Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wali ya juu kabisa juu sifa tano za mtu kutorogeka / wale wanaosema mtume hasifiwi wanamkosea Mungu tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks

КОМЕНТАРІ • 51

  • @ramaaman9173
    @ramaaman9173 2 роки тому +11

    Da,unafafanuavizurisana Shekh wala huna haraka katika kuelewsha mashallah

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 2 роки тому +2

      Hakika anajitahidi waumini watoke nakitu si warudi majumbani kama walivyoingia : MashaAllah

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 роки тому +12

    Allahumma swalli wasallim. Wabarik alayhi❤❤❤😍😭allah atujaslie nuru ndani ya nyoyo zetu tuwe wapole na kuhurumiana kama kiongozi wetu yaarsbbi amiin

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 2 роки тому +8

    Shukran ya sheykh jazakallahu khayran

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 2 роки тому +8

    Mash Allah mwenzi mungu akujaza kheri shekh letu kipenzi

  • @allywaziry7489
    @allywaziry7489 Рік тому +2

    Shekh Walid M/Mungu amjalie,,shekh anaelezea vizuri Sana hata Kama uelewa wako ni mdogo utaelewa tu

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline 2 роки тому +7

    Sheikh Walid MaashaaAllah. Ahsante, darsa nzito. Allahumma swalli wasallim alayh

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 2 роки тому +5

    Allahumma ammeen yarrab

  • @omarijuma6692
    @omarijuma6692 2 роки тому +5

    Allah akupe kila lakheri sheikh letu akupe pia umri mrefu ili tuendelee kufaidika na wewe inshallah

  • @ffed1876
    @ffed1876 Рік тому +2

    Shukran sheikh wajazaakumu Llahu khayra

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Рік тому +2

    Allah azidi kukuhifadhi Sheikh Walid

  • @balyyusuf7394
    @balyyusuf7394 2 роки тому +6

    Mashallah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 2 роки тому +4

    Masha ALLAH. Rehma na amani zimshukie mtume wetu kipenz pamoja na maswahaba zake..

  • @abdul-rahmanfakijuma1879
    @abdul-rahmanfakijuma1879 2 роки тому +6

    Maa shaa Allwah

  • @AbdullahAlZaabi-on4tb
    @AbdullahAlZaabi-on4tb 6 місяців тому +2

    Allah.akuhifadhi.shekhe.wetu

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 2 роки тому +7

    Mashaallah

  • @cheka480
    @cheka480 Рік тому +1

    Mashallah Allah subhanah wataala amuweke Sheikh na sijutii wallah thumma wallahi kukuombea dua kila swala nnaoswali namuomba Allah amuweke kwenye hiki cheo aweze kuokoa ummah wa Dar es salam na Tanzania kwa ujumla

  • @abdallahshariff2983
    @abdallahshariff2983 2 місяці тому +1

    Hakika na sadikisha mambo yake,sheikh unayaongea ni ukweli mtupu.

  • @AbdallahYanga
    @AbdallahYanga 2 місяці тому +1

    Mashallah mwenyez mungu akupeshifaa amina

  • @mariammohamed6762
    @mariammohamed6762 Рік тому +1

    Mashallah shekh ndo maana Allah amekuchagua kuwa shekh wa mkoa Allah akuongoze uzidi kutupa imma wa kiislam nasi atuwezeshe kuyafuata nakuyafanyia kazi

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 2 роки тому +4

    Shukraan 🙏

  • @smartpass7928
    @smartpass7928 Рік тому +1

    MashaAllah yarabbi atujaliye nyoyo zetu tuwe watu wenye kuhurumiana kama kiongozi wetu rabbin alemian.

  • @abdallahjoe8015
    @abdallahjoe8015 2 роки тому +3

    Allah akuweke amina

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 2 місяці тому +1

    Shukran ❤❤

  • @abubakarswaleh5667
    @abubakarswaleh5667 2 роки тому +3

    Mashaallah Sheikh Walid

  • @MesalimRashid
    @MesalimRashid 9 місяців тому

    Tuyafanyieni kazi hayo mambo matano.

