Agizo la Rais Magufuli kuhusu Wamachinga

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Ni agizo la Rais Magufuli Ikulu Dar es salaam kuhusu Wafanyabiashara ndogondogo kwenye maeneo mbalimbali ya Tanzania maarufu kama Wamachinga.

КОМЕНТАРІ • 449

  • @zuwenaabdi1670
    @zuwenaabdi1670 2 роки тому +12

    Walikuja hapa baada ya machinga kufukunzwa gonga like hapa! hapo mama alivaa ngozi ya kondoo

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 2 роки тому +11

    Ungepunguza kupost inauma sana unaposikiliza speech za jpm baba mwenye upendo wa kweli na watu wake.

  • @adelinajonsony5802
    @adelinajonsony5802 2 роки тому +13

    Rip tunakukumbuka Sana baba sema tangu umeondoka mama amekiuka kila kitu amekusaliti kwa kiwango Cha Hali ya juu Sana

  • @hamzaallymwaihojo
    @hamzaallymwaihojo 2 роки тому +15

    Kumbe mzee alishamuagiza awatunze machinga hawa,
    Wanawake, Mungu anawaona😭😭.

  • @bonydemaria2030
    @bonydemaria2030 7 років тому +17

    Kauli ya "hapa kazi tu" ni ngumu sana kueleweka. Tupo nyuma yako Mh. Rais... ! Best work ever seen in Tanzania!

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 2 роки тому +9

    Siwezi kuacha kukulilia Baba. Ningekuwa na uwezo ningezuia kifo chako. Lakini kila mwanadamu ana ukomo. Mungu atupe mwisho mwema.

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 7 років тому +18

    nimefurahishwa sana na kauli ya Rais Wangu Magufuli, na agizo lake kwa wafanya biashara wadogowadogo, wachimbaji wadogo, wananchi waliopo kwenye maeneo ya hifadhi za wanyama.UTU, UBINADAMU, ILANI, vizingatiwe! MUNGU AKULINDE SANA RAISI WANGU, NA WANAOKUSAIDIA! Umetibu majeraha ya watu wengi waliokuwa wananyanyaswa kwenye nchi yao! WE LOVE YOU MAGUFULI. tuna njaa lakini tupo salama!

  • @felixjilalajilala8398
    @felixjilalajilala8398 7 років тому +9

    mungu atupe nini sisi watanzania katupatia rais mwenye busara nyingi ewe mwenyez mungu mbariki magufuri awe na maisha malefu awe na moyo huohuo wa kuwasaidia watanzania

  • @matanamaduhu8699
    @matanamaduhu8699 2 роки тому +16

    RIP JPM. You will forever remain in hour hearts. You truly devoted your life to serve the poor. Mama seems to forget all these 😭😭😭😭💔💔💔

  • @johanithajacob8715
    @johanithajacob8715 3 роки тому +10

    Tulioxkia hotuba ya samia khc machnga tkard tena hapa kwa baba tujuane rest in peace my president

  • @jasbirswaran4338
    @jasbirswaran4338 7 років тому +14

    big president JJPM,salute kubwa mkubwa wa nchi,maneno kuntu

  • @kahemamzava1608
    @kahemamzava1608 3 роки тому +5

    Mapumziko mema baba Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 2 роки тому +3

    Wewe mwanamke Mungu anakuona Mungu yupo

  • @oswardjunior7310
    @oswardjunior7310 2 роки тому +6

    Delila alikuwa yuko makini kumsikiliza kumbe ki moyo nafsi yake ilikuwa inamuuma

  • @kisianganijob1068
    @kisianganijob1068 7 років тому +32

    how i wish we had this kind of leadership in Kenya....God bless you Mr.President,one of a kind.Long live your excellency and long live Africa!

    • @clt9914
      @clt9914 7 років тому +3

      For sure, the kind of hyena-like leaders we have in Africa, makes one feel having a commanding president of this caliber. Pretending to be men of rule of law while squandering resources and humiliating their very citizenry is a proof of their insanity.

    • @allysultani1089
      @allysultani1089 2 роки тому

      Mwenyezi mungu akupe rehema nyingi ulipo dokta magufuli.

