"Waziri UMMY mi niko kazini usinitanie" MAKONDA atoa maagizo kwa WAZIRI UMMY

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 98

  • @aiseesijui6736
    @aiseesijui6736 Рік тому +45

    Naona Roho ya Magufuli inaishi ndani ya huyu mwamba, wanaoamini Magufuli bado anafanya maamuzi kwa kutumia mwili wa makonda gonga like za kutosha

    • @giztony2009
      @giztony2009 Рік тому

      Ni kiki tuu kwani angefanya bila media je? Cyo hadi iwe public ni ushamba uliopitiliza halafu kazi ya mwenezi cyo hiyo

    • @barakamwelange3485
      @barakamwelange3485 Рік тому +1

      Kwan ye kasema anataka kurekodiwa? Wenye tv ndio waliotupia mitandao

    • @BonnyMwajombe-iu7hb
      @BonnyMwajombe-iu7hb Рік тому +1

      Makonda 2025 chukua form ya urais mimi niko nyuma yako

    • @simbamtoto7530
      @simbamtoto7530 Рік тому +2

      Sasa akifanya bila camera wewe ungejuwaje kama matatizo yana tatuliwa

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Рік тому

      ​@@giztony2009wapumbavu kama wee ndo mnafanya bandari iuzwe😢

  • @lukamgaya9568
    @lukamgaya9568 Рік тому +2

    Keep up the good work comrade makonda Paul.

  • @PROPHETPCANTENA
    @PROPHETPCANTENA Рік тому +2

    Uko vizuri Sana kiongozi , Ila Inakupasa Uombe Sanaa maana sio kila mmoja atapenda ufanyekazi Kama unavyofanya

  • @AmaniMlangi-d3t
    @AmaniMlangi-d3t Рік тому +9

    Hongera Mkonda uko vizuri.Mungu azidi kukujalia hekima katika utumishi wako

  • @Bizmind472
    @Bizmind472 Рік тому +3

    Thats woow!Tanzania your blessed na viongizi keep up mr Makonde

  • @MwanahawaSaid-t3n
    @MwanahawaSaid-t3n Рік тому

    God bleass u🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj Рік тому +4

    Magufuli ❤is back

  • @tajirinombo3960
    @tajirinombo3960 Рік тому +6

    Hakika we ni mtanzania halisi we nitegemeo la wanyonge mungu akulinde

  • @AllyKapongo-vn4oc
    @AllyKapongo-vn4oc Рік тому +2

    huyu kwamba kabisa Paul makonda mama mpe nguvu huyu kijana akufanyie kazi anaweza sana

  • @RajabJuma-pe9ml
    @RajabJuma-pe9ml Рік тому +1

    Dah Angalau unatutia moyo mungu skubarki wew na Rais wetu mama samia

  • @FikilinijumaVumbi
    @FikilinijumaVumbi Рік тому

    Ongera makonda mungu akulinde ww mzarendo watanzania maskini tumekukubali mtetezi wa wanyonge amani makonda

  • @Tatoo-b1c
    @Tatoo-b1c Рік тому

    Uko.vizuri

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Рік тому +1

    Asanteni sana kiongozi wetu pauro Makonda 2:08

  • @SalimKatumbi
    @SalimKatumbi Рік тому +12

    Hakika wewe ni nyota ya jaa kwetu watanzania Mungu hakubariki sasa napata imani ya chama kwa ajili yako mdogo wangu

  • @bennieathuman9917
    @bennieathuman9917 Рік тому +1

    Hongera sana

  • @mwoney1
    @mwoney1 Рік тому +2

    Uyo wa pikipiki kaishia wapi!? Ningetamani kujua muendelezo

  • @kungwabaruani4559
    @kungwabaruani4559 Рік тому

    sema mh hayati raisi magufuli bwana makonda toa heshima kwa mpendwa mimi jpm ni mtu muhimu sana

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Рік тому

    Ila swhb kuwa makn cjwah kusom hstoria y mwanahrkt yyte w kweli au mzalendo akabk Salam,me nizd kukuombea,Allah akucmamie tpo p1

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945 Рік тому +9

    Hapa Sasa kura yangu ntantoa maana kazi inafanyika tusaidieni wanaichi HIVYO na Mungu atawabariki nawambia

  • @AmosAmos-i3b
    @AmosAmos-i3b Рік тому +4

    Safi sana mwenezi

  • @MarekeraShauri
    @MarekeraShauri Рік тому

    saw makonda

  • @yustogembege9161
    @yustogembege9161 Рік тому +1

    Mkuu wa wilaya na sare ya chama dah

  • @binadamuyamkin1335
    @binadamuyamkin1335 Рік тому

    Kwani makonda amekuwa juu ya Sheria maana hata anaonekana kuwa na mamlaka kuliko Rais. Kama utamwamuru waziri na mkuu wa mkoa na wilaya, ambayo ni wateule wa Rais hii Katiba inasemaje?!!!, Au ni katiba gani anatumia?!