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Рік тому +1

    mashaalah allah akulipe kwa ghelim shekh walid ishaalah

  • @abdulrazaktayeb
    @abdulrazaktayeb 7 місяців тому

    Mashallah
    Jazakallah

  • @MariamHaroon-pu3lx
    @MariamHaroon-pu3lx Місяць тому

    Mashaaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤😢

  • @shamisfahiye9628
    @shamisfahiye9628 Рік тому

    🎉

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Рік тому

    Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir

  • @khadijaangore4408
    @khadijaangore4408 2 роки тому +4

    waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 роки тому

    Shukran jazzakallah khairan

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Рік тому

    maashaallah shekhe wetu

  • @khalidiswala2505
    @khalidiswala2505 2 роки тому

    Kimaro tuache banaaa

  • @josephmasika3854
    @josephmasika3854 Рік тому

    Alhamdulillahi

  • @khalidiswala2505
    @khalidiswala2505 2 роки тому

    Qiraa😍😍

  • @jolinkimaro9939
    @jolinkimaro9939 2 роки тому

    kama mtu muhammad alilogwa wewe unafundisha haya mafundisho unatoa wapi shekh. alilogwa mpaka akachanganyikiwa akawa anaota mara amawaingilia wakeze kumbe bado. lakini pia mtume mmefanya kuwa mtukufu wakati yeye mwenyewe anajijua. waislam pendeni kusoma bila kasumba wacheni kukaa hapo mdanganywe na mashekh wanajua kabisa mtu si chochote ila ni chifu tu wa makoreshi. hapasi kisifiwa kiungu isipokuwa hodari wa giza

    • @shamisahmed1425
      @shamisahmed1425 2 роки тому +1

      PERISH IN YOUR RAGE!!

    • @waleedalhad4844
      @waleedalhad4844 2 роки тому +7

      Yeye alirogwa mola akamfundisha dawa akapona lkn yesu alisulubiwa baba yake hakuwa na uwezo wa kumtetea wala kumnusuru akafia pale pale na kuozea msalabani zinduka mpumbavu weeee kisha unabeba hiyo silaha (msalaba) ulimuua unauenzi duuuh kweli umechelewa mjinga mkubwa weeeee fala

    • @jolinkimaro9939
      @jolinkimaro9939 2 роки тому

      @@waleedalhad4844 leta ushahidi wapi alipona. hakuna sehemu yoyote alipona wacha kudanganya watu. muhammad alikuwa na shetani toka kuzaliwa. na unakimbia kwa yesu unadhani itapindua ukweli kuwa mud alilogwa. alafu leo eti njia ya kufanya usilogwe. mkamfundishe kwanza mtume aijue.

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 2 роки тому +3

      Usilolijua Litakupa tabu. Kama Haujui waulize Wenye Kujua. Yesu Amekufa Msabani Kwaajili Yadhambi Zenu Nabado Nyie Ambao Dhambi Zimechukuliwa Nayesu mnatenda dhambi Namnasamehewa Nawakati Mnajua fila kasurubiwa Msabani Kwaajili Yenu. Ungejitahidi Kusoma vizuri Nakuibadilisha hali kamahii. Kuliko kuyaingilia mambo usiyoyajua. Kwavitendo Chako chakuvamia mambo yawatu Kwalugha yamtaani kinaitwa umepanda Treni kwambele. Waswahili Wanasema Ukitaka Kutoa kibanzi mwenzio kitoe chakwako kwanza.

    • @jolinkimaro9939
      @jolinkimaro9939 2 роки тому

      @@nurdinmfamau3493 shekh. hiyo haiondoi muhammad alilogwa. kipi sijui. muhammad alilogwa alafu wewe unajidanganya eti njia za kuepuka usilogwe. shetani amewadanganya kama alivyomdanganya muhamad na nyie anawapepeta hovyo. amewapa mizigo mizito mpaka kuingia chooni jinsi ya kulala jinsi ya kusali ili allah awasikie. shekh mnapepetwa kwa kuwa mnaibishi kama huu ubaobishana hapa. mtume amelogwa mpaka anakufa hakuna ishahidi uchawi ulimwacha kama unaushahidi leta. utaniambia eti ni sura za mwisho zilishuka ili uchawi umwache. yaani shetani amshushie mtu aya za kumtoa yeye? funguka macho ya kiroho shekh. fikiri jambo hilo unayozungumza kuhusu yesu mzigo kwako hili la wazi kuwa mtume kalogwa huoni kabisa na watu wamekaa wanakusikiza majitu mazima midevu kama nyuzi