CHID BENZ ALIVYOWASHANGAZA MASHABIKI ZAKE/ DJ CHOKA ASHIKWA NA BUTWAA -

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 чер 2020
  • #HiviNiKweli #MotownSanya #ChidBenz #NemboYaMtaa
    HIVI NI KWELI NI KILA JUMANNE SAA 03:00 USIKU
    MARUDIO JUMATANO SAA 08:00 MCHANA
    IJUMAA. SAA 04:00 JIONI
    JUMAPILI. SAA 08:00 MCHANA
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 1,3 тис.

  • @rogermazombo9744
    @rogermazombo9744 4 роки тому +278

    Wasafi please mu saidiyeni Benzino kutoa iyo ngoma itakuwa kali sana ambao wame kubali iyo ngoma na wana penda itoke tujuwane kwa ma like apa

  • @fezzydawisso4235
    @fezzydawisso4235 4 роки тому +420

    Anae kubaliana na Mimi chiddy benzi ni genius gonga like

    • @hamidmakamejuma3518
      @hamidmakamejuma3518 4 роки тому +3

      Chizi uyu ila media tu ndo zonimfanya aonekane anaongea point , hamna kitu

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 4 роки тому +1

      Genius gani Sasa....hahahaaa.....wabongo bwana...!

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 4 роки тому +1

      Ismail Yusuph waBongo tunaongoza kwa story za vijiweni 😁, Genius sijajua watu wanauelewa gani kuhusu u Genius .

    • @dan-konjembe5913
      @dan-konjembe5913 4 роки тому

      🎶🎶🎶🎶🎶🎶🙌🙌🙌🏃🏾🏃🏾🏃🏾🏃🏾👍

    • @arinatsynkush7325
      @arinatsynkush7325 4 роки тому

      Explain the meaning of the word Genius.

  • @john_mlacha5390
    @john_mlacha5390 3 роки тому +13

    Anae mkubali chidy gonga like kama zote❤❤❤one love brooh

  • @LumolaSteven
    @LumolaSteven 4 роки тому +68

    Dah! Mazee
    Chiddi ni mnyama sana, kama unakubali Chiddi kafanya unyama studio gonga like twende sawa

  • @harunafillipo8584
    @harunafillipo8584 4 роки тому +186

    Bonge la kionjo alie lielewa kama mm like hapo

  • @slasherkwanjajr3251
    @slasherkwanjajr3251 4 роки тому +166

    Kipindi Kizuri Sn Ila Muwe Na Security Nzuri Maana Ipo Siku Kuna Msanii Anaweza Akapaniki Kutokana Na Mawazo Ya Mashabiki

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 4 роки тому +6

      Kabisa kama kwa yule jamaa wa rasta kidogo amuwakie

    • @kisesalusambo9452
      @kisesalusambo9452 4 роки тому +2

      Mb a kipindi wameiga Cha ETV kabisa

    • @dairyhairy6269
      @dairyhairy6269 4 роки тому +3

      Acha weye hichi kipindi kimeanza kitambo saana

    • @dairyhairy6269
      @dairyhairy6269 4 роки тому +3

      Wasafi wabunifu saana sema etv ifanye iige

    • @okeyokarolipaul4893
      @okeyokarolipaul4893 4 роки тому +3

      @@kisesalusambo9452 tunaoga na tunafanya kuwaliko, habari ya mjini 😂, penye diamond yuko hakuanguki

  • @tidyclevertz
    @tidyclevertz 4 роки тому +73

    ONCE A CHIDI BEENZ ALWAYS A CHIZI BEENZ, NAKUBALI SANA HUYU MWAMBA

    • @aliabmugh2362
      @aliabmugh2362 4 роки тому +1

      Mimi ni nani nisidondoshe komenti love wkb

    • @themagadir
      @themagadir 3 роки тому

      Once Chidi Benz always Chidi Benz

  • @macksonkinenge4319
    @macksonkinenge4319 4 роки тому +24

    Ili Jamaa Jitu Kweli sijui alirogwa na Nani kumamake chidi benzi chumaa 💥

  • @tetetvlamu9224
    @tetetvlamu9224 4 роки тому +49

    Chid bro mm ni bro wako, kutoka lamu kenya wallahi naskia Raha kukuona big love bro

  • @sponsertv5009
    @sponsertv5009 4 роки тому +35

    Daaaah yani hapa nimelia yani daah chid so chid go chid talented more than fire

  • @itumbajoh5399
    @itumbajoh5399 4 роки тому +24

    This man has extraordinary skills very genius and well talented.. you can see he suddenly changed with vocal synchronised..✴

  • @AmCool_
    @AmCool_ 4 роки тому +100

    Chidi bana nilipomkubali zaidi kwenye hii video, pale alipotoa sigara akampa jamaa, papo hapo akapiga darasa la madhara ya sigara. NOMA SANA!!!

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 4 роки тому

      Hahaaa’ wabwia unga Ndo walivyo....!...Akianza kukuelezea madhara ya unga huku anakusihi usijiingize na ww’ unaweza kujiuliza Kwa nini Sasa yy ANAUBWIA...? ....hahahahaaa...!

    • @saidabdallah3193
      @saidabdallah3193 4 роки тому +3

      Ismail Yusuph sio wabwia unga, watu wote wenye akili walijikuta kwenye ubwiaji wa unga, uvutaji wa sigara ama pombe watakushauri usijaribu hizo vitu kwa sababu ukishaingia hata kama hupendi na unataka kuacha kazi yake sio ndogo. Na hiyo ni kwa sababu hivyo vitu vina addiction strong hatari once you are in you are fucked up!

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 4 роки тому

      #SaidAbdallah ....Ah.!...wabwia unga wako tofauti sana juu ya kuasa ‘ hawalingani na hao wanywa pombe au wavuta sigara ‘...!

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 3 роки тому

      Kweli kampokonya kabadili adi rahaaaaa

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 3 роки тому

      Watu wa sigara tupooo

  • @michaelnassoro5669
    @michaelnassoro5669 4 роки тому +36

    Ukiaachana na chid, uyo alieedit hii kitu n muuaji wa namna ya flyover.......Daah em ngoja niangalie tna

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 4 роки тому +66

    Mimi binafsi CHID BENZ namshabikia toka longtime lakin toka aingie kwenye madawa ikasemekana ameacha simuelewi kunaonekana Kama anatakiwa afanyiwe Counselling arudi Kama zamani kwani hata akifanya interview unaona anatatizo fulan Kama usiriasi haupo.Unakua hicho kipindi nikizuri Sana kinapromo Kali Sana so ndio hivyo

    • @fatemaligalawa4151
      @fatemaligalawa4151 4 роки тому

      Uyu kuacha madawa ndoto

    • @mussamsella5801
      @mussamsella5801 4 роки тому +8

      Ukitaka kumuelewa chidbeenz anachoongea kwanza yafute akirini mwako mapito yake aliyopitia halafu tumia akiri ya kawaida tuu utamuelewa.

    • @chundabadimtanzania9046
      @chundabadimtanzania9046 4 роки тому

      @@fatemaligalawa4151 kwann asiweze

    • @isackhassan6551
      @isackhassan6551 4 роки тому

      Kwani unga mnaona km nini nyie mbona watu wengi tu wanaacha kwanini Chidi

  • @baqaryamry3415
    @baqaryamry3415 4 роки тому +8

    Naombeni like za producer wadau

  • @chesadennis254
    @chesadennis254 4 роки тому +11

    Oyooooooo Wasafi hatareeee. With love from Embakasi, Nairobi. Chidi Chuma....... Wacha maneno weka muziki

  • @farajastanley3480
    @farajastanley3480 4 роки тому +45

    mo town sanya ... wana tulikumis kinouma coz ua the best in street shows..

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 4 роки тому +11

    nimependaa sanaa mnavyo mpaa uhuru msanii love this

  • @damianmachilutv1167
    @damianmachilutv1167 4 роки тому +5

    Kama unajua unajua tu, CHID BENZ anajua sanaaaaa MUNGU amuwezeshe atoke alipo ila anapishana na hela nyingi sana huyu jamaa

  • @michaelmzinga4741
    @michaelmzinga4741 4 роки тому +26

    Chid benz is my favourite rapper since day one.

  • @elizabethmangapii7477
    @elizabethmangapii7477 4 роки тому +144

    Jamani hawa wasafi ni wabunifu sana binafsi kuna muda fulani nilikuwa sijawaelewa ila sasa wako juu kwa ubunifu....chidy katisha jamani huyu jamaa ana akili sema basi tu

    • @mubussnestv5057
      @mubussnestv5057 4 роки тому +2

      Tatizonmchezo mwingi

    • @vennvictor5784
      @vennvictor5784 4 роки тому +1

      Sanaaaa

    • @vennvictor5784
      @vennvictor5784 4 роки тому +1

      Daaaaaaaa nomaa aanaaaaaaaaaaaa

    • @ibrahimtekelo304
      @ibrahimtekelo304 4 роки тому +9

      Hiki kipindi sio wanebuni bali wamejiongeza mara ya kwanza naona ubunifu kama huu ilikuwa kwa 50 cent hivyo safi kiasi ila hawajabuni ila wamecopy

    • @fadhiliromwald
      @fadhiliromwald 4 роки тому +1

      Ibrahim Tekelo wamekopi wap

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu4561 4 роки тому +18

    Hii ngomaa itokee jamn nzur sn ❤️❤️

  • @SirdickOmondi
    @SirdickOmondi 3 роки тому +6

    Like Chidi ever since.....cheki chidi alivyojibu Kibusara na kistarabu... Best ever Rapper East Africa.

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 4 роки тому +3

    huyu mwambaa ni hatari kapandaa na bit hapo hapo mistar hapo hapo eeh bwaanaa respect xna chid benzz♡♡

  • @omaryrashid4720
    @omaryrashid4720 4 роки тому +7

    Uwa sipendagi kucoment ila kwa huyu mwamba ni nyokooooooooo
    Nakubalii Xana punch zake

  • @salehfarid1003
    @salehfarid1003 4 роки тому +22

    Nakubali Kazi alll the way China .... MO TOWN SANYA🔥🔥🔥

  • @zarohjuma2151
    @zarohjuma2151 3 роки тому +6

    Chidi Benz is one of a kind. The Best Rapper of All Times REAL OG. he is hilarious and serious at the same time Big Up Mo Town Sanya. One Love from +254

  • @brain_ujazo
    @brain_ujazo 4 роки тому +10

    Hii ingekua na Session mbili safi sana. Bugalee na Chidi wangekua na Hiibsession pia ingekua Vema Zaidi

  • @brightonwalter6682
    @brightonwalter6682 4 роки тому +15

    Dah naenjoy mpk Bora kusikiliza wasaf kuliko kusikiliza madem viswaswad wnatia nuksi

  • @majotv3405
    @majotv3405 4 роки тому +9

    Chidi benzini hatari huyu mwambaa anatisha 🔥🔥🔥🔥 ngoma kali sana

  • @steventhomas8046
    @steventhomas8046 2 роки тому +3

    Ukweli jamani me huwa nakuja hapa kila baada ya muda kwajili ya kipande icho Cha nyimbo alieimba chidi kwa kweli ni bonge la song

  • @mtindothedone4958
    @mtindothedone4958 4 роки тому +28

    Duuuh Chidy Nomaa Huwaga sina mzuka na comment Ila kwa Chidy nimecomment

  • @kaigepoultryfarm9123
    @kaigepoultryfarm9123 4 роки тому +16

    Nakubali season poa Sana 🔥🔥💥💥

  • @saidhussein1120
    @saidhussein1120 4 роки тому +8

    Hiyo ngoma ya chid mahabuba aliyotoa ghafla kwa Buga bora aitoe imetulia sana

  • @laulenciaevarist6249
    @laulenciaevarist6249 3 роки тому +3

    Hakuna mkali wa hip hop kama MNYAMA CHID BENZ KAMA UNAMKUBALI gonga like kama zote timu #CHIDBENZ ALL THE BEST BRO

  • @_HelloX_
    @_HelloX_ 4 роки тому +15

    Kusema ukweli chidy anafaa sana kua motivational speaker, anaongea vitu kuntu sana #1♥️

  • @donomar6876
    @donomar6876 4 роки тому +62

    RESPECT THE OG CHIDI BENZ ....GREATEST OF ALL TIME ...SALUTE MWAMBA CHUMA

  • @denisksylivester7846
    @denisksylivester7846 4 роки тому +18

    Bonge moja la pind.. Big up Wasafi media for the creativity 🔥#MO TWN SANYA 👊

  • @mathewlive1372
    @mathewlive1372 4 роки тому +44

    Kama hawajamaaa wanaifatisha ngoma ya darasa wamekuvunja mbav jua tuko pamoja apa..... 😂😂😂😂😂

  • @hdady0037
    @hdady0037 4 роки тому +7

    Mm namkubali chid benz sana 🔥🔥🙏🙏🙏🌹🌹🌹🙅‍♂️

  • @carolshiru4374
    @carolshiru4374 4 роки тому +6

    Wakenya oyeeee 🤣🤣🤣🤣 wapi likes za chidi

  • @pezasally8204
    @pezasally8204 4 роки тому +31

    Wasafi Mungu anawaona 😂😂😂 hizo head phone ni fire huyo jamaa wa black kauwa

  • @victoruswazi3593
    @victoruswazi3593 4 роки тому +10

    Sasa Uyu jamaa w T-shet nyeusi na Nyeupe yenye mistari so Funny 😬😬🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪

  • @chrislee4292
    @chrislee4292 3 роки тому +1

    Mugalee yuko vizuri 🤣🤣nimependa alicho kifanya .kumbe ukijikubali unafanikiwa .gonga like Kama nawe umekubali Kama mmi

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 роки тому +17

    Uko kwenye kuimba ngoma ya Darasa aisee Dah😂😂😂😂

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 4 роки тому +45

    Dah! Uyo nd Bughalee yan n producer mkali na n ktk maprodiuza ambao nawakubal sn ila ata kumjuwa cmjuw nd nmemuona leo naona yupo very simple, sema now upepo upo kw S2KIZZY na T Touch nd mana kapotea msela..

    • @jesusezray5569
      @jesusezray5569 4 роки тому +1

      Motoooooo

    • @mustafamase3727
      @mustafamase3727 4 роки тому +1

      Iyo nikweli bron uyu jama bugali nitishiyo kabisa a najuwa kipita kiasi

  • @enockalphonce695
    @enockalphonce695 4 роки тому +6

    Duuuuuh wasafi tv nyie ni balaaaaaaa chid wew mwisho

  • @kingcobra9238
    @kingcobra9238 4 роки тому +1

    Mkongwe salute mwanzo misho piga kazi one day utarudi na utakaa sawa utasimama mikazo tu

  • @maxozone3762
    @maxozone3762 4 роки тому +20

    Big up nice programme

  • @mwadinihaji565
    @mwadinihaji565 4 роки тому +1

    Very nice wasafi wabunifu Sana kwa vipindi nakupiqien mkofi👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @jsmastory5770
    @jsmastory5770 4 роки тому +8

    UPANUE WIGO
    kuna baadhi ya marafiki huwa tunawachukulia kawaida kwenye maisha lakini ni watu wa muhimu sana.

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias3758 4 роки тому +12

    Kumuhoji chidi kazi sanaa

    • @KMLotin
      @KMLotin 4 роки тому +2

      😂😂😂coz anamuhoji muandishi kuliko anavyohojiwa yeye😂😂😂

    • @tusajigwemathias3758
      @tusajigwemathias3758 4 роки тому

      Yaani kwanza hana uvumilivu wa kutulia kwenye gari anatoka.. Maswali baada ya kujibu ndio anahojii hahahaaaaa chidi hatareee

  • @hancyboy6812
    @hancyboy6812 4 роки тому +29

    Kama umeielewa hii ngoma kama mimi like hapa

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 4 роки тому +3

    Kuna chidy benzi m1 tu duniani

  • @lameckntahondi8073
    @lameckntahondi8073 4 роки тому +29

    Kaka hikii kipindiii nilikimisi na nilikitafuta na kukitetea sana nailinivunjaa moyoo kilipokuwa hakipoo bora kimerudi

    • @juniorcx0114
      @juniorcx0114 4 роки тому +1

      Jaman 👌🔥 🔥 Chafu yaooo NEMBO 🇹🇿💪🏿 YA TAIFA DIAMOND Platinum nimesikia Jina lake mpe talfa yake

    • @elshaarawymuhabesh316
      @elshaarawymuhabesh316 4 роки тому

      Nami nimefurahia kurudi

  • @slemdj
    @slemdj 4 роки тому +56

    SANYA PINDI LA LEO NIMELIPENDA SANA

  • @flinchclassic1726
    @flinchclassic1726 4 роки тому +7

    Kama umecheka hao jamaa wanaoimba nyimbo ya darasa gonga like😂😂😂😂

  • @paullusewa2693
    @paullusewa2693 4 роки тому +5

    such a very talented brother.. Chid Go Chid soo...

  • @swaiboe6646
    @swaiboe6646 4 роки тому +51

    Chid kanifurahisha sana

  • @jimmyyo5
    @jimmyyo5 3 роки тому +1

    Uyu amevaa nyeusi jamani mtatuuwa bora ukaye kimyatu🤣😂😁😁😁😁🙏

  • @seifalhanmohd9100
    @seifalhanmohd9100 4 роки тому

    Jid benzi kiukweli kashuka sana sabab ayo yak anayotumia yamembadilisha anatakiwa ajitambue ili awez kukaa vizur katika gem y mziki big up sana chidi ww n msanii mkubwa ila inabid ubadilike

  • @ahmedally5260
    @ahmedally5260 4 роки тому +15

    Ile beat studio na vocals next level Audio itamaliziwa?

  • @okeyokarolipaul4893
    @okeyokarolipaul4893 4 роки тому +6

    Darasa uko wapi, walevi wanaimba wimbo wako vibaya 😂😂😂😂😂

  • @gabrieltembo3854
    @gabrieltembo3854 4 роки тому +1

    Chid kapewa pit nzuri San wanao kubalia na Mimi gonga like

  • @luqmanmohamedy3860
    @luqmanmohamedy3860 4 роки тому +5

    Oyaa ioo ngoma aitoeee ..producer n nomaaa

  • @justinemomanyi9197
    @justinemomanyi9197 4 роки тому +3

    benz amalizie iyo ngoma kwa uyo producer tafadhali. It could be a breakthrough kwa uyo producer

  • @devothatesha1776
    @devothatesha1776 4 роки тому +1

    Daaaaaah sauti ya gharama hakuna kama Chid Chid kubaliii sanaaa ❤💝💥💥KINGKONN

  • @fauzhaji7149
    @fauzhaji7149 4 роки тому +1

    You are talented you are something else. Just to let you know even lily Wayne cant do that ..bro you are genius talented Tanzanian artist which African never witnessed yet ..believe me ..sit down and think twice .what you really want in life ..YOU ARE STAR BRO MUCH MUCH RESPECT BRO

  • @pikolaizaog7303
    @pikolaizaog7303 4 роки тому +33

    Ndio hiyo talk of the Town

  • @vanessadahnilly8551
    @vanessadahnilly8551 4 роки тому +14

    Nampenda sana huyukaka jamani benzina 💋💋💋

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 3 роки тому +1

    Kama una kubali chid katoa azanaa nipe like kama zote

  • @tatuta6529
    @tatuta6529 3 роки тому

    Mimi nakuombea mungu ata sigara uwache na pombe love yuo chidi

  • @RTVOfficial
    @RTVOfficial 4 роки тому +13

    Thanks for the good job love from 254

  • @francismacha2584
    @francismacha2584 4 роки тому +6

    NO COMMENT.... Wasafi On Top.
    Worldwide 🔥

  • @mohamedsoud985
    @mohamedsoud985 4 роки тому +2

    kipande cha studio nmekirudia zaid ya mara100 mwanangu chid..repect on u

  • @martinmoogi
    @martinmoogi Рік тому +1

    Chidi Benz chuma d town stend up👊👊👊

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 4 роки тому +8

    NAPENDA SANA NCHI YANGU

  • @martinerichard5827
    @martinerichard5827 4 роки тому +3

    Daaah so funny hiyo ngoma ya darasa, huyo mwenye black

  • @hoseajohn110
    @hoseajohn110 4 роки тому

    Daaah huyu mwamba nomaaa anakiwasha kama zaman aachie hiyo ngoma basii

  • @mohamedsoud985
    @mohamedsoud985 4 роки тому +1

    born talented tayar mwanangu chidi..hata uamshwe ucngzn unao uwezo wakutoa ki2..mwngne aige kama hvo bila kutengeneza ujanja flan kama atatoboa hvo

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 4 роки тому +12

    Chidy hiyo nyimbo imalizie usiiwache bonge la ngoma wewe kweli ni noma ndugu

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 4 роки тому +33

    11:09 jamaa katoa macho 😂😂😂😂😂😂bt this is funniest shit ever😂😂

  • @hadijamarijani8943
    @hadijamarijani8943 4 роки тому +1

    Hapo sasa!!!! Unapomzungumzia mwenyewe alafu yupo kwa pembeniiiiiiiii mhmhmhmhmhmhmhh

  • @bregadiakamote3604
    @bregadiakamote3604 4 роки тому +1

    Acheni masiala WASAFI fanyeni juu chini iyo Ngoma itoke ya Chidi ni kali kinomaa🔥🔥🔥 My love My Hubaa......

  • @onesmojoseph8829
    @onesmojoseph8829 4 роки тому +9

    😂😂😂😂😂 Huyo mseng mwenye tishet nyeus muongo huyo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @newstvonline1336
    @newstvonline1336 3 роки тому +3

    Daaah!!! CHID BENZ ni BONGE la mtu jamani, yaani CHID ni BONGE la Rapa East & coast Africa...nimependa jinsi alivyoichafua hiyo Beat hapo Studio.... sijawahi kumchukia Wala kumchoka Chi, Chi, Chi ,Chi, CHID Beeeeenz

  • @emilytv9526
    @emilytv9526 4 роки тому +1

    Kama unaamini chidbenz anaongea na ugolo mdomoni gonga like hapa!!

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf 4 роки тому

      😂😂😂😂😂😂

  • @edigoldkhadija5680
    @edigoldkhadija5680 4 роки тому +1

    Leo nimecheka sana mpaka nimesahau stress nilizonazo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @piellee1915
    @piellee1915 4 роки тому +12

    Nmepnda hiki kpnd kwa muda mwngi lkn leo ni motoooooooooooooooooooooooooooooooo☆●●●●●●●●#wasafi

  • @boylinu2848
    @boylinu2848 4 роки тому +27

    Hawa wanaoimba hatari sana🤣🤣🤣

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 4 роки тому +2

    So interesting,the instantaneous studio appearance.That made the producer's day

  • @maryshialiy2205
    @maryshialiy2205 3 роки тому +1

    🤣sanya wallai uendi mbinguni love you sanya

  • @maishayahaya7449
    @maishayahaya7449 4 роки тому +3

    Amalizie ngoma iyo tunaisubili ni 🔥🔥🔥🔥

  • @ezapesambili2130
    @ezapesambili2130 4 роки тому +11

    Wasafi hamuwez kushushwa bali mtashusha media nyingi bongo mbovu

  • @mahmoudxmo
    @mahmoudxmo 3 роки тому +1

    Chidi ameua sana aisee 😅 King Kooong...

  • @mvuyekurevincent8923
    @mvuyekurevincent8923 2 роки тому +1

    Nimeipenda hii. Surprised ya dj na alivyo Chana Ebana hatali. Kinoma

  • @frederickmwakatobe4669
    @frederickmwakatobe4669 4 роки тому +16

    Craetivity 120%🔥

  • @sjosh2606
    @sjosh2606 4 роки тому +27

    Chid Benz ni Comedian

  • @saidrajabu9589
    @saidrajabu9589 3 роки тому +1

    Kumekucha na chid benz gonga like🤣🤣 twende sawa 27 August 2020

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 4 роки тому +1

    Mwili wa Chid Mashaalha umeanza kurud