CONGO ITAANGUKIA MIKONONI MWA RWANDA KAMA WASIPOKUWA MAKINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025
  • Mpenzi mtazamaji wa UKUU WA MWAFRIKA & IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

КОМЕНТАРІ • 118

  • @EKOSBAMBA
    @EKOSBAMBA 5 днів тому +3

    Jambo ndugu mtangazaji kwakweli uchambuzi ni mzuri sana

  • @FaustinidaudiDaudi
    @FaustinidaudiDaudi 4 дні тому

    Safi kabisa❤❤❤

  • @mohamedhaji4827
    @mohamedhaji4827 5 днів тому +2

    Uchambuzi mzuri na ushauri mzuri sana
    Leo nimeamin kumbe hata mtu wa kawaida anaweza kusaidia taifa sio maraisi na mawazir .
    Ushauri mzuri yani wew ni mzalendo

  • @crstareast1165
    @crstareast1165 5 днів тому +1

    Wasipo kaa sawa inch wanaikabidh

  • @ramaruzeduka4314
    @ramaruzeduka4314 5 днів тому +2

    Asante Sana unasikika vizuri kbs wazo nzuri

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 4 дні тому +3

    Wa congo niwanafiki wenyewe kwa wenyewe

    • @lampadshigonko3006
      @lampadshigonko3006 4 дні тому

      sio wacongo... vyanzo vyenu vya habari ndo zinatoa habari zakinafki.. Mskie huyu et anaomba warusi waje kuitoa m23.... Wakati M23 ni wanaharakati wa mapinduzi km kina Traole

  • @ErickWankuru
    @ErickWankuru 4 дні тому

    Jeshi la Congo ni zaifu

  • @MurhaelvicebagElvice
    @MurhaelvicebagElvice 4 дні тому

    Kunaswali hapa unasema

  • @godfreyfrugence3760
    @godfreyfrugence3760 5 днів тому +2

    Ukuu wa mwafrika huwez jua huyu mwamba akichukua nchi labda congo utapata mabadiliko

  • @TanzaniaHome
    @TanzaniaHome 5 днів тому +1

    Senge sana congo

  • @FilistiFelisti
    @FilistiFelisti 5 днів тому

    Mungu tu awatie nguvu naujasili wakupambana

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 5 днів тому +2

    Shida ya serical ya congo ndani yake kuna waasi

  • @philiplugalia3724
    @philiplugalia3724 4 дні тому

    Hope jeshi la Kongo linajipanga vizuri lokiwasoma Hawa wahalifu Ile siku wataamua ithink itakuwa mwisho wa Paul kagame

    • @HagenimanaDan-l2y
      @HagenimanaDan-l2y 4 дні тому

      idiot. ikiwa unaishi kwa nyumba ya manyata ama nyasi usikubali watu wachezee moto kwako. Tishesedi alisema ati atachoma Kigali mbona anajichomea kwake , Burundi ndo itafuata idiots

    • @bwikizobilly5220
      @bwikizobilly5220 4 дні тому

      Wishful thinking

  • @mukanyataki5120
    @mukanyataki5120 5 днів тому +1

    Mimi ni Mkongomani damu.
    Kuhusu hii vita ya congo, Rais Tchiseked anajua na kuelewa kila kitu. Yeye ndiye anawapa nguvu waasi.
    Yule akiamua tu, hiyo vita haitafanya mwezi 1.

    • @salomemtwale5370
      @salomemtwale5370 5 днів тому +2

      Anaelewa nn zaidi, useme ashauriwe labda kama kuna sehem anakosea arekebishe hivi vifo sio vizuri bwana

  • @FilistiFelisti
    @FilistiFelisti 5 днів тому +1

    Yani Africa yote inahitaji sana msaada waputin mana Marais ote nivibaraka Wawa zungu

  • @Sixtus-k7v
    @Sixtus-k7v 4 дні тому

    Chiseled Kuna mambo anoyoyajua lakn anjifanya hajui ndicho kinchoitafuna congo wafuate walichokubalia

  • @GoodTeck90
    @GoodTeck90 4 дні тому

    Laana ya Patrice Lumumba hiyo, hakuna Rais wa Kongo mwenye akili hata mmoja, wao wenyewe ni Vibaraka wa nchi za Magharibi, Ufaransa na Marekani ....... Ndiyo maana hawawezi kuomba Urusi ije kutoa msaada, maana wanajua kuwa Putini hana mchezo

  • @bwikizobilly5220
    @bwikizobilly5220 4 дні тому

    M23 siyo magaidi ni wakongo wanaopigania haki yao . Na wakikamata nchi congo miaka ijayo mtasema historia tofauti. Mpigania haki always hushinda.