    • @karanibonge5906
      @karanibonge5906 2 роки тому

      Ruto is coming there mtakua poa

  • @mukhsintwaha5909
    @mukhsintwaha5909 3 роки тому +6

    Pumzika kwa amani JPM ulithubutu daima uliyaishi maneno yko

  • @hawawezidianakukushusha756
    @hawawezidianakukushusha756 7 років тому +20

    da sihakosea kabisa kumpa huyu mtu kura yangu Allah akulinde baba

  • @saromejusto9587
    @saromejusto9587 2 роки тому +5

    Jmni inaima mbona,na inakua ngumu kwangu kuukubali ukweli kua haupo baba

  • @nassorokatuga7465
    @nassorokatuga7465 6 років тому +6

    Mungu akupe maisha malefu rais wetu mpendw

  • @japhetselestine2156
    @japhetselestine2156 2 роки тому +4

    Tunakukumbuka baba, tena Tunakukumbuka kwa mazuri siyo kwa mabaya, RIP my president

  • @ramlaothman5771
    @ramlaothman5771 2 роки тому +3

    Kabla ya hapa tulipo mwanamke Ali play part ya usaliti akamsaliti Adam the same to madam president,, inshort wanawake ni wasalitii... Allah atuondolee hiyo roho inshallah

  • @shijalupondeja908
    @shijalupondeja908 2 роки тому +7

    Dah hadi inauma sana,pumzika kwa Amani Baba.

  • @mbatatakiazi1678
    @mbatatakiazi1678 3 роки тому +5

    R.l.P our lovely President.
    Tutakukumbuka daima.

  • @husseinswahili7382
    @husseinswahili7382 7 років тому +18

    Asant baba Asant baba Natamani katiba ya Tanzania ibadilishwe ili ukae madarakani miaka yote ya uhai wako.
    Ewe mungu tulindie Rais wetu na mpe hekma nyingi.

  • @tanzaniaonfoot8641
    @tanzaniaonfoot8641 7 років тому +7

    Kwa miaba ya wamachinga wote napenda kusema kuwa tulimuomba Mungu atupe raisi atakaye tetea wanyongi, kweli Mungu katusikia na kujibu maombi yetu! Mungu akujalia maisha malefu yenye afya njema mheshimiwa Dr. J Pombe Magufuli.

    • @amirlove8036
      @amirlove8036 7 років тому +2

      asante RAIS wetu

    • @amirlove8036
      @amirlove8036 7 років тому +1

      RAIS magufur we we ni jembe tutetee baba hata bodaboda tunazinguliwa kinoma sana!

  • @kuhandajoshua8688
    @kuhandajoshua8688 7 років тому +12

    Hakika Mungu anapotaka kujibu maombi ya vilio vya wanadamu hapa duniani, huinua kiongozi aliye na moyo wa Mungu ambaye atawatumikia wanadamu ili kutimiza kusudi la Mungu katika taifa husika. WATANZANIA, TUMWOMBEE JPM...

  • @simonkiwise4454
    @simonkiwise4454 2 роки тому +10

    Mzee tutakukumbuka sana kama ulivyosema mwenyewe! R.i.p

  • @cleopatraayhankandal6041
    @cleopatraayhankandal6041 2 роки тому +5

    Lait mtu angekuwa anakufa na kurudi tena walah tz kingewaka

  • @alecsbiggz418
    @alecsbiggz418 7 років тому +4

    MR.President i salute you! you are more than a President well done good job and may God bless ,protect and guide you . we need more Magufulis in Africa to transform the Continent. the only african Head of state who really worry about the poor. Go on Mr.President the whole continent loves and apreciate what you are doing to the Country.

  • @kubyjuma4843
    @kubyjuma4843 2 роки тому +11

    Rest in internal peace my president of all time..........😭😭😭

  • @masterdaudi7683
    @masterdaudi7683 2 роки тому +4

    Huyu mama kaja tofauti nawewe daaaah pumzika kwa amani magufuli..

  • @universalcreativestudio8488
    @universalcreativestudio8488 7 років тому +5

    Heshima kwako!.. Mhe, Rais wetu JONH POMBE JOSEPH MAGUFULI...... Mwenyezi Mungu akulinde... kungekua na uwezekano wakugombea Urasi wa Dunia tunaamin ungepata..... hapa wasio kuelewa ni wazembe wa fikra!... (Viliza). na tunavyokufaham huwezi kukwamishwa na watu wa Design hiyo!.. tuko pamoja na wewe katika maombi!..