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye Рік тому

    Kero mheshimiwa Makonda kwanini mpaka leo madai yetu sisi tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya arusha hatulipew

  • @HassanKatumbi-hr5lg
    @HassanKatumbi-hr5lg Рік тому +1

    Hongera makonda mheshimiwa Rais huyu aendelee kubak kwenye icho cheo hatakusaidia

  • @kungwabaruani4559
    @kungwabaruani4559 Рік тому

    ila kauli tu ndio ngumu anatumia vibaya kujigambaaaa

  • @sulemanmndeme8961
    @sulemanmndeme8961 Рік тому +4

    Anachofanya Makonda ndio malengo ya Chama Cha Mapinduzi kwa viongozi wake.
    Ila viongozi hawafanyi hivyo kwa kutokujua/makusudi.
    Hongera sana Makonda kwa kufanya kile nilichokuwa nafanya nikiwa ktk chama.

  • @ToshNiNe-uj8pf
    @ToshNiNe-uj8pf Рік тому +2

    Miaka Zaid 61 kusikiliza KERO Ondoa ujinga na MAIGIZO bad mijitu Haina akili 😢

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Рік тому +3

    haya ngoja tukuone kama utaweza jwenye serikali hii ya awamu ya sita bin ya nne iliyooza sekta zote

  • @joxenziku2483
    @joxenziku2483 Рік тому

    ANAMOPITA MAKONDA AHADI ZINATEKELEZWA AU AMEKUWA MSEMAJI MAALUFU...!!!?

  • @yohanawihemba5825
    @yohanawihemba5825 Рік тому +1

    CCM akili nyingi sana yani mwishoooooni ameletwa mtu wakuwaludisha kwenye mstali

    • @yustogembege9161
      @yustogembege9161 Рік тому

      Jamaa ulikuwa kwenye kichwa changu samia mjanja nae et dah

  • @justinmwenda7449
    @justinmwenda7449 Рік тому +1

    😂😂😂😂😂

  • @justinmwenda7449
    @justinmwenda7449 Рік тому

    SIASA

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Рік тому +1

    bashite umezurumu mari za watu mpaka roho kitu hicho kitakutafuna kama jpm alivyo tafunwa aamina

  • @DanielTumaini
    @DanielTumaini Рік тому +1

    Mungu awasaidie watu wake professor unanawita mwenezi mheshimiwa?Ummy real your thinking capacity is out of box!

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Рік тому +1

    Tupambeni tu kwa maneno ya kila leo.

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Рік тому

    Msemaji wa chama amekuwa msemaji wa serikali CCM hawana jipya kwasasa

  • @gilbercarlo325
    @gilbercarlo325 Рік тому +1

    HII WIZARA IMEMPATA MKUNAJI WA UPELE

  • @Michael-ne6wh
    @Michael-ne6wh Рік тому

    Huyo ndo kidume

  • @neemaruhembe6360
    @neemaruhembe6360 Рік тому

    makonda kuwa rais jamani mbona hutasidia wanyonge

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Рік тому +1

    Yaani ccm wale majambazi ndio wamerudishwa

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 Рік тому

    Slamburg

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Рік тому +2

    Makonda ukiona unashangiliwa na watu kwa vigelegele vingi ujue unatenda haki. Hivyo tendeni haki kila kona hivyo huburini haki zaidi kukliko kuhubiria amani ....haki huinua taifa

    • @hashimchaoga9566
      @hashimchaoga9566 Рік тому

      Huo ni usanii tu sasa mje kuuliza katatua kero ngapi baada ya mkutano kero sugu zikaishe kirahisi rahisi tu?

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Рік тому

      ​@@hashimchaoga9566bado hujasema

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 Рік тому

    CCM wezi tu include makonda

  • @vumilialeonardi109
    @vumilialeonardi109 Рік тому

    Twachira

  • @tawfiqmwijage1608
    @tawfiqmwijage1608 Рік тому

    Nachukia siasa za namna hii sijui kwa nini? Hivi tunashindwa kufanya vitu kisomi, kila mtendaji akatekeleza majukumu yake kiufanisi na kwa mipaka?