  • @FilistiFelisti
    @FilistiFelisti 5 днів тому +2

    Africa yote tunamhitaji sana urusi mana viongozi wetu hawajitambui urusi ijetu itusaidie

    • @AlphonceTPeter
      @AlphonceTPeter 5 днів тому

      Wote except Rwanda cz tumelidhika na PK.

  • @MurhaelvicebagElvice
    @MurhaelvicebagElvice 4 дні тому

    Rwanda haiusiki ni marekani njo

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 5 днів тому +2

    Wakifanya mchezo hao jamaa wataichukua mpka bongo

  • @MakeleleAboubakarr
    @MakeleleAboubakarr 4 дні тому

    Sasa cornel nangaa km alifanya ivyo ili kisekedi apite yeye ndiye aliye sababishi damu ya sisi wa congomani kufariki kilaleo

  • @lampadshigonko3006
    @lampadshigonko3006 4 дні тому

    huna chanzo cha habari cha uhakika... leo unasema Rwanda 🇷🇼...... kesho utakuja na habari hapa... "Kumbe M23 ni wacongo wenyewe na Rwanda hausiki"

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 4 дні тому

    Kongo inaenda kugawika mara 3, hii inatisha M 23,wako siliasi sana wameamua kabisa,Kisekedi kazi kwako,

  • @SteveMweu-n9b
    @SteveMweu-n9b 4 дні тому

    Jeshi lipindue nchii ma anasherekali imeshindwa

  • @SangoAlembe
    @SangoAlembe 5 днів тому +1

    Yaani siasa za Congo ni atari mtu ana hasi serkali aloiweka mwenyewe conell nanga 😂😂😂😂 kiongozi wa tume agyeuka muasi sija iona tokea nizaliwe 😂😂😂😂😂Congo niatari

  • @AndrewMoshi-w1y
    @AndrewMoshi-w1y 5 днів тому +1

    Urusi umeenda mbali.waambie jwtz waende chapter 7.apply full combat

    • @AlphonceTPeter
      @AlphonceTPeter 5 днів тому

      Heheheeh,once u are civilian always civilian u don't know what u are talking,nenda wewe ukawafukuze.

  • @crowninvestments-j3t
    @crowninvestments-j3t 5 днів тому

    Uyo raisi wa Congo ana ubanguzi wa makabila mengine acha ndugu zaka wa Kasai wamseidia

  • @FelixLwitiko-t7u
    @FelixLwitiko-t7u 5 днів тому

    Mbn imekua ivoo tena brooo imekuaje

    • @MczoAyo
      @MczoAyo 5 днів тому

      Huyu Mtaganzaji anaropoka
      Nilikua na Mkubali before Ila kwasasa wapi
      Anaegamia Upande Mmoja tu hataki kusema haki yetu Watutsi
      Jana alisema M23 inapigwa
      Nikakataa sai ameanza kuhaha tena 😂

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 4 дні тому

    Che Guevara mwanampinduzi aliwahi kuja zaire kuwasaidia wa zaire kwenye harakati za kugombea uhuru akishindwa na akalalamika kuwa ni wasaliti, hawajitumi na wala rushwa kwa hiyo sioni ajabu

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 5 днів тому

    Mpoki buya yuko wapii

  • @AmranSeif-e4f
    @AmranSeif-e4f 5 днів тому

    Viongozi wasaliti rais wa Congo angewatowa wote alafu akamuita mrusi afanye kazi yake 🇧🇮

