MAMA YANGU CHIZI
Вставка
- Опубліковано 19 чер 2023
- #Bhailam#Khairat#Mbwela#Naomy#comedyplus#2023#
Unaipenda Filamu zetu na ungependa kutusapoti kwa chochote! Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kupitia M-PESA +255758515863. hii itatusaidia sana kupata nguvu ya kufanya filamu nyingine.
Tunashukuru kwa mchango wako.
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel! - Фільми й анімація
Imenigusa muyoni mwangu😭, maisha ya huu mtoto yanafanana na ya kwangu wakati nilikuwa mdogo sana😭😭😭, ni funzo kwa binadamu wengine, kwa bahati nzuri mama yangu kapona , na pia nimemaliza shule, like kwenu❤️❤️❤️
❤❤❤💪
Nimelia sana😢
Khairat ni kabint karembo Sana MA Shaa Allah mwenye zimungu ampe Maisha marefu na yenye baraka tele katika kazi zetu
Ametoka kupiga kitu chaalush
Mambo
@@deoselcom9701 pw
Ivi wewe MBWELA una elimu gani???laaaah sina cha kusema zaidi ya kusema ahsant sana kwa jinsi unavyo tuelimisha!!!nazipenda filamu zako kwa sababu zi na elimu tosha!!!mbwela brother from an other mother big up sana na MUNGU akuzidishie mibalaka🤝🤝👏
Kazi nzuri,hongereni sana! Uncle,mbinu ya kuonesha uhalisia itawasaidia wengi kutatua tatizo kuliko maneno na adhabu nyingi.Big up,nimeipenda hiyo.
Kazi nzuri sana hii
Asante kwa mafunzo .
Ulimwengu wa sasa huu na hiki kizazi kichanga cha hitaji sana usaidizi kimafikira
More love from +254 MNabishaaa!
Mmenikumbusha mama angu jamani,nimelia upya ila nacho amini mgonjwa yoyote wa akili hamsahau mwanae,chakushukuru sikuwahi kuumwa chochote licha ya kula chakula kilichoharibika R.I.P mama.
Pole @antoniamtega495
Pole sana anton
Mbwela kijana mwenye busara sana, kongole kakangu
Imeniliza nimekumbuka mbali hizi ndizo moves ❤❤
Mbwela kazi nzuri unayo fanya maan kila movie unayo toa lazm uwe unatoa funzo kwa jamii
Dahhh mungu amlaze mahali pema peponi mama yangu hakika ni safar ya wote😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 dah Yani NAKUPENDA Sana mama angu japo sikuoni najuwa ni haadi yako ilishafika
Unamanisha nini
Khayrat nakupenda buree habbty❤❤💓💞 yani uko vizur 👌👌
Mpo vizuri❤ mbarikiwe
Khairat nakupenda bure🥰🤣🤣🤣
This clip is awesome, touch my inner part of my heart
Uwa napenda sna maneno ya mafunzo ya mbla nawapenda sna team nzima❤❤❤
Kaz nzuri sana,ila daaaah imenitoa machozi sanaaa ak,,😢😢
Mm nimependa anavyo tamka upumbavuu
Anakuja kwa kasi kama na wengine mmeona like zenu tafadhali
From tiktok much love from 🇰🇪
Kazi nzuri sana hongeren
Huyu mtoto airat anakuja kwa kasu
Sanaaaa😘
We mtoto n 🔥🔥🔥🔥🔥 unaweza adi basi unaweza 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
😢nime lia mm😢 ... Wallahi mbwela I ❤ U ....yusra kutoka MSA ... mbwela I love ur Movies 😊 ...one ❤ brov😊
🙏🙏🙏
Nimejifunza kitu kikubwa sana hongeren kwa kaz nzuri
Amazing story ❤️ ♥️ 😍 👏 💕 💖 ❤️ ♥️ 😍 👏 💕
Khayrat...una kitu ....