  • @josephhuberty8248
    @josephhuberty8248 7 років тому +14

    This is leadership we want ,proud of u son of Africa

  • @daudimariseli3627
    @daudimariseli3627 7 років тому +2

    asante mh rais Allah akupe nguvu na akupe maisha marefu na uongozi uliotukuka baba tupo nyuma yako tukikuombea uzid kutufurahisha baba yetu asante sana kwa maelekezo kwa viongozi wote.....mungu akubariki na mungu aibariki afrika

  • @fipa1823
    @fipa1823 2 роки тому +3

    Magufuli alikuwa one king of Tanzanian pamoja na Africa......

  • @shakirarashid9181
    @shakirarashid9181 7 років тому +10

    shikamoo rais wangu Ni Kweli watu tunakimbia nchi yetu kisa maisha magumu ila kwa ninavyo ona tutaludi na ss nchi kwetu tueshimiwe tumechoka kuitwa mashaghara duuuh Asante mungu kwa kumuleta magufuli

  • @mamacompyu5925
    @mamacompyu5925 7 років тому +5

    katika cku ulionifurahisha magufuli leo umenifurahisha Sana Shikmoh bba kweli wwe ni mtetezi WA wanyonge
    mungu akupe afya njema

  • @athewinersdone731
    @athewinersdone731 7 років тому +13

    Wewe ni rulu ya Tanzania pia Africa nimeipenda debate yako kweli you is my true President I'm loving you Mr President

  • @abduladhimually3542
    @abduladhimually3542 7 років тому +8

    Hongeera mh.......ila umeongea muda mrefu ila sijaona hata glasi ya maji

  • @elmediano8125
    @elmediano8125 2 роки тому +2

    Mungu azidi kukuifadhi my G daima tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭😭

  • @officialkinghezekiah2094
    @officialkinghezekiah2094 7 років тому +5

    sikukupa kuraa mkuu,,bt in the end i realize that yooo the great one,God Bless U

    • @fatumashabani5341
      @fatumashabani5341 4 роки тому

      Allah akupe maisha malef rais wetu hatuna cha kukurip ira Mungu atakurip

  • @kasimuwesu2620
    @kasimuwesu2620 2 роки тому +2

    John pombe lala kwa aman lakin hawa ulio waacha huku wamekueka het marehem hana hak ......

  • @reubenjackson7327
    @reubenjackson7327 7 років тому +3

    ua the best president in Africa,,, swala la wawekezaji hilo cc kama wananchi linatuuma sana,,, tunaomba ulifanyie kaz kwa sababu watanzania weng c wawekezaj na hata wakitafuta uwekezaj hawapew kulipaumbele kama wagen, jpm Fanya kaz!!

  • @HabibaHabiba-mi1ez
    @HabibaHabiba-mi1ez 7 років тому +9

    Nimeamin Kweli Sasa Tanzania Inakiongoz Mwenye Upendo Na Wananchi Wake Mungu Akubalik

    • @samwelhintay669
      @samwelhintay669 7 років тому +1

      kuepusha matamko ya kila uchao ni lazima mfuate sheria mlizotunga na pia mheshimiwa ingekuwa vizuri ukajenga taifa lenye dira ili hata wewe ukitoka ajaye ataifuata

    • @denistarange5580
      @denistarange5580 2 роки тому

      @@samwelhintay669 dah

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 3 роки тому +3

    Tutakukumbuka sana raisi wa wanyonge kipenzi cha mtetezi wa Tanzania

  • @goalsworldwide5583
    @goalsworldwide5583 7 років тому +4

    Magufuli oyeeeee Mungu akupe maisha marefu Mh.Rais

  • @joashnyabange8830
    @joashnyabange8830 7 років тому +8

    Rais, Rais, Rais, Rais, Rais, mh magufuli wewe ni kiongozi wa kuigwa kweli kweli tunakupenda sana baba yetu 2020 utapata 100% ya wapiga kura, ila Waziri wa elimu atufungulie mkopo na sisi wenye diploma tupate kuanzia mwakani!

