Vimbwanga vya Bernard Morrison akitambulishwa klabuni KenGold

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • #MakarashaDay: Tazama ‘vimbwanga’ vya Bernard Morrison baada ya kutambulishwa ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya ikiwa ni ingizo jipya kwenye kikosi cha KenGold.
    Wchezaji wengine waliotambulishwa ni pamoja na Morrison ni Kelvin Yondani na Obrey Chirwa.
    #MakarashaDay #KenGold #HashukiMtu #AzamSports1HD

КОМЕНТАРІ • 246

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius5256 6 днів тому +3

    Mm nawaombea msishuke daraja nawapenda mno ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 7 днів тому +2

    Waooooooh!!! Very fantastic! 😍 I LOVE CAN GOLD I LOVE MBEYA ✨💫💫🙌📖🙌🎉🎉😘💋💋❤❤❤❤💞💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏 by Steve Tanga mbeya kwetu 🙏

  • @Mmenga_junior
    @Mmenga_junior 6 днів тому +5

    Kama unaamini hivi vinavyofanywa na Ken Gold ni vituko like hapa😂😂😂😂

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 7 днів тому +4

    Jamani Kengold msituangushe wana Mbeya tunawategemea 🎉🎉

  • @thirdsigntzofficial
    @thirdsigntzofficial 7 днів тому +8

    Msemo wa kocha wa yanga kwamba ligi aina ushindani sasa umezaa matunda...Boss KenGold kavunja kibubu 😀!

  • @benardnkuba
    @benardnkuba 7 днів тому +8

    NBC imevamiwa😂😂😂BM3 katuwa bongo😂🙌🏿

  • @djfunk255
    @djfunk255 7 днів тому +2

    Mchezeji kafika leo na leo leo kapewa ukeptaini Raha sana 🎉🎉❤

  • @violetjoel-o2n
    @violetjoel-o2n 7 днів тому

    🎉 kelvin nakubali sana, jina la mdogo wangu nakupenda pia napenda kazi yako mungu akutangulie

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 7 днів тому

    From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations Guys Kazi nzuriii sana hii Ikawe Kheri Kwenu Wakuu🎉🎉🎉🎉 Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @IsmailKarim-d3v
    @IsmailKarim-d3v 6 днів тому +2

    Jamaaaniiiiii,,,haya inatosha tusianze ujinga asa ivi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 7 днів тому +2

    Kusema ukweli Morisson anaujua mpira kwa level aliyoenda mabeki watateseka sana. Big up Bernard Morrison.

  • @petermsechu1519
    @petermsechu1519 7 днів тому +3

    Duh Yondani tena😅😅😅😅😅😅 Alafu Mkija kufungwa Muanze Kusema Timu kubwa Zinanunua Mechi

  • @SadamSarita-t7z
    @SadamSarita-t7z 7 днів тому +9

    Morrison anajijua chizi anawaambia inatosha asije anza ujinga saiv yani anajijua anaweza kuhariku kabla ya game

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 7 днів тому +2

    😂😂bm3 noma sana narud ken gold 😂😂

  • @joycejoes
    @joycejoes 7 днів тому +2

    Mimi jamani nafutahi tu Aubrey Chirwa 😘😘😘🫂

  • @mrmars266
    @mrmars266 7 днів тому +2

    Mko vizuri ndo tunaanza ligi sasa

  • @GodfrayGod
    @GodfrayGod 7 днів тому +4

    Hapo kocha angekuwa mourinho weeeeeeeee ubingwa caf champions league mapema

  • @123kerim23
    @123kerim23 6 днів тому +3

    Kumbe bongo kuna timu ya kwenda kulia uzee alaf nashangaa mie sijaitwa nikal uzee wang poa😢😢

  • @SaidDiso-l4c
    @SaidDiso-l4c 6 днів тому +5

    Nyie kusanyen wazee kama mabarozi wa tasafu kisha tutaonana mwisho wa msima msije sema hatujawaambia😂😂😂