Utafika mbali.lkn uvae ushungi
Yaani mungu akubariki na akuongezee zaidi sababu video zako zina elimu tunajifunza kutoka kwako bro Unajuwa 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Nimejfunza k2 broo nimependa iyo
Nimeipenda sanaaaaaa mkojuuuuuuuuuu
Nimeipenda inafunza vizuri Sana... Mungu awazidishie🙏🇰🇪
Funzo nzuri sana kw jamii.... mashallah 🥰🥰 mumeweza
Munaelimisha😢munafunga😢pia Asante😢 kwa kutuletea kaz mzuli kama iz👏😂
dah khairat nooomaaa hhhh
nikweli Kabisa good job and comedy and tanzania
Nimependa sana inatufundisha sana mabinti zetu
Chukueni maua yenu🌻🌹🌺🌸
Kazi nzuri inamafunzo mazuri jamani 😢
Respect Sana kazi nzuri Sana ❤️❤️
Woooow you make me cry 😢😢 respect for all members
Nampenda huyu kaka san t😊
Airathi mzur bwan😅
Kudos! Nice work,to be continued...waiting next
Munafunza nzuri mashallah
Daaaah nimependa kbx movie nzuri saaan
Much love from kenya❤❤hongeren kwa kaz nzur
Hongereni kwa kz nzr mashaallah ❤
Ongeren sana nimejikuta namwaga chozi😢 Kwa kipande anko anamtbulisha moto mama inasikitisha San ongereni
Nilikuwa sijamuon vizul chizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 haki yamung lecho 😁😁😁😁
😂😂😂
Good job guy's ❤❤❤❤❤❤
I almost cried when she met her mother for the first time! 😢😰 😭
Mambo
Kazi nzuri sana❤❤🇰🇪
Inafunza nimeipenda
Huyo mtoto amenitoa machozi kiukweli anajua kucheza na matukio nimempenda sana
Hii funzo kubwa kweli nime ikubali
Aisee bonge moja la contet na imekuwa more delivering mko vizuri huyo anko wa mwisho ni master sana wa short movies anajua had anakera alinifurahisha alipompa mimba dadayake bailam then akampga chini kulipa kisasi end of day anamwambia achague mawil aise ni fund in short wanajua sana hawa jamaa
Ila jaman cjawai ona chiz anajua harufu ya ganja 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 Nami nilicheka sana🤣🤣🤣🤣🤣
Chizi alokuwa teja dunga mawe
Wow very good actors
Dada na aillat mko vizur sanaaaa
Nyiee mbwela Ako vizur❤❤much love mkaka🥰🥰
🙏🙏
❤❤❤Kaz kaz
Kazi nzuri ❤❤❤
Ndo mara yangu ya kwanza kulia kuangalia clip 😢😢
This is really the best comedy plus video I've ever seen! Congratulations, Great job homies.
Poleni sana jamani atana mm likuwa namzazi kamauyo
Funzo zuri nimeipenda❤❤
Nmeipenda sana hii 💛💛💛
Kazi nzuri sana❤❤ hongereni sana
Lecho uyo chizi🤣🤣mama kijasho🤣🤣🤣
😂😂😂
Much love from kenya keep rocking
Nawapenda ❤kwa mafundisho yenu
Haya hizo hapo ❤❤❤
Tunaomba muendelezo kujua zaidi
Safi sana
Mimi HUWA nimgumu SANA kutoa machozi nimesha ANGALIA comedy na picha nyingi SANA,lakini NIMEJIKUTA KWA MARA YA KWANZA nalia kweli kweli,ukweli HII comedy inafundisha,leo nitawawekea wanangu waangalie hizi ndio comedy Bora zinaazo fundisha SIO KILA siku makomedy YA mapenzi
Yaani hata mi nimelia kwa kweli hii😢😢
nimejikuta nalia nilivyo tizama hii imenikumbusha kitu😂😂😂❤
Man this very deep and educative.😭😭
Nimeshindwa kuzuia machozi yangu wallah yaa Rab waponye wagonjwa wote wanaopitia kama haya
Kazi nzuri kaka angu😭😭
hata nimeshituka nalia kwa chozi kubwa mno😭😭
Nimelia😭😭
Very touching story 😢😢😢😢
Mbwela na bailam nawakubali sana
Kazi nzuri❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Mbwela baby NAKUPENDA 💕💕💃
😂😂Ahsnte nakupenda pia
Sa mbona umeanza kucheka afu ndo Ahsnte jomon 😔😟
Hamna nimefurah kuona hisia tamu zikitamkwa
Aya pouw my
Nampenda naomi. Anajitahidi kujistiri
Npo Kenya napambana,,,,siku nkifanikiwa hta nyie comedy plus crew ntawakumbuka....tuombe mungu
Amin inshaallah
Imejifunza kitu hapa kamanawewe umejifunza niachie lik 👇
Jmn naomben like zangu♥️♥️
Like kwa kazi gani???
Ziko wapi
Ahsante uncle m2 kwa kutumia busara kumwelimisha mtoto by pL
Naon
Pp
Ashante sana hii no funzo
Mbona part 3 amtoi ?na 4please ni nzuri sana
Mashaallah mbwela busara kakaangu umeweza 😢❤❤keep it up bro
You just gained a new subscriber i love your content ❤
Khairat ni mzur sana jmn mashaallah
Good lesson
Imeniliza hiii jamani😢😢😢
Safi sana nmeikubali😍😍
Uyo mtoto nampenda
Nice next please 😘😘😘
Nice 👍
Nawakubali
Haka katoto nimekapenda bure💛💛
Uyu ndo baba ake mazazi uyu bint😂
Watt jmn