  • @murazithadeus206
    @murazithadeus206 5 днів тому +1

    Russia yenyewe imeshindwa

  • @NgendandumweAlouise
    @NgendandumweAlouise 5 днів тому +1

    Kwani jeshi la south africa tanzania burundi wanafanya nini

  • @richardmisogalya9499
    @richardmisogalya9499 4 дні тому

    Si ulisema wanapewa kichapo

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 5 днів тому +1

    Bado nitakuwa wa mwisho kuamin kuwa M23 watachukua Congo...huenda kuna mpango unasukwa na huu mpango huend Rwanda akalipuka muda wowote....hapa wanazubaishwa na kwa style hii wanakuw wanapungua nguvu maana ukiuchukua mji lazima wakae wanajeshi na Congo ni kubwa mno. Na ata hii misaada ya kigeni au kibinadamu wanapoambiwa wafungue viwanja vya ndege huend ndio wanaletew silaha hili lingestopishwa shirika la afya la kongo ndio wahusika kihifadhi miili. Na Rwanda amewaandaa hawa vijan ni wengi hivy watakuwa wanakufa wengin wanaingia na bado wengin wanapew mafunzo...Rais wakongo atumie fedha ajir vijana wakutosha kama 1000 kwa kuanzia wakitoka analeta tena elf moja adi hivi vita viishe hayo madin yana kazi gan na yanaibiwa tu kwann usikubal kipoteza ili uje ulinde kingi

  • @EliezaRichard
    @EliezaRichard 4 дні тому

    Tisheked ni kisantili Yani kigeu geu

  • @didowegesa1499
    @didowegesa1499 5 днів тому

    Wewe nimshabiki

  • @RajabuMizozi
    @RajabuMizozi 5 днів тому

    Inasikisha sana inakuwaje jeshi Ra Kongo mdebwedo hivi hata wakipigana na panya rod watapigwa kutwa kwenye kioo kujemba arafu aende kupigana Howa m23 mbona mdebwedo tu

  • @KisagasiLuyangi
    @KisagasiLuyangi 5 днів тому

    Rwanda ni sawa ila nyuma yupo mkuu wake, kumbukeni Israel inavyojiatanua na nyuma yake yupo mkuu wake,

  • @Irfaan-k1j
    @Irfaan-k1j 5 днів тому

    Mjomba congo ni Syria utaona

  • @alexbahindolwa3921
    @alexbahindolwa3921 5 днів тому

    Congo haijawai pata kiongozi mwenye akili timamu !!.jpt

  • @StephenMpallange
    @StephenMpallange 5 днів тому

    Hakuna haja ya M23 kufanya mazungumzo na Rais Tshiseked,kwani Mazungumzo tayari yalishafanyika na Mikataba tayari imekwisha sainiwa kwa pande zote mbili yaani M23 na Seikali ya DRC, kilichobaki ni Rais Tshiseked kutekeleza mkataba wa Makubaliano kiufasaha.

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 5 днів тому

    Acha M23 ickuweee .....labda wakaijenga iyo nciii

  • @evansjohn7766
    @evansjohn7766 5 днів тому

    Kongo m23 itaikaba ,tchisekedi mda siomrefu atakimbia.

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 5 днів тому

    Netanyahu wa African

    • @salomemtwale5370
      @salomemtwale5370 5 днів тому

      Jeshi la kongo nasikia lipo imara sana tatizo hawalipwi mishahara ya kutosha ,ambayo haina motisha ndo mana yote haya sio kwamba hawawezi ni wanakosa motisha hvo serikali ya kongo inabidi ikae na kuwapa kipau mbele wafanyakazi kwa kuwapatia stahiki zao kwa wakati ba zinazofaa kwa motisha, we unafanyaje kazi ya hatari halafu hakuna ela

    • @ProsperUlungi-p3t
      @ProsperUlungi-p3t 5 днів тому

      ​@salomemtwale5370 wanalipwa dola mia sawa kama laki mbili na nusu 😂wao wanasiasa wanajilipa mabilioni sasa si ujinga huu

  • @nestasunboy9989
    @nestasunboy9989 5 днів тому

    Uko sahihi kbs kanini wasiyendi kwa putini?

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 5 днів тому

    Felix asipo kuwa makini atapinduliwa na Rwanda.

  • @EmilyTembo-k7e
    @EmilyTembo-k7e 5 днів тому +1

    Simulisema eti baada ya kipigo M23 imeomba ya ishe na imekimbiya?nyiye tangaza habari kama ilivyo ni kwanini hamukusema eti M23 wamesimamisha vita?mnaongeza sana kiushabiki

  • @Youngchimodzi823
    @Youngchimodzi823 5 днів тому

    Serikali dhaifu huzaa jeshi dhaifu.

