Masanja! Mungu akubariki sana sana ! Yaani huduma yako itakuwa unique sana sana ukiendelea Na Mtindo wa kuwa Na Monica Na kumtambulisha Wakati wote kama ulivyoanza safari pale mwanzooooo! Yaani uzuri wa hiduma uliyonayo ni Monica akiwa upande wako Wakati wote! Chonde chonde usiache kumpaisha mke wako, hata ukiweka picha weka na ya mkeo! Amen amen! Ni mimi dada yako kutoka igurusi! Nawapenda sana sana. Msalimie sana Monica!
"Mwanamke anayenipunguzia CV ya kuwa papa".....hii si kauli nyepesi ama ya bure tu ya utani utani... hapa kuna ujumbe maalum sana Masanja alikuwa anautuma ....wakubwa bila shaka wanaelewa.
Nimehirudia mara 10 hiyii jamani masandja hoyeeeee🤣🔥
You are my role model nakupenda mpakwa mafuta wa bwana yesu kristo🌹💚💚💚
Masanja! Mungu akubariki sana sana ! Yaani huduma yako itakuwa unique sana sana ukiendelea Na Mtindo wa kuwa Na Monica Na kumtambulisha Wakati wote kama ulivyoanza safari pale mwanzooooo! Yaani uzuri wa hiduma uliyonayo ni Monica akiwa upande wako Wakati wote!
Chonde chonde usiache kumpaisha mke wako, hata ukiweka picha weka na ya mkeo! Amen amen! Ni mimi dada yako kutoka igurusi! Nawapenda sana sana. Msalimie sana Monica!
Napenda Masanja alivyo proud na mke wake hadi raha 😍😍😍😍wa mama wa chungaji wengine wnafichwa fichwa tu na waume zao
Mungu akawe pamoja nawe katika huduma ya bwana ubarikiwe sana pastor Masanja
Mungu awatunze wazazi wangu. Hakika Mimi mnanibariki sanaaaaaaaaa, maisha yenu yamejaa ushuhuda daima
Nmependa sana Jinsi alivyocheka
😂😂😂😂 pastor Emmanuel dah wanataka kukamilisha album nimecheka Kwa sauti Na ucku huu watu wamelala MUNGU AWATUNZE PASTOR MGAYA
Nimeipendaa😍😂😂😂
Ila pastor Masanja bwana bonge la mkorofi eti, hahahahahahaaaaaa..... Pamoja Sana brother
Ata cjui nami nacheka nn 😂😂😂
Ssunamtangazia nani
Mhmmm ila mke wako kipotabo hatareeeee👌👌
"Mwanamke anayenipunguzia CV ya kuwa papa".....hii si kauli nyepesi ama ya bure tu ya utani utani... hapa kuna ujumbe maalum sana Masanja alikuwa anautuma ....wakubwa bila shaka wanaelewa.
Hahaha mwanifurahisha sana jamani mubarikiwe sana
🤣🤣🤣 mchungaji Masanja unamambo
Yan ww masanja umetsha mwaisa futuhi mazabahun
👊👊🔥🔥🙌😂🙆
😘😘😘
Ubarikiwe
Asikofu gani wewe
Najifunza kitu.
Zuchu
Umenifanya niwe nasoma biblia
Ha ha ha ha ha !
Imebidi nije kuangalia Tena ........na kesho nitaangalia Tena mpaka nijue marehemu kweli alikuwa anakula goma
Hahahah
Oyoo masanja kwani Monika hana mdowake hapo nyumbani namimi nijinyakulie hhaaa maana daaah
🤣🤣🤣🤣🤣
Judgment
H yu mke kawa gumzo sasa khaaaa mtu na watoto mpk Leo mke mke
Sasa tutapumua maana goma likivuma sana mwisho hupasua😜
HICHO NDIYO KITU PEKEE LAKINI KWA HABARI YA UTAKATIFU BADO MUNGU AWASAIDIE MAANA NENO LIKO WAZI
KITU NINACHOKIPATA HAPO NI UPENDO WA EMANUEL KWA MKEO NAPATA KITU.
Kabisa tukiachana na Mengine
MAVAZI YA MKE WA EMANUELI SI KIBIBLIA BADO
Kuna watu mnamatatzo Sana Apo kavaa kitenge unasema bado ulitaka avae gunia?
Mungu aniepushie wanaume weny akili mgando kam wewe.
USI NI TUKANE NDUGU BADO TUPO SAFARINI, HUJUI YATAKAYOTOKEA KESHO.
@@florachrist9602 😂😂
Sasa nguo ya huyo dada inashida gani, kweli kuna watu mnacomplicate maisha ya ukristo.
Jamaa ana mawenge sana huyu😂😂😂
Hahahah