#zandaaani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лип 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 45

  • @DM_15
    @DM_15 13 днів тому +2

    Mayele top score misiri

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374 13 днів тому +1

    Eti Kama wanamtaka wao kumbe wanaenda kutoa sadaka😂imeenda

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 13 днів тому +1

    Hans katudanganya 😂😂😂😂😂😂

  • @othmantv2654
    @othmantv2654 13 днів тому +3

    Code ya leo haihitaji hata D 2....😂😂😂

    • @GEORGERUTANGANTEVYI
      @GEORGERUTANGANTEVYI 13 днів тому

      ❤😊😊😊
      ❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂❤❤❤😂😂😂❤😂😂😂❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂❤❤😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂❤❤😂❤❤❤❤😂😂❤❤😂😂❤❤❤😂😂❤❤❤❤❤❤❤

    • @mtotowamanka
      @mtotowamanka 13 днів тому +1

      F

  • @jamespeter5882
    @jamespeter5882 13 днів тому +1

    Kila siku nawauliza huwa mnachambua mpra au ushabiki

  • @RobertChacha-hb9re
    @RobertChacha-hb9re 13 днів тому

    Kweli code ya leo haiitaji d 2😂😂😂

  • @josephchuwa1206
    @josephchuwa1206 12 днів тому

    Code nyepesi sana Fei totooooo

  • @baharanimasoud
    @baharanimasoud 13 днів тому +1

    Momo upo kama chawa wayangaa

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 13 днів тому

    Nobody knows about tomorrow tusimalize maneno

  • @zickdeus5497
    @zickdeus5497 13 днів тому

    Man yani na paul mkai mmemwachia aende duuh!!? Mbn chama letu hili tumekuwa wanyonge san kias hiki

  • @richardkokoro3269
    @richardkokoro3269 13 днів тому

    Kajisahau kaongeza kama yeye ni kiongozi wake eti hakuna anayeweza kukataa. Kwani hivyo vitu haviwezekani?

  • @victorronald1449
    @victorronald1449 13 днів тому +1

    Simba hakuwahi kumihitaji

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 13 днів тому

    Madunduka hawataki kuukubali ukweli hawana uwezo wa kumsajili mayele wala feisal wanawapumbaza mashabiki wao wasiojielewa

  • @msomiadam250
    @msomiadam250 13 днів тому

    Ujawai kuongea k2 cha ukweli wew

  • @invocavitykitaly2483
    @invocavitykitaly2483 13 днів тому

    1

  • @user-px6jj4tu7m
    @user-px6jj4tu7m 13 днів тому +2

    Ndio tabia zao tunawajua hawa, kama wanataka wao kumbe wanatoa sadaka.

  • @AthumanAlly-zw9ni
    @AthumanAlly-zw9ni 13 днів тому

    Duuh huyu jamaa hana utofauti na shoga

  • @SIMONHERMAN-qv2ln
    @SIMONHERMAN-qv2ln 13 днів тому

    2

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 13 днів тому

    Sikieni nyie hao wote ni Bakhresa ikiwa farmily kazi ndio huko Azam na Azam ndio Bakhresa .mchukueni ila Eng Hers ,yuko sawa kwa hiza kazi tena imara sana .nitafurahi sana kina bakhresa wakiachiana wampeleke simba .nitafurahi tena na chochea kuwa Fei ni mzawa apandishwe anatakiwa acheze Simba mpelekeni plz.Hers atafurahi sana ndio kutakua nabushindani lakini maisha ya wachezaji wenu yatakua ni magumi tu hayana raha paka Mo atoke pala nyie omba omba wa babu jiii amkeni mpira biashara ijengeni timu yenu mutaomba paka lini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 13 днів тому

      Inakuhusu nini huko kuomba omba alaaaaa

  • @GabrielAmma-jp1oo
    @GabrielAmma-jp1oo 13 днів тому

    Tatizo unakuwaga mwongomwongo sana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 13 днів тому

    Momo leo umeongeya kikubwa

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 13 днів тому

    Feisal

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 13 днів тому

    Belive me Fei anakuja Simba

  • @SenoNorbertKiemena
    @SenoNorbertKiemena 13 днів тому +1

    Ama kweli nimeamini nyie wachang'ombe wawa wasafi mnatumiwa na nyuma mwiko acheni uchambuzi uchwara mbw nyie

    • @murshidyabdallah1356
      @murshidyabdallah1356 11 днів тому

      Sio wasafi tu midia zote hapa tz nikama wanaitumikia nyuma mwiko wanabaki kuonesha kuchambua mpira kumbe waelezea mambo yao ya nyuma mwiko

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 13 днів тому

    Mbona sielewi

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c 13 днів тому

    Fei huyo

  • @stn4873
    @stn4873 13 днів тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 13 днів тому

    Kwani mo na bakhresa nani bilionea?

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 13 днів тому +1

      Wewe hujuwi kama bakhresa ndio niloneya na kama huamin fuatiliya

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 12 днів тому

      @@TwalibKwelii heee kaka kuuliza siyo ujinga,miaka yote jarida la Forbes huwa linatuambia kuwa mo ndiye bilionea wetu wa tz.ila Asante kwa kunisaidia👍👍

    • @TwalibKwelii
      @TwalibKwelii 12 днів тому

      @@cosmasthomas9164 waarubu kiuhalisiy ndio matajr wa dunia ila umewah kuwasikiy hata cku moja kutajwa kwenye forbers watu basi na mzee wetu bakhresa huwez kumsikiy kwenye hizo takwimu za mitandaon yule mzee kipaj kwa biashara na Mungu kambarik hana mpinzani na tena ama msaada mkubwa xan sio kwa tz tuu bali ni Africa kiujumla

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q 12 днів тому

      ​@@cosmasthomas9164 Bakharesa kazisambaza mali zake kwa watoto wake ndiyo maana,ila yuko juu sana kamzidi mo

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 11 днів тому

      @@user-pb3ub3gl4q Asante ndugu👍👍

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 13 днів тому

    Huo mkataba ni wa kiuonevu na kama aliusign ni kwa sababu ya shida na umru, bado ana uwezo wa kuupinga na kwenda atakako, akamuone mama amsaidie.

  • @stanleymwaselela1849
    @stanleymwaselela1849 12 днів тому

    Feitoto

  • @chillogeorge1383
    @chillogeorge1383 13 днів тому +2

    Ningewashangaa Azam kama wangemtoa Feisal aende simba akacheze ndondo, wakati wao wanakibarua kirefu kwenye Ligi ya Mabingwa.
    Simba bado wanadhani Azam hii ni ile waliyozoa akina Manula, Kapombe, Erasto nyoni, Boko, nk.
    Wanatakiwa wajue kuwa kitonga hio ilisha isha kitambo. Lazima waongeze ubunifu