Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Sifa Tano Za Mtu Kutorogeka / Wale Wanaosema Mtume Hasifiwi Wanamkosea Mungu / Sheikh Walid Alhad
Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wali ya juu kabisa juu sifa tano za mtu kutorogeka / wale wanaosema mtume hasifiwi wanamkosea Mungu tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Da,unafafanuavizurisana Shekh wala huna haraka katika kuelewsha mashallah
Hakika anajitahidi waumini watoke nakitu si warudi majumbani kama walivyoingia : MashaAllah
Allahumma swalli wasallim. Wabarik alayhi❤❤❤😍😭allah atujaslie nuru ndani ya nyoyo zetu tuwe wapole na kuhurumiana kama kiongozi wetu yaarsbbi amiin
Ameen yaraab alamiin
Shukran ya sheykh jazakallahu khayran
Mash Allah mwenzi mungu akujaza kheri shekh letu kipenzi
Shekh Walid M/Mungu amjalie,,shekh anaelezea vizuri Sana hata Kama uelewa wako ni mdogo utaelewa tu
Sheikh Walid MaashaaAllah. Ahsante, darsa nzito. Allahumma swalli wasallim alayh
Allahumma ammeen yarrab
Allah akupe kila lakheri sheikh letu akupe pia umri mrefu ili tuendelee kufaidika na wewe inshallah
Shukran sheikh wajazaakumu Llahu khayra
Allah azidi kukuhifadhi Sheikh Walid
Mashallah
Masha ALLAH. Rehma na amani zimshukie mtume wetu kipenz pamoja na maswahaba zake..
Maa shaa Allwah
Allah.akuhifadhi.shekhe.wetu
Mashaallah
Mashallah Allah subhanah wataala amuweke Sheikh na sijutii wallah thumma wallahi kukuombea dua kila swala nnaoswali namuomba Allah amuweke kwenye hiki cheo aweze kuokoa ummah wa Dar es salam na Tanzania kwa ujumla
Hakika na sadikisha mambo yake,sheikh unayaongea ni ukweli mtupu.
Mashallah mwenyez mungu akupeshifaa amina
Mashallah shekh ndo maana Allah amekuchagua kuwa shekh wa mkoa Allah akuongoze uzidi kutupa imma wa kiislam nasi atuwezeshe kuyafuata nakuyafanyia kazi
Shukraan 🙏
MashaAllah yarabbi atujaliye nyoyo zetu tuwe watu wenye kuhurumiana kama kiongozi wetu rabbin alemian.
Allah akuweke amina
Shukran ❤❤
Mashaallah Sheikh Walid
Tuyafanyieni kazi hayo mambo matano.
mashaalah allah akulipe kwa ghelim shekh walid ishaalah
Mashallah
Jazakallah
Mashaaallah ❤❤❤❤❤❤❤❤😢
🎉
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH. Jazzaka Allahu Kheir
waalykum msaalam waramatulah wabarakatul.
Shukran jazzakallah khairan
maashaallah shekhe wetu
Kimaro tuache banaaa
Alhamdulillahi
Qiraa😍😍
kama mtu muhammad alilogwa wewe unafundisha haya mafundisho unatoa wapi shekh. alilogwa mpaka akachanganyikiwa akawa anaota mara amawaingilia wakeze kumbe bado. lakini pia mtume mmefanya kuwa mtukufu wakati yeye mwenyewe anajijua. waislam pendeni kusoma bila kasumba wacheni kukaa hapo mdanganywe na mashekh wanajua kabisa mtu si chochote ila ni chifu tu wa makoreshi. hapasi kisifiwa kiungu isipokuwa hodari wa giza
PERISH IN YOUR RAGE!!
Yeye alirogwa mola akamfundisha dawa akapona lkn yesu alisulubiwa baba yake hakuwa na uwezo wa kumtetea wala kumnusuru akafia pale pale na kuozea msalabani zinduka mpumbavu weeee kisha unabeba hiyo silaha (msalaba) ulimuua unauenzi duuuh kweli umechelewa mjinga mkubwa weeeee fala
@@waleedalhad4844 leta ushahidi wapi alipona. hakuna sehemu yoyote alipona wacha kudanganya watu. muhammad alikuwa na shetani toka kuzaliwa. na unakimbia kwa yesu unadhani itapindua ukweli kuwa mud alilogwa. alafu leo eti njia ya kufanya usilogwe. mkamfundishe kwanza mtume aijue.
Usilolijua Litakupa tabu. Kama Haujui waulize Wenye Kujua. Yesu Amekufa Msabani Kwaajili Yadhambi Zenu Nabado Nyie Ambao Dhambi Zimechukuliwa Nayesu mnatenda dhambi Namnasamehewa Nawakati Mnajua fila kasurubiwa Msabani Kwaajili Yenu. Ungejitahidi Kusoma vizuri Nakuibadilisha hali kamahii. Kuliko kuyaingilia mambo usiyoyajua. Kwavitendo Chako chakuvamia mambo yawatu Kwalugha yamtaani kinaitwa umepanda Treni kwambele. Waswahili Wanasema Ukitaka Kutoa kibanzi mwenzio kitoe chakwako kwanza.
@@nurdinmfamau3493 shekh. hiyo haiondoi muhammad alilogwa. kipi sijui. muhammad alilogwa alafu wewe unajidanganya eti njia za kuepuka usilogwe. shetani amewadanganya kama alivyomdanganya muhamad na nyie anawapepeta hovyo. amewapa mizigo mizito mpaka kuingia chooni jinsi ya kulala jinsi ya kusali ili allah awasikie. shekh mnapepetwa kwa kuwa mnaibishi kama huu ubaobishana hapa. mtume amelogwa mpaka anakufa hakuna ishahidi uchawi ulimwacha kama unaushahidi leta. utaniambia eti ni sura za mwisho zilishuka ili uchawi umwache. yaani shetani amshushie mtu aya za kumtoa yeye? funguka macho ya kiroho shekh. fikiri jambo hilo unayozungumza kuhusu yesu mzigo kwako hili la wazi kuwa mtume kalogwa huoni kabisa na watu wamekaa wanakusikiza majitu mazima midevu kama nyuzi