  • @JosephBidii-k6i
    @JosephBidii-k6i 4 дні тому

    Urusi ni kweli inasaidia ila ni lazma uwe mzalendo. Je rais wa congo ni mzalendo???

  • @jumamasoud1188
    @jumamasoud1188 5 днів тому

    Hapo ni Putin ndy kiboko yao bas

  • @JuniorJunior-lf2qj
    @JuniorJunior-lf2qj 5 днів тому +2

    We Surambaya skiya Tz,SA,Malawi na FDLR na Wazalendo wenu Tuta wachapa msichezi namu Tutsi

  • @fallykhan2383
    @fallykhan2383 5 днів тому

    Tatizo congo ipo chini ya mfaransa kwhy kam wamewapa matumaini kua watawapa magurunet au askari basi watasubiria badala ya kuchukua hatua kwa uoande wa pili wakifanya uzembe magaidi watachukua nchi alafu tutawatambua kama serikali halali😢

    • @edchrisbeatz8976
      @edchrisbeatz8976 5 днів тому

      Kama wacongo wapo chini ya mwanvuli wa France basically bora magnificent wachukue nchi

  • @justinemajariwa6656
    @justinemajariwa6656 5 днів тому

    Sasa wao kamaichi hawajielewi hatakidogo wakidanganywa wanakubari hatambinu hawana nchi inachukuliwa na rwanda

  • @imananiyonkuru9694
    @imananiyonkuru9694 5 днів тому

    mtangazaji hao siyo m23 hawoote ni RDF jeshi rarwanda siyo m23 hao wa m23 munaosema haiko haoote ni RDF Pamoja na UPDF jeshira uganda

  • @wilondjacare
    @wilondjacare 5 днів тому

    Rwanda, Kenya, Uganda na sudan kusini M23, tunawanuwa EAC

    • @James_Jabari
      @James_Jabari 5 днів тому

      KENYA ipi? Ruto wananchi wake hawamtaki (hujackia Zakayo must go?)
      UGANDA, Museveni anachechemea na kujikojolea… kazeeka.
      S.SUDAN wnamuona Kagame kama mwendawazimu tu, hata hawamuelewi
      Mpango wa Kagame na Museveni wa kutengeneza Hima Empire umefeli sana. Nyie kama hamtaki kuishi na watu vizuri, basi rudini kwenu Ethiopia na Somalia huko huko… mnakosa amani kwa kuwa mmekali ardhi ambayo siyo yenu, mizimu ya WABANTU haijapendezwa na tabia zenu, rudini MOGADISHU

  • @SangoAlembe
    @SangoAlembe 5 днів тому

    Alafu aliye wekwa madarakani yuko kimya nikama ajuwi nini kinaendelea 😂😂😂urumasana

  • @evansjohn7766
    @evansjohn7766 5 днів тому

    Military ya kongo kuna mamuruki saana,yaani kunawengine wanatoa siri yao sana ,ndiomana munaona m23 inacukuwa sehumu bila tatizo lolote

  • @wilondjacare
    @wilondjacare 5 днів тому

    Lakini tena, jeshi la congo linawasaliti wengi, kuanzia ngazi za juu, ambao walitumika kwenye serekali ya kabila

    • @salomemtwale5370
      @salomemtwale5370 5 днів тому

      Yaani Congo sijui wafanyaje,sijui wavynhe serikali na kubadilisha jeshi,maana jeshi Lao limehaa wasalit8 ndo shida inaania hapo

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 4 дні тому

    Unaongelea bukinab nanchi nyingine kaka congo ni ,shamba kubwa hakuna pa kulinganisha congo ingekuwa ulaya bara hili lingekiwa kubwa na lenye nguvu kijeshi na uwezo congo inajenga ulaya yote kaka uwezikiwatoa Hawa watu 23

  • @susujeremiah195
    @susujeremiah195 5 днів тому

    Hii nchi ya CONGO sijuwi kama Ina Raisi

  • @GoodluckObedi
    @GoodluckObedi 5 днів тому

    Fikiri kongo sasa ni soko la maaskari.je ikitokea ghafla felex akafa .na korineli .akafa ghafla kongo itakua wapi ikiwa mataifa yote yamo humo