  • @ChrisTengeneza
    @ChrisTengeneza Рік тому

    Siasa mhhh

  • @barakatlemu6976
    @barakatlemu6976 Рік тому +3

    Mwamba kweli kweli

  • @Blessedhopefamily
    @Blessedhopefamily Рік тому

    piga kaz mwenezi,

  • @donaldbenedict5761
    @donaldbenedict5761 Рік тому

    Wanaoumiza wenzao ni nyie wenyewe CCM mikataba mibovu ninyie kuuza mali za nchi ni nyie CCM mnajitekenya wenyewe na mnacheka wenyewe acha kudanganya watanzania msemaji kawa mbunge msukuma anafanya nini hapo chato

  • @DanielTumaini
    @DanielTumaini Рік тому

    Wewe Hadi uchaguzi kama upo mzima utakuwa umechoka Sana cyo kwa sengwe hizo

  • @Michael-ne6wh
    @Michael-ne6wh Рік тому

    Mungu amjalie uzima na afya njema aweze kuiongoza Tanzania

    • @DeboraBalinaba-cm6br
      @DeboraBalinaba-cm6br Рік тому

      Yani makonda mi nilizulumiwa mafao ya uzazi na nssf wilaya ya karagwe

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile687 Рік тому

    Maliasili wana faini zao baada ya mahakama kumlipisha faini mtuhumiwa? Mpeni pikipiki yake jamani da!!

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 Рік тому

    Mxiuuu

  • @mwingwamaina8219
    @mwingwamaina8219 Рік тому +1

    Mana watumishi wanalala sana

  • @nuratmokiwa1636
    @nuratmokiwa1636 Рік тому

    Huku kibaha staton hamna hata mabomba ni visima

  • @filbertalbert3173
    @filbertalbert3173 Рік тому

    Maliasili Kuna tatzo kubwa mmno

  • @mkudesimba9518
    @mkudesimba9518 Рік тому +1

    Mheshimiwa ! Samahani usije ukanielewa vyengine ! Na hiši ndio šolah yako Kuba kuliko itakayokusaidia wewe na diši wananchi wote wa TZ tafadhalli zidisha ibada sana kwa kutumia dini yako itakuwa ujasiri mkubwa ! Hatimae malengo torej yatakamilika !upo hivyo !!

  • @sophiamalinga18
    @sophiamalinga18 Рік тому

    Yale yale ya kinana enzi ile kupumbaza watu. Hii inaitwa strategy

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Рік тому

    2025 gombea tu uraisi mpendwa tumechoka kuonewa

  • @yasinichankanda2090
    @yasinichankanda2090 Рік тому

    Huyu jamaa kashakua rais nn mbona anafanya kz km kiongoz mkuu wa nchi..... ?

  • @DanielTumaini
    @DanielTumaini Рік тому

    Bora hata ummy mwalimu ameishia kukuita mwenezi cyo walee wengine hawajielewi kukuita mheshimiwa afu unachekelea

  • @eliasmwankenja4223
    @eliasmwankenja4223 Рік тому

    mtapata maneno matupu utekerezaji 0

  • @MwanahawaSaid-t3n
    @MwanahawaSaid-t3n Рік тому

    Kuna akirisana wewe

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL Рік тому

    Wewe magufuri wa pilli

  • @SamwelMdamanyi
    @SamwelMdamanyi Рік тому

    Ufuatiliaji usiwea inapokaribia kampeni

  • @josephisaya6274
    @josephisaya6274 Рік тому

    punguza biti bamdogo

  • @PhilimoniPhilimoni
    @PhilimoniPhilimoni Рік тому

    Aaaa

  • @danielmandia7447
    @danielmandia7447 Рік тому

    Siasa tu. Mnatufanya wajinga. Wote wezi tu

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Рік тому

    Hakuna kitu usanii mtupu

  • @tluwaysulle
    @tluwaysulle Рік тому

    Kama wewe ulivyowaumiza wenzako

  • @patriciamuganda4498
    @patriciamuganda4498 Рік тому

    Wengi wameumizwa na kudhulumiwa. Hakuna wa kuwasemea wala kuwasaidia

  • @mwingwamaina8219
    @mwingwamaina8219 Рік тому

    Uwe unatumbuwa majipu

  • @hashimchaoga9566
    @hashimchaoga9566 Рік тому

    Sidhani kama kutatua kero nyingi zilizopo ni rahisi kiasi hiki kuna mengi tu hata mawaziri husika na mahakama wanahangaika nayo na mengine kupigwa dana Dana. Kesi na kero haziwezi kuisha kirahisi rahisi namna hii hiyo ni kama mchezo wa kuigiza

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Рік тому

      Hawes ku8sha ila wakijua kwamba viongoz wakubwa wanasikiliza wananchi kidogo kuonewa kunapungua Acha tunanyanyasika sana

  • @barakangudhi2913
    @barakangudhi2913 Рік тому

    Huyu ndiye magufuli tuliyokuwa tunamsubiri