Soma biblia uelewe, bila sadaka huduma itaenda wapi, ujue hata Yesu alikuwa akipokea sadaka, unajua nani alikuwa anazipiga?Mr Yuda, usichomoe kaandiko kamoja tu tumia na akil yako, sema kuuza muujiza ni kosa kibiblia
Yupo sawa kabisa tumifunikwa gunia kichwani mungu alimuumba mtu na kumpa utajili hapo kuna shida mtu akiwa maskini hiyo ni ahadi ya mungu imagine madini mashamba bahari mafuta gas nk mungu aliweka kutusaidia ila binadamu ndio anayesababisha shida yote hii.
Ndugu Mungu anaposema utajiri anamaana ya Mtu mwenye neno la kweli .Ata ukipewa vitu vyote alafu ukakosa ufalme wa Mungu si umejisumbukia nafsi yako? Watumishi wa sasa ndio mafarisayo wa kipindi cha Yesu. Neno limefunguliwa kwa wao limefungwa hawaelewi.
DAAAHHH, YANI MTU ANAONGEA BILA HATA USHAHIDI KUTOKA KWENYE HUCHO KITABU ANACHOKIAMINI.. SIASA KWENYE DINI.. WATU WAZIMA WAMEKAA WANAITIKIA, WAKITOKA HAPO HAWAFANYI HATA UCHUNGUZI WAO BINAFSI, NDO IMEISHA IYOOO... MUNGU TUONGOZE WAJA WAKO 🤲🤲🤲
mzee wa upako kiukweli ana knowledge sana na neno la Mungu ila tu kauli zake anavyoongea anaongea kinamna flani watu wanaona wanatukanwa😀😀😀😀...halafu sisi masikini tunatakaga sana huruma
Lusekelo umepata pesa kidogo moyo wako umesha badilika , usidharau watu maskini, ni watu wa Mungu. Mungu hakusema marofa hayo ni maneno yako. Mungu alisema tusiingie nyumbani mwake mikono mitupu. Maana yake Kutoa ni Ibada. Mungu asinge sema hilo neno watu tungetumia hiari kwenda na kitu au la. Sasa umeweka dhana kwamba hilo neno lina wahusu malofa hapana siyo tafsiri sahihi ya hilo neno.
ALHAMDULILLAH
MUUMBA WANGU
NIFISHE KWENYE UISLAM
Mungu amrehemu huyu
Huyu Mzee anaongea Ukweli Mtupu hapindishi pindishi ndio maana watu wengi wanamchukia
Yup sawa huyo😊
Nampenda mzee wa upako huwa hapindishi maneno.
Bora umpende mungu ,soma
Ni kumdharau mungu kwenda kanisani mikono mitupu. Ukikosa hela peleka hata mahindi.
Ulishawahi kwenda kwa mganga bila kitu, hahah, tusindharau Mungu
Baba levooo
Yesu Ali waambia wanafunzi wake nendeni mkaihubiri injili mkisema ufalume wa mbinguni ume karibia pozeni wagonjwa fufueni wafu takaseni wenye ukoma toeni pepo". Mme pata bure toeni bure. Msichukue dhahabu Wala fedha Wala mapesa mishipini mwenu ,, soma mathayo sura10:7-15
😅😅
Soma biblia uelewe, bila sadaka huduma itaenda wapi, ujue hata Yesu alikuwa akipokea sadaka, unajua nani alikuwa anazipiga?Mr Yuda, usichomoe kaandiko kamoja tu tumia na akil yako, sema kuuza muujiza ni kosa kibiblia
Halaf ulishawah kwenda kwa mganga bila kitu, kama hapana hujawah na haiwezekan basi usimdharau Mungu
@@goldmansun5859 Bado huijui Imani na upo nyuma sana kiimani ivo watu kama nyie mna hitaji msaada wa ziada kumtambua mungu ipasavyo
ua-cam.com/users/shortsMFPs9z5RQ9U?feature=share
Dada za kàzi naomba namba yako tuongee
MCHUNGAJI LUSEKERO YUKO SAWA UNAENDA KANISANI UKIWA LOFA TATIZO WATU WENGI HAWAPENDI KUWAAMBIA UKWELI
Ni sawa huwezi kwenda kwa Mungu mikono mitupu.
Dah!
Yupo sawa kabisa tumifunikwa gunia kichwani mungu alimuumba mtu na kumpa utajili hapo kuna shida mtu akiwa maskini hiyo ni ahadi ya mungu imagine madini mashamba bahari mafuta gas nk mungu aliweka kutusaidia ila binadamu ndio anayesababisha shida yote hii.
