CHID BENZ AFUNGUKA SIRI NZITO/ WALIVYOCHUKUA PESA ZAKE/ ETI MADAWA?/'WANANIONA CHIZI'/ KITAELEWEKA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • #Exclusive #ChidBenz
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Dar24 #Dar24Media

КОМЕНТАРІ • 20

  • @AhmedAli-oz3np
    @AhmedAli-oz3np 11 місяців тому +1

    Nimemskiliza kwa makiniiii Sanaa nimegunduwa kitu chidi kapata nafasi kashindwa kutumiya vizuriii waloitumiya vizuriii anaaaanza kuwapakaziyaaaaa eti hawamkumbukiiiii wakati kipindi kile alikuwa mkubwa kuliko hao alio wasaidiaaaa Mzee hilooo ni somo to sha kilaaa unopooo pitiya jaribu kujifunzaaa babaaaaa kupoteya njia ndio kujuwa njiaaa kazaa nafasi bado unayoooooo

  • @kaimukhamis7898
    @kaimukhamis7898 Рік тому

    Noma sana kaka Chid ume ua sana

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Рік тому +1

    Hahaha point lkn anasema

  • @Kingsusi
    @Kingsusi Рік тому +2

    Huyu jamaa hana akili ! Wakina AY na mwana Fa walipiga hela Tigo hivyo hivyo ! Nashangaa yeye amekaa🤦🏽‍♂️

  • @barnabaschars1637
    @barnabaschars1637 Рік тому +1

    Chid kuna wkt anaongea vtu vya mcng ila kuna saa anazngua,ila kkubwa alchosema n pesa ganiiiii(maisha hubadilika)

  • @beatriceraphael6025
    @beatriceraphael6025 Рік тому

    Chid kichwani zipo sana,namkubali

  • @user-mc9yk4xs8b
    @user-mc9yk4xs8b 9 місяців тому

    Yawezekana kweli chid ni mlevi lakin anacholalamika ni haki yake kwakua wakati ule anafanya mziki hakua mlevi mbona kuna wasanii wamekufa na haiki zao zinaheshimiwa

  • @dullodullodullo686
    @dullodullodullo686 Рік тому

    Chidy mm namkubali sana wakimuhoji uyu jamaa nikichwa mno nauyu kweli wamemdhulumu

  • @masoudwamba-wg4id
    @masoudwamba-wg4id Рік тому

    😮 huyu jamaa kuna kitu kichwan anacho

  • @loveness6732
    @loveness6732 Рік тому

    Mwishoni amesema swala very sensitive… which mtu ukisikiliza unaona something

  • @rashidngwele3935
    @rashidngwele3935 Рік тому +1

    Kichwa uyu jamaa

  • @jaydanharrison5605
    @jaydanharrison5605 Рік тому

    Kufanyaa kaz na huyu jamaa nikaz Sana Yan dah 😂😂

  • @dullodullodullo686
    @dullodullodullo686 Рік тому

    Nenda vyombo vya Shelia nenda basata mtfte mwana F A mana ushalalamika saana

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Рік тому

    Mwana FA anatakiwa asikie hii 😓

  • @dinosmack
    @dinosmack Рік тому

    Chid benz amtafute kibatala mbobezi..kama ni kwel anachosema bas chid ni billionaire next to mh mwana FA na AY

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Рік тому

    Nampendaga huyu hana unafki kanyooka

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 Рік тому

    Tatizo lake haelewekii...aongee point nn tatizo yeye analopoka tuu Yan haelewekii

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Рік тому

    Chuma