  • @bigmaneliudy1906
    @bigmaneliudy1906 3 роки тому +6

    Baba tuta kukumbuka leo tume ambiwa tuondoke

  • @rashidijulius6511
    @rashidijulius6511 7 років тому +1

    Mungu akupe maisha mareefu na yenye furaha. na akuongezee utekelezaji mwingine wa mambo mengine. asante saana mh Rais JPM.

  • @ajeydevgan7108
    @ajeydevgan7108 7 років тому +3

    Nimemuelewa mkuu wa nchi yuko vizuri sana Mungu ambariki sana.

  • @paulmasansi1815
    @paulmasansi1815 2 роки тому +5

    Rest in the perfect Paradise Hon.JPM

  • @BennyChristian
    @BennyChristian 7 років тому +10

    huyu ndo raisi wallahi, hata hela ikipotea vipi mtaani huyu ndo anafaaa miaka 50 mbele

    • @simonlulenga2530
      @simonlulenga2530 6 років тому

      Asante mheshimiwa unauwezo mkubwa wa kufanya analysis na kumake decision mkubwa na Mungu akubariki Rais wetu.
      Na siai waendesha pikipiki kwa shughuli za kila Siku tumepigwa marufuku kuingia katikati ya jiji la Dar es salaam, mpaka kwa kibali na kibali ni sh. 170,000/= kwa mwaka! Mh. Rais kwanza ifahamike kwamba tunaendesha pikipiki badala ya magari kwa sababu ya kuwa na kipato chetu kidogo 170,000/= tunazitoa wapi? Na kwa mini pikipiki tu na siyo wamiliki wa magari nao waingie katkati ya jiji kwa vibali??? Huu ni ubaguzi ni ukaburu mkubwa sana. Tunaomba utuangalie na sisi.

  • @piusemma1
    @piusemma1 7 років тому +10

    This is a Credit. This man is powerful.

  • @boniphacemshigito2199
    @boniphacemshigito2199 7 років тому +6

    love this speach ,Mungu akupe hekima zaid

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 2 роки тому +6

    “Sisi ndiyo wenye serikali, siyo wao”, napenda sana kiongozi anayetambua mamlaka yake na kuyatumia vizuri, the big JPM!.

  • @babiornewton1008
    @babiornewton1008 7 років тому +4

    This guy speaks alot of sense,In Kenya Hwakers are being humiliated,tossed left and right.I wish we had this kind of president

  • @alimachiusaugustine1445
    @alimachiusaugustine1445 3 роки тому +3

    Sasa najiuliza maswali mengi kwanini urifariki mtetezi wa wanyonnge

  • @simplissamba1943
    @simplissamba1943 2 роки тому +2

    dah kwann mung alimchukua lkniiiiii😰😰😰😰😰😰😰😰😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @shadrackfidel809
    @shadrackfidel809 3 роки тому +7

    Once upon a time,
    Tanzania ilimpata kiongozi..

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 роки тому +2

    Rais yoyote yule mpime kwa yamtokayo mdomoni ( hotuba zisizo za kuandikiwa) maana mdomo huongea ya moyoni na dhamira. Kama matendo hayafanani na yamtokayo basi huyo wa namna yake

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 3 роки тому +4

    Apa lazima tuuu kila mtu atakukumbk wewe ndo ulitambua shida za wananchi Ila Sasaiv washabomolewa Pumzika kwa Amani JPM

  • @mabugabm7708
    @mabugabm7708 2 роки тому +2

    Maisha yanaenda kasi saana jamani aise, duh...?!!! Watetezi wa jana, leo wamegeuka kuwa watesaji tena...!!!