  • @eliasnicolaurobath6864
    @eliasnicolaurobath6864 5 днів тому

    Wakongo wanaona huyu koroneri ni akichukuwa taifa ra kongo wataishi vizuri kumbe hiri ni fumbo mzee koroneri akichukuwa taifa ra kongo ni sawa kongo imetawariwa na ruanda yani watakuwa chini ya amri ya ruanda narudia kongo wanajeshi wake ni vibaraka wa ruanda ndio wanao uza mechi kwa uroho wa pesa tamaa za utajiri tatizo wakongo hawana umoja MAGENERAL wote wakae kikao waungane

    • @salomemtwale5370
      @salomemtwale5370 5 днів тому

      Shuda ni motisha,wanajeshi kulipwa mishahara kidogo inakata motisha ile jazi ni ya hatari ni kujitoa, hvo kuwa kibaraka, Mungu asaidie

  • @MukarusineEsperance
    @MukarusineEsperance 5 днів тому

    Rakini m23 sio wanyarwanda Aho ni wakongomani.kwanini unasema rwanda. Tena si wagahidi ni raia wanataka kuwa na amani nchini kwao

    • @ZaninkaYasmeen
      @ZaninkaYasmeen 5 днів тому

      Ariko murasetsa muziko abantu ari ibigoryi😂😂😂 😂😂😂

    • @MukarusineEsperance
      @MukarusineEsperance 5 днів тому

      @ZaninkaYasmeen ngaho tubwire mada wowe ubizi neza

    • @MukarusineEsperance
      @MukarusineEsperance 5 днів тому

      @ZaninkaYasmeen utabaye ikigoryi wowe wemera yuko abanyamasisi nabanyarwanda

  • @James_Jabari
    @James_Jabari 5 днів тому

    Afu ww mwalimu unazingua ujue… hv saa nyingin unajielewa kwel ww… mara kagame kapigwa, mara kagame ni masihi… ataichukua DRC kwa sekunde 2 tu, mara mzee kagame ni pan african

  • @KIZIMYAMOTOMussa
    @KIZIMYAMOTOMussa 5 днів тому

    Viongozi wa Congo ni wajinga na washenzi,mbunge wa Congo analipwa dola elfu 21 kwa mwezi,mamluki wa kizungu analipwa dola elfu 10,mamluki wa kirundi analipwa dola elfu 5 kwa mwezi alafu Askari wa serikali ya Congo analipwa dola 150 na wazalendo hawapewi kitu yaani wanajitoleya hata kupata ca kula ni shida nambiye sasa hiyo moral ya kuteteya nci yake itatoka wapi?

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 5 днів тому

    M23 wako sawa wachukue tu nchi saabu hawa viongozi wa africa ni vibalaka wa wazungu wanaiba mali nchi haiendelei hata kidogo bora waichukue tu

    • @ProsperUlungi-p3t
      @ProsperUlungi-p3t 5 днів тому

      Hata hao m23 wakichukua nchi watakuwa vibaraka2 hakuna watakacho badilisha kwa sababu hata wao nyuma yao kuna wazungu

  • @JacquesBernardélectronique
    @JacquesBernardélectronique 5 днів тому

    Jambo ndugumutangazaji,maoniyangunikusema,wakongomanitu,ndiowatu,wanao,ogopa sheria?Hao,nikuogopa kupigarwanda?tunasubiri yesu?

  • @eze-b3q3w
    @eze-b3q3w 4 дні тому

    Jeshi la Congo 🇨🇩 limeja M23 ndaniyake kilichopo wakubali mazungumzo nipo hapa hawatashinda jeshi la M23

  • @rukeranshurohashim
    @rukeranshurohashim 5 днів тому

    Sasa umekubali wewe natarifa zako congo wakiacha kubaguwa wanaichiwake itakuwasawa

  • @bwikizobilly5220
    @bwikizobilly5220 4 дні тому

    Hivi wewe unaweza kuwa mamluki asiye na mafunzo ya kijeshi kweli? Mbona Putin ametoa mpaka ndege za kivita na zimetekwa na m23 ? Katika historia ya dunia ukitemea mataifa mengine yakupiganie wewe nj sleki tena bwege. Huwezi kushinda vita hata kidogo.

