Yesu moyoni wanini wakati Unasema Yesu siyo Mungu? Thamani ya Yesu kwako ni ndogo sana kwa mahubiri yako wenyewe sasa tena oooh Yesu moyoni anafanya nini wakati thamani yake kwako ni ndogo ?
Ikawa kila mtu atakuwa na Imani yake basi Kila Mtu ana Mungu wake,Ila kama Mungu ni Moja Inatupasa tuwe na Imani moja Efeso 4:4 Tena Imani Enyewe ije Kwakusikia Neno La Kristo Warumi 10:16-17,Kinyume cha hivo hiyo Siyo Imani Bali ni Mapokeo,Mathayo 15:8-9,Tena ni Ibada yakujitungia,Wakolosai 2:23).
Magari kadha ya bei ghari, na kuishi mtaa wa Wazungu tu. Huyo ni mtumishi wa Yesu yupi?Serikali inapaswa kuwatetea Watanzania mbumbumbu ambao wanatapeliwa fedha zao kwa kisingizio cha dini.Kuna haja ya kusajili na pengine kufungia baadhi ya madhehebu.
Mkipata hela sapotini makanisa madogo sasa hayo magari utaenda nayo wapi zaidi ua mbeya na hapo Dar? Mna hela lakini hamuangalii wachungaji wenye shisa.
Mmeibia waumini pesa zao kwa ajili ya kujinufaisha ninyi wenyewe na kuwaacha waumini wakiwa katika hali.ya ki umaskin hakika Ni Laana kubwa mtaenda kujibu Nini mbele za MUNGU.
Mchungaji wacha uwongo hizo maliza za wafuasi wanatowa sadaka ww unaishi maisha kifahari.. hapo hamna gari alilokupa yesu wala mungu ila sadaka ya wasio jielewa kamwe..
Binafsi acha aongee ukweli mchungaji wangu ..ana yesu moyoni na hajanunua na Hela za wahuni..mungu anampa sii sadaka mtegemee mungu utakula mema ya nchi🏃🏃🏃
Huyu hana Yesu maana kwa mungu hanakuna pesa wala magari. Yesu alisema ukitaka kumfuata uza vyote na uwagawie masikini ndipo umfuate. Kumtaja yesu isiwe kisingizio.
Kwani hizo sadaka mnazozisema huwa anachukua yeye mifukoni mwenu? Na hakuna ibada ambayo haikamilishwi na sadaka. Huo ni utaratibu. Na sadaka kama ni za Mchungaji kwanini apangiwe matumizi? Hebu kaeni kwa kutulia.
Ubarikiwe Sana mch Mimi mafundisho yako nayafanyia kazi kila Leo na namuona Mungu akitenda mengi ktk maisha yangu 🙏🙏
Yesu moyoni wanini wakati Unasema Yesu siyo Mungu?
Thamani ya Yesu kwako ni ndogo sana kwa mahubiri yako wenyewe sasa tena oooh Yesu moyoni anafanya nini wakati thamani yake kwako ni ndogo ?
Ikawa kila mtu atakuwa na Imani yake basi Kila Mtu ana Mungu wake,Ila kama Mungu ni Moja Inatupasa tuwe na Imani moja Efeso 4:4 Tena Imani Enyewe ije Kwakusikia Neno La Kristo Warumi 10:16-17,Kinyume cha hivo hiyo Siyo Imani Bali ni Mapokeo,Mathayo 15:8-9,Tena ni Ibada yakujitungia,Wakolosai 2:23).
Kwa I hujui hata shetani anaabudiwa kama mungu? Ndio hivyo hapa dunia I Kuna miungu na Kuna Mungu.
Amin mtumishi wa Mungu
Watashindana lakini hawatashinda Kwa jina la yesu.utaishi milele baba ..
Mnakula pesa za watumishi waumini walala njaa
barikiwa mtumishi
Ferroz nani
Amina 🙏🏿👍 umenena vyema.
Magari kadha ya bei ghari, na kuishi mtaa wa Wazungu tu. Huyo ni mtumishi wa Yesu yupi?Serikali inapaswa kuwatetea Watanzania mbumbumbu ambao wanatapeliwa fedha zao kwa kisingizio cha dini.Kuna haja ya kusajili na pengine kufungia baadhi ya madhehebu.
YESU wambinguni akubaliki saana umeongea jambo la kweli nahuzini kabisa Mungu akubaliki saana 🙏🙏🙏
Wacha wapigwe wapige baba nunua na kandege kabisa magari makali unayo gonga vitu
Japo linawapiga lakini linamaneno mazuri hili zee linaweza likatoa neno wale watoaji wake wakaanza kulialia
Ungekataa kama haya a maana, uhudumie wahitaji wapo wengi
Mkipata hela sapotini makanisa madogo sasa hayo magari utaenda nayo wapi zaidi ua mbeya na hapo Dar? Mna hela lakini hamuangalii wachungaji wenye shisa.
