MAMA YANGU CHIZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 чер 2023
  • #Bhailam#Khairat#Mbwela#Naomy#comedyplus#2023#
    Unaipenda Filamu zetu na ungependa kutusapoti kwa chochote! Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kupitia M-PESA +255758515863. hii itatusaidia sana kupata nguvu ya kufanya filamu nyingine.
    Tunashukuru kwa mchango wako.
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
  • Фільми й анімація

КОМЕНТАРІ • 205

  • @zacheestevenofficial
    @zacheestevenofficial Рік тому +42

    Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 Рік тому +18

    Khairat ni kabint karembo Sana MA Shaa Allah mwenye zimungu ampe Maisha marefu na yenye baraka tele katika kazi zetu

  • @nsengumuremyisylvester4950
    @nsengumuremyisylvester4950 Рік тому +7

    Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏

  • @user-je3ly9bp7n
    @user-je3ly9bp7n Рік тому +7

    Kazi nzuri,hongereni sana! Uncle,mbinu ya kuonesha uhalisia itawasaidia wengi kutatua tatizo kuliko maneno na adhabu nyingi.Big up,nimeipenda hiyo.

  • @gershonsimiyu6309
    @gershonsimiyu6309 Рік тому +7

    Kazi nzuri sana hii
    Asante kwa mafunzo .
    Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira
    More love from +254 MNabishaaa!

  • @antoniamtega495
    @antoniamtega495 Рік тому +24

    Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.

  • @user-cq8sc9es1y
    @user-cq8sc9es1y Рік тому +5

    Mbwela kijana mwenye busara sana, kongole kakangu

  • @aflahabdula4084
    @aflahabdula4084 Рік тому +6

    Imeniliza nimekumbuka mbali hizi ndizo moves ❤❤

  • @SelinPauletha
    @SelinPauletha Рік тому +3

    Mbwela kazi nzuri unayo fanya maan kila movie unayo toa lazm uwe unatoa funzo kwa jamii

  • @user-zr7cj9tx4i
    @user-zr7cj9tx4i Рік тому +4

    Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika

  • @emiy-rn7sn
    @emiy-rn7sn Рік тому +1

    Khayrat nakupenda buree habbty❤❤💓💞 yani uko vizur 👌👌

  • @georgeikizu
    @georgeikizu Рік тому +7

    Mpo vizuri❤ mbarikiwe

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Рік тому +5

    Khairat nakupenda bure🥰🤣🤣🤣

  • @buharionlinetv804
    @buharionlinetv804 Рік тому +10

    This clip is awesome, touch my inner part of my heart

  • @user-eh2jz8rw3o
    @user-eh2jz8rw3o Рік тому +3

    Uwa napenda sna maneno ya mafunzo ya mbla nawapenda sna team nzima❤❤❤

  • @biba2552
    @biba2552 Рік тому +5

    Kaz nzuri sana,ila daaaah imenitoa machozi sanaaa ak,,😢😢

  • @chibdeeboy
    @chibdeeboy Рік тому +3

    Mm nimependa anavyo tamka upumbavuu

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Рік тому +7

    Anakuja kwa kasi kama na wengine mmeona like zenu tafadhali

  • @peshmoraa403
    @peshmoraa403 Рік тому +2

    From tiktok much love from 🇰🇪

  • @Anithabeniaa
    @Anithabeniaa Рік тому +5

    Kazi nzuri sana hongeren

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Рік тому +8

    Huyu mtoto airat anakuja kwa kasu

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Рік тому +2

    We mtoto n 🔥🔥🔥🔥🔥 unaweza adi basi unaweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-qc8pk8xv6y
    @user-qc8pk8xv6y Рік тому +3

    😢nime lia mm😢 ... Wallahi mbwela I ❤ U ....yusra kutoka MSA ... mbwela I love ur Movies 😊 ...one ❤ brov😊

  • @budodimaganga8960
    @budodimaganga8960 Рік тому +2

    Nimejifunza kitu kikubwa sana hongeren kwa kaz nzuri

  • @emmanuelgongoro1014
    @emmanuelgongoro1014 Рік тому +1

    Amazing story ❤️ ♥️ 😍 👏 💕 💖 ❤️ ♥️ 😍 👏 💕

  • @bishararashid
    @bishararashid Рік тому +2

    Khayrat...una kitu ....
    Utafika mbali.lkn uvae ushungi

  • @issaskighanga3199
    @issaskighanga3199 Рік тому +4

    Yaani mungu akubariki na akuongezee zaidi sababu video zako zina elimu tunajifunza kutoka kwako bro Unajuwa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @joelkasasa3894
    @joelkasasa3894 Рік тому +4