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv 7 днів тому +3

    Jamani mbona wote wazeee 🤣🤣🤣

  • @Wilfred096tz
    @Wilfred096tz 7 днів тому +2

    Tunasajili wazeee mtuachie ken gold yetu 😂😂😂😂😊

  • @johnmalima3071
    @johnmalima3071 7 днів тому +3

    Hii timu Boss kalewa 😂😂😂

    • @EREVUKATV
      @EREVUKATV 7 днів тому

      Hahahahahaha😂😂😂😂😂😂😂

  • @DaudDaudemmanuel
    @DaudDaudemmanuel 7 днів тому +6

    Tunafanya kweli wanagu wambea ❤❤

    • @khalidmwakabuta
      @khalidmwakabuta 7 днів тому

      Wapambane sasa tuko mikoani tunaambiwa tumelala wakati si ndo Mkoa wa vipaji vingi tofauti tofauti %

    • @razackMohamed-r1o
      @razackMohamed-r1o 7 днів тому

      0:10

    • @razackMohamed-r1o
      @razackMohamed-r1o 7 днів тому

      Amaa kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya ken gold ndo hayo sas

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 7 днів тому +1

    😅😅..Their very funny this pipos

  • @robertmwanakatwe8134
    @robertmwanakatwe8134 7 днів тому +2

    Wao wanasajili kwa lengo la kunusulu timu isishuke na ndio maana wamewapa mikataba ya muda mfupi, then msimu ujao ndio wasuke kikosi upya

  • @KamugishaSupe
    @KamugishaSupe 6 днів тому +3

    😂😂😂 mbona timu ya wazee

  • @jusseyjm5718
    @jusseyjm5718 7 днів тому +1

    kweli tajiri kaamua....izo jezi kama kanzu za mashahidi wa yehova

    • @mosesnyongole6240
      @mosesnyongole6240 6 днів тому

      Pole mzee mashahidi wa Yehova hawajawahi kuvaa kanzu ktk historia yao

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 7 днів тому

    Ila tuache utani hiki kikosi ni noma kitakua na ushindani wallah nawaambia🙏🙏🙏🙏

  • @chollejr_
    @chollejr_ 7 днів тому +3

    😂😂😂😂😂usianze ujinga kumbe anajijua kua ni mjinga

  • @SumaMoshivitendo
    @SumaMoshivitendo 7 днів тому +3

    Kutoka mozambiqui mimi ni mashabiki wa simba timu inawachezaji wazur pambana itafika mbali kikubwa kujituma

  • @mckingu4004
    @mckingu4004 7 днів тому +1

    Morrisson hajawah kuwa serious😂

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 7 днів тому +1

    ONGERA SANA KEN GOLD

  • @BushurJoel
    @BushurJoel 7 днів тому +2

    duu tulimmis sana captain kelvin patrick yondan coton juice

  • @Tassyomy
    @Tassyomy 7 днів тому +2

    2025..Tutayaona Maajabu Meng Sana..Yaan Wachezaji Wa Wili..Cjuw Watatu..Unawatambulisha Utazani Kama Unaenda Kuanza Msimu..😂😂

  • @MartinMadimilo-z6w
    @MartinMadimilo-z6w 7 днів тому +3

    Kama Morrison anachechemea vile😂😂

  • @AbigaelEmanuel
    @AbigaelEmanuel 7 днів тому +3

    Ila hii club😅😅😅 tuwe wapole kila mtu atachanganyikiwa kwa wakt wake

  • @BeaSHAYANAHunterson
    @BeaSHAYANAHunterson 7 днів тому +2

    😂😂😂benard dahh

  • @MohamedKobembe
    @MohamedKobembe 7 днів тому +1

    Kashakula bange mwanang BM3 bhn😂🙌🏿

  • @mohamedizabura4999
    @mohamedizabura4999 7 днів тому +2

    Jamaniiiiii msianze ujinga Sasa ivi

  • @Jton-u1h
    @Jton-u1h 7 днів тому +1

    Bm3🎉🎉🎉

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 7 днів тому +2

    Naona Morrison alisajiliwa Simba na Yanga

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 7 днів тому

    Kumbe ligi ndio imeanza kwa Ken Gold😹😹😹
    Lazima Mrudi Mlipotoka Nyie!!