Mmeibia waumini pesa zao kwa ajili ya kujinufaisha ninyi wenyewe na kuwaacha waumini wakiwa katika hali.ya ki umaskin hakika Ni Laana kubwa mtaenda kujibu Nini mbele za MUNGU.
Nimefurahi unalipa kod Kama kawaida hauuzi bangi 😄😄😄 Aisee
Jamani hapo ndio tujifunze maana mchungaji anajisifu kupitia mali alizo zipata kutokana na sadaka za waamini
Then anasema Mungu kamupa, kenge sana jamii za ovyoo!
Anakaa mtaa wafrica wawili ni wazungu tuu
Gwakukajaa 🌾
Afrika ni Afrika tu utajiri kidogo tu matangazo kibao
Jehanamu ya Moto IPO watu wa MUNGU NA TUMULUDIE MUNGU TU TUACHE MIZAA NA MALI YA DUNIA HII TUTAIACHA ILA Watenda dhambi wote Ni jehanamu ya milele
Amina
Hahaha pesa za waumini izo sadaka za yesu au
baraka toka mbinguni.
Mchungaji wacha uwongo hizo maliza za wafuasi wanatowa sadaka ww unaishi maisha kifahari.. hapo hamna gari alilokupa yesu wala mungu ila sadaka ya wasio jielewa kamwe..
Usihukumu watu huna haki hiyo, kazi hiyo ni ya Mungu tu, labda kama umepewa kibali na Mungu cha kuhukumu
Hivi unajuwa mana ya kuhukumu ama ww ni wale wale wakuropoka ili muskike.. ukweli tutasema Kama inakukera bsi fura upasuke
Sadaka akipokea apeleke wapi?
Acha makasiriko na wewe funga kanisa ili uwe mchungaji
Binafsi acha aongee ukweli mchungaji wangu ..ana yesu moyoni na hajanunua na Hela za wahuni..mungu anampa sii sadaka mtegemee mungu utakula mema ya nchi🏃🏃🏃
Mwetine chifu suguye Ana ujumbe wake wa kucha na nywele
Huyu hana Yesu maana kwa mungu hanakuna pesa wala magari. Yesu alisema ukitaka kumfuata uza vyote na uwagawie masikini ndipo umfuate. Kumtaja yesu isiwe kisingizio.
Pia alisema kama umeacha chochote Kwa aji yake utayapata yote
Yesu wa mchongo ndo anapenda umaskini haha ila MUNGU amezumgukwa na madhabahu ya dhahabu sio ya mbao
Kuna jambo nimejifunza ktk haya makanisa
Hakuna yesu hapo
Utumwa wa akili na roho 😭😭
Mimi nimuislamu Ila mchungaji nishabiki yake anaheshimu kilamtu
Kwahiyo unatutangazia sisi ili iweje
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
Yaani ningekuwa nasali humo nisingekuwa natoa sadaka/zaka
Huyu ni freemason na hizo gari ni mikataba ya kishetani ni ujinga
Sadaka zetu hizo mzee baba
Hahahahaha
Ndio mkome
Wanakula vya madhabahuni, kawaida tu
Kwani hizo sadaka mnazozisema huwa anachukua yeye mifukoni mwenu? Na hakuna ibada ambayo haikamilishwi na sadaka. Huo ni utaratibu. Na sadaka kama ni za Mchungaji kwanini apangiwe matumizi? Hebu kaeni kwa kutulia.
@@evalynembuna4867 hata yesu anasema nataka rehema na SI sadaka
Umeongea vyema,vyote vya dunia
Mzee wa kilaji
Mercedes Benz new model inauzwa million 35?????,
😂😂😂
Toyota bombardier mpya 0km million 75, harafu Mercedes Benz new model million 35, hapa pastor amezingua.
Hawalipii Kodi yyt
@@babalao910 kaka hata kama halipi kodi si kwa bei hiyo ya Mercedes Benz
Kodi Kaka! Utaje Milioni mia 3 halafu TRA waanze na Wewe sio?!🤷🤷🤷
Acheni uwongo mbona masikin hamtusaidii unaongea tu kwenye kamera ili muonekane wema yatima tuko weng nchin
Yatima aliye mtandaoni uza smartphone upate mtaji
Kweli Jaman kuna watu wanaishi na wengine tunasindikiza wenzetu Hari inaTV Sita sijawai kuona ndo nimeziona mtandao hongera
Atasaidia wangapi sasaa unajuaje huko aliko kuna wangapi anawasaidia
#LuckyHavana #ljaystunner #ljaykitchen #NyamaChoma #ljaystunner