    Nimeipenda sanaaaaaa mkojuuuuuuuuuu

  • @alisaida4080
    @alisaida4080 Рік тому +3

    Nimeipenda inafunza vizuri Sana... Mungu awazidishie🙏🇰🇪

  • @kattouftelecom5119
    @kattouftelecom5119 Рік тому +5

    Funzo nzuri sana kw jamii.... mashallah 🥰🥰 mumeweza

  • @dembabakalimsosa-vd7is
    @dembabakalimsosa-vd7is Рік тому +2

    Munaelimisha😢munafunga😢pia Asante😢 kwa kutuletea kaz mzuli kama iz👏😂

  • @saidindizeye2206
    @saidindizeye2206 Рік тому +2

    dah khairat nooomaaa hhhh

  • @Mr_moneyu
    @Mr_moneyu Рік тому +1

    nikweli Kabisa good job and comedy and tanzania

  • @edinafaustinez8514
    @edinafaustinez8514 Рік тому +2

    Nimependa sana inatufundisha sana mabinti zetu

  • @beatricedavid3560
    @beatricedavid3560 Рік тому +2

    Chukueni maua yenu🌻🌹🌺🌸

  • @lindauma982
    @lindauma982 Рік тому +10

    Kazi nzuri inamafunzo mazuri jamani 😢

  • @sephaniatimoth4353
    @sephaniatimoth4353 Рік тому +6

    Respect Sana kazi nzuri Sana ❤️❤️

  • @jeandamascene3533
    @jeandamascene3533 Рік тому +4

    Woooow you make me cry 😢😢 respect for all members

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Рік тому +2

    Nampenda huyu kaka san t😊

  • @salmasalam3268
    @salmasalam3268 Рік тому +3

    Airathi mzur bwan😅

  • @user-yu4pf9qt3c
    @user-yu4pf9qt3c Рік тому +2

    Kudos! Nice work,to be continued...waiting next

  • @wardawardaarshad
    @wardawardaarshad Рік тому +2

    Munafunza nzuri mashallah

  • @mobalackmansa4317
    @mobalackmansa4317 Рік тому +1

    Daaaah nimependa kbx movie nzuri saaan

  • @maryd1538
    @maryd1538 Рік тому +1

    Much love from kenya❤❤hongeren kwa kaz nzur

  • @mariamhamisi598
    @mariamhamisi598 Рік тому +1

    Hongereni kwa kz nzr mashaallah ❤

  • @ramajuma-hz9rc
    @ramajuma-hz9rc Рік тому +1

    Ongeren sana nimejikuta namwaga chozi😢 Kwa kipande anko anamtbulisha moto mama inasikitisha San ongereni

  • @LizikiHassani-vr2tv
    @LizikiHassani-vr2tv Рік тому +1

    Nilikuwa sijamuon vizul chizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki yamung lecho 😁😁😁😁

  • @fredricklucian7155
    @fredricklucian7155 Рік тому +1

    Good job guy's ❤❤❤❤❤❤

  • @Fm-MornStar2014
    @Fm-MornStar2014 Рік тому +10

    I almost cried when she met her mother for the first time! 😢😰 😭

  • @user-dg9jd2id7q
    @user-dg9jd2id7q Рік тому +2

    Kazi nzuri sana❤❤🇰🇪

  • @DainessBaraka
    @DainessBaraka Рік тому +2

    Inafunza nimeipenda

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa 10 місяців тому

    Huyo mtoto amenitoa machozi kiukweli anajua kucheza na matukio nimempenda sana

  • @KirivoloKakule-hu7ge
    @KirivoloKakule-hu7ge Рік тому +2

    Hii funzo kubwa kweli nime ikubali

  • @josephmaunde121
    @josephmaunde121 Рік тому +1

    Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa

  • @neemaalphoince1209
    @neemaalphoince1209 Рік тому +4

    Ila jaman cjawai ona chiz anajua harufu ya ganja 🤣🤣🤣🤣

  • @richardokongo5701
    @richardokongo5701 Рік тому +1

    Wow very good actors

  • @joelkasasa3894
    @joelkasasa3894 Рік тому +3

    Dada na aillat mko vizur sanaaaa

  • @mwanalimasaid2368
    @mwanalimasaid2368 Рік тому +1

    Nyiee mbwela Ako vizur❤❤much love mkaka🥰🥰

  • @husnaabdullah3009
    @husnaabdullah3009 Рік тому +3

    ❤❤❤Kaz kaz

  • @Kassimkeey
    @Kassimkeey Рік тому +3

    Kazi nzuri ❤❤❤

  • @abubakarkhamishaji2849
    @abubakarkhamishaji2849 Рік тому +4

    Ndo mara yangu ya kwanza kulia kuangalia clip 😢😢

  • @absoirahmed5302
    @absoirahmed5302 Рік тому +8

    This is really the best comedy plus video I've ever seen! Congratulations, Great job homies.