  • @richardkasigi7539
    @richardkasigi7539 7 днів тому +1

    Kwani hujapendaa

  • @FatumaIbrahim-u5k
    @FatumaIbrahim-u5k 7 днів тому

    Hii Kali ya mwaka 😂😂😂😂

  • @bosssalum1037
    @bosssalum1037 7 днів тому

    Leo lao ni team ibaki ligi kuu

  • @HajiAngai-d5h
    @HajiAngai-d5h 6 днів тому +1

    OBREY CHOLWAAA 😮😮😮

  • @linuslusian-d5w
    @linuslusian-d5w 7 днів тому +4

    tanzania kwa komedi

  • @wilbertmsuva7442
    @wilbertmsuva7442 7 днів тому +2

    KUPATWA KWA NBC SASA HUYU WAKILI AKIJA KUWASHITAKI KEN GOLD TIMU ITAFILISIKA

  • @mkaziz5443
    @mkaziz5443 5 днів тому +3

    wazee fc😂😂😂

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 7 днів тому +3

    Kwl simba imeanzisha kitu kizuli yn timu zote tz wameiga

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv 6 днів тому

    😂😂😂😂 hata sijui nacheka nini mimi😅

  • @isaiahmakenzi9243
    @isaiahmakenzi9243 7 днів тому +1

    BM3 😂😂😂🙌🏽🙌🏽 et jaman

  • @shamimujamaly8197
    @shamimujamaly8197 7 днів тому +1

    Ndo wavae Jez kubwaaaa

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 7 днів тому +4

    KAMEENDA KULA PESA ZA MADINI
    HAKUNA MCHEZAJI HAPA

    • @AleniBruno
      @AleniBruno 7 днів тому

      Amna uyo fundi bn

    • @DennisFandi
      @DennisFandi 7 днів тому +1

      Ben ni kipaji boy labda km hujui mpira

  • @yusuphntisi
    @yusuphntisi 7 днів тому

    😂😂😂😂 laaahaullaaah chirwa hata kukimbia hawezi

  • @IbrahimLawi-g1s
    @IbrahimLawi-g1s 7 днів тому +2

    Tanzania Hadi lahaa Yani maajabu ni yakutosha

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 7 днів тому

    jamaniii😂😂😂

  • @Esta-p1z
    @Esta-p1z 7 днів тому +1

    😂😂😂hizo jenz😅

  • @MohamedChillo
    @MohamedChillo 7 днів тому +3

    Bosi kweli ameamua ,hii timu haitashuka daraja tena

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 7 днів тому +1

    Wale vijana wameshindwa kuiokoa timu Bora waje Hawa wazee na Imani hawatashuka daraja.

  • @michaelmjaluo905
    @michaelmjaluo905 7 днів тому +3

    Msianze ujinga bado mapema sana

  • @BarakaIsmail-p4w
    @BarakaIsmail-p4w 5 днів тому +1

    Vituko wanaweza shuka wakileta masiala wapambane wanambeya tuna waamini.

  • @EmmanuelKamala-x5b
    @EmmanuelKamala-x5b 7 днів тому +1

    😂😂😂 benadi kashakua msanii uyo

  • @ibrahimjumbe8121
    @ibrahimjumbe8121 7 днів тому

    Ila ken gold angalieni sana maana naona wengi katika utambulisho ni vibonge

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 7 днів тому +1

    Hivi ni vituko uswahilini...
    Uswahilini Kuna VITUKO😅😂😂

  • @ibrahimuakwilombe
    @ibrahimuakwilombe 7 днів тому +43

    Utambulisho wa wachezaji katikati ya msimu tena wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 40' vituko vinaendelea😮😅😊

    • @UdakuMedia-r4w
      @UdakuMedia-r4w 7 днів тому +3

      Aaah😁😁😁😁😁😁

    • @MichaelMizimu
      @MichaelMizimu 7 днів тому +1

      😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮Haaàaaaaaa

    • @Avil_tz
      @Avil_tz 7 днів тому +2

      Yondani miaka 50😂😂😂

    • @ahmedsdk6736
      @ahmedsdk6736 7 днів тому +8

      Roho mbaya itakuuwa mzee!! 😂😂 Kwa levo ya kengold hayo n mafanikio makubwa kw soka la Tanzania

    • @AgnesJohn-f1r
      @AgnesJohn-f1r 7 днів тому +1

      😂😂 tulia wewe

  • @MhemedySaloom
    @MhemedySaloom 7 днів тому +2

    Ila izo jezi hazina kipimo hadi morson kapiga fundo

  • @joshuahamis2738
    @joshuahamis2738 7 днів тому +1

    Sijaona hapo mchezaji zaid ya Morrison lakin pamoja na hayo mjiandae tu kushuka daraja