  • @johanesbina1302
    @johanesbina1302 2 роки тому +3

    Samia anavyochangia kama MTU vilee😂😂😂😂😂😂 duuh haya maisha si powa

  • @dauditumaini7658
    @dauditumaini7658 2 роки тому +2

    Yaani huyu mama samia duh amekuwa kipengele kwa swala la wamachinga yaani mpaka imekuwa kero haoni kama analeta balaa ndani ya inchi na uhongozi wake wanamshauri vibaya sana anasaahu kwamba anaelekea uchaguzi nani atampigia kura hajuwi kama wanaomshauri hivyo wanataka aribikiwe sivi ili asipate kura za wananchi atalikumbuka hili akikosa kura

  • @izeman7633
    @izeman7633 7 років тому +3

    haijawahi kutokea maamuzi km hayo
    upo sawa kabisa
    u re the right president

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 роки тому +2

    Kwa Sasa Hali sio shwali

  • @shabankodi6181
    @shabankodi6181 3 роки тому +2

    Wamachinga twafukuzwa kariakoo kweli baba magufuli ulisema tutakukumbuka, ikowap kaul yako viongoz hawaizngatii wanatupeleka wap

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 3 роки тому +1

      Nani kawafukuza?

    • @gabrielsaelie8091
      @gabrielsaelie8091 3 роки тому +1

      Magufuli alitujaza ujinga KWA kutuaminisha kuwa maisha ni rahisi kumbe sio ukweli. Vijana wanatakiwa wajengewe uwezo na ujuzi wa kufanya mambo muhimu zaidi na siyo kuendekeza umachinga.

  • @saadamusa8901
    @saadamusa8901 2 роки тому +1

    Jaman kweli asiye badirika ni mungu pekeyake

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 2 роки тому +4

    Tutakukumbuka sana mzee wetu.

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 роки тому +3

    Muone hapa mama Samia kimya kama malaika. Yote ya Magufuli akayabwaga. Watanzania sasa wanateseka. Baba Magufuli tunakukumbuka sana. Huyu mama ni balaa. Hapo alikuwa akitumia tu unafiki mkubwa kawaonyesha Watanzania. KAWADANGANYA WATANZANIA. 2025BAKICHAGULIWA TENA CCM ITAKUWA INWAKOSEA SANA WATANZANIA. SHE IS UNFIT TO GOVERN THIS COUNTRY.

  • @estareliya5818
    @estareliya5818 2 роки тому +4

    Lala salama baba

  • @ashaissakambona8560
    @ashaissakambona8560 7 років тому +3

    Asante bb ww.ndie Rais wasaidie wamachiga.hao.wafukuze watendaji zako wa kz.ivi amuwaonei.uluma jamani.wanavoagaika wanawadhalilisha.sana

  • @expensivecrew3159
    @expensivecrew3159 2 роки тому +3

    Pumzika kwa amani baba etu

  • @emmanuelrugambwa588
    @emmanuelrugambwa588 4 роки тому +1

    Mungu ibariki Tanzania na Rais Magufuli. From Rwanda

    • @musamgutu7760
      @musamgutu7760 4 роки тому

      Alafu eti nikapigie kura upinzani subutuu apa jpm tuuu

  • @sunny_banksfx
    @sunny_banksfx 2 роки тому +5

    Wangapi tumekuja hapa Leo baada ya miaka minne? Rest in peace #JPM

  • @sleymansleyman9511
    @sleymansleyman9511 2 роки тому +2

    Bi mkubwa alikuwa anasikiliza kwamakin namaneno flan anachomekea kiaina Leo kasahau yote kakubali kuingia kwenye 18 za watoto wamjin majibu yayapatikana 2025 yangu macho.

  • @issaasumani5182
    @issaasumani5182 2 роки тому +1

    Baba president Johnny 🙏🙏🌲🌲🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🌙🌙🤲🤲🤲💐💐💐💐💐🌲🌲🌳🌲🛤️🛤️⛪🕍🗽📿🕯️🕯️🕯️🕯️🛏️🏞️🏞️🙏 Tanzania president Johnny 🙏 baba president

  • @barutwatv8308
    @barutwatv8308 3 роки тому +3

    Baba saiz amesha sahau ushaul ako mtokee BC ata kwa ndoto mkumbushe

  • @marselojr9884
    @marselojr9884 2 роки тому +2

    Remembered!

