Shangwe la CCM Wakimpomkea Mchungaji Peter Msigwa, Mwenyekiti wa CCM, Dk Samia Aimba "Mlete Msigwa"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Aliyewahi kuwa Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA na Kiongozi mwandamizi wa chama hiko cha upinzani ambaye hivi karibuni alishindwa uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya kanda, Mchungaji Peter Msigwa leo ameonekana akipokelewa ndani ya ukumbi kinapofanyika kikao cha NEC-CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan.
    Bado taarifa kamili kuhusiana na uwepo Msigwa katika kikao hiko haijatolewa.
    Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

КОМЕНТАРІ • 52

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 3 місяці тому +1

    Kama kwelii msigwa kajiunga na CCM Basi siasa ni mchezo mchafu

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu 3 місяці тому +4

    Kukataa kupewa umwenyekiti😅umeamua kusepa aisee watu ni wakuda😂tutaona mengi kwaiyo huko utakua mwenyekti

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 3 місяці тому +1

      Huko kafuata Udc, URC na ukurugenzi🤣🤣

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 3 місяці тому

      @@dennisungonella205 mkuda sana huyo

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 3 місяці тому +2

    Siamini!!!!!!

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 3 місяці тому +2

    👀👀👀👀👀👀 siamini macho yangu yani msigwa kabisa nae kanunuliwa? duuu nimeamini dunia imeisha

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 місяці тому

      Hata Mimi siamini macho yangu

    • @ElvisMulenga-j5w
      @ElvisMulenga-j5w 3 місяці тому

      Kanunuliwa na Na nani wewe na bado hiyo ndio CCM

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 місяці тому

      @@ElvisMulenga-j5w hahahahaa kweli ccm imeishiwa hoja sasa msigwa atawasaidia nini

    • @ElvisMulenga-j5w
      @ElvisMulenga-j5w 3 місяці тому

      @@ramadhanmahongole9293 kesho utasikia tundu nae kajiunga hao ni wanaadam kwani la ajabu ni lipi?

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 3 місяці тому

    Kibaraka kwaheri kafie uko wasije wakuua na pesa zao walizokupa usaliti chama tulikuona mapemaa

  • @georgemahenge
    @georgemahenge 3 місяці тому

    Kushindwa kura na sugu.kasepa

  • @wilbardvalerian6556
    @wilbardvalerian6556 3 місяці тому +2

    Big up keep it up

  • @Niika870
    @Niika870 3 місяці тому +1

    Hawa ndio watu msiwai kuwaamini kabisaaa,wanasiasa kama maalaya tu😂😂😂😂

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 3 місяці тому +1

    Ewe mungu wetu tuoneshe viongozi wenye nia na Imani ya dhati na WA Tanzania na tepushia watu kama mchungaji msibgwa aliehamia CCM et kwakukisa uenyekiti wa chama kanda

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 3 місяці тому

    Mpaka aibu, dah msigwa😂😂

  • @GerardMdui
    @GerardMdui 3 місяці тому

    AMEJIUNGA AMBAKO ALIKUWA ANAPASEMA VIBAYA SIO MDA HAFU WANANCHI BADO TUNAONA HUYU MTU ANAFAA KWELI. HUYU MTU SI ANATAFUTA VYEO TU ETY MCHUNGAJI NAE

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed9589 3 місяці тому

    Watanganyika hawaminiki

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 3 місяці тому

    Msingwa umekwisha

  • @piusmelkizedeck9823
    @piusmelkizedeck9823 3 місяці тому

    Siasa ni unafki mtupu

  • @JohnMtalikuyanja
    @JohnMtalikuyanja 3 місяці тому

    Mh haya

  • @HajiNgwale-b3o
    @HajiNgwale-b3o 3 місяці тому

    💆💆💆💆😭😭😭😭😭

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 3 місяці тому

    KAENDA HALAFU ANAENDA KUPEWA CHEO.MNAOPGA NIA CHAMA MNAACHWA. HYO INAITWA CCM YA FURSA.

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 3 місяці тому

      Itakuwa kahaidiwa URC au UDC, muda utasema.Rushwaaass🤣

  • @emilmaarufu3734
    @emilmaarufu3734 3 місяці тому +1

    😮

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 місяці тому

    Ccm nchimbi hii ni kaline nyingine nakuonea huluma chamama COVID Malaya wa kisiyasa kama musigwa zito anakuja hata lisu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 місяці тому

    Tuna juu hamuna upinzani wote chawa ila uchawa mungu ataufutiliya mbali chezeni comedy zina mwisho

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 місяці тому

    Mbona Yuda eskarioti anajificha bahati mbaya hapa iringa maccm hatutawayapa kura zetu.

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 3 місяці тому

    Hata huko CCM wamtizame kwa jicho la tatu. Mimi nilisema mapema aende huko CCM sisi hatuko tayari Chadema kukaa naye ni msaliti kama wasaliti wengine. Myu mwenye uchu wa vyeo muogope kama ukoma. Afadhali amfuate ndugu yake huko.

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 3 місяці тому

      Kafuata Udc au URC muda utasema, wanasiasa maslahi hao

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 3 місяці тому

    Kanunuliwa kishamba

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 місяці тому

    Namuona Yuda eskarioti

  • @dekarisaomiro9009
    @dekarisaomiro9009 3 місяці тому

    Kwa kweli kufikia hapo naona hizi siasa ni kuchumia tumbo tuu na kutafuta umaarufu, si kweli kuwa usipochaguliwa basi unahama chama kwa hiyo ina maana madaraka ndiyo yalikushikilia kwenye chama hiyo niaibuuu muone aibuu.

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 3 місяці тому

      Haahaa mtu anahama dini kisa kakosa usheikh au uchungaji😅

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 місяці тому

    Yuda mkubwa sana

  • @clethbarnaba923
    @clethbarnaba923 3 місяці тому

    Tunakutakia safari njema

  • @hamisimweta4505
    @hamisimweta4505 3 місяці тому

    Pesa ya Abdul

  • @SonofGod-o1q
    @SonofGod-o1q 3 місяці тому

    😂😂😂Akili za hawa aisee

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 3 місяці тому

    Haiwasadii,

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 3 місяці тому

    🎉🎉

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 3 місяці тому

    Duuuuu, aaaaaaaaaaa, aiseeeeee, mmmmmmm

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 3 місяці тому

    Nunuanunua ya fisiemu imeanza kaeni chonjo chadema tunataka tubaki na chadema halisi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 місяці тому

      Hahahaha,,,,, tatizo la chama chenu ni Sacco's ya mtu

    • @emanuelgavile3503
      @emanuelgavile3503 3 місяці тому

      Safi sanaaa

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 3 місяці тому

      @@jumakapilima7295 chadema ni Chama kikubwa kuliko ccm ukitaka kuamini hilo weka tume yao pembeni weka polisi pembeni chadema na ccm wachuane uone Chama gani ni saccos ccm imesha kufa umebaki kuwa saccos tu ndomana inaufyata kuleta mabadiliko ya katiba kuelekea kwenye uchaguzi wanang'ang'ania katiba ya 1977 inayo wabeba na tume yao ya uchaguzi na police ili kushinda chaguzi bila police na refa wao tume ya uchaguzi ccm hawana ubavu wa kushindana na chadema kwa sasa

    • @ZaidAKissinza
      @ZaidAKissinza 3 місяці тому

      Mbona kama siamini mimi jamani, my God?

    • @JosephKembe-ee6bd
      @JosephKembe-ee6bd 3 місяці тому

      Mchumia tumbo kama nyinyi