  • @johnyurra-eb8yo
    @johnyurra-eb8yo 7 днів тому +1

    Obrey chorwa chirwa😊

  • @kambachaku
    @kambachaku 7 днів тому +1

    Hii timu tuiombee aisee kwa😂hao wazee wao ngoja tuone 😂😂😂

  • @UlamaaTz-n6j
    @UlamaaTz-n6j 7 днів тому +1

    Ety morson jamani😂😂😂😂

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 5 днів тому +1

    Luis miquissone yuko wapi

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 днів тому +1

    Morison kichwa kibovu😂😂😂

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 7 днів тому

    Hii ni maaajabu 😳

  • @Real_ommy
    @Real_ommy 6 днів тому +2

    Hii timu au baraza la wazee 😂

  • @chrissbigo5555
    @chrissbigo5555 7 днів тому +1

    😂😂😂😂 hawa jamaa ligi kwao ndo imeanza siyo?

  • @SabrinnahRamsing
    @SabrinnahRamsing 7 днів тому +3

    Km matahaira hawa jmn

  • @nemespaulo3218
    @nemespaulo3218 7 днів тому +1

    Hili ndio kikosi cha maveterani au tungojee kikingine 😅😅

  • @elesianakabuje5832
    @elesianakabuje5832 6 днів тому

    😂😂😂😂jamani

  • @b4lfbeat598
    @b4lfbeat598 7 днів тому +1

    Morrison anakitambii😅

  • @idrisamapesa2732
    @idrisamapesa2732 6 днів тому

    Hapo kumejaa mashabiki wa team mbili tu

  • @carlosdigitals
    @carlosdigitals 7 днів тому

    mmeleta show flani Nzuri kama Yanga Day ya 2020

  • @noelmhando
    @noelmhando 7 днів тому +2

    Boss kaamua timu ishuke daraja

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 7 днів тому +1

    Kahuniii huyu ndio muhuni sasa morison kwel unajua kuishi bongoo piga pesaa

  • @Mufti-g3x
    @Mufti-g3x 7 днів тому

    Kwaiyo leo ni ken gold day sio?

  • @fatumashaibu
    @fatumashaibu 7 днів тому +1

    jaman mbona vituko uswahilin

  • @SilasJacob-z6v
    @SilasJacob-z6v 7 днів тому

    Daah hii ni balaa😂😂😂 yani gari lishaenda na maji afu unatafta kulivuta wakati hata halionekani

  • @LidiaTomasi
    @LidiaTomasi 7 днів тому

    Ss uhuu utambulish niwalin😊

  • @EmmanuelNyinyigwa-m1o
    @EmmanuelNyinyigwa-m1o 7 днів тому +1

    Mmejipambania sana

  • @Sima-r2v2f
    @Sima-r2v2f 7 днів тому +2

    Mmeshindwa kujaza ata kiwanja

  • @SaniaIdrisa-y7v
    @SaniaIdrisa-y7v 7 днів тому

    Morrison ana kitambi🤣🤣

  • @timamulituto
    @timamulituto 7 днів тому +1

    ukisema cha nn wezako wanasema kinafaa 😂😂😂😂

  • @costantinemabusi-k2z
    @costantinemabusi-k2z 7 днів тому +2

    Hao wote ni wazee wa migomo.

  • @NdoileSelemani-zj6dl
    @NdoileSelemani-zj6dl 2 дні тому

    Obrey chorwa chirwaa😂😂😂😂

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 6 днів тому

    Jamaaaaaaaani 😅

  • @GodfrayGod
    @GodfrayGod 7 днів тому +1

    Yaani wazee tupu daaaa

  • @MuhsiniMuhsini-y5k
    @MuhsiniMuhsini-y5k 7 днів тому +1

    Hivi ni vituko 😂😂😂😂 jmn

  • @mzeke-r9h
    @mzeke-r9h 7 днів тому +1

    Bongo kwenye mpira ni shamba la bibi yani wachezaji wapo hapo mtoto anazaliwa mpaka anakua ,wamekosa wachezaji au

  • @Officialthefinestboy
    @Officialthefinestboy 7 днів тому

    😂😂😂😂😂😂😂 kazi ipo

  • @demask3423
    @demask3423 7 днів тому +2

    Kwani msimu ndio unaanza au?!