Shangwe la CCM Wakimpomkea Mchungaji Peter Msigwa, Mwenyekiti wa CCM, Dk Samia Aimba "Mlete Msigwa"
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na Kiongozi mwandamizi wa chama hiko cha upinzani ambaye hivi karibuni alishindwa uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, Mchungaji Peter Msigwa leo ameonekana akipokelewa ndani ya ukumbi kinapofanyika kikao cha NEC-CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan.
Bado taarifa kamili kuhusiana na uwepo Msigwa katika kikao hiko haijatolewa.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Kama kwelii msigwa kajiunga na CCM Basi siasa ni mchezo mchafu
Kukataa kupewa umwenyekiti😅umeamua kusepa aisee watu ni wakuda😂tutaona mengi kwaiyo huko utakua mwenyekti
Huko kafuata Udc, URC na ukurugenzi🤣🤣
@@dennisungonella205 mkuda sana huyo
Siamini!!!!!!
👀👀👀👀👀👀 siamini macho yangu yani msigwa kabisa nae kanunuliwa? duuu nimeamini dunia imeisha
Hata Mimi siamini macho yangu
Kanunuliwa na Na nani wewe na bado hiyo ndio CCM
@@ElvisMulenga-j5w hahahahaa kweli ccm imeishiwa hoja sasa msigwa atawasaidia nini
@@ramadhanmahongole9293 kesho utasikia tundu nae kajiunga hao ni wanaadam kwani la ajabu ni lipi?
Kibaraka kwaheri kafie uko wasije wakuua na pesa zao walizokupa usaliti chama tulikuona mapemaa
Kushindwa kura na sugu.kasepa
Big up keep it up
Hawa ndio watu msiwai kuwaamini kabisaaa,wanasiasa kama maalaya tu😂😂😂😂
Nikweli
Ewe mungu wetu tuoneshe viongozi wenye nia na Imani ya dhati na WA Tanzania na tepushia watu kama mchungaji msibgwa aliehamia CCM et kwakukisa uenyekiti wa chama kanda
😂😂Msigwa kaonesha rangi zake halis
Mpaka aibu, dah msigwa😂😂
AMEJIUNGA AMBAKO ALIKUWA ANAPASEMA VIBAYA SIO MDA HAFU WANANCHI BADO TUNAONA HUYU MTU ANAFAA KWELI. HUYU MTU SI ANATAFUTA VYEO TU ETY MCHUNGAJI NAE
Watanganyika hawaminiki
Msingwa umekwisha
Siasa ni unafki mtupu
Mh haya
💆💆💆💆😭😭😭😭😭
KAENDA HALAFU ANAENDA KUPEWA CHEO.MNAOPGA NIA CHAMA MNAACHWA. HYO INAITWA CCM YA FURSA.
Itakuwa kahaidiwa URC au UDC, muda utasema.Rushwaaass🤣
😮
Ccm nchimbi hii ni kaline nyingine nakuonea huluma chamama COVID Malaya wa kisiyasa kama musigwa zito anakuja hata lisu
Tuna juu hamuna upinzani wote chawa ila uchawa mungu ataufutiliya mbali chezeni comedy zina mwisho
Mbona Yuda eskarioti anajificha bahati mbaya hapa iringa maccm hatutawayapa kura zetu.
Hata huko CCM wamtizame kwa jicho la tatu. Mimi nilisema mapema aende huko CCM sisi hatuko tayari Chadema kukaa naye ni msaliti kama wasaliti wengine. Myu mwenye uchu wa vyeo muogope kama ukoma. Afadhali amfuate ndugu yake huko.
Kafuata Udc au URC muda utasema, wanasiasa maslahi hao
Kanunuliwa kishamba
Namuona Yuda eskarioti
Kwa kweli kufikia hapo naona hizi siasa ni kuchumia tumbo tuu na kutafuta umaarufu, si kweli kuwa usipochaguliwa basi unahama chama kwa hiyo ina maana madaraka ndiyo yalikushikilia kwenye chama hiyo niaibuuu muone aibuu.
Haahaa mtu anahama dini kisa kakosa usheikh au uchungaji😅
Yuda mkubwa sana
Tunakutakia safari njema
Pesa ya Abdul
😂😂😂Akili za hawa aisee
Haiwasadii,
🎉🎉
Duuuuu, aaaaaaaaaaa, aiseeeeee, mmmmmmm
Hatari sana
Nunuanunua ya fisiemu imeanza kaeni chonjo chadema tunataka tubaki na chadema halisi
Hahahaha,,,,, tatizo la chama chenu ni Sacco's ya mtu
Safi sanaaa
@@jumakapilima7295 chadema ni Chama kikubwa kuliko ccm ukitaka kuamini hilo weka tume yao pembeni weka polisi pembeni chadema na ccm wachuane uone Chama gani ni saccos ccm imesha kufa umebaki kuwa saccos tu ndomana inaufyata kuleta mabadiliko ya katiba kuelekea kwenye uchaguzi wanang'ang'ania katiba ya 1977 inayo wabeba na tume yao ya uchaguzi na police ili kushinda chaguzi bila police na refa wao tume ya uchaguzi ccm hawana ubavu wa kushindana na chadema kwa sasa
Mbona kama siamini mimi jamani, my God?
Mchumia tumbo kama nyinyi