    • @Anjelakiyani-vv1qj
      @Anjelakiyani-vv1qj 10 місяців тому +1

      Poleni sana jamani atana mm likuwa namzazi kamauyo

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 Рік тому +2

    Funzo zuri nimeipenda❤❤

  • @bashirumkopi2638
    @bashirumkopi2638 Рік тому +3

    Nmeipenda sana hii 💛💛💛

  • @AidanBoaz
    @AidanBoaz Рік тому +1

    Kazi nzuri sana❤❤ hongereni sana

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Рік тому +1

    Lecho uyo chizi🤣🤣mama kijasho🤣🤣🤣

  • @user-jm7sl5fw9x
    @user-jm7sl5fw9x Рік тому +3

    Much love from kenya keep rocking

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Рік тому +2

    Nawapenda ❤kwa mafundisho yenu

  • @PatriceNybare
    @PatriceNybare Рік тому +1

    Haya hizo hapo ❤❤❤

  • @patrobamasige1809
    @patrobamasige1809 Рік тому +2

    Tunaomba muendelezo kujua zaidi

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 Рік тому +2

    Safi sana

  • @shadrackmasagi9608
    @shadrackmasagi9608 Рік тому +4

    Mimi HUWA nimgumu SANA kutoa machozi nimesha ANGALIA comedy na picha nyingi SANA,lakini NIMEJIKUTA KWA MARA YA KWANZA nalia kweli kweli,ukweli HII comedy inafundisha,leo nitawawekea wanangu waangalie hizi ndio comedy Bora zinaazo fundisha SIO KILA siku makomedy YA mapenzi

    • @zubedahamis2346
      @zubedahamis2346 Рік тому +1

      Yaani hata mi nimelia kwa kweli hii😢😢

    • @azizamwinyi4380
      @azizamwinyi4380 Рік тому

      nimejikuta nalia nilivyo tizama hii imenikumbusha kitu😂😂😂❤

  • @johnkamira2236
    @johnkamira2236 Рік тому +3

    Man this very deep and educative.😭😭

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 8 місяців тому

    Nimeshindwa kuzuia machozi yangu wallah yaa Rab waponye wagonjwa wote wanaopitia kama haya

  • @user-hn6yw3ej6t
    @user-hn6yw3ej6t Рік тому +1

    Kazi nzuri kaka angu😭😭

  • @zacheestevenofficial
    @zacheestevenofficial Рік тому +3

    hata nimeshituka nalia kwa chozi kubwa mno😭😭

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Рік тому +2

    Nimelia😭😭

  • @joharimusa4614
    @joharimusa4614 Рік тому +3

    Very touching story 😢😢😢😢

  • @magnibrondi3152
    @magnibrondi3152 Рік тому +2

    Mbwela na bailam nawakubali sana

  • @user-dg9jd2id7q
    @user-dg9jd2id7q Рік тому +2

    Kazi nzuri❤❤❤🇰🇪🇰🇪

  • @zenachottah8218
    @zenachottah8218 Рік тому +2

    Mbwela baby NAKUPENDA 💕💕💃

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 8 місяців тому

    Nampenda naomi. Anajitahidi kujistiri

  • @luckyshumeofficial
    @luckyshumeofficial Рік тому +6

    Npo Kenya napambana,,,,siku nkifanikiwa hta nyie comedy plus crew ntawakumbuka....tuombe mungu

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 Рік тому +2

    Imejifunza kitu hapa kamanawewe umejifunza niachie lik 👇

  • @paroryqueen3897
    @paroryqueen3897 Рік тому +23

    Jmn naomben like zangu♥️♥️

  • @metrineokola7730
    @metrineokola7730 Рік тому +2

    Ashante sana hii no funzo

  • @RonaldoSUI352
    @RonaldoSUI352 Рік тому +1

    Mbona part 3 amtoi ?na 4please ni nzuri sana

  • @user-eh1qu8zc6c
    @user-eh1qu8zc6c 10 місяців тому

    Mashaallah mbwela busara kakaangu umeweza 😢❤❤keep it up bro

  • @Mamiseti7
    @Mamiseti7 Рік тому +3

    You just gained a new subscriber i love your content ❤

  • @ramadhanmdaki2677
    @ramadhanmdaki2677 11 місяців тому

    Khairat ni mzur sana jmn mashaallah

  • @derek-madreeksentlove6014
    @derek-madreeksentlove6014 Рік тому +3

    Good lesson

  • @zubedahamis2346
    @zubedahamis2346 Рік тому +2

    Imeniliza hiii jamani😢😢😢

  • @NetrickOkoko
    @NetrickOkoko Рік тому +1

    Safi sana nmeikubali😍😍

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Рік тому +5

    Uyo mtoto nampenda

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 Рік тому +1

    Nice next please 😘😘😘

  • @Bintluckas3918
    @Bintluckas3918 Рік тому +1

    Nice 👍

  • @radjabuharerimana2538
    @radjabuharerimana2538 Рік тому +2

    Nawakubali

  • @mussamlowe9272
    @mussamlowe9272 Рік тому +6

    Haka katoto nimekapenda bure💛💛

  • @selmesaid7405
    @selmesaid7405 Рік тому +1

    Uyu ndo baba ake mazazi uyu bint😂

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Рік тому +2

    Watt jmn