASEMA UCHAGUZI HAUKUWA WA HAKI HAMUWEZI KUKUBALI KUSHINDWA

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 місяців тому +1

      Lini mlishinda ?? Kenge wewe

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 11 місяців тому +1

      @@cath-ef7wd HAPO NDIO MWISHO WAKO WA KUFIKIRI SIWEZI KUKULAUMU MAANA KWENYE AKILI ZAKO NDIO KUMEKAA MAVI NA SEHEMU YA MAVI NDIO ZIKO AKILI ZAKO KWA HIYO SEMA UTAKAVYO

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 11 місяців тому +1

      Sujui kama uluwahi kumsikia Ali Karume,mtoto wa hayati Rais wa kwanza wa Zanzibar,alitamka hadharani kuwa CCM hawajahi kushinda toka 1995 huko Zanzibar.

    • @jaffaralimakame1533
      @jaffaralimakame1533 11 місяців тому

      KWANI UNASEMAJEEEEEEE

    • @muzneali4747
      @muzneali4747 11 місяців тому

      @@ahmedalbalooshi8518 YUKO WAPI HUYO BA ALI YEYE CHUKI YAKE HAKUUPATA URAIS HIVI ANGEKUWA RAIS ANGEYASEMA HAYO?? MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI HIVI KIPINDI HIKI CHA UTAWALA WA RAIS HUSSEIN MAENDELEO HAMUYAONI?? CHUKI BINAFSI HAZIFAI UKWELI USEMWE

  • @user-qp8rs7yu9f
    @user-qp8rs7yu9f 11 місяців тому

    Hata ushinde hawakupi hawa labda upindue

    • @kinkybanjukome217
      @kinkybanjukome217 11 місяців тому +4

      M.mungu ndio atawapindua kwa Allah hakuna kisichowezekana na wala hakuna Cha milele isipokuwsa Allah ndio wa milele iko siku

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 11 місяців тому

      ​@@kinkybanjukome217naaam 🙌🙌

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 11 місяців тому

    😂😅😅😅😂😂😂 ILE 2015 NDIO KINGEELEWEKA ILA HUKO MBELE KELELE TU😊😅😅😂😂😂😂

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 11 місяців тому

      Fakih,ingeeleweka vipi wakati Wabara walikwisha teremsha majeshi ambao walipewa amri ya kuhakikisha CCM washinde,kwa hali yeyote.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 місяців тому

    Nyie wasaka tonge Urais hampati kamwe wee kaa na maridhiano tu nyie ni ccm namba 22 kuleni ruzuku tu maana ni sheria ya dunia kuwa upinzani ni lazima kuwa chama chochote kilichopo mdarakani pale kinapokosea kisahihishwe nchi za Ulaya zinaweza lakini kwa Tanzania wapinzani wote ni wasaka tonge tu

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 11 місяців тому +2

    Hizi ndoto za mchana tumezisikia sana.

    • @ibniabdalla4817
      @ibniabdalla4817 11 місяців тому

      Pole yako

    • @zuzadomikano3765
      @zuzadomikano3765 11 місяців тому +1

      UNASEMA NINDOTO ZA MCHANA KWELI NDUGUYANGU!
      RUDI KWAMUNGU HATA WAZUNGU WAMECHOKA AFRIKA MAGHARIBI HUWAONI WEWE !

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 11 місяців тому +1

      Hizi sio ndoto ni mauno ya wazawa

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 11 місяців тому

    Kazi kutia watu chuki mioyoni mwa watu

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 місяців тому

      Wewe unamaradhi ya BT

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 11 місяців тому

      Hizi sio chuki bali ni ukweli,labda kwa umri wako huyafaham

    • @omarissamashaallahpresiden2920
      @omarissamashaallahpresiden2920 9 місяців тому

      Una banduliw

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 8 місяців тому

      Kwa kuwa unajaza kapu lako la tumbo ndo mana unasema hivo.Anasema ukweli...chuki mtu hatiwi inakuja kutokana na dhulma anofanyiwa.Acha ujinga

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 8 місяців тому

      Chuki twaziona zikitekelezwa na zaidi ifikapo vipindi vya uchaguzi.Wananchi hawasahau hayo kwani ni majaraha yanayo toneshwa mara kwa mara.

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 11 місяців тому

    Tanzania nzima sijaona upinzani wa kuishinda ccm
    Navona wapinzani njaa tuu

    • @salyali7807
      @salyali7807 11 місяців тому

      Kakojoe ukalale huna mpango

    • @yussuphsaleh767
      @yussuphsaleh767 11 місяців тому

      ​@@salyali7807huyu jamaa vipi kwani ccm inshinda uchaguzi? Hebu mwambie ukweli kila mwaka wanapora huku mukiwauwa watu

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 11 місяців тому

      ​@@salyali7807😅😅 akalale

  • @user-ml9sv2kr5e
    @user-ml9sv2kr5e 10 місяців тому

    WEWE OTHUMAN MASOUD MUONGO HAYO MANENO YAKO DHAMANA UNAYOIJUWA WW KUOA WAKE WENGI NA KUACHA BILA KOSA HUNA MPANGO WOWOTE

    • @salyali7807
      @salyali7807 10 місяців тому

      Jamaa umechanganyikiwa ?

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 9 місяців тому

      Hebu taja aibu yako

    • @RajabJuma-qx6ry
      @RajabJuma-qx6ry 6 місяців тому

      Madhila si unayafanya wewe Othman unakula neema za seif baada ya yeye kufa ACHA kuwa miongoni mwa waongoza dola ndo utakuwa msafi au ndo unakula kwa urefu wa kamba Yako?

  • @MohdSuleiman-fw2un
    @MohdSuleiman-fw2un 11 місяців тому +1

    BIG UP tu pamoja Zanzibar bila mamlaka kamili tutazidi kudhalilikaaaaa ❤ LOVE my country Zanzibar

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 11 місяців тому +1

      Afu nashangaa nyie wazanzibar hiki ndo kilikuwa kipindi chenu cha kuwa na mamlaka kamili angalia ss Raisi wetu uku tanganyika ni mzanzibar alitakiwa ahakikishe ana andika historia ya kutupatia katiba mpya maana ni faida kwake yeye kma mzanzibar rakini namshangaa

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 11 місяців тому

      ​@@faustinebahenobi3412mhhh kenge kenge tuu

    • @nailamohd-wn6sb
      @nailamohd-wn6sb 11 місяців тому

      ​@@cath-ef7wd😅😅