  • @MuhozaClairyornkelly-s5q
    @MuhozaClairyornkelly-s5q 5 днів тому

    Wanapambania hakiyao so wewe hujui chochote

  • @murazithadeus206
    @murazithadeus206 5 днів тому

    while you continue to praise the FARDC, it's important to note that they were defeated by various forces, including your own soldiers TPDF, as well as the South Africans SNDF, Burundians, and Malawians MPDF, AND fdlr. Referring to M23 as the RDF based on incomplete or inaccurate information does not provide a full picture. If it were truly the RDF, the situation would likely have been resolved and the job finished.

  • @KamiliKapeta-yr3uc
    @KamiliKapeta-yr3uc 5 днів тому

    Siousaliti kuna wanyaruanda atamkuu wamajeshi nmnyaruanda ndani ya jeshi akunawatu wanatukuza nnchiyaokama wanyaruanda

  • @MczoAyo
    @MczoAyo 5 днів тому

    Wewe Fanya Utafiti wako Acha kuegamia Upande Mmoja
    Congo TUNABAGULIWA sana Eti Kisa sisi ni Watutsi
    Wakati nilizaliwa Congo nikakulia Congo sijawahi hata kukanyaga Ardhi ya Rwanda leo hii Niitwe Mrwanda
    M23 sio Wanyarwanda
    Tutapigania haki yetu mpka
    Tanzania na Malawi na Burundi na S.A Walikuja kusaidia Tschisekedi Ili Mutumalize sisi Watutsi ila hamtaweza

    • @abeidkhamis6130
      @abeidkhamis6130 5 днів тому

      Ninyi ni waTutsi asili yenu ni Eritrea Ethiopia na somalia

    • @James_Jabari
      @James_Jabari 5 днів тому

      Tatizo siyo “watutsi” kama watutsi tu. Tatizo ni wahuni kutoka ktk kabila hili wanaojiona kuwa bora zaidi ya makanila yote; kwamba hawawezi kutawaliwa na WABUNTU. Hiki ndicho wanachomaanisha sikuzote wanaposema “wanaopigania haki yao” (wanapigania KUTAWALA).
      Kihistoria katika makabila yote hapa chini ya jangwa la Sahara hakuna kabila lenye watu wakorofi na wenye fujo sana kama watutsi. Hili halina upunzani, ni ukweli mtupu.

    • @cirhuzabuhendwa127
      @cirhuzabuhendwa127 5 днів тому

      Kaka ,, naomba unielewe vzr,,,wewe umesema umezaliwa Kongo ,,kwani uliwahi kuambia urudi Rwanda?? Sema umejiunga na M23 mwenyewe Kwa ridhaa yako ila hujabaguliwa. Wapo wanyamulenge wengi mno Kongo na wapo kwenye ngazi za juu serikalini na wapo safe . Shida siyo Watusi waishiyo Kongo but NI Watusi waliyopo serikalini mwa Mzee Kagame . Na sio Raia ,,,, Mtusi ambae NI RAIA Hana SHIDA Kabisa. Mimi Ninao Rafiki zangu wazuri Sana tena Sana wengine Wahutu wengine Watusi but they are Good People. Shida NI siasa na sio Ukabila kama unavyo Sema. Wanyamulenge wapo miaka mingi Sana,,,,NI wazalishaji Wa maziwa mikowa mingine na they are Good Guys

    • @MczoAyo
      @MczoAyo 5 днів тому

      @@abeidkhamis6130
      Nawew Asili Yako ni Ipi kama hapo Tanzania Kila Mtu Anajuwa Aliko Toka
      Mtanzania wa kweli Ni Masai

    • @MczoAyo
      @MczoAyo 5 днів тому

      @@James_Jabari
      Wew n MUHUTU
      ndio maana anasema Uongo
      Nani alikwambia tunapigania Utawala ?!
      Tunapigania haki zetu za kutengwa na Serekali yetu

  • @EmilyTembo-k7e
    @EmilyTembo-k7e 5 днів тому

    Simulisema eti baada ya kipigo M23 imeomba ya ishe na imekimbiya?nyiye tangaza habari kama ilivyo ni kwanini hamukusema eti M23 wamesimamisha vita?mnaongeza sana kiushabiki