Ndugu Mungu anaposema utajiri anamaana ya Mtu mwenye neno la kweli .Ata ukipewa vitu vyote alafu ukakosa ufalme wa Mungu si umejisumbukia nafsi yako?
Watumishi wa sasa ndio mafarisayo wa kipindi cha Yesu. Neno limefunguliwa kwa wao limefungwa hawaelewi.
Hawa Wezi tuu wanajifanya watumishi wa Mungu
Tutaona na kusikia mengi hizi nyakati, huku Lusekelo huku mwamposa. Kazi ipo .
Mpuuzi tu huyu! kwahiyo kama mtu ni maskini hafai kuingia kanisani. Masikini si ndio aingie kanisani aombe mungu akafanye kazi ili afanikiwe?
Kwahiyo tuelewe lipi kwenye hoja yako! Maskini akaombe au akafanye kazi?
@@robertmodestmushema1297 elewa vyovyote uelewavyo maana maelezo yangu yako wazi kabs
😂 wew kwel ndio mpumbavu
Sio Mpuuzi tatiz lenu mnataka kudanganywa ila huyu mzee kwenye NO ni NO na kwenye YES ni YES
Duuuuh mwisho wa siku tutatozwa mbaka pumzi tunayovuta zama za manabii wa uwongo ndio hizii someni vitabu vya dini sio maji mafuta jamanii
Kutoza muumini ili kumuona Mchungaji, Nabii ni utapeli, wizi
DAAAHHH, YANI MTU ANAONGEA BILA HATA USHAHIDI KUTOKA KWENYE HUCHO KITABU ANACHOKIAMINI.. SIASA KWENYE DINI.. WATU WAZIMA WAMEKAA WANAITIKIA, WAKITOKA HAPO HAWAFANYI HATA UCHUNGUZI WAO BINAFSI, NDO IMEISHA IYOOO... MUNGU TUONGOZE WAJA WAKO 🤲🤲🤲
Kumsikiliza huyu ni sawa na kuvaa kondomu iliyotumika 😅😅 yaani ni uchafu kama uchafu mwingine
Eeweeeeeh_🤔 😅😅
🤔 Dunia ina matokeo yaajabu.Wakati wa Kuomba,Nusura ya Mungu wa Mbinguni,ni huu sasa.Tukizembea ndio.Tusubiri Majanga ya Kutengezwa...👈
Amejibu in very political way, safi kabsa...
Nmeingiza kitu
mzee wa upako kiukweli ana knowledge sana na neno la Mungu ila tu kauli zake anavyoongea anaongea kinamna flani watu wanaona wanatukanwa😀😀😀😀...halafu sisi masikini tunatakaga sana huruma
Wachungaji wezi tu hao wanataka sadaka tu
Nyinyi wote mnaitajika kisi
Hamna kitu apa,,anapotosha t.
Duh siku za mwisho
Jamani Adela malofa tusimuabudu MUNGU? Kisa hatuna pesa Tobaasa
Kanisani ni mahali pakujifunza njooni tujifunze
Uislamu raha karibunii
Hatutakiii
Lusekelo umepata pesa kidogo moyo wako umesha badilika , usidharau watu maskini, ni watu wa Mungu.
Mungu hakusema marofa hayo ni maneno yako. Mungu alisema tusiingie nyumbani mwake mikono mitupu.
Maana yake Kutoa ni Ibada.
Mungu asinge sema hilo neno watu tungetumia hiari kwenda na kitu au la. Sasa umeweka dhana kwamba hilo neno lina wahusu malofa hapana siyo tafsiri sahihi ya hilo neno.
Kwani yeye huyo MZEE LUSEKELO ni tajiri ? --- Mzee LUSEKELO acha kupptosha watu ---- unadanda danda tu.Hicho unachokizungumza,kinakubaliana na maandiko ? --- " Mungu hahitaji visaidizi --- " umefirisika kiroho mzee "
We chura kweli we kwa akiri zako huyo ni masikini tuulize sisi tunaemjua hadi nyumba zake
Tufanye hiviii yeye aachane na sadaka za kanisa alafu atafute utajiri na asipopata asirudi kanisani
M
Hamna kitu apo siwezi kupoteza muda kumsikiliza pumba uyu
Wakala wa mizimu na uchawi ndiyo huyu anajiita chufu
These so called men of God ni wale waliosemwa kwenye Bible ambao watakuja siku za mwisho wa dunia
Bahati mabaya kwa dhambi uluzonazo huna jicho la kimungu kujua hilo😂😂😂