  • @fabiandaud8717
    @fabiandaud8717 2 роки тому +3

    Baba tunazidi kukukumbuka tunatamani Tena uludi ndunia uone kinacho endelea baba magufuli

  • @ayubusaidi922
    @ayubusaidi922 2 роки тому +1

    Mungu munamuomba baba da angekuludisha jamani au mungu anupe mbadara wako wengine hapo hajasikia

  • @abdallahmagera9160
    @abdallahmagera9160 5 років тому

    MUNGU nimipango yako atukujua kama tutampata mtanzania mwenye kuwapenda watu wake tunakuomba MUNGU wetu mtie nguvu na afya njema Amina

  • @neemajoseph6596
    @neemajoseph6596 2 роки тому

    Vizuri Avindum dah tutakuku mbuka daima bab pumzika kwa Amahn mungu Awenawe

  • @alfinmbilinyi1326
    @alfinmbilinyi1326 2 роки тому +2

    Yeah!huyo ndiyo JPM hasara kubwa ya Tanzania kumpoteza duu tutakukumbuka daima.

  • @buddahpest4686
    @buddahpest4686 2 роки тому +2

    Chuma kama Chuma kime pumzka ila Mungu Mwema atakatika moto tuta ishi

  • @pastorychokala2795
    @pastorychokala2795 7 років тому +2

    ivi anaemsema vibaya huyu rais anaakili au tope? mungu akubariki sana rais wa nchi yangu.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 2 роки тому +3

    Hii hotuba ni kitabu cha sulihisho la umachinga RIP Dk JPM . Hotuba zako ni ushaidi. Upendeke, usipendeke , uenziwe, usienziwe hotuba zako zitabaki kuwa ushaidi.

  • @thobiasboniface338
    @thobiasboniface338 7 років тому +3

    ahsante rais wetu kwa kaz nzur

  • @shakurfakii5458
    @shakurfakii5458 2 роки тому +2

    Alaf kumbe na mam alkuwa pemben akiitikia dah😂😂nlisahau

  • @alfredymakuru8333
    @alfredymakuru8333 2 роки тому +2

    Pumzika kwa amen baba...taifa linakukumbuka kwa memaa yako

  • @renatussima5274
    @renatussima5274 2 роки тому +2

    Sasa Yako wapi haya, mbona ka hakuwepo, iv mda wa kupitia kauli za Magufuli anao aundo basi tena. Ee Mpe pumziko la amani..

  • @hudumayakufunguliwanakuwek1366
    @hudumayakufunguliwanakuwek1366 2 роки тому +1

    NO WAY ICAN FORGET YOU DAD UR KIND LIKE

  • @veronicasweets4360
    @veronicasweets4360 7 років тому +2

    Eee Mungu mbariki huyu baba. Mjalie maisha marefu

  • @estherdaudi8204
    @estherdaudi8204 2 роки тому +3

    Tunakukumbuka baba duh kwel inauma kwa yanayotokea sahv baba ulikuwa unamwambia ndo uyo

  • @daudimakaya9240
    @daudimakaya9240 7 років тому +7

    kuna watu wanajuashida za watanzania kama huyu raisi wetu magufur ndo maana nakukubal

    • @mubarikmohammed557
      @mubarikmohammed557 4 роки тому

      I'm Ghanaian I love this man he did a great job May almighty ALLAH let him win again because he can fight for Africans,rest of the African presidents should look at him and change,all African leader should stop taking loans from china Africa is rich

  • @jacksonkagwala9144
    @jacksonkagwala9144 7 років тому +4

    mungu akuongoze uzidi kuwatetea wanyonge

  • @igobekomagessa4430
    @igobekomagessa4430 7 років тому +1

    Mungu wetu tunakushukuru kutupa Rais ambaye kwakweli hatukujua wala hatukutarajia ni kwa upendo wako kwetu mlinde Rais wetu na endelea kumpa ujasiri na maelekezo yatokayo kwako ili kusudi lako litimie Tanzania na kwawatanzania Amen!!!!

  • @philbertmgaza5434
    @philbertmgaza5434 2 роки тому +3

    Mjomba tunakukumbuka na ulisema tutakukumbuka siku moja sasa yametimia RIP MJOMBA

  • @manenomohamed592
    @manenomohamed592 7 років тому +2

    asante ww ndiye rais wa kwel safi sana nimependa.

  • @anathaliamwangamila3296
    @anathaliamwangamila3296 2 роки тому +1

    Hakuna raisi Bora kama wewe. RIP daima unaishi katika mioyo ya wanyonge wengi