MIRAJI |YANGA WANARUMBANA ILA UWANJANI TIMU TISHIO | HUYU NDIO KOCHA WALIOMTAKA YANGA SIO RAMOVIC

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 58

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn 5 днів тому +6

    Asante Miraji Kwa kumtia moyo Dube wetu, endelea Dube usife moyo we kaza buti huo ni upepo tu Mungu atakusaidia utafunga tu magoli

  • @mariamodazura149
    @mariamodazura149 4 дні тому +2

    Ni yanga the best binguwa

  • @ShukuruMasofa
    @ShukuruMasofa 4 дні тому

    upo vizuri sana kaka milaji

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 5 днів тому +1

    Sema Chagamba Uwaga Anajuw Kuchambuw🎉❤🎉

  • @SilviaJohn-e8j
    @SilviaJohn-e8j 5 днів тому +2

    Kaka miraji unajua sana mpira 🫡

  • @davidtrezuget.379
    @davidtrezuget.379 5 днів тому +3

    Miraji and Chagamba, great work, You both give honest analysis of both SIMBA SC and YANGA, No biasment, .This league is definitely tough.

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex 4 дні тому +1

    Za ndaaaaaani,Pitso Masimane ndio kocha wa Yanga ,ni suala la muda tu😂😂😂😂😂❤

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu 5 днів тому +2

    Uuuûuuiiiiiiikama makolo Yanga iliwafunga gori5💛💚💛💚

    • @peterkandaya565
      @peterkandaya565 5 днів тому

      We ushawahi kupiga 6-0,5-0 sio 5-1 za mchongo wa kina Chama,Baleke,Inonga na MKUDE😂😂😂

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 5 днів тому +1

    Miraji mmoja tu🎉🎉 mjinga haelew💪

  • @MasoudAbdala
    @MasoudAbdala 5 днів тому

    Mira mara moja

  • @DarliotonTumaini
    @DarliotonTumaini 5 днів тому +1

    Ongea 🎉🎉

  • @JoelTeti-q3w
    @JoelTeti-q3w 4 дні тому

    Huyu jamaa anajua mpira pia anajua kuuzungumzia🎉

  • @KilapayaIbuni
    @KilapayaIbuni 5 днів тому +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage 5 днів тому

    miraji njoo unioe nahayo maneno yako tu😂😂😂😂😂😂❤

  • @alexrwezaula8857
    @alexrwezaula8857 4 дні тому

    Kweli milaji shangilia msimu ukiisha

  • @SOPHIASALUMU-u3b
    @SOPHIASALUMU-u3b 4 дні тому +1

    Unajuwa miraji

  • @tonymasy8872
    @tonymasy8872 5 днів тому +1

    🔥

  • @FatumaMwage
    @FatumaMwage 5 днів тому

    upew uwaziri mbon unaongea vizur ❤❤

  • @saumumaulidi8768
    @saumumaulidi8768 5 днів тому

    Wapi Mzee said

  • @NeemaThobis
    @NeemaThobis 5 днів тому

    Miraji unamuumiza mwenzio bega

  • @tabithakitundu8736
    @tabithakitundu8736 5 днів тому

    Miraji anajielewa

  • @AlbiniusNdaki
    @AlbiniusNdaki 5 днів тому

    Miraji uko simati sana nimekuelewa

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 5 днів тому

    👏👏👏👏🦁🏆🏆💪💪💪💪💪🙏🙏

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 4 дні тому +1

    Kila La Eli Yanga nawatakia Ushindi wa kuchukuwa Ubingwa Ligiku Tanzani Yanga

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy 5 днів тому +1

    Huyu miraji nilikusubiri

  • @matonangimasatu4996
    @matonangimasatu4996 5 днів тому

    Huyu jamaa anajua Sana sema hapa mjini ni connection

  • @PrinceMbwela
    @PrinceMbwela 5 днів тому +1

    Yanga Na Prinziner Athumani China Aliwai Kufunga Hivyo.

  • @AbuuMsafi-j4q
    @AbuuMsafi-j4q 5 днів тому +1

    Ongea kaka wenzio weng kaz unafik 2

  • @VeronicaNyondo
    @VeronicaNyondo 5 днів тому +1

    Kama Kawa recoord😂😂 😂 Miraji weeeeeeeeeeeweeeee 😂😂

  • @AbuuMsafi-j4q
    @AbuuMsafi-j4q 5 днів тому +13

    Bola ya wewe kaka unaakil ya mpila unajua nini maana ya dakika 90 wao waache wajitoeufaham yanga sio kama wanavyoichukulia atakuja kulia m2 dakika za jion na awatoamin macho yao

    • @StanleyDeluna-v8q
      @StanleyDeluna-v8q 5 днів тому +5

      Acha kukalili maisha

    • @mussamlendela792
      @mussamlendela792 5 днів тому +2

      Kukalili maisha muhimu maana tulikalili mechi nne mfupulizo yanga akimpakua simba niikawa hvyo wewe nani unajiongelesha vya ovy ovy

    • @vincentdaud9954
      @vincentdaud9954 5 днів тому

      Bola ni bora .mpira siyo mpila rudi shule jifunze matumizi ua R&L

    • @peterkandaya565
      @peterkandaya565 5 днів тому

      We ulikuwa miaka 9 kuanzia 2000 mpaka 2009 ushindi wako kwa Simba ni droo 3 ndo uliambulia jumlisha na kipondo cha 5-0 sio 5-1 tuelewane kdg😂😂😂😂😂​@@mussamlendela792

  • @SurprisedAgilityPuppy-tj3wk
    @SurprisedAgilityPuppy-tj3wk 5 днів тому

    Miraji kakayangu sikuzoto huwa na sema wewe ni mwanaume halisi ...
    Na kama unandoto za kusomea ukocha basi kaza ivoivo kakyangu wewe nizaid ya kochaa unajicho la mpira... sema gamba 😂😂😂😂 kunawakat anamswal ya miyeyusho sana eti diar alikuwa anaomba maji jaman😅😅😅😅

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 5 днів тому

    JEAN C. AHOUA ANAUWEZO WA KULIRUDISHA ILA MMMH. UYO SELE BWENZI SIJUI ITAKUWAJE HUYU MWAMBA HILI GOLI KURUDI SIJUI.

  • @NeymanMaganga
    @NeymanMaganga 5 днів тому

    tup manen malamojaaa

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 5 днів тому

    Kama lile la Morrison alipo wafunga namungo

  • @fortunatusjuma6763
    @fortunatusjuma6763 4 дні тому

    Sema uyu jamaa ataftiwe radio awe chambuz oya sports arena hamumuoni huyu mwamba

  • @manjamwaibula7739
    @manjamwaibula7739 5 днів тому

    Leo chagamba miraji umemkatisha mapema sana kuongea

  • @HappyFlamingos-bp4dc
    @HappyFlamingos-bp4dc 5 днів тому

    Bega la chagamba 😂

  • @MalickMakange
    @MalickMakange 5 днів тому +1

    Jamaa anajua boli huyu

  • @Mathamayaka
    @Mathamayaka 5 днів тому

    Nyinyi wahadishi habari ndomnasema ivyo ss yanga tunaukubari uongozi wetu

  • @mkongwijudith8457
    @mkongwijudith8457 5 днів тому

    Huyo nae ahamie yanga mbwa tu

  • @HerbertNdope
    @HerbertNdope 5 днів тому

    Chagamba dah mkovizuri Sasa naomba uwe unamuhoji Habibu na Mara kwa Mara naye jamaa inafurahisha sana unavyomuhoji tunakosa burudani yake ya maneno

  • @wasemavyotv7736
    @wasemavyotv7736 5 днів тому

    Huyu jamaa huwa simuelewi
    Mbinu kwa Simba ulikuwa unawataka viongozi watoke waongee kwanini sio yanga?

  • @mudymgoto1206
    @mudymgoto1206 5 днів тому +3

    Changamba unatokosea sana maramoja anaongea ndondo unampa muda mchache wakina mzee said wanaongea utumbo unawapa muda mwingi tumechoka tumeamua tukwambie kweli tu

    • @nyandutozy_1
      @nyandutozy_1 5 днів тому

      umechoka wewe kaka kila mmoja na faida yake mzee zaidi kazi yake kutufurahisha sisi ukitaka points msikie miraji tu mzee saidi tuachie wenyewe

  • @SaumuSaidi-z2v
    @SaumuSaidi-z2v 5 днів тому

    Magoli yt yalofungwa jn ,mi naona goli la kenigolidi ndo goli la mn niloliona .

    • @VedastinaVedarian
      @VedastinaVedarian 5 днів тому

      Limewafikisha wap ilo goli la maana??? Sema goli zuri sio la maana lingekua la maana lingewasaidia

  • @Zuubaby-lp9uj
    @Zuubaby-lp9uj 5 днів тому

    Like za milaji na dosa tujuane apa

  • @mashakakitwana2824
    @mashakakitwana2824 5 днів тому +1

    Mshindi wa mechi ya simba na yanga ndo bingwa wa mwaka huu chukueni hii

  • @AmanLyuki-u5e3s
    @AmanLyuki-u5e3s 5 днів тому +1

    Katika wachambuzi wazuri tz ni miraji wengine wote ni bendera tu

  • @Mathamayaka
    @Mathamayaka 5 днів тому

    Miraji kombe mtaleta au mwaka robo ndofuraha yenu. Akuna kitu nyie tu mnataka kutuvuga mtashindwa