Jinsi ya Kupika Keki
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2022
- Kwenye Kupika Keki Hii ya Vanilla Nimetumia
Margarine/Butter/ Blueband - Nusu kikombe (tumia kimoja wapo
Mafuta ya kupikia - Kikombe 1
Sukari- kikombe 1 na nusu
Mayai 4
Ladha ya Vanilla kijiko 1 kikubwa
Unga wa ngano - vikombe 3
Baking powder - kijiko 1 kikubwa
chumvi - kijiko kidogo 1/4
Buttermilk kikombe kimoja na nusu
Instagram: lilyanapika
Asante sana Mungu akubariki
Hiii 🍰 haijatoka vizuri kwandani inamatobo kunasehm amekosea nanilijua tu Kama haita chambuka Ila umejitaid
Shukran jaazila
Good explanations
Sijawahi kupika keki ila leo kwa kufuata maelekezo yako kwa mara ya kwanza nimepika keki na imetoka vizuri imeiva na ni tamu sana, nashukuru sana Madam
Safi nimeipenda sana
Mmh 😋 yummy
❤Asante sana nimejifuza jinsi ya kupika mana nilikuwa cjui ila sasa nitajaribu kupika my Asante
Upishi mzuri hila Kama unaficha kitchen yako hivi
Anajua
Nice🥰❤
Asante nimejua
Asante my umenifundiaha baadhi ya step ambazo nilikuwa sizifany vzr
Nimejifunza kitu hapa kwako asante
😄😄
Limao linakaz gan
Naomba uniandikie process zote nataka kutumia jiko la mkaa
Tamu sana hiyo
.
Asante nitatumia hii recipe nikipika next time.
Pia kuzuia keki kutoka na matobo matobo(air bubbles) hakikisha kabla tu ya kuiweka kwenye oven, igonge gonge chini ili kuondoa hivyo vi air bubbles alafu ndo uweke kwenye oven.
11:23
Lamba kazidisha B.p
Mhhh;
Napenda kujifunza kupika keki naomba kufaham
unataka kujua kupika Keki za namna Gani? tuwasiliane 0718553999
Ningependa kufahamu kuwa hivyo vikombe unavyotumia vinakuwa na ujazo gani? Kwa kutumia mzani? maana upimaji wa vikombe unanichanganya kidogo.
Unaweza tumia mala
Mala ni nini?
@@lilyanapika maziwa lala
Unga mzuri kwa keki ni ppf dada huo wa kawaida cake inakua inafifia
Ni huu wa kawaida PPF unafaa kwa kupikia vitafunio kama mikate, mandazi n.k
Pia badala ya kutia maziwa na vinegar unaweza kuweka yogurt ni maziwa mgando
Wahoo
Ovyooo
Kuwa na shukurani mamaa
Hiz sufuria za kuchomek keki km hizo unazitolea wapi
Nilinunua kariakoo
Naomba unisaidie njia inayosaidia keki isishikize kwenye cupcake Ili muda wa kutoa isisumbue au kukatika kabisa
Chukua unga wa ngano gram 50, mafuta ya kupikia gram 50 na mo mpishi gram 50 zikoroge pamoja zichanganyike vizuri alafu uwe unapaka kwenye tin zako za keki huo mchanganyiko keki hazita nasa! Usipake nyingi sanaaa au kidogo sanaaa na tumia brush au vidole kupaka
Alafu kumbuka ukimaliza kutumia weka kwenye friji
Unaweza kuitengeneza nyingi zaidi ila hakikisha vipimo vyote viko sawa
Hayo maziwa unayoweka baada ya unga ni mtindi au
ni kama mtindi yanaitwa buttermilk ambapo unachanganya maziwa fresh na kijiko kimoja cha vinegra au limao
Je naweza nikafany 1cup prestige halafu 1/2 cup cooking oil?
ndio unaweza
Dada unahema San pole.. 😔
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙄
Hcho kikombe n gram ngap au kinaitwaje hata nkiienda dukani niulze
Vikombe ni tofauti na gram,ili kupata gram tumia mzani
Na ukienda dukani hasa ya wanayouza vifaa vya keki au supermarket waambie wakupe measuring cups
Nnaswal madam nn inasababisha keki juu ivimbe?
1. umetumia chombo kidogo kupikia keki
2.umezidisha baking powder
3. keki ilipikwa kwa haraka hapa inabidi uwe unaijua vizuri oven yako na jinsi ya kuiset kuweka moto sahihi ambao unatakiwa kuipika keki husika
@@lilyanapika nashukuru sana madam nimekuelewa🙏🙏
Nina swali mpenzi...... vanilla yafaa kua ya maji tu??
Co lzma
Pia Kuna powder
Niulize swalii hivi kwenye kekii wanaweka Amila???
Kunaweka baking powder
@@eshaskitchen asante sanaa
hapana kwenye keki haiwekwi hamira ni baking powder au baking soda
Huo unga gm ngapi
vipimo nimeandika
Naomba vipimo utoe kwa (gram) na usitoe kwa cup koz
Cup zinatofautiana
Sawa
Ukitumia measuring cups za baking hazitofautiani kabisa ziko sawa ila uctumir vikombe vya chai vyako
Kuna measuring cups za baking dada ndio unatakiwa kutumia
Vanilla ni nini
ni ladha inayowekwa kwenye keki au biskuti, na hata vinywaji
Ninaswali Kwan prestige aifai mpk uwe na blueband,nk
Inafaa
Dear hata mafuta yakupikia ukitia badili ya blueband keki yako itakuwa nzuri sanA unaweza kuchanganya samli na mafuta pamoja
Asant
Mashallah
Mbona keki ndani Kama Ina uwazi Nini tatazo
Cake zengine hutokea hivo jamani binadamu tuwazitoo munafundishwa na bado munasema ovyoo
@@voihomebakery1589 kwani hapo kuuliza kakosea nini kama mwalim akitoa somo mwanafunz yapasa kuuliza mana kakosea ndio
@@voihomebakery1589 mtu anapoanza huwezi mfunza kwa maziwa pia kipimo atumie gram wanawapoteza watu
@@voihomebakery1589 mtu anapoanza huwezi mfunza kwa maziwa pia kipimo atumie gram